Hee mwenyezi mungu kwanini umenyima uwezo Mimi naumia Sana nikiona watu Kama hawa natamani niwasaidie lakini Sina kitu nabaki kulia tu..Kama ningekuwa na hela ivi vyote ningevifanya Mimi.
Jamani wanamaxmum mlimchangia mipesa mingi wakati mzim amekufa tunashindwaje kumstiri mwenzetu
😭😭😭Pumzika kwa aman kaka sele mungu atakulipia kwa unyama waliokutendea
Subhannallah mashekhe msikitini wanaongea maneno km hayo jaman mbona uislam tunauharibu 😢😢
Ndo maana Imeandikwa kila mwanadamu ataukumiwa kutokana na matendo yake maana wengi utawaskia eti wale hawana dini ao dini yetu ndio ya Haki, swali ni je ww mwenyewe unatenda Haki?
@@ericalexandre2166, Masuala ya ya kutenda haki na dini ya haki ni vtu viwili tofauti. Mtu yyte alokua hayupo kwenye dini ya haki hana hesabu na makaazi yake tayari ameshaahidiwa ni motoni. Na mtu yyte alokua ktk dini ya haki anahesabu na maisha yake huyajui baina ya pepo au moto. Kwahio zungumzia mengine na sio dini ya haki.
Duniani sisi wanadamu tumepewa kazi zetu so Kazi ya Hukumu tumuachie Mungu maana ww unafikiri uko upande sahihi na wengine wanafikiri pia wako upande sahihi kwa hio Mungu pekee ndo Judge mkuu na anajua mwenyewe Vigezo anavyo tumia kuwahukumu wanadamu
Mungu niwetu sote tutamstiri ndugu yetu
Innalilah wainailaih rajiun Allah ampe kaul thabit na amuondoshee adhabu ya kabriii Amiin
Inalilah wainailahi rajiuun maskini jamani wamemdhulumu mwenzao😭😭😭😭
Subhanallah Suleiman innalillah wainnailayhi rajiuun 😭allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna 😭👏
Serikali haioni au ndio maskini kuuwawa ni haki yake.
Umaskini mbaya sana.
Siamini nilicho kutananacho bado naota jaman mbona watu wametoa uhai wake hata bado hajaona ya ulimwebgu sele kama nayaona yale maojiano yamwanzo Mungu ampunzishe salama 😢😢😢😢😢😢😢😢
Tanzania kweli mtihani kila kitu pesa bora waanzishe mfumo wa kujilipia serikalini ukifa serikali wanalipia garama Za mazishi Mungu mlaze mahali pema peponi ndugu yetu Sele😭😭😭
@@rubenprince8990 sisi huku wanakata moja kwa moja kwenye mshahara wako kupitia tax
@@wilonjabikey8274 Mimi nipo Sweden wanakata moja kwa moja kupitia tax
@@rubenprince8990 ingependeza kuliko heka heka Za kuchanga alafu unaweza kupata msiba pesa Hakuna mtihani kwa kweli alafu uchangie kidogo utafanya kazi msibani mbaka ushangae
@@rubenprince8990 Umesema kweli mtu Una mwaka wanaanza kuomba pesa wakati hizi nnchi wasio ongea kingereza mbaka upate ajila inachukua muda mbaka usome lugha yao Kuna watu nilisoma nao wana miaka sita Na lugha awajui ila watanzania tukifika tunajitahidi kujifunza kwa haraka sababu tunawaza walio nyumbani
Innalilahi wainna ilehi rajiun allah amjalie pepo njema japo alipitia mazito duniani
Bwana Ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Ameen
poleni sana ndugu wa malehemu Allah Awape subra inshallah
Subhanallah mahasidi wakubwa tu hao Allah atawalipa hapa hapa
Mungu awalaani waliofanya kitendo hiki cha kinyama 😭
Poleni sasaa
Yaani watu wana jealous na maisha ya wengine . wao kujituma hawataki , akitokea mtu hard working wanachukia kuona maendeleo yake .
" LAANA ZIWE JUU YAO WALOYATENDA HAYO "
Poleni sana
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun Allah amsameh makosa yake yote na amtangulizie mema yake
Polen sana wanafamilia mungu awatie nguvu katka kipindi hiki kigumu
Innalillah wainailah ragiuon,Allah ampe kauli thabit😭😭
Kuna wakati nawaza sana hivi siku MUNGU akisema leo nafunua maovu ya kila mtu ili kila mtu ajionee tabia za mwenzake mbona tutajionea mambo ya ajabu yanayoendelea humu duniani tutakimbiana.
Selemani nakumbuka interview zake na Zahir kweli ,mcheshi vile alikuwa akiongea na mama mtoto wake.
