UBINAFSI WA WAZUNGU NI CHANGAMOTO | ALIKUJA TANZANIA KU VOLUNTEER

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • ‪@swahiliwithZita‬ Zita ni mwalimu wa kiswahili na kingereza kwa wageni na wenyeji
    Ametupatia darasa zuri kuhusu mahusiano
    Anakwambia Mzungu ni rangi tu lakini tabia Ndio kitu muhimu kwa mahusiano yoyote yale.
    Kila mtu anapaswa kua na vigezo vya kuingia kwenye mahusiano na mtu.
    Please subscribe to her CZcams channel ‪@swahiliwithZita‬
    Thank you Zita for allowing this to be online
    www.Oda.international

Komentáře • 99

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 4 měsíci +3

    Nyote wawili mko vizuri. Tumefaham sasa baina ya Mswahili na MuAfrica. Mungu ibariki Africa na watu wake.

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Před 9 měsíci +3

    Yaani hapo kwenye psychologyical tourcher kwa kaka zetu za kiafrika ni sanaa,yaani mtu anaweza asikupige lakini hayo manyanyaso utakayoyapata,haki utajuta kuzaliwa 😢

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +3

    Amina groly ata Mimi nilikuwa naombaga hivyo nashangaa mungu kafunguwa milango siku izi wanakuja Nina rafik yangu Yani rafik yake yeye anapataga wazungu tu anapendwa sana na wazungu paka alizaa naye lakin yeye alikuwaga anampendaga mpenzi wake ambaye mswahil alikuwa migreshen mpenz wake

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 9 měsíci +1

      Duh makubwa
      Nafikiri ni mazingira pia ambayo mtu anakuwepo,au kufanyia kazi ndo yanachangua sn mtu kukutana na hao wazungu muda wote

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Před rokem +10

    Thanks Shena for having me ❤ nimefurahi kushare experience yangu ya wengine. Mungu awabariki wote.

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 6 měsíci +3

    Mswahili ni mtu wa pwani, mjuzi wa lugha ya kiswahili, mswahili Africa weusi, mswahili maana zingine ni muongo, tapeli, mtu sio mkweli, mtu asiweza kujali mda wala ahadi, mtu muongo muongo ,mwizi

  • @stephaniabenjamini2848

    Safi sana huyo dada wa Arusha hd mbeya,Kazi ndio inakutanisha mtu na mtu.Japo watu wanapenda kumjadilili mtu ktk mafanikio yake.

  • @shalibrutsch-vlog
    @shalibrutsch-vlog Před rokem +7

    Haya mambo ya kuambiana ukweli nayapenda. Asante kwa Interview nzuri

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +1

    Siku izi live inanipita kushoto, shena proud of you 👏👏👏

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +2

    Umejieleza vizur Kama wamarekan wanavyopenda akikuuliza swali anapenda usijibu shotikati

  • @FIBEKONGA-hd2dg
    @FIBEKONGA-hd2dg Před rokem +1

    Nimeipenda sana

  • @themalumalufamily1860
    @themalumalufamily1860 Před rokem +3

    Ni kawaida ya wamarecan hawawez kumtongoza mtu haraka mpaka muwanze urafik kwanza kwamda mrefu maana sheria yao ukimtongoza mtu unapomuona tu nikes

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita Před rokem

      Yeah lazima msomane kwanza. Hata wajapanese huwa wanachukua muda kwelikweli. Napenda ❤

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 9 měsíci +1

    Watu waliolewa na wazungu wako happy all the time

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 6 měsíci +1

    Hilo shirika ni Baylor pediatric clinic mwanza Bugando hospital na Mbeya wapo NIMR

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Před rokem +3

    Shena interview zako ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před rokem +4

    Jamani tumeolewa na wazungu lakini ndugu wa huko nyumbani hawawezi amini kuwa kuna wakati tunakuwa na mchacho, hawaamini kabisaaa. Vibomu vinatuangukiaga jamani Laaah 🤔

  • @user-qs8pd7xm9j
    @user-qs8pd7xm9j Před rokem +5

    Shena tuletee felista yuko china ntafurahi sana nampenda jinsi anaoishi nao

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +3

    Mnafanana sema mtangazaj mweupe

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 6 měsíci

    Umedate watu wengi snaaaa mbona wabongo, wakenya, wazambia, wacanada, na wamarekan!!! Duuuh maisha haya hustle

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita Před 4 měsíci

      😂 kwa awamu tofauti tofauti na si wa* ni M! Mkenya, mmarekani, mkanada nk ndo maisha

  • @chengeson
    @chengeson Před rokem +3

    Dada next time uwaulize wafunguke full package kuanzia ndoa visa na safari pia na maisha ya magharibi next tutafanya interview nipo kwenye process waki share kila kitu itakua vizuri

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před rokem +1

      Mimi nafanya mahusiano na maisha tu
      Mambo ya safari sio kipengele changu
      Ila I am looking forward kupata interview na wewe
      Ahsante 🙏

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita Před 4 měsíci

      😂 sawa itabidi irudiwe baada ya miaka 10

  • @user-gp5wf2jd6p
    @user-gp5wf2jd6p Před rokem +1

    🎉

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Před rokem +2

    Mi napewanda tuu hao watu jmn, naona km their very systematic 😂

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka7581 Před 9 měsíci +1

    Zitta mambo long time

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita Před 4 měsíci

      Emma mambo! Poa sana kaka yangu. Mzima wewe? 😂

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka7581 Před 9 měsíci +1

    My jirani from iliboru arusha msalimie please❤

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Před rokem +3

    Naamini Mungu atanisaidia nitampata wang 🙏🙏🙏

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před rokem +1

    ZAMANI NDIYO WATU WALIKUWA WANAJUWA WAZUNGU WANA HELA SIKU HIZI HAKUNA HIYO

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Ndio ya kulipa ndo nzur nasemaga hilo na ata rafik yangu alisema

  • @fettyrashid9042
    @fettyrashid9042 Před rokem +3

    Nimewahi leo Shena

  • @rizikially9535
    @rizikially9535 Před 4 měsíci

    Nahitaji kufundishwa kizungu na huyu dada na mpataje

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Ata mimi nilikutana naye kazin supamaket alikuja Kama mteja tukawa Kama marafiki badaye ndo akasema Mambo ya kupenda

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +2

    Ata Mimi haikuwa ndoto yangu kuja kuolewa na nzungu sema siku hizi wazungu wanatokea Tena wanataka kuniowa lakin Mimi mwenyewe ndo nimesita tu napenda wawe marafiki zangu tu

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem +1

    wazungu ni kama wapare wako 😜😜😜

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem

    ❤❤❤❤

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Marekan hakuna kutembeleana kwenda kwenda kwa majilan

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před rokem +5

    Ukisikiliza haya mambo kila mtu anasema lake
    Kunawengine wako poa hawana shida yoyote
    Wazungu waelewa ni wale angalau amekaa TZ au sehemu nyingine ataelewa culture zetu za Ki africa ila wengine hawaelewi na shida inaanza hapo
    America day care ni gharama na ndiyo maana kama una mama kijana anakuja kukulekea mtt au wtt
    Wengi wa TZ wanafanya hivyo, kama huna unajipanga na ww na mumeo jinsi ya ku take care mtt au wtt si kitu rahisi
    Mambo mengi ni bajet kwa pesa unayoipata nk
    Aliyendani anataka kutoka nje
    Na aliye nje anataka kuingia ndani
    Ni neema tu ya Mungu atusaidie🙏🏼🙏🏼

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Před rokem +1

    Natamani kupata watu wenye experience na waarabu 😢

    • @upendokihunrwa3427
      @upendokihunrwa3427 Před rokem +2

      Tafta waty ambao wanaishi dubai kuna watz wengi wameish na wanaish huko dear na oman pia though mi muoga wa waarabu LoL 😂

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Tunaomba namba zako mwalimu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

    Shida siyo kuitwa mswahili, naonaga shida tuliyonayo sisi Waafrica nikuitwa mweusi.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Ana mwanya mwenyew ndio saa nyingine mtu akisema yule ni mswahil manake ana Mambo ya kiswahili Yani uongo na mengine

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus4866 Před rokem +2

    Huyu dada mmpefanan vipua😅

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Kwel kuna wazungu vichaa ata mama mdogo alisema

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Na waswahili hawapendi kuitwa waswahil

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před rokem

    NI KWELI NI DHANA YA WANAWAKE WA TANZANIA KUPENDA KUOLEWA NA WAZUNGU KUWA WANA HELA NDIYO MAANA WASICHANA WENGI WANAPENDA KUOLEWA NA WAZUNGU NI KUDANGA PIA THAT IS A FACT

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před rokem

    HAKUNA ANAYEPATA KAZI NZURI USIDANGANYIKE NI KUHASO/HASSLE TU

  • @themalumalufamily1860
    @themalumalufamily1860 Před rokem +2

    Mzungu hata kama nitajir nilazima hesabu ifanyike wanathamin hela hata kama nicent moja waieshim

  • @ameria2332
    @ameria2332 Před rokem

    We Hicho kichwa akiumi?? maana unakizungusha sana duh.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 4 měsíci

    Sorry Mwalim. Khasa ukisema mswahili hilo ni neno la kiarabu ni watu wanoishi kwenye Coast na wanazungumza Kiswahili hawana lugha nyingine. Afrika ni watu wenye lugha zao, pia wako wanozungumza kiswahili pia. Pahala popote ukimwambia mtu umetoka Africa au akijuwa umetoka Africa basi wewe ni JAMBAZI . Ni bora umwambie Nchi uliyo toka utasalimika 😂😂😂