@@Manimajura ndio maana mwakosea, fwateni mtume alivofanya. Na wale watu wakutaka dalili kwa kila kitu jee hili la kufwata saudi lina dalili?? Ama mwafwata hizo TV tu?? Na hizo TV na Simu ukiangalia vizuri mashekhe wa saudi wasema kila mtu afwate mwezi wao..... wakati wa corona watu walifwata wapi???
@@majidsaid08 nilichomaanisha hao wanaofuata Saudia hawana sababu za msingi. Ni kwamba sasahivi kuna simu, tv na internet mana ndo kitu pekee kinachowaweza kuwafanya wajue muandamo wa mwezi wa Saudia lakini tuwaulize kabla ya kuwepo vitu hivo tarehe zao walizikipata vipi kama si kuangalia miandamo katika maeneo yao. Na kama ni hivyo wasema je uislam wa wakati huo ulikuwa haujakamilika sababu hakukuwa na Teknolojia?. So dalili sio za kifiqhi bali ni za kutumia akili zaidi na teknolojia
@@habibmayike7463 wewe unajua maana ya kafiri, sista you have to learn, hawa sheikh wasikupoteshe. bendera ya saudi ni Tawhid kwanza fahamu hivyo pili ummah yetu ilianzia huko,
Eti makulafi 😂😂😂😂😂 we wajua wasema nini hata ama ndiyo nyinyi wa propaganda.....kwanza kasema wapi hataki kadhi ama wanachukia Suudia!? Elimu muhimu usiitwe tu mwislamu bro
Kwenye saumu ya ramadhani tumeambiwa tufunge tukiona mwezi na kuleni mukiona mwezi, hii ya Arafat tumeambiwa yaumu Arafat siku mahujaji watakapokuwa Arafat sasa tumfuwate MTUME na Mahujaji na Kadhi au tuwafute hawa MAMUFTI ? mbona mnatukoroga Akili? Wallahi yasikitisha hivi mnavyo tupeleka😢
Kwani masaa ya Saudia na Kenya yanatofautia? Kama Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha kua kwenye mwezi wa Eid-Ul Hijja tuwafuate mahujaji mpaka watakapo kamilisha umra, mbona wewe unachanganya watu. Hakuna mwezi wa Saudia wala mwezi wa Kenya, tunatofautia hali za kianga tu, kwa wenzetu nchi za Arabuni ni jangwa na nirahisi kuwona mwezi, na sisi hali ya anga kwetu inakua ya kiza na miti imejaa kila mahali. Kisha pili kwa wenzetu wanakila aina ya vifaa vya kisasa vya kuangalia hali ya anga na wanao fanya kazi hio wote ni waislamu, lakini kwenye hatuna vifaa kama vyao na isitoshe wanao fanya kazi hio na kutangaza ni wasio kua waislamu, So mwezi ukiambiwa umeonekana Saudia kubali kwa sababu alie kuambia ni muislamu mwenzako na sie kafiri na Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha waislamu tuwe ni wenye kuaminiana inapo tokea jambo lenye na ushahidi
Wacha kuongea mambo usioyafahamu Wakati WA MTUME mwezi ulikuwa ukivutwa na microscope? Ama wakati WA MTUME kulikuwa na tv kusema watu watizame mahujaj? Saