LIVE🔴: FAIDA ZA MTI WA MDATU | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #Zinjibartv #FahariyaZanzibar
shukran Ahui kwa kutufahamisha mti huu ni likua siufaham shukran Allah akupe sakh wa Afya amin.
Masha Allah Swaahibu Al-Ashjar your lectures are so beneficial to our communities..Allah barik Fik
Allah akujaalie mwisho mwema hapa Dunian na kesho Akhera Sheikh ww ni mtu mzuri sana make unajitahid kutujib msg zetu na kupokea cm zetu sio kama Masheikh wengine ukituma msg ajib wala hapokei cm
Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh. Jazakallah kheir 🙏. Allah atulinde
Allah akujalie maisha marefu ya kuendelea kutupa elimu Inshallah
MASHALLH sheikh mm naijua dawa hii kwa kuondoa jiwe katka njia ya mkojo na unapona kabisa
Dada halima je unautumiaje katika kuondoa vijiwe kwenye mkojo?
Mashaalla akulinde dhid ya hasad akulipe mema duniani na akhera ishaalla
Masha Allah sheikh Yussuf Allah akubarik Amiin
Shukran ya maalim allah akulipe kheir
MashaAllah sheikh shukran wajazakallahu kheiry
Allah akupe imani ya kutupenda kwa kutuelekeza dawa
Inshaallah shukran sana Allah awalipe kheri
Shukran jazakallah khair Allah awape swiha afya njema na umri mrefu yenye heri nyingi
Shukran sheikh jazaka llah kheiran fi dunia wa l akhera
Mashaallah Allah barik
Asante sana
A.alykum warahma tulai wabarakatu.shukran sana kwa dawa.but huu mti wa mdatu nimtigani.
Shukrani,mwanangu anavyo vidonda vya tumbo Mungu akulinde
Mi pumu shekh hujaitaja
Jazaka Allah kul kheir
Nahitaji kujitibu vidonda vya tumbo, naomba kuuliza iyo dawa ya haulinjani naweza ipata kwenye maduka gani sheik ?
Ahsante saaana shekhe Mungu akubarik kwa somo hili
Nashkuru Sana nimefaidika Allah akulipe heri kubwa ishallah
Shukran usitadh je huo uwatu uwe wa unga au mzima
Mashaa Allah
Shukran ustadh
Asante mwalimu wetu Allah azidi kukupa afya
Masha Allha Asante kwa kutupa faida
Masha Allah nimefaidika Sana mm napenda dawa za sunna
Mashaallah,Allah akuzidishie usitadh
Shukran 🙏
Shukraan Sana sheikh wetu jazaka Allahu kheri
Nyumbani Zanzibar upo kila kona tulikuwa tunamuuzia mzungu hayo majani ananunua tangu enz za shilingi 20 nikipata shilingi zangu 40 najiona nimepata enzi hizo hahahaha
Natafuta Jina lake kwa kwetu Mombasa...mdatu hawaijui
Ntakusaidia uipate
Shukran.....naongoja
Mbn watu wakwetu hawajui mdatu😢
Asalaam aleyqum samahan et huo mti ndo mziwaziwa
Mwenyezimungu atakujaalia inshaallah, kwakutujuza tusiyoyajua
M.mungu akulipe her zako
Asalam alaykum,tuoneshe picha ya hiyo watu.
Amiiin Allah akubariki
Amin barikiwa mtumishi
Hii dawa ni nzuri san
Mashallah
Allah awajalia
Asha athman asante kwa somo doctor be blessed.
Sijawahi naomba cz sistangu yuko vidonda vya tumbo ningeomba umsaidie
Bawasili je unatibu huu mti
Shukran
Assalaamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh. ambatisheni picha kubwa za hivyo vifaa ili iwe rahisi kuvitambua.
Kwetu sisi tunauita mziwaziwa
Tuuone kwa uzuri yani kwa picha ya kuutambua vizuri
Mm nimekwenda spitl natumia daw vp nikatishe zile dawa nitumie hii aw nimalze za spitl kwanz naomba naumia😢
Mashallah elimu nzuri, Allah akubarik.
Thx very much
Shukran sana
KAMA UTAHITAJI DAWA HIYO YA GESI BASI UTANIPIGIA KWA NAMBA ZIFUATAZO...0772 299278 AU 0786 629626. MIMI SITOIZUNGUMZA HUMU KWANI BADO NI MGENI WA KUTANGAZA DAWA KWENYE MITANDAO NA PIA SIJAPATA IJAZA KWA MWALIMU WANGU.
