Komentáře •

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 2 lety +17

    Baba kaniliza sana wallah daaaa family za kimasikini tunapata shida sana jmn 😭😭😭😭😭
    R. I. P seleman

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety +7

    Hee mwenyezi mungu kwanini umenyima uwezo Mimi naumia Sana nikiona watu Kama hawa natamani niwasaidie lakini Sina kitu nabaki kulia tu..Kama ningekuwa na hela ivi vyote ningevifanya Mimi.

  • @credo7837
    @credo7837 Před 2 lety +9

    Jamani wanamaxmum mlimchangia mipesa mingi wakati mzim amekufa tunashindwaje kumstiri mwenzetu

  • @samiamamy1011
    @samiamamy1011 Před 2 lety +5

    😭😭😭Pumzika kwa aman kaka sele mungu atakulipia kwa unyama waliokutendea

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 lety +6

    Subhannallah mashekhe msikitini wanaongea maneno km hayo jaman mbona uislam tunauharibu 😢😢

    • @credo7837
      @credo7837 Před 2 lety

      Sema wew

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      mashekhe wa karne hii pasua kichwa

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 Před 2 lety

      Ndo maana Imeandikwa kila mwanadamu ataukumiwa kutokana na matendo yake maana wengi utawaskia eti wale hawana dini ao dini yetu ndio ya Haki, swali ni je ww mwenyewe unatenda Haki?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 2 lety

      @@ericalexandre2166, Masuala ya ya kutenda haki na dini ya haki ni vtu viwili tofauti. Mtu yyte alokua hayupo kwenye dini ya haki hana hesabu na makaazi yake tayari ameshaahidiwa ni motoni. Na mtu yyte alokua ktk dini ya haki anahesabu na maisha yake huyajui baina ya pepo au moto. Kwahio zungumzia mengine na sio dini ya haki.

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 Před 2 lety

      Duniani sisi wanadamu tumepewa kazi zetu so Kazi ya Hukumu tumuachie Mungu maana ww unafikiri uko upande sahihi na wengine wanafikiri pia wako upande sahihi kwa hio Mungu pekee ndo Judge mkuu na anajua mwenyewe Vigezo anavyo tumia kuwahukumu wanadamu

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 2 lety +3

    Mungu niwetu sote tutamstiri ndugu yetu

  • @mamiyfeiy
    @mamiyfeiy Před 2 lety +1

    Innalilah wainailaih rajiun Allah ampe kaul thabit na amuondoshee adhabu ya kabriii Amiin

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety +5

    Inalilah wainailahi rajiuun maskini jamani wamemdhulumu mwenzao😭😭😭😭

  • @amanissa1374
    @amanissa1374 Před 2 lety

    Subhanallah Suleiman innalillah wainnailayhi rajiuun 😭allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna 😭👏

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 2 lety +2

    Serikali haioni au ndio maskini kuuwawa ni haki yake.
    Umaskini mbaya sana.

  • @aminasuliman2923
    @aminasuliman2923 Před 2 lety +1

    Siamini nilicho kutananacho bado naota jaman mbona watu wametoa uhai wake hata bado hajaona ya ulimwebgu sele kama nayaona yale maojiano yamwanzo Mungu ampunzishe salama 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso621 Před 2 lety +9

    Tanzania kweli mtihani kila kitu pesa bora waanzishe mfumo wa kujilipia serikalini ukifa serikali wanalipia garama Za mazishi Mungu mlaze mahali pema peponi ndugu yetu Sele😭😭😭

    • @wilonjabikey8274
      @wilonjabikey8274 Před 2 lety

      Nchi gani Hina taratibu hizo ??

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Před 2 lety

      @@rubenprince8990 sisi huku wanakata moja kwa moja kwenye mshahara wako kupitia tax

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Před 2 lety

      @@wilonjabikey8274 Mimi nipo Sweden wanakata moja kwa moja kupitia tax

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Před 2 lety

      @@rubenprince8990 ingependeza kuliko heka heka Za kuchanga alafu unaweza kupata msiba pesa Hakuna mtihani kwa kweli alafu uchangie kidogo utafanya kazi msibani mbaka ushangae

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Před 2 lety

      @@rubenprince8990 Umesema kweli mtu Una mwaka wanaanza kuomba pesa wakati hizi nnchi wasio ongea kingereza mbaka upate ajila inachukua muda mbaka usome lugha yao Kuna watu nilisoma nao wana miaka sita Na lugha awajui ila watanzania tukifika tunajitahidi kujifunza kwa haraka sababu tunawaza walio nyumbani

  • @somoeshali1681
    @somoeshali1681 Před 2 lety

    Innalilahi wainna ilehi rajiun allah amjalie pepo njema japo alipitia mazito duniani

  • @happines7172
    @happines7172 Před 2 lety

    Bwana Ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Ameen

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Před 2 lety

    poleni sana ndugu wa malehemu Allah Awape subra inshallah

  • @w4058
    @w4058 Před 2 lety +1

    Subhanallah mahasidi wakubwa tu hao Allah atawalipa hapa hapa

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 2 lety +1

    Mungu awalaani waliofanya kitendo hiki cha kinyama 😭

  • @azanmohd7122
    @azanmohd7122 Před 2 lety

    Poleni sasaa

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 2 lety +1

    Yaani watu wana jealous na maisha ya wengine . wao kujituma hawataki , akitokea mtu hard working wanachukia kuona maendeleo yake .
    " LAANA ZIWE JUU YAO WALOYATENDA HAYO "

  • @muhammadhussain449
    @muhammadhussain449 Před 2 lety

    Poleni sana

  • @w4058
    @w4058 Před 2 lety +1

    Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun Allah amsameh makosa yake yote na amtangulizie mema yake

  • @tato8979
    @tato8979 Před 2 lety

    Polen sana wanafamilia mungu awatie nguvu katka kipindi hiki kigumu

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Před 2 lety +1

    Innalillah wainailah ragiuon,Allah ampe kauli thabit😭😭

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Před 2 lety +1

    Kuna wakati nawaza sana hivi siku MUNGU akisema leo nafunua maovu ya kila mtu ili kila mtu ajionee tabia za mwenzake mbona tutajionea mambo ya ajabu yanayoendelea humu duniani tutakimbiana.

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu3169 Před 2 lety +1

    Selemani nakumbuka interview zake na Zahir kweli ,mcheshi vile alikuwa akiongea na mama mtoto wake.

  • @teresakapinga7947
    @teresakapinga7947 Před 2 lety +1

    Maisha haya yamekuwa magumu sana.mtu anafariki badala ya kumlilia mtu amekufa unalia hela itatoka wapi,Mungu tusaidie

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety

    Inna lillah wainahy llah rajioun poleni sana

  • @nyoe1394
    @nyoe1394 Před 2 lety +1

    Innalilah wainnailah rajiun. May Allah make it easy for him.

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi9746 Před 2 lety

    Jaman siamini kosa gan

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před 2 lety

    Innalillah wainna illahy rajioun poleni sana jaman seleman dah

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety

    Inauma lakini kwa uwezo wa m mwenyezi mungu atalipa

  • @mussamlewa2178
    @mussamlewa2178 Před 2 lety

    Inna lilah waina illah rajiun poleni sana

  • @gladyswanyama4634
    @gladyswanyama4634 Před 2 lety

    poleni sana for the loss of Sele may God rest his soul in peace

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 Před 2 lety

    Kweli...mungu..tumekosea.wapi..mungu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před 2 lety

    Kwa nilivofatilia background story ya huyu kijana hassa kwenye suala zima la case yake na waliomfunqa hadi kutoka
    Na hatima ya kuuwawa kwake.
    Inaonekana km kuna aina flan ya kijinai ya makusudi.
    But inahitaji nchi zenye uhuru wa kimahakama na vyombo vya usalama vilivyo na uadilifu.
    Kufanya upelelezi na kutambua ukweli.
    Yanqu mawazo tu.

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 2 lety

    Innalilah wanna ilah lajihun

  • @zaharamussa161
    @zaharamussa161 Před 2 lety

    Laillahailallah tupendane waislam wenzangu tusiumbuane jamani

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety +5

    Jamani nchi yetu haina amani siku hizi tume kuwa hatuna raha kila siku mauaji

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h Před 2 lety

      Kabisa yani mtiani kweli 😭😭😭😭

    • @daynesakulu3169
      @daynesakulu3169 Před 2 lety

      Kweli Tanzania ina kuwa vibaya sana , maujwaji yana kuwa hata kupita Congo kwenye kuwa wa terroristes.

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Před 2 lety

      Kwa kweli tuombe Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab na haya mabalaa

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Před 2 lety

      Yaani watu wame kuwa kama wanyama hawana imaani na binadamu wenzao

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 Před 2 lety

    Yani binadamu ukatekate😭😭😭😭😭😭 mwenzio.mpaka afe

  • @kaylaassiah9461
    @kaylaassiah9461 Před 2 lety

    Inna lillah wa inna illah rajiun

  • @khadijamohammed2855
    @khadijamohammed2855 Před 2 lety +1

    Innalillah wainnailaih raajiun

  • @shahashaha6269
    @shahashaha6269 Před 2 lety

    Inauma njie kakesha jela miaka yote Leo anatoka anauliwa kikatili hivi dunia hii inakoelekea tutajifungia ndani🥺😭😭😭

    • @wemasamir9451
      @wemasamir9451 Před 2 lety

      Uyu shekhe duta mungu amlipe amfanyie wepesi anahuruma sana jmn

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety

    Innalilah wainailah rajioon poleni

  • @janetchinga9357
    @janetchinga9357 Před 2 lety

    Siamini nayoyaona mbele yangu kwamba sele wetu katutoka Jamani 😭😭😭😭😭

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety

      Sele kawatapeli wanawake wa kipemba kwa kuwaowa kisha akaanza kuwaruka

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety

    Inalilah wanaileh rajuuni

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 Před 2 lety

    Innallillahi waina ilayhi rajiun.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun

  • @nasramohamed3353
    @nasramohamed3353 Před 2 lety +1

    Kwani msikitini hawakumsaidia? Kinachonishangaza msikitini ukose msaada tena Kwa tatizo km hilo!! Ndiomana nauliza?

  • @vbnmmnbv5292
    @vbnmmnbv5292 Před 2 lety +1

    INNAILLAHI WAINNAILAHI RAJIUN POLENI SANA ALLAH AMPE KAULI THABIT MAREHEM

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Před 2 lety +1

    Mashekhe wengine bwana km sio waislam

  • @shahashaha6269
    @shahashaha6269 Před 2 lety

    Innalilah wainalillah rajiun

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 2 lety

    Innalillahi waina ilaihi rajiun

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 Před 2 lety

    inaumiza 😭😭😭😭😭😭 umaskini huu nyie

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 Před 2 lety

    Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 2 lety

    Lakini ndugu zake mngekuwa na umoja wa kumsaidia alipotok gerezni my be yasingemkuta, pia mfyatilieni boss wake vzr labda anamdai pesa nyingi akaamua apite njia za mkato

  • @masayimnyamwezi3940
    @masayimnyamwezi3940 Před 2 lety

    Pumzika kwa Aman kaka sele

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 2 lety +1

    Sele wetu jamani😭😭😭😭😭

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 Před 2 lety

    Hichi kifo kinatia huzuni kubwa, daah jamani kutoka jela na umauti unamkuta

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 2 lety

    Innalilahi wainailahi rajiun

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 2 lety +1

    Innalilah wainalilahi rajiuun Allah akusameehe makosa yako yote akulaze mahala pema pepon Amin insha Allah 😭😭😭💔

  • @Elize391
    @Elize391 Před 2 lety

    😭😭😭😭

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    NILIACHA KUMFATILIA ALIPO KUTANA NA MTOTO WAKE NA ALIVYO KUWA ANATAKA KUOWA DAH SO SAD WALIO UWA HAWATA MALIZA MWAKA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI AHERA NI HESABU. NILITHANI AMEPATA ACCIDENT DAH KWA NINI UUWE MWENZAKO REST IN PEACE 🤲🤲🤲🤲

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 2 lety

    😭😭😭😭😭

  • @maimonamaimona1177
    @maimonamaimona1177 Před 2 lety

    Kunawatu wanalohongumu😭😭😭😭

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana3274 Před 2 lety

    Magufuli tutakukumbuka daima mwanzo umeondoka ichi haina amani

  • @dhabiyaalawi3024
    @dhabiyaalawi3024 Před 2 lety

    Allah amlaze mahala pema da wangejaribu kuangalia sim ya marehemu iko wapi wajue mwesho namba iliopigwa ni nani

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 2 lety

    Asalaam aleykum, niambia hii account ni netwerk gani?

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 2 lety

    Kifo hakina barua

  • @asiaoman3040
    @asiaoman3040 Před 2 lety +2

    Masikin jmn me nimeumia kweli sina pesa jmn ningetoa chochote 😢😢😢

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 Před 2 lety

      Asia Oman uko Oman Dada unakosa je pesa

    • @asiaoman3040
      @asiaoman3040 Před 2 lety

      @@zuweinaalhabsya8773 kwani kua Omani ndo kua na pesa we vp 😒

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Před 2 lety

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zaharamussa161
    @zaharamussa161 Před 2 lety

    Huyu marehem alikuwa anashughuli gani maskin

  • @saebajoma8419
    @saebajoma8419 Před 2 lety

    Kifo jamini kweli nisili

  • @imamuhamisi4421
    @imamuhamisi4421 Před 2 lety

    bongo hamna amani.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety

    Mtihani mkubwa huo

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety

    Au aliendeleza mausiano na yule mwanamke alie zaa nae mume wake ndo kafanya ivi??

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Před 2 lety

    Sele Gani Tena uyo

    • @halimaakter8288
      @halimaakter8288 Před 2 lety

      Yule kaka alie mfugwa miaka 30 akakaa miaka 20 akatoka kwa msamaa wa mama samia

  • @imamuhamisi4421
    @imamuhamisi4421 Před 2 lety

    mnasemaga Tanzania ni nchi ya amani sio kweli bora watu wanaoish Iraq kuliko Tanzania

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h Před 2 lety +1

      Kabisa sikuizi akuna Amani kabisa

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 Před 2 lety

      @@user-jz8sj5us1h kabisaa yaan hamna mtu unatembea na lak mbil mfukon lakin unakua unawasi wasi kaah so sad

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 Před 2 lety +1

    Nyie wauwaji mnadhani nyie mtaishi milele? Hata nyie mtakufa na hukumu yenu inawasubiri

  • @lobnalobna2393
    @lobnalobna2393 Před 2 lety

    Damu isiyo kuwa na hatia lazima iwe na malipo tumwachie MUNGU azungumze nao

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

    Jamani hali kweli ngumu

  • @muhammadhussain449
    @muhammadhussain449 Před 2 lety

    Poleni sana