Maisha haya yamekuwa magumu sana.mtu anafariki badala ya kumlilia mtu amekufa unalia hela itatoka wapi,Mungu tusaidie
Inna lillah wainahy llah rajioun poleni sana
Jaman siamini kosa gan
Innalillah wainna illahy rajioun poleni sana jaman seleman dah
Inauma lakini kwa uwezo wa m mwenyezi mungu atalipa
Inna lilah waina illah rajiun poleni sana
poleni sana for the loss of Sele may God rest his soul in peace
Kweli...mungu..tumekosea.wapi..mungu
Kwa nilivofatilia background story ya huyu kijana hassa kwenye suala zima la case yake na waliomfunqa hadi kutoka
Na hatima ya kuuwawa kwake.
Inaonekana km kuna aina flan ya kijinai ya makusudi.
But inahitaji nchi zenye uhuru wa kimahakama na vyombo vya usalama vilivyo na uadilifu.
Kufanya upelelezi na kutambua ukweli.
Yanqu mawazo tu.
Innalilah wanna ilah lajihun
Laillahailallah tupendane waislam wenzangu tusiumbuane jamani
Jamani nchi yetu haina amani siku hizi tume kuwa hatuna raha kila siku mauaji
Kweli Tanzania ina kuwa vibaya sana , maujwaji yana kuwa hata kupita Congo kwenye kuwa wa terroristes.
Yani binadamu ukatekate😭😭😭😭😭😭 mwenzio.mpaka afe
Inna lillah wa inna illah rajiun
Innalillah wainnailaih raajiun
Inauma njie kakesha jela miaka yote Leo anatoka anauliwa kikatili hivi dunia hii inakoelekea tutajifungia ndani🥺😭😭😭
Innalilah wainailah rajioon poleni
Inalilah wanaileh rajuuni
Innallillahi waina ilayhi rajiun.
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
Kwani msikitini hawakumsaidia? Kinachonishangaza msikitini ukose msaada tena Kwa tatizo km hilo!! Ndiomana nauliza?
INNAILLAHI WAINNAILAHI RAJIUN POLENI SANA ALLAH AMPE KAULI THABIT MAREHEM
Mashekhe wengine bwana km sio waislam
Innalilah wainalillah rajiun
Innalillahi waina ilaihi rajiun
inaumiza 😭😭😭😭😭😭 umaskini huu nyie
Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭
Lakini ndugu zake mngekuwa na umoja wa kumsaidia alipotok gerezni my be yasingemkuta, pia mfyatilieni boss wake vzr labda anamdai pesa nyingi akaamua apite njia za mkato
Pumzika kwa Aman kaka sele
Sele wetu jamani😭😭😭😭😭
Hichi kifo kinatia huzuni kubwa, daah jamani kutoka jela na umauti unamkuta
Innalilahi wainailahi rajiun
Innalilah wainalilahi rajiuun Allah akusameehe makosa yako yote akulaze mahala pema pepon Amin insha Allah 😭😭😭💔
😭😭😭😭
NILIACHA KUMFATILIA ALIPO KUTANA NA MTOTO WAKE NA ALIVYO KUWA ANATAKA KUOWA DAH SO SAD WALIO UWA HAWATA MALIZA MWAKA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI AHERA NI HESABU. NILITHANI AMEPATA ACCIDENT DAH KWA NINI UUWE MWENZAKO REST IN PEACE 🤲🤲🤲🤲
😭😭😭😭😭
Kunawatu wanalohongumu😭😭😭😭
Magufuli tutakukumbuka daima mwanzo umeondoka ichi haina amani
Allah amlaze mahala pema da wangejaribu kuangalia sim ya marehemu iko wapi wajue mwesho namba iliopigwa ni nani
Asalaam aleykum, niambia hii account ni netwerk gani?
Kifo hakina barua
😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyu marehem alikuwa anashughuli gani maskin
Kifo jamini kweli nisili
bongo hamna amani.
Mtihani mkubwa huo
Au aliendeleza mausiano na yule mwanamke alie zaa nae mume wake ndo kafanya ivi??
Sele Gani Tena uyo
Yule kaka alie mfugwa miaka 30 akakaa miaka 20 akatoka kwa msamaa wa mama samia
mnasemaga Tanzania ni nchi ya amani sio kweli bora watu wanaoish Iraq kuliko Tanzania
@@user-jz8sj5us1h kabisaa yaan hamna mtu unatembea na lak mbil mfukon lakin unakua unawasi wasi kaah so sad
Nyie wauwaji mnadhani nyie mtaishi milele? Hata nyie mtakufa na hukumu yenu inawasubiri
Damu isiyo kuwa na hatia lazima iwe na malipo tumwachie MUNGU azungumze nao
Poleni sana
Baba kaniliza sana wallah daaaa family za kimasikini tunapata shida sana jmn 😭😭😭😭😭
R. I. P seleman