Shokraan sheikhe allah akulipe
Sub Hana Allahu
Aslm alaykum shekhe naomba dawa ya pumu sugu
Mm nimewahi kutumiya na alonambia nitumiye nilimzarau nilikuwa sibebi ujauzito nilitumia mwezi tu damu sikiuyona tena sahivi nimjamzito mtu huu mzur sana
Ulitumiaje
Asalam alaykum naomba kujua jina la mti unaoitwa BURDOCK kwa kiswahili na unapatikana wapi..niko Mombasa
Subhannallah
asante
Mashalla
Tusaidie na pitcha ya haly djany
Amina
Mara nyingi sana watu wengi nasikia wanasumbuliwa na gas tumboni tatizo nn na tiba nn?
tafta mvuje
Ndio huo mdatu tumia kwa gesi
Aa, mashaallah kwa lugha ya kiiengereza inaitwaje
😂
Nakuomba nisaidie mtoto wangu hataki kuenda shule wakifungua tu shule hawesi kuamuka kuenda shule ukimuuliza ananyamaza tu hawesi kuongea nizaidie
Huu mti unatibu homa inayofunga kifua hata koromeo👏
Samahani kaka huo mti jina la pwani unaitwaje
Shekh huo mdatu ukoje, ukiukata unatoa maziwa,,,,,?
Tutajie n0 ya sm kwenye vedeo yako hazionekani
@@asiakijeley4249 yeye Mwenyewe anatacha kwa vidios hata kwa tv
@@josemkongwe4609 labda yeye atwambie
Nasisiwakristo tunafatiliyamasomoyako
Asalam aleikum ya shekh huku nilipo hizo dawa hazipo itakuwaje ?
Ishalah
Upo wp shehe
Kama mimi siyo mwislamu inakuwaje? Sadaka ni sawa kabisa
Tunaomba video ya tiba ya gesi kwenye tumbo, Gesi inatusumbua sana.
Majivu kiasi
@@anganilekajigilikajigili2641 unayafanyaje
Tumia mti uo uo wa mdatu unatumia unasaidia Sana chemsha na unyewe kwa muda wa wiki mbili kutwa Mara tatu
Tumia mdatu
Sheikh mdatu ni mti au mmea..?! Nachokiona hapa ni mmea unotambaa pembezoni mwa nyumba...
Mbon hujatuambia kwa mwenyevidonda vyatumb atatumia kutw marangap
Ila nna mwaka wa 6 Oman cjauona mjin wala kijijini
Ipo mingi tu Oman
Oman ipo nyingi t hiyo dawa
Allwahumma aaam in
Mwalimu uwe unatuonyesha vizr iyo dawa wengine hatukuona
Wabongo tunauita mziwaziwa
Mti WA uwati tuonyeshe tuuwona
Thank you so very much 🙏🙏
ASSALAAMU ALAIKUM. NAOMBA RADHI SANA KAMA NITAFANYA KOSA ILA BAADA YA KUISIKILIZA VIZUURI CLIP HII YA VEDIO,NAPENDA KUSEMA KWAMBA,NIMEVUMBUA DAWA YA GESI SI ZAIDI YA MWEZI SASA. KWA WALE WANAOSUMBULIWA NA MAGESI TUMBONI,GESI TUMBONI,BASI DAWA TAYARI IPO IN SHAA ALLAH.
Tutaipatajeee
Uko wapi
Yupo unguja chukueni naomba yake
Tunaomba no
Tuelezee hy dawa ya gesi tuijue
Asallam aleykum sheikh. Dawa yakutoa gas kwa tumbo nn?
Ndio hiohio Mimi imenisaidia na pia natengezea watu
Assalamu aleikum ostadhi nilikuomba naomba namba yako
Haiwezekani kupata MAJINA yake kibaologia au kizungungu, tu Google sheikh mana Sisi wakrusto tuna SOMA BIBLIA zaidi kuliko kurani utukufu. Asante
Mziwaziwa
A a huu Mdatu ama dawa ya mdatu kwa jina lengine waitwaje. Nime tafutasana plz.
Mziwa ziwa
Asallam aleykum Sheikh wangu. Naomba utupe video nzuri ya Hugo mti was mdatu kwa upana tafadhali ndugu yangu
Ofisi zipo wapi jamani nihoi mwenzenu kwa mashaka
ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Shekhe wangu naomba clip dawa ya pumu
habari
Uwatu ni mjiti gani
To be continued
Nime furahiwa na Jambo izi
dawa ya kusafisha kizazi
Macho pia
Kwa kiingereza inaitwa aje?
Michael
Hata auonekani vzr jmn
Sakhe kasa yamatiti unatumiya aje
ofice yako iko wapi nije nipate kisomo
kwa muda wa wiki mbili