NAMIBIA GOVERMENT FREE THE KING RONALD MUWENDA MUTEBI OF BUGANDA KINGDOM ,WHICH IS FOUND IN CENTRAL UGANDA. THE KING IS MISSING, AND HE WAS TRAFFICKED TO NAMIBIA BY THE GOVERNMENT OF UGANDA 😢
Waouh, kiukweli ni nzuri sana dada Farida. Hapa swali langu ni ili: Hapo mulitumiya uzi ya Brazilian ngapi vidongi vingapi? Niko BURUNDI, nawapenda. Natamani Siku moja niwe nanyi hapo. Iyo namba yenu kwangu ndani ya WhatsApp naikosa sijui ni tatizo gani!
Kwa ukweli nimejifunza somo jipya....zaidi nakuombea afya n uzima uzidi kuwa na sisi wanafunzi kutupa ujuzi...ubarikiweee maana hakuna ubora kama kazi Yako binafsi
Walahi iwas enjoying,,very amazing napenda san wew kwamafunzo yko farida naona kma iko rahis haitonishinda
I’m ready to learn more of your skills in this hairstyle you are doing amazing working ❤❤❤
Hapo ni sawa kabisa nami niko haka Kigali Rwanda nafanya kazi ya kusuka nayipata iyo asante sana kwa iuo mafunzo
Oooh wow nzuri sana nmeelewa asanta daa
Wooow ni nzuri nzuri tena ❤ ...
Asante da Farida kwa somo zuri ubarikiwe sana
amazing sijawahi kusuka ila natumaini nitajua kupitia wwda Farida❤❤❤❤❤❤
Ni nzuri mno asante sana❤❤❤❤
Beautiful style!
❤ amazing job I'm learning
Thenk you so much for teaching dear
Merciii beaucoup pour la vidéo j'ai toujours voulu faire ces tresses mais je ne savais pas comment on procédais
Asante kwa ku share na sisi ujuz God bless you dear
Waoooo jaman nzur sanaa nimepata hiyo❤️❤️❤️
Asante sana dr tunaelewa
Bunda ngapi za Uzi madam style Kali coboco style ❤
Yani nzuri sana subiri niendelee nama zoezi❤
Hongera Sana Dada mungu akutunze
Nyele ni nzuri je unaweza kuanzia kusuka kwamkona Wa kuume
Love it❤❤
Wooow nakupenda sanaa me n student queens college but napenda sanaa kukufuatilia
Yan ni tam sana hii nywele ❤asante my forever darling
Nashukuru sana dada napenda kunuwa mengi zaidi namimi nafanya iyo kazi ila nafura kujuwa zaidi ma modèle
I like this hairstyle brazilian
Incredible ❤
wow 😘😘👌👌ni rahisi san hii nywele jaman
Duuh wee dada jaman unaelekeza vizur sana yaan unapambana💪
Nathaniel kujuwa hyo style..bt nko kenya❤
Napenda sana nijuwe piya ❤
Very neat work indeed
Ubarikiwe mpaka ushangae Mama, nmekuwa msusi maarufu kutokana na wewe madam, stay blessed ever, I wish one day nikuone live nkupee maua Yako ❤
Amina kipenzi Nashukuru sanaa
Habari Yako dada! Mimi ni Grace Akoth kutota, kisumu Kenya. Ningependa kujuwa zaidi jinsi ya kutengenesa, girl guess braids.
