DIAMOND PLATNUMZ AHARIBU NDOA YA ZARI NA SHAKIB,AENDA KWA ZARI BILA TAARIFA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Msanii wa muziki Diamond platnumz Aenda kwa zari kusheherekea siku ya birthday ya mtoto wake bila taarifa ,kitendo hicho zari afunguka mumewe kukichukia na kuhisi zari Bado anampenda mzazi mwenzie Diamond.
    #diamomdplatnumz #wasafitv #millardayo

Komentáře • 2

  • @LightnessMadalu
    @LightnessMadalu Před 20 dny

    Huyu kashazeeka jmn Aache ujinga atulieee mzee wa hovyo kabisaaaa 😅😅

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před 22 dny

    Ajiona yeye ni mwanaume sana na kibri alicho nacho ajifunze kwa wasani wenzake walivyo haribikiwa awache jauri zake kwakuwa ana hela malipo ni hapa hapa duniani awache kuingilia mabibi za wenyewe