UJIO WA KAMATA KAMATA YA VIONGOZI WENYE MAMLAKA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 Před 16 dny +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @consolatamairi3862
    @consolatamairi3862 Před 15 dny

    Tumeangamizwa kwa kukosa maarifa. Bwana akuinue zaidi ili wengi wapate haya maarifa wafanikiwe.

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 Před 16 dny +1

    Ndiyo mwamba🎉🎉🎉🎉

  • @JosephLadisilaus
    @JosephLadisilaus Před 15 dny

    Safi sana na iwe hivyo

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 Před 16 dny

    AMIN AMIN NA IWE KAMA BWANA ALIVYOKUONESHA

  • @AzizaMohhamed
    @AzizaMohhamed Před 15 dny

    Mungu mwema maana mchi imekuaa yaoo

  • @knight6757
    @knight6757 Před 16 dny +1

    🇹🇿😭

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před 15 dny

    Wafungwr tuu kwa kweli maana ubabe na uonevu umezidi.

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Před 15 dny

    mmmmmmm

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath2480 Před 15 dny

    Matapeli nyie kira siku mnatabilia siasa tu kwann msitabilie mambo mengine mnatukmika vibaya sana

  • @SolamhelaKulwa
    @SolamhelaKulwa Před 16 dny

    Mtumishi naomba utafisiri ndoto hii ilinipa shida . Niliota niko nyumbani kwangu ikanisukuma niendo kujisaidia kwa jirani yangu nilipofika kwenye choo chenyewe nikao.a sio choo lakini wakati nimetoka nikaona watoto wawili wakike na wakiume wamekaa kwanye jiwe kubwa wanalia na wakiimba machozi mengi yanawatoka yule wakike analamba machozi ya yule mdogo niliona upendo wa ajabu sana juu yao nilipoamka nililia sana nikaomba na kufubnga sikupata majibu ya jambo hili pls naomba maana yake.

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Před 15 dny

      Hilo jiwe uliloota ni jiwe la Daniel ambalo linashuka kwa kasi sana kuja kuupiga ulimwenguni na hayo machozi ya watoto ni kilio na kusaga meno tunatakiwa kuomba sana mwisho umekaribia 🙏🙏🙏

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Před 15 dny

      Jiwe lilotabiriwa Daniel