MWANZO MWISHO KUTOKA MKOANI HADI WETE KROSI ZOTE NA MILIMANI ILIYOPO PEMBA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4. JOYCE VICENT
5.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5. YASSIN ALLY
6.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
3.ABDALLAH ( MATEGE )
4.MOHAMMED KHALID
5.YASSIN ALLY
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs
Wale wa ngezi,kuyuni,kenya, ngwachani,mkungu,vuleni,kipapo,chonga chanjamjawiri.like hapa tujuane mabaharia.
yap
Hahahhaha
Ww kwani kwenu wapi
Kengeja moja hii
Mbona hukutuandikia tukajua hapo niwapi yaani utuambie hapa mtambile hapo mtuhaliwa hapa mzingani nk lakini juu hivo shukran jazaka Allah kheri
Pengine muandishi mgeni wa pemba
@@digitaltv3237 Ahaa inawezekana
Daaah imenikumbudha mbali kweli kweli natamani siku nikija tz nifike home in shaa Allah
Pemba ni lulu sihami n'gooo kisiwa cha marashi ya karafuu, Allah kakibari baraka tele Alhamdulillah🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤💜❤💜❤💜 🛳 ⛴ 🚤 🛥 ⛵ ✈ 🛬 🛩 ✈.
Masha Allah Mola aibarik Pemba yetu
Jamani hakuna sehem korofi kama meli 5 pemba ..wete kwetu maashaallah kuzuri sana
Dhana na maana halisi ya NYUMBANI, utulivu, amani, mandhari ya kuvutia
SADAKTA PEMBA PEREMBA
Jaman me asa hunibishii asaa sema n hio barababra tu nayo sio y mkoan watutengenezeeee tna dah afu mashallah kumebadilika pemba kunavutia kw nuru n ugum w maisha 🤣🤣🤣
Wooh
Aloo pemba nkwetuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa Pemba tusiache mbachao turudi kwetu tukakujenge.
Hahahahhaaha kwannn
Kweli green inapendeza lkn ni migomba na mikarafuu barabara yote esp kutoka Mkoani hadi Chake Chake
Saf sanaaaa, ila speed kubwa
PEMBA PEREMBA
Pemba yetu ni Pepo ya Duniani.
Mashaallah
Sadakta
kati ya mkoani na wete upi ni mji wenye sifa za kuitwa mji mkuu wa pemba
chake chake ikifuatia wete mkoani mji wa 3
Wete
Wete bhanaaa
Woooo beautiful
PEMBA PEREMBA
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu....naitwa Muhammad Mwangi natokea Kenya, nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Abeid Khamis kutoka Pemba, tukifanya kazi naye Al Muhaidib land transport company pale Dammam Saudi Arabia, nasikia alirudi zake Pemba anafanya kazi ya bakery, kama kuna mtu anamfahamu mwambieni namtafuta.... shukran jazeelan.
em tuma nitumie namba yako
Naipenda san pemb mm
Chake Chake nimepapenda
chake ni mji mkuu wa pemba ila na wete wanapaswa wauute mji mkuu pia wa pemba
Hyo taarab inaitwaje
Green l land ❤❤❤
Kisiwa chenye maadil
Mashaallah
Nipo KSA Kingdom of Saudi Arabia lkn nakupenda sn nyumbani PEMBA na siwezi kukuzarau jmn
Hiyo taarab inatwaje
Pemba peremba ukienda na gunia utarudi na kilemba
Je ukienda hujaowa utarudi na mke??
@@digitaltv3237 mpemba haolewi na mtu wa bara ukienda huna mke utarudi kama ulivyo
@@lilianmakwati5228 hahahahahaa
@@lilianmakwati5228 lkn saiv mchanganyiko ni mkubwa sana
@@digitaltv3237 vipi tena?
Mm nataka kuona piki njia kongwe kuanzia skuli mpaka sokon piki
Dah Pemba mkwetu ela Pemba twatupwa San ten San maan Pemba miaka yote iyo haijabadilika barabara ulimi wa paka Yan dah
Kigope iyoo
from US wa chake chake sharaut home swt home🥰
Pemba mzr kumbe
PEMBA PEREMBA
Nikioa nahamia pemba inshallah ntaishi uko maishayangu yote
Hongera yako
Kuna siku nusra apo dereva atupeleke mabondeni kuchuma karafuu,
Alhamdullillah
kijani kizuri ardhi yenye rutba
Mashaallah
Chezea mkoani wee kwa krosi
Ahsante lakini bila ya kufika Bopwe na Kipangani hujafika Wete🙂
hahahahahah tutafika kote huko inshaaallah
Na bila ya kufika selemu py hujafk wete
@@zainabsururu6888Na kizimbani pia
Barabara yenyewe hio lkn gari zinaendeshwa kama nn
Wimbo tafadhali naomba
pemba nkwetu
Pemba kubwa
mkoani
@@salimsaleh9354 mkoani nimekaa sana na kusoma ila niliondoka 2015 nimesoma pale uweleni secondary school nimepamiss kwelii kwelii
@@aminaalmazrui9785 hongera
@@salimsaleh9354 shukran sana
Kwetu kuzuri