Mtumishi naomba utafisiri ndoto hii ilinipa shida . Niliota niko nyumbani kwangu ikanisukuma niendo kujisaidia kwa jirani yangu nilipofika kwenye choo chenyewe nikao.a sio choo lakini wakati nimetoka nikaona watoto wawili wakike na wakiume wamekaa kwanye jiwe kubwa wanalia na wakiimba machozi mengi yanawatoka yule wakike analamba machozi ya yule mdogo niliona upendo wa ajabu sana juu yao nilipoamka nililia sana nikaomba na kufubnga sikupata majibu ya jambo hili pls naomba maana yake.
Hilo jiwe uliloota ni jiwe la Daniel ambalo linashuka kwa kasi sana kuja kuupiga ulimwenguni na hayo machozi ya watoto ni kilio na kusaga meno tunatakiwa kuomba sana mwisho umekaribia 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Tumeangamizwa kwa kukosa maarifa. Bwana akuinue zaidi ili wengi wapate haya maarifa wafanikiwe.
Ndiyo mwamba🎉🎉🎉🎉
Safi sana na iwe hivyo
AMIN AMIN NA IWE KAMA BWANA ALIVYOKUONESHA
Mungu mwema maana mchi imekuaa yaoo
🇹🇿😭
Wafungwr tuu kwa kweli maana ubabe na uonevu umezidi.
mmmmmmm
Matapeli nyie kira siku mnatabilia siasa tu kwann msitabilie mambo mengine mnatukmika vibaya sana
Upagani ni shida kubwa sana ndani ya mtu
Mtumishi naomba utafisiri ndoto hii ilinipa shida . Niliota niko nyumbani kwangu ikanisukuma niendo kujisaidia kwa jirani yangu nilipofika kwenye choo chenyewe nikao.a sio choo lakini wakati nimetoka nikaona watoto wawili wakike na wakiume wamekaa kwanye jiwe kubwa wanalia na wakiimba machozi mengi yanawatoka yule wakike analamba machozi ya yule mdogo niliona upendo wa ajabu sana juu yao nilipoamka nililia sana nikaomba na kufubnga sikupata majibu ya jambo hili pls naomba maana yake.
Hilo jiwe uliloota ni jiwe la Daniel ambalo linashuka kwa kasi sana kuja kuupiga ulimwenguni na hayo machozi ya watoto ni kilio na kusaga meno tunatakiwa kuomba sana mwisho umekaribia 🙏🙏🙏
Jiwe lilotabiriwa Daniel