EXCLUSIVE: "NILIITWA KICHAA KWA KUOKOTA MBEGU ZA PARACHICHI" - ERASTO NGOLE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • EXCLUSIVE: "NILIITWA KICHAA KWA KUOKOTA MBEGU ZA PARACHICHI" - ERASTO NGOLE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 104

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 Před 2 lety +5

    Hongera mkuu Mungu kakuonesha njia watu wanapenda sana kuvunja moyo wenzao

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 2 lety +4

    Hongera sana huu ndio uhalisia sio wabunge wetu wanaongea bila uhalisia. Waige hii hali halisi na kusaidia WaTZ wengi

  • @kelvinmushubiro8187
    @kelvinmushubiro8187 Před 2 lety +4

    safi sana sana sana kabsaaa,,, kama unazitaka mali utazipata shambani,, ebu ona jamaa alipoanzia had alipofikia kias kwamba ana mchango mkubwa sana wa maendlea ktk jamii yake,,,uendelee kubarikiwa sana mzee,,,hongera sana

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere9284 Před 2 lety +1

    Hongera Sana ndugu Ngole na kampuni yako kwaFikra angavu kwa maendeleo ya Taifa letu... Watanzania tukiamua tunaweza✨✨✨

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Před 2 lety +6

    A lot of successful story...!! I like that

  • @andrewkomba5780
    @andrewkomba5780 Před 2 lety +4

    Hakika hongera sana mkurugenzi kwa hatua hii uliyofikia, kwani nimekufuatilia kwa muda mchache ila nimejifunza mengi sana na ninahitaji kujifunza zaidi na zaidi. Nahitaji kufika njombe na kujifunza zaidi

  • @genuinekissima1135
    @genuinekissima1135 Před 2 lety +2

    Well done.
    Focus katika kila kitu ni muhimu sana.
    Kushirikiana kwa pamoja katika jambo ni baraka sana.

  • @aminasaid7769
    @aminasaid7769 Před 2 lety +7

    Hongera sana. shikamoo Parachichi nimependa sana na mimi nimevutiwa na huu ukulima wa parachichi naomba msaada nianzie wapi?

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 2 lety

      Jaribu kuangalia Kuna Crip zilirushwa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      @@hadijamandanje6189 tuma link kama unayo plz

    • @hellenmawere9284
      @hellenmawere9284 Před 2 lety

      Kwaushauri nivema uende eneo la tukio ujifunze kwa matendo ikibidi ujitolee katika kazi zao hapo ndipo utapata maamuzi kamili na ujuzi stahiki juu umiliki na uzalishaji parachichi kama wakulima wengine.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 2 lety

      @@ahz6907 Ila kwa nilivyoiona hili alilokushauri huyu la kwenda saiti no bora zaidi maana nimeona ni la kuchukua muda wa kuwa field kabla haujachukua maamuzi ni swala la mpangilio mzuri na si kukurupuka

    • @aklinndelwa1832
      @aklinndelwa1832 Před 2 lety

      Anza na shamba je, unalo?
      Ukiwa nalo nunua miche panda

  • @addya.bernard9580
    @addya.bernard9580 Před 2 lety +7

    "Ugumu wa maisha ndo unaletaakili"

  • @janewambui6608
    @janewambui6608 Před 2 lety +1

    Hongera sana.Parachichi ,the way to go.

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 Před rokem +1

    Hongereni ndugu zangu kwaicho mlicho kifanya.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety +11

    Hongera sana kwa kazi ya uzalishaji

  • @idefonsiwilla7747
    @idefonsiwilla7747 Před 2 lety +3

    Hongera Erasto Ngole

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 Před 2 lety +2

    Hongera sana

  • @zuhurasalumu6668
    @zuhurasalumu6668 Před 2 lety +1

    Hongera sana... Kwa kuitangaza Tanzania

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety +1

    Mashallah ALLAH barik

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 Před 2 lety +2

    uyu jamaa ni very smart

  • @safhe-mpungi6075
    @safhe-mpungi6075 Před 2 lety +2

    Ni mfano mzuri sana wa kuigwa

  • @isakanziku6670
    @isakanziku6670 Před 2 lety +5

    Hongera Sanaa Shikamoo parachichi company limited

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Mashallah, hongera sana Brother kazi Nzur

  • @asifiwematimbwi8600
    @asifiwematimbwi8600 Před 25 dny

    ❤❤

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 Před 2 lety +1

    Hongera sana kk

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 2 lety +1

    Umetisha!!! Mzee baba

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Před 2 lety +15

    Yaani serikali imeshindwa kumsaidia mpaka wamekuja wakenya.. nchi ya hovyo sana hii

  • @hbdina
    @hbdina Před 2 lety +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Safi sana 👌👍

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před rokem

    Hongera sana Mtanzania mwenzangu

  • @masilulwivala9493
    @masilulwivala9493 Před 2 lety +3

    Yaan nchi ya hovyo mnoo Sana hii. Hivi kweli huyu Jamaa alikosa msaada kutoka kwenye serikali yake pamoja na kuitumikia kiasi kile?

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 2 lety +2

    Wakenya wanayasafirisha Uingereza na wanasema yanatoka kenya

  • @kanyangwaerasto2734
    @kanyangwaerasto2734 Před 2 lety +1

    Hongera!!

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 2 lety +1

    Congrats 👏

  • @palepale7768
    @palepale7768 Před 2 lety +1

    Well

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před rokem

    Mashallah

  • @festonjeleka5919
    @festonjeleka5919 Před 2 lety +3

    wakenya siyo watu wa kuwapuuza watu muhimu sana kwenye taifa hili

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      Ni kweli..kutokana na mitazamo ya wa tz wengi wanawaponda wakenya kwakuwa akili zao za kipuuzi

  • @saimonlaizer2732
    @saimonlaizer2732 Před 2 lety +2

    Shikamoo parachichi ndani ya njombe Tanzania .

  • @joshuampagaze8891
    @joshuampagaze8891 Před rokem

    Safi sana🤝

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri Před 2 lety

    Hongera Erastooooo

  • @adamrobert8869
    @adamrobert8869 Před 2 lety +11

    Sasa kumbe kunavitu vya kuongelea,,, sasa mbona mnatuwekeaga stor za umbea...

    • @masatumnyoro2350
      @masatumnyoro2350 Před 2 lety

      YANI NDUGU MI HU NATAMANI SANA TUWE TUNAONGELEA MAMBO KAMA HAYA lkn muda mwingi tunapotiwa ujinga

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      Ukiona hivyo akili za watz wengi hupenda umbea badala ya watu makini

  • @user-ty6nd3dg9m
    @user-ty6nd3dg9m Před rokem

    Politics in Agriculture waandishi nawashauri hizi taarifa muwe mnaenda kwa Afisa kilimo wa Halishauri kuthibitisha wakenya wameanza kuja mwaka 2016 sio 2012

  • @yohanamwanilonga8167
    @yohanamwanilonga8167 Před 2 lety

    Ongere kw kazi

  • @user-fe6mq4qt4i
    @user-fe6mq4qt4i Před 6 měsíci

    Msiwauzie tena wakenya uzeni wenyewe nchi za ughaibuni faida itakuwa kubwa zaidi

  • @jameswikesi312
    @jameswikesi312 Před 2 lety +1

    Njombe oyeee

  • @chescoxzavery7595
    @chescoxzavery7595 Před 2 lety +2

    Serikali na wabia wa Maendeleo mfano USAID ndio waliotoa pesa ya kuendesha miradi yote ya Parachichi soko ilifanyika promotion mwaka 2013

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 Před 2 lety +1

    Pongezi sana Shikamo parachichi.Hongereni kwa kuuanzisha ubia wa uhakika na Wakenya.

  • @MikaelExsaveli
    @MikaelExsaveli Před 23 dny

    Sana elasto vp kwema huko njombe

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 Před 2 lety +5

    Usubutu wako unahitaji pongezi nyingi. Ni funzo kwangu.

  • @bostonnyatuo8675
    @bostonnyatuo8675 Před 2 lety +1

    Leo sijui tukupe jina gani badala ya kicha (tuzinduke tunapitwa)

  • @MikaelExsaveli
    @MikaelExsaveli Před 23 dny

    Kaka maisha nikupambana nmekumis Nika amua nikuchek vp kwema huko mgodechwanasemaje

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Před 2 lety +1

    Shikamoo parachichi fungua macho zaidi .....Wakenya wanauza Parachichi zako ulaya. Kwa parachichi 1 moja karibu ya tsh 2500 hadi 3500.wewe unauza kilo moja tsh 750. Hiyo ni kama parachichi 4 au 3... piga hesabu......... unagawa jasho lako bure.

    • @issasued957
      @issasued957 Před 2 lety +2

      Kila kitu ni stage, anzisha ww vya kwako upeleke huko Ulaya. Kuwa na constant supply ya kuku tu kwenye mahotel yetu ya tz hatuwez utaweza kusupplt tonnes each month/week. Mpongeze kwanza kwa uthubutu huo

    • @emmanuelbonaventura4258
      @emmanuelbonaventura4258 Před 2 lety

      @@issasued957 sure. We are begin by making losses

    • @MrBarracudablue
      @MrBarracudablue Před 2 lety +2

      Fuatililia vizuri maelezo yake, usikurupuke. Hiyo bei ni mwaka gani? Wakati amesema alipeleka Wakenya kule Mbeya wakauza bei ya 1200 kutoka bei ya 380. Hizo ni Historia, hajasema bei ya sasa

  • @aristidessebastiantibaijuk6511

    Tusaidieni sisi wakulima wadogo kwani tunatafuta mikopo ya kilimo hatupati

    • @aristidessebastiantibaijuk6511
      @aristidessebastiantibaijuk6511 Před 2 lety

      Watanzania Tuwe na moyo WA kusaidiana, mfano Mimi nilienda kumuomba tajiri mmoja niwezeshe kuhusu mashine ya umwagiliaji lakini aligoma kabisa na mwingine kuhusu uchimbaji WA kisima amegoma. Sisi watanzania hatuna muono wa mbele

    • @aristidessebastiantibaijuk6511
      @aristidessebastiantibaijuk6511 Před 2 lety

      Maisha bila kusaidiana sio Maisha. Kila anayeendelea bila kushikwa mkono hasingeweza kufika popote.Mnisaidie nipate kukamilisha malengo nami nisaidie wengine

  • @evodyalexander7094
    @evodyalexander7094 Před 6 měsíci

    Naomba namba ninashida ya miche

  • @danielyohana4196
    @danielyohana4196 Před 2 lety

    Baadai kumtuana Ndugai umelipwa

  • @schosay_
    @schosay_ Před 2 lety +1

    Shkamoo parachichi

  • @mlemambimsakaswanu2557

    Nikitaka kulima mkoa wa dodoma nifanyeje?

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 2 lety +1

    Uvumilivu Unalipa

  • @stevenlulangasy3554
    @stevenlulangasy3554 Před 2 lety +1

    Sasa mbaka mtu anajitoa hivii jamani serikali yetu imemsapoti nini?, Nchi hii ina baadhi ya viongozi wa hovyo sana yani mbaka soko anapambana kutafuta yeye ivi tutasema sisi tuna viongozi kweli?, Aaa hamna kitu hapa.

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 Před 2 lety +2

    Nikija njombe au mafinga nitapitia hapo halafu mbona hiyo ni mifupi mifupi na inazaa mapema mnaifanyaje

    • @energeticmbn4596
      @energeticmbn4596 Před 2 lety

      Yaah inazaa hata ikiwa na miaka miwili tuu

    • @mbwanasilaha8872
      @mbwanasilaha8872 Před 2 lety

      Inafanyiwa grafting ndio ukaona inazaa araka

    • @hellenmawere9284
      @hellenmawere9284 Před 2 lety

      Upandikizwaji na uchanganywaji wa tawi kwanjia ya kisayansi zaidi umetumika ndio maana mti unazaa mapema

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    maghufuli alikuwa anawambia viongoz mkiona mtanzania anzisha kitu kina faida kwa raiya na taifa bas yatakiwa mumpe company ili iweze kukua na kupunguza umasikin nadhani wingi watanzania mlishuhudia wakat anawafokea viongoz wanao dharau mambo muhimu yanayo anzishwa na watanzania wenye akili walio ndani ya tanzania kama yule wa maji wakamrishwa wakiona mtu kaanzsha kitu kinamanufaa bas serkal yatakiwa kumuunga mkono ili mradi huo upande faida apate alie anzisha na faida zitakua kubwa kwa taifa ila waliobaki hao viongoz bure tu hizo bilion 5 wangewekeza serkal ya tanzania wallah inchi ingejitangaza kwa mambo mingi sana ya muhimu yanayotumika zaid na binaadam dunian

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 2 lety +1

    Akili zako ni nyingi.MUNGU alikupa maono

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 Před 2 lety +1

    mbona kama wanavuna hajijakomaa hizo parachichi au ndio zilivyo ❔❓

    • @afyandogo
      @afyandogo Před 2 lety

      ndio za hivohivo hizo ni bading sio za kienyeji

    • @energeticmbn4596
      @energeticmbn4596 Před 2 lety

      Ndo hua yanachumwa kabla hayajawa meusi

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před 2 lety +1

      Ukila parachichi ya Njombe haya ya kutoka kwingine utayakataa kabisa nayapenda kila nikienda Njombe lazima nile

    • @sophiaabdallah7821
      @sophiaabdallah7821 Před 2 lety

      @@dicksonkilupa2258 sanaaaa yana ladha fulanii hivii amazing had nmeyataman kitaambo sanaa

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Před 2 lety

    Xwety hom Njombe town

  • @ycind4957
    @ycind4957 Před 2 lety

    Kama mtu anahitaji Miche naipataje

  • @edson2450
    @edson2450 Před 2 lety +1

    Ngole anaongea kama mtu vile😃😃

    • @boniphacekatunzi7865
      @boniphacekatunzi7865 Před 2 lety

      Kumbe sio mtuu ee?

    • @alamubravo512
      @alamubravo512 Před 2 lety

      Umenifanya nicheke 🤣😆😆😆😆😆🤣🤣

    • @masatumnyoro2350
      @masatumnyoro2350 Před 2 lety

      Kama kawaida watu kama nyie huwa mpo tu

    • @aristidessebastiantibaijuk6511
      @aristidessebastiantibaijuk6511 Před 2 lety

      Inabidi kumsifia aliyetenda mema sio kumkatisha tamaa tusije kuonekana wachawi

    • @edson2450
      @edson2450 Před 2 lety

      @@aristidessebastiantibaijuk6511 Pesa anazo kweli, nilichoongea unamjua ngole aliyekua anamsuta ndugai? Ndio huyu?

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Před 2 lety +2

    Uyoo jamaa ni mkwer anamashamba zaid ya ekal kumiii

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety +1

    CCTV CAMERA YA ASILI
    DAWA YA KUKUPA MAONO JUU YA MAISHA YAKO YA BAADAE.NA YA SASA ITAKUONYESHA MADUI ZAKO.WOTE.
    NAWAPI UNAKO TOKA NA WAPI UNAKOELEKEA NA VITU GANI VITAKUTOKEA MBELENI
    USIVYO VIJUA
    m.czcams.com/video/VmXMsHmQ4ZY/video.html

  • @idefonsiwilla7747
    @idefonsiwilla7747 Před 2 lety +2

    Hongera Erasto Ngole

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 2 lety +1

    Hongera sana

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety +1

    CCTV CAMERA YA ASILI
    DAWA YA KUKUPA MAONO JUU YA MAISHA YAKO YA BAADAE.NA YA SASA ITAKUONYESHA MADUI ZAKO.WOTE.
    NAWAPI UNAKO TOKA NA WAPI UNAKOELEKEA NA VITU GANI VITAKUTOKEA MBELENI
    USIVYO VIJUA
    m.czcams.com/video/VmXMsHmQ4ZY/video.html