Nakupenda Bure dada faridaaa mungu akupe maisha marefuu
Love from Namibia 🇳🇦 , I always watch your videos even if I don’t understand Swahili. I learn techniques from your videos
Thanks dear we appreciate
I like it❤❤
NAMIBIA GOVERMENT FREE THE KING RONALD MUWENDA MUTEBI OF BUGANDA KINGDOM ,WHICH IS FOUND IN CENTRAL UGANDA. THE KING IS MISSING, AND HE WAS TRAFFICKED TO NAMIBIA BY THE GOVERNMENT OF UGANDA 😢
Naelewa sana dada hongera
Nywele nzuri Sana Safi Sana dada Farida
Wow amazing ❤❤❤
Dah so amazing hair I like
Nimelewa na mnafunza staili Kwa Siku 🎉❤
Napenda sana kuja kujifunza kweny chuo chenu
Unafundisha vizuri sana
Napenda sana jamani duh❤❤
Nimeipenda hiyo dada mi nzuri na mimejifunza vema natamani ningefika darasani
Da farida nywele ni nzur kweli
Hi farida pokea salamu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Ningependa kujifunza Abuja rastas
Asante ila sisi kwetu nishida sana kwetu congo
Naomba kujifunza hii nywele nimeipenda💯
Ahsante sana dada Mungu akbrk nimeelewa ni bunda ngap
I like the hair ❤ it's cool... Ni bunda ngapi hapo za Brazilian plz
Hi love the hair, do you wrap untill hair is over then you start the twist.wondering if you have long hair
Asante kwa somo kapendeza sana
12000 ya wapi? Na ningependa kujuwa time ya darasa
Thanks dia great work
napenda sana kusuka nimeshaelewa hadi raha❤
Very nice ,I like it
Naipenda sana
Ningependa kujifunza weeving
Beautiful hairstyle
Mafunz yako vzur sana❤❤❤
Ni nzuri sana kwakweli
wao nimependa pia nimependa kipind chako dad
Nafurahishwa sana namafundisho
Asanteee madam❤❤
Nice sasa mmi nko Mombasa nitafanyaje nikitaka kujiunga na darasa
Kweli ni nzuri
Ni vizuri kabisa
Nataman jaman I like it and I like the way you are teaching I wish niwe mwanafunzi wako ata Kama n online
I want to try it on my daughter what do u use is that gel ? Watching from Zambia 🇿🇲
Wow beautiful ❤
Thank you! 😊
Ni nzur mependa naomba kujifunza Kila nywele
Waouh, kiukweli ni nzuri sana dada Farida. Hapa swali langu ni ili: Hapo mulitumiya uzi ya Brazilian ngapi vidongi vingapi?
Niko BURUNDI, nawapenda. Natamani Siku moja niwe nanyi hapo.
Iyo namba yenu kwangu ndani ya WhatsApp naikosa sijui ni tatizo gani!
Wow ☝ 👍 💯 ❤
Asante kwa darasa jaman kwa wenye idea ya kusuka hii ni fursaaaa❤
Santee
Nzuri xanaa,ni bunda ngapi katumia mpenz
Me naspring kulia unakaa vzr pia asante sana
Napenda kujifunza kuazia nywele ya mkono, napenda kujifuza kusuka kwasababu napenda toka moyoni
Nywele ya mkono ni gani
Soo nice, 💚💚💚👍👍👍👍
It's amazing and am learning
Eti
Mimi ndio nime jiunga nawewe Dear but kaz zako bomba sana ❤
This is beautiful
❤❤❤Asante sana
Very smart❤❤❤
Absolutely beautiful. Where can I purchase the wool?
Amazon Brazilian wool
Can I do this on my natural locs?
Nimeipenda
Apo sawa nakuelea
Beautiful. I had to subscribe and love this video.
How long did it take you to do her hair?
Thanks 1 hour
Ahsante kwa darasa madame❤
Barikiwa
@@faridaothman 🙏
Mungu akupe maisha marefu uko vzr Sana
Ameen
So cute
Mm nataka umufunze mtoto wangu lakin yuko kenya ningapi dadaaa
Dada mungu akubariki unakipaji Chakuelewesha watu naelewa tu kwenye cm cjui live itakuaje jamn
Beautiful ever❤
Beautiful
Hapo tu naelewa sijui nikifika darasan itakuwaje maana Kila ufundishacho nishawasuka wateja wangu nashukuru sana mwalimu wangu
Ukija live utaenjoy 😂😂😂 Wanatuletega zawadi sanaaaaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤
@@faridaothmankwahiyo kujifunza bei gani
Asante Kwa mafunzo, nikihitaji kuingia darasani ada Bei gani?
Nakuelewa sana napat wateja sana
jaman nzuri sana
Yaan jmn we dada MUNGU akubariki sana yaan me najifunza vitu vingi sana kwako kwakweli
Nimekupata dada Farida from Tanzania geita katoro
Kwa ukweli nimejifunza somo jipya....zaidi nakuombea afya n uzima uzidi kuwa na sisi wanafunzi kutupa ujuzi...ubarikiweee maana hakuna ubora kama kazi Yako binafsi
❤