MWANZO MWISHO KUTOKA MKOANI HADI WETE KROSI ZOTE NA MILIMANI ILIYOPO PEMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Join this channel to get access to perks:
    / @rvsonlinetv
    JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    #HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
    Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
    Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
    RVS SQUAD YETU
    WAANDISHI NA WANA HABARI :
    1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
    2.YUSRA SAID SHAABAN
    3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
    4. JOYCE VICENT
    5.CHRISTOPHER MARTIN
    CAMERA MAN :
    1.SEIF PUCHE
    2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
    3.UST KHATIB SALUM
    4. HARITH
    5. YASSIN ALLY
    6.HAFIDH OMAR
    EDITOR :
    1. SAID KOMBO ALI
    2.SEIF PUCHE
    3.ABDALLAH ( MATEGE )
    4.MOHAMMED KHALID
    5.YASSIN ALLY
    HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
    == JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
    ⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
    TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
    👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
    FACEBOOK: / rvsteamhb
    INSTAGRAM : / rvstv2020
    TWITTER : / online_rvs

Komentáře • 76

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Před rokem +6

    Wale wa ngezi,kuyuni,kenya, ngwachani,mkungu,vuleni,kipapo,chonga chanjamjawiri.like hapa tujuane mabaharia.

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Před rokem +6

    Mbona hukutuandikia tukajua hapo niwapi yaani utuambie hapa mtambile hapo mtuhaliwa hapa mzingani nk lakini juu hivo shukran jazaka Allah kheri

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Před rokem +2

    Daaah imenikumbudha mbali kweli kweli natamani siku nikija tz nifike home in shaa Allah

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před rokem +3

    Pemba ni lulu sihami n'gooo kisiwa cha marashi ya karafuu, Allah kakibari baraka tele Alhamdulillah🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤💜❤💜❤💜 🛳 ⛴ 🚤 🛥 ⛵ ✈ 🛬 🛩 ✈.

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 Před rokem +1

    Masha Allah Mola aibarik Pemba yetu

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Před 8 měsíci

    Jamani hakuna sehem korofi kama meli 5 pemba ..wete kwetu maashaallah kuzuri sana

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před rokem +6

    Dhana na maana halisi ya NYUMBANI, utulivu, amani, mandhari ya kuvutia

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 Před rokem +4

    Jaman me asa hunibishii asaa sema n hio barababra tu nayo sio y mkoan watutengenezeeee tna dah afu mashallah kumebadilika pemba kunavutia kw nuru n ugum w maisha 🤣🤣🤣

  • @wete_tv
    @wete_tv Před rokem +3

    Wooh

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 Před rokem +5

    Aloo pemba nkwetuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidaomar6084
    @saidaomar6084 Před rokem +4

    Wa Pemba tusiache mbachao turudi kwetu tukakujenge.

    • @digitaltv3237
      @digitaltv3237 Před rokem +2

      Hahahahhaaha kwannn

    • @saidaomar6084
      @saidaomar6084 Před rokem +1

      Kweli green inapendeza lkn ni migomba na mikarafuu barabara yote esp kutoka Mkoani hadi Chake Chake

  • @mansourahmed7782
    @mansourahmed7782 Před rokem +5

    Saf sanaaaa, ila speed kubwa

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před rokem +3

    Pemba yetu ni Pepo ya Duniani.

  • @wete_tv
    @wete_tv Před rokem +6

    kati ya mkoani na wete upi ni mji wenye sifa za kuitwa mji mkuu wa pemba

  • @amanmohd9435
    @amanmohd9435 Před rokem +5

    Woooo beautiful

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před rokem

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu....naitwa Muhammad Mwangi natokea Kenya, nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Abeid Khamis kutoka Pemba, tukifanya kazi naye Al Muhaidib land transport company pale Dammam Saudi Arabia, nasikia alirudi zake Pemba anafanya kazi ya bakery, kama kuna mtu anamfahamu mwambieni namtafuta.... shukran jazeelan.

  • @MohdKhamis-iq4um
    @MohdKhamis-iq4um Před 9 měsíci

    Naipenda san pemb mm

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Před rokem +4

    Chake Chake nimepapenda

    • @wete_tv
      @wete_tv Před rokem

      chake ni mji mkuu wa pemba ila na wete wanapaswa wauute mji mkuu pia wa pemba

  • @zahorkhamis4803
    @zahorkhamis4803 Před rokem +2

    Hyo taarab inaitwaje

  • @user-jy6wx6cb9b
    @user-jy6wx6cb9b Před 10 měsíci

    Green l land ❤❤❤

  • @zahorkhamis4803
    @zahorkhamis4803 Před rokem +3

    Kisiwa chenye maadil

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo Před 9 měsíci

    Nipo KSA Kingdom of Saudi Arabia lkn nakupenda sn nyumbani PEMBA na siwezi kukuzarau jmn

  • @abukingkima092
    @abukingkima092 Před rokem +4

    Hiyo taarab inatwaje

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Před rokem +5

    Pemba peremba ukienda na gunia utarudi na kilemba

  • @user-xz1tf8wh9l
    @user-xz1tf8wh9l Před 6 měsíci

    Mm nataka kuona piki njia kongwe kuanzia skuli mpaka sokon piki

  • @salumaliy5808
    @salumaliy5808 Před 10 měsíci

    Dah Pemba mkwetu ela Pemba twatupwa San ten San maan Pemba miaka yote iyo haijabadilika barabara ulimi wa paka Yan dah

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci

    Kigope iyoo

  • @IssaKhamis-v9j
    @IssaKhamis-v9j Před rokem

    from US wa chake chake sharaut home swt home🥰

  • @digitaltv3237
    @digitaltv3237 Před rokem +4

    Pemba mzr kumbe

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 Před rokem +1

    Nikioa nahamia pemba inshallah ntaishi uko maishayangu yote

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před 7 měsíci

    Kuna siku nusra apo dereva atupeleke mabondeni kuchuma karafuu,

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem

    Alhamdullillah

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 Před rokem +4

    kijani kizuri ardhi yenye rutba

  • @zainabsururu6888
    @zainabsururu6888 Před rokem +1

    Chezea mkoani wee kwa krosi

  • @hajjism
    @hajjism Před rokem +1

    Ahsante lakini bila ya kufika Bopwe na Kipangani hujafika Wete🙂

  • @kassimomar8176
    @kassimomar8176 Před rokem

    Barabara yenyewe hio lkn gari zinaendeshwa kama nn

  • @historicalzanzibartv
    @historicalzanzibartv Před rokem

    Wimbo tafadhali naomba

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 Před rokem +4

    pemba nkwetu

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Před rokem

    Kwetu kuzuri