#TBC1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 17

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 Před 13 dny +2

    Ada zake ni kubwa sana takriban million 54 kwa kozi sio mchezo

  • @isaacthomas7888
    @isaacthomas7888 Před 15 dny +4

    Makosa ya uandishi wa vyeo tajwa ni makubwa sanaa,rekebisheni hivyo vyeo vinamaana kubwa sana,Brigedia Jenerali kumwita Meja Jenerali siyo sawa kabisa,Tena kwa chombo Cha kitaifa kama Tbc.

    • @gervascharlesmwatebela1421
      @gervascharlesmwatebela1421 Před 14 dny

      Makala haya yalirekodiwa na kuandaliwa kabla ya hao uliowataja hawajapandishwa ngazi husika

    • @RyaiNews
      @RyaiNews Před 14 dny

      Second thought ingekusaidia tu kabla ya kurusha mzigo wa lawama. Una uhakika Stephen Mnkande na Jackson Mwaseba wenye mavazi ya Brigedia Jenerali sio Meja Jenerali kwa sasa?
      Hawa wamerekodiwa wakiwa Brigedia Jenerali, kipindi kinatoka ni Major Generals, mavazi yao yanakataa ili vyeo vyao vya sasa vinakubali.

    • @Lugongam
      @Lugongam Před 8 dny +1

      makala imejumuisha recording za muda kidogo Mwaseba na wenzie now ni majenerali wa nyota mbili so editor hajakosea

  • @MIGMiG-kp5
    @MIGMiG-kp5 Před 15 dny +4

    TBC mbona mmekosea vyeo vya hao Makamanda wa JWTZ?? Vyeo vyao mnavyoviandika ni tofauti kabisa na vyeo vilivyo mabegani kwao. Meja Jenerali Stephen Mnkande (mabegani kwake ana cheo cha Brigedia Jenerali) na Meja Jenerali Jackson Mwaseba (mabegani kwake ana cheo cha Brigedia Jenerali). Rank matters very much, especially in the Military. Kindly correct.

    • @joesimba
      @joesimba Před 15 dny +3

      as we speak hao ni ma major general, inawezekana hii interview ilifanyika soon before their promotion

    • @MIGMiG-kp5
      @MIGMiG-kp5 Před 15 dny +1

      @@joesimba asante sana kwa hii clarification.🙏

    • @gervascharlesmwatebela1421
      @gervascharlesmwatebela1421 Před 14 dny

      Makala haya yalirekodiwa na kuandaliwa kabla ya hao uliowataja hawajapandishwa ngazi husika

    • @RyaiNews
      @RyaiNews Před 14 dny

      Your concern is much appreciated. Kipindi wanarekodiwa walikuwa Brigadier Generals, kipindi kinatoka ni Major Generals, their currents ranks stand tall

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 Před 15 dny +1

    Tupe taarifa mlikofikia ujenzi wa makao makuu Dodoma

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Před 14 dny

    Mbona vyeo mnavotaja na kuandika haviendani na walichovaa hao wakuu?

    • @Lugongam
      @Lugongam Před 8 dny

      makala imejumuisha recording za muda kidogo Mwaseba na wenzie now ni majenerali wa nyota mbili so editor hajakosea

  • @josephmaleckela9904
    @josephmaleckela9904 Před 14 dny +1

    Jeshi la polisi lilianza kuwapa mafunzo ya kijeshi huko KURASINI, kipindi hicho Jeshi la ulinzi lilikuwa Bado ni changa

    • @hamzanjiku5255
      @hamzanjiku5255 Před 18 hodinami

      Sijaelewa yaaan wanajeshi walikuwa wanafundishwa na Polis?

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 Před 15 dny +1

    Kilimanjaro mashine tools wapewe jeshi wakiendeshe na wawaze kikitumia kutengeneza zana zao