DIAMOND PLATNUMZ AHARIBU NDOA YA ZARI NA SHAKIB,AENDA KWA ZARI BILA TAARIFA.
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Msanii wa muziki Diamond platnumz Aenda kwa zari kusheherekea siku ya birthday ya mtoto wake bila taarifa ,kitendo hicho zari afunguka mumewe kukichukia na kuhisi zari Bado anampenda mzazi mwenzie Diamond.
#diamomdplatnumz #wasafitv #millardayo
Huyu kashazeeka jmn Aache ujinga atulieee mzee wa hovyo kabisaaaa 😅😅
Ajiona yeye ni mwanaume sana na kibri alicho nacho ajifunze kwa wasani wenzake walivyo haribikiwa awache jauri zake kwakuwa ana hela malipo ni hapa hapa duniani awache kuingilia mabibi za wenyewe