FAMILIA YENYE WAREMBO NA WENYE VIGEZO VYOTE VYA KUOLEWA LAKINI WAMEFUNGWA NA MADHABAO YA WACHAWI
Vložit
- čas přidán 27. 12. 2023
- FAMILIA YENYE WANAWAKE WAREMBO NA WENYE VIGEZO VYOTE VYA KUOLEWA LAKINI WAMEFUNGWA NA MADHABAO YA WACHAWI
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Nabii Mungu akubarik. Namshukuru Mungu kwa ajil yako naomba uniponye na familia yangu. Hao mabinti wanachopitia ndicho familia yangu tunapitia.
Mungu wa Nabii DOMINICK "naomba unisaidie nipate kazi ya kudumu .Nipate kufunga ndoA na GracE singaNo _amen
Naitwa abrahamu eliuze mgonja nimeteseka sana nikipatahela zinaishia kwamagonjwa naamba tabirijuu yangu 🙏🙏🙏
Nabi naangaika sana kazi sipati nikipata hela haionekani naomba maombi yako
Mtumishi wa Mungu napitia maisha magumu saana,nafanya kazi napata Hela na hazinisaidii,mwaka Jana bibi yangu mpendwa akalala hosipitali akiugua ugongwa wa sukari na pressure,baadaye akafa na tukamzika mwezi wa saba.mengi magumu napitia na ninaitaji msaada wa amani,kumpenda Mungu na kufanikiwa katika maisha yangu.mipango mizuri ya maisha yangu nipanga sifanikiwi,ni naimani kwamba ukiniombea Mungu atanite dea na maisha yangu itangaa,ningekua na namba yako ningepiga simu tuongee na ninaimani ukiomba nitasaidika.Barikiwa sana ,Niko kenya .
Tusaidiye baba tumechaka kuka a uses baba tusadiye
Jameni watching from Uganda
Ameen na Mimi naomba nyumba yangu ifunguliwe na familia yangu pastor naamini
Tufungue na sisi baba tuko wazuri lakini hatuolewi na hata tukiolewa tunaachwa bila sababu. Hata tukifanya biashara hatufanikiwi kabisa. Tumeishia kuombaomba tufungue na sisi Baba kwa jina la yesu.
Naitwa dani naomba utuombee tunauza kiwanja na nyumba wateja wakija awarudi
Niambie ndugu
Mamb ety hauolew mi nipo
Ety
Ameen paster mungu akubriki sana natamani nifuke kwako unisaidie
Nimeamini mtu unaemuota kila siku ndo mchawi wako na nimekuja 5z😢 ndani 6a miez mi3 mil 3 imepukutika sasa kwa jina la Yesu adui zangu mwaka huu mtakufa
Naomba maombi yako katika familia yangu pamoja na uchumi wangu pastor
Amina baba naomba ifungue family yetu
Mugu akubaliki sana sana kwamsaada unao utoa kwamasikini walio zulumika haki zao zamafanikio
Amen and amen Vile uyu Bibi anakufa ata mimi mjawi wangu akufe leo nimeteseka yakutosha naomba pastor uniombeye mimi Florence kutoka kenya
Bwana asifiwe nabii Samahani naomba na Mimi kifunguliwa make familia yangu sielewi
Bwana asifiwe nabii Samahani naitwa Oliva Benias naomba na Mimi kifunguliwa make familia yangu sielewi
Pastor, Mungu akubariki. Na sisi familia yetu
Mimi na watoto4 tumefungwa maisha ni
tabu, roho ya umaskini, mafarakano. Amani hakuna. Niombee baba.
baba mchungaji shikamoo bwana yesu asifiwe mchungaji naomba maombi yako utuombee familia yangu familia yetu kwa ujumla hata mimi mwenyewe cyuupo salama pamoja na familia yangu naomba maombi yako baba pamoja na maombi yako niweze kuhudhiria maombi kanisani kwako sahizi nipo kenya na mimi nyumbani ni arusha Tz naomba maombi yako mchungaji
Baba fungua uchumi wangu kwa jina la yesu
mungu kupitiya kiboko ya wachawi nawomba unisaidiye kwenye maisha haya piya saidiya familiya yangu nawomba uwasaidiye kaka yangu wanakunywa pombe mpaka wanachanganyikiwa
Barikiwa sana Baba
Amina amina
Baba bwana yesu asifiwe baba naomba niombee uchumi wangu hata siuwelewi naangaika muda mlefu baba
Naomba niunganisheni na Mtumishi wa Mungu
Doing great baba
Bwana Yesu Asifiwe Nabii mungu azidi kukubaliki naomba na Mimi unisaidiye na family yangu🙏
Mtumishi wa mungu tufungue mimi na familia yetu kwa jina la yesu.❤❤
I connect with you pastor
Papa mimi Niko Muji wagoma nateseka NAMI kwa juu ya umasikini papa naomba sana mungu wako ani funguwe mimi nime fungwa Sina maisha nateseka papa na zarauliwa sana sijifaniziake kitu papa nisaidiye papa Nina langue Anto na ishi Nord Kivu na miye uniondowe bi fungo
Nateseka sana na maisha sielewi nimefungwa nimefanya kazi miaka mwingi lakini Sina maendeleo Kila ninalopanga halifanikiwi nisaidie nipo mbeya
Aminaa🙏🙏🙏 nionee na mimi
Pasta Mungu apewe sifa,mimi naishi Arusha Arumeru Kiranyi naitwa Lemburis Abraham Paulo nimepata maombi yako ya papo hapo naomba unisaidie maisha hayaendi nikipata hela sifanyi maendeleo zinaisha hivyo hivyo na madeni ni misumari kama umegongelewa mahali naomba nisaidie Pasta kiboko cha wachawi.
Ameeen. Na Mimi na familia yangu tuta sheherekea mapema saaana kilio kimekwisha
❤ kifaa cha Mungu wa majeshi.... Baba nifungue
I receive
Bwana asifiwe pastor
Mdogo yangu anaumwa miezi 6 sasa
Tumbo lake linajaa mani yakitolewa yanarudi anateseka sana naomba maombi yako apone
Mungu hakubariki nabii dominiki,hakulinde cku zote
Mungu akuongezee maish marefu mchungaji
Ameni
Mabinti zangu wafunguliwe na waje. Kuolewa kwa sherhe kubwa BABA
Amina
Asante baba nami napokeya uponyaji ktk jina layesu Amina
Ameni leo
Baba tabilia juu yangu na familia yangu
Amina baba
Baba namm nsaidie napitia hali ngumu kiuchumi mumewangu niyeye nakudhulumiwa nandugu tuombee mchungaj
Amen mtumishi
Napenda sana kukufatilia maombi kwenye yotub mtabiri wetu
Amen amen
Pastor nakuomba sana nakuomba niongee na wewe
Amina Baba
Aminaa kubwaa 🙏🙏🙏🙏
Amen amen amen 🙏🙏
Pastor na bii kiboko yawachawi naomba uniombee uchumi wangu uongezeke baba mungu akubariki
Tufungue na SS mtumishi maana mamangu toka mamangu hameondoka hajawi kupatikana mpaka Leo nimiezi ymitani hat simu haipatikani
Amena Aminaaaaaaaaaaa
AMINAAAAA
Amen
Mungu wajalie wanangu wapate wenza sahihi
I trust you
Pastor ukiompa niompee nimetoka kenya kijana wangu alikua police nahakawacha kasi nahanaongea mpekee nakukula miraa kama mpusi nampimpi yake alienda kwao pastor nimetempea kwokwote sijavanikkiwa pastor nisaindie kijana hapone nahajijue yeye ninani narundi kasi
Amen 🙏🙌
Mungu akubariki sana
Amen Amen Amen 🙏 🙏
Ameen
Ameeen
Mtumishi wa mungu tunaomba utembele geita
AMEN
Na mim naomba familia yangu ifunguliewe kiuchumi na tuponywe magonjwa eeeh baba nasi utuone
Kupitia madhabahu hiii familia yangu italudi kuwa na amani
Amen 🙏
Man of God naomba ukanikumbike kwa maombi nimeteseka sana
Ubarikiwe sana baba uniombee na mimi baba uchumi
Asande mungu kwa ukombozi
Nami naitaji kuokolewa niko bali naumaskn umenikadamiza najitahidi kutoka lakini inakua gumu naitaji kuokolewa mimi petro mhoja
Papa.namiye.nivo..ivi.nafamiriya.yangu.nisayidiye.mawobwi.niko..Burundi..ninayitw. Niyonzima.Groriose
Tusaidie baba🙏
Ameen 🙏🙏🙏🙏
Ameeeeeeni
Amen Amen Amen Amen
Hii nguvu kuna mahali inatokea sio Mungu aliyeumba mbingu na nchi jamani huyu kuna Lugha ya kuzimu katumia yakuita nguvu duh nilisikia mchungaji katekela anafundisha duh hatari sana
Mungu akusame ni kwasababu unatumaini wangaga
We nae kujifanya unajua lugha za shetani😏
Nabii nisaidie na Mimi watoto wangu hawajapata waume mpaka Sasa.Baba nisaidie waolewe watoto wangu.
Nabii naomba maombi kwa familia yangu mototo wangu anateseka sana
Funguwa familia yamtoto wangu mchungaji
L'homme de dieu que dieu te bénisse
Baba naomba nisaidiye kuifunguwa familiya yangu watoto wangu nijuwe nani anayewatesa
Flora Pius Amen
Eva Florence Gawile, nisaidie mume wangu Gerald Mkama Misana aache pombe na apate kazi za mkataba.
Baba naomba unifunguwe niweze kupata mme sahihi wakunioa kila nikingia kwenye mahusiano yangu hayadum
Mtumishi ubarikiwe nitabiriye na Mimi nakuhomba baba
Mungu akubarki Baba kwa uduma ....naomba unisaidie Baba
Tumshuru mungu kwa kutupa kiboko ya wachawi adi anatuombea tunaponywa asante mungu angewasaidia watu kongo mungu wa amependeswa tuponywe watanzania mungu atukuzwe kwa kutupa kiboko ya wachawi
mungu akutie nguvu
Kweli baba km mm nimefirisika hata pango kwangu ngum mtaji wa milion 20
Wabaya
Namimi chochote wame tiya ndani yamwili wangu naamini kimetoka kwajina layesu
Naomba unifungue na mmmchungaji nikishika ela zibaishia kwenye maden na shida za nyumban na
Mungu nione na Mimi Leo iwe siku yangu
Mtumishi naomba uniombee Mimi nakizazi changu nafamiliya yangu
Naitwa dani naomba umuombee mama yangu apone miguu
Nabii naomba uniombee nateseka sana na miguu