Hujafa Hujaumbika - Night Star

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2019
  • Hudba

Komentáře • 24

  • @athumaniathumani3082
    @athumaniathumani3082 Před rokem +1

    Asa , Amini kama ujaupata Umahuti ujaumbika, , ukiwa una akili timamu, ucmcheke mtu kisa. Ana kitu,. Muziki fundisho Kwa Kila mja wamwenyezi mungu

  • @hadijaissa9286
    @hadijaissa9286 Před 4 lety +5

    Sitasahau siku nipo kwenye gar naenda kumuona baba amelazwa muhimbili kila nikisikia hii machozi yananitoka

  • @FatumaMbegu-qx3ow
    @FatumaMbegu-qx3ow Před 9 měsíci +1

    Uyu aflan yupo wapi jamaniiii waenga washaelewa

  • @mohammedputta5821
    @mohammedputta5821 Před 7 měsíci +2

    My cousin Haidari Kesi ndio alikuwa incharge wa Night Star kwao Ilala mtaa wa Morogoro na Songea.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  Před 7 měsíci

      Kaka, naomba namba yako... Yangu ni 0713538427

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 Před 5 lety +5

    Kaka hapa leo umeniweza

  • @mohamedmakwega4594
    @mohamedmakwega4594 Před 4 lety +6

    Tunaokumbuka enzi zetu,Gongs like tuwe pamoja.

    • @mudymaliki3835
      @mudymaliki3835 Před 4 lety

      mohamed makwega Mudi Mpaka apo nimekusoma ila Ivi Uyu aidali kesi nabosi wake mkamashapu wapo AI? Maana kipindi icho nilikua naitwa kauzu sasa jinalangu lakuzaliwa limeludi naitwa Matola

  • @allyshabani5662
    @allyshabani5662 Před 4 lety +3

    Mudy mwanaharakati,unatuwekea vitu vya kukumbuka mbali sana hasa kwenye hizi ngoma za mchiliku,Naomba unitafutie kile kikundi kilichokua kinaitwa dawa ya nyota nakumbuka kama kilikuwa kinamilikiwa na ccm walikuwa wanapida mchiliku wanatumia na magitaa.

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 Před 5 lety +5

    Leo ntakesha nasikiliza hizi ngoma

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  Před 5 lety +1

      Hahahahaha pole babu!

    • @mzeemudy8905
      @mzeemudy8905 Před 5 lety

      Muddyb Mwanaharakati kaka hebu zitupie nyimbo zote za night star

  • @ambegu4395
    @ambegu4395 Před 4 lety

    Mmenikumbusha mbali sana eziizo ibendi ipo mwananyamala nauyo Mumbai alflani na wakumbukawajomba zangu 😭😭😭

  • @abdallahmtambanze4354
    @abdallahmtambanze4354 Před 4 lety +1

    Kaka utuwekee na topaz

  • @latifahsalum3479
    @latifahsalum3479 Před 5 lety +1

    Nice

  • @nassorolikoko9191
    @nassorolikoko9191 Před 4 lety

    Muddy nakupongeza kwa nyimbo za kizazi chetu na hasa hizi za mabingwa mchiriku😃😃😃