Wakaazi wa Kisii walazimika kukesha nje kutokana na mianya ya nyumba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2020
  • Huku serikali ikitoa amri ya kutotoka nje kudhibiti virusi vya corona nchini, katika kijiji cha emesa mugirango kusini kaunti ya Kisii, wananchi walilazimika kukesha nje ya nyumba zao kwani zaidi ya nyumba 100 zimeanza kuporomoka.

Komentáře • 28