B2K NAKUKUBAL SANA NGOMA ZAKO NI NZURI SANA ILA HII YA SAIV KIUKWELI SIKUSHAURI UINGIE KWENYE HIP HOP UNAPOTEA HUKO MY BROTHER #by Emmanuel from IRINGA TOWN#
Me najiuliza Hawa wasanii wakubwa wanakuweka wapi mdogo wao unaimba vizur Ila Wana logo za wivu hawataki kukupush. Ila usijali apangalo mungu mwanadam hawez pangua utafikaka tu hata Kama hawapend
Duuuuuh hiii ngoma angewepo nay wa mitego ndio imgewaka Moto Sana
Nyimbo ni kama kusoma ubao
Noma sana naitwa japhetizo kutoka njombe kusin nafanya mziki ingia youtb andika japhetizo utazipata ngoma zangu kali zote nakuomba usisahau kusbuckibe
Mi nkajua Ney wa mitego
Ukweli mtupu yani
Jmb nakukubali sn nataka kolambo na stamina ama roma🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Creativity well done, mwalemi sana
Pa1 bro wetu makini song
nakubali b2k
Tunapo elekea hata waganga watarogana!!! Nime
Vinapanda balaaa
Noma na nusu
Imeisha io kakaah 😀😀
Daaah so pouwaa kbsaa
Mtafya kitambo sana B&Z nakubari
Lita moja 7k😄😄
ninomaaa
Mungu atunusuru kwa hii halii kazi nzur mmefanya ila hii ndo Tanzania Kazi iendeleee mtajua hamjui
inshallah n maomb ya wote
Idea na contents nzurii... Ila Rap haikufai Kaka B2K
Ujumbe tumeuelewa Ila apo kwenye hip hop hauendani kabisa
Nlianza kumwelewa @B2K kutoka kwenye wimbo wa Valentine ⏭️,Maumivu⏭️,Tena ndo hii Vimepanda Bei⏭️ 🔥🔥🔥 Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aaah b2k we ni fayaaaaa
B2k noma sanaa kaka
Moto sana br
Make apooo kwanza nchekee bro😅😂😂😃😄🔥🔥🔥💨💨🔥 nice song never give up 👌🤝💪
Mko vizuri jama
Na kweli vinapanda bei
Nomaa sanaaaa
Mmetishaa Sana kwakweli
Kama unawapenda Hawa wa jamaa kama mimi gonga like hapa tuwajaziye
Noma sanaa wanangu 😋tupeni tupeni mistali adi waelewe🤩🤩🤩
Wa kweetu 🙌
Umeupiga mwingi blood.
Nomaa kalii sanaa
B2K NAKUKUBAL SANA NGOMA ZAKO NI NZURI SANA ILA HII YA SAIV KIUKWELI SIKUSHAURI UINGIE KWENYE HIP HOP UNAPOTEA HUKO MY BROTHER
#by Emmanuel from IRINGA TOWN#
Nice song B2k. Much love from D.R.Congo
Hongeraaaa broooh b2k
Nikajua nay na b2k🙂🙂🙂nice song
Wanafanana saut kbsa
Saf Sana wadogo zangu msalimie kutukuyu
Nime angalia adi mwisho atali sana
umetisha sana
Makin
ngoma kubwa sana mawazo yameingilia
kwenye ngoma mpaka nalia
kaliiiiiiiii
Kwa kweli
B2k npe mda wako tufany kaz brothr
Me najiuliza Hawa wasanii wakubwa wanakuweka wapi mdogo wao unaimba vizur Ila Wana logo za wivu hawataki kukupush. Ila usijali apangalo mungu mwanadam hawez pangua utafikaka tu hata Kama hawapend
Ubunifuuu🔥🔥🔥
Umeuwaaaaa bro
Atariiii budaaa
Nawakubali sana
Another word broh
Ngoma kalii
B2K watakimbia na wewe😀😀😀
Makambako to the world 👏
boss
Nomaaa
Good work bro 💥
Uhakika mzee
Unyama ni mwingiiii
✍️ good idea
asanteee
💣💣💣💣💣
Good job🔥🔥🔥
Mafuta ya #mbeya
yanaishia #Mafinga
Wew jamaa ndo maana ulimzuia asije mjini
Huu Wimbo Una Lenga Sana Maisha Mtaani Da!
Ok nakubal
Bonge la hit
Nakubal
Kariiiii 🔥
Kuna siku niliandika kwamba unauwezo mkubwa Sana don't give up b2k
inshallah
Unyama sana
Haiwezekani dereva lesho ya mafuta
kazi zuli sanaaaa myamaa
Poa sana
Nouma sanna
Good work guys 🔥🔥
Noma sana
Mumetisha sana sema nanyi mumepanda bei sasa 😀😀😀
Sawa wazee wa Apple
nice song binam💥
Mwanangu Ayo Mafuta Ya 10k Unyama Sana 😂😂😂😂😂😂 kweli Vinapanda Bei
Good
Oya mme ua Sana mkali sema fupi tunasubili kitu kingine please
Ongela my baby
Lisha chafua mjini
Congrats
Hii tunaenda kwenye duniaaa
Daaaa hongreni snaaaa♥️❣️❣️✌️✌️✌️
Noma sanaaa broo nakukubali sema ujuh t b2k
Mtafya eb achia album bn
💪💪👊
Good work
Home Boys Mumetisha sana🔥🔥🔥🔥
Nice janja
Jitihada nzuri 👏🏾
asanteeee
Kweli so pow
Waoooo!!! Mumetisha kaka
asanteee
Star beat boy🔥🔥🔥🔥🔥🔥
B2k nakukbar tuwakilishe
Kali
Dah atal
Na enjoy mzik mzur tok home land njombe
Unyamaaaa sanaaaa aiseeeee........ B2K VEKWANANGIKEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Ahsante kwa jitihada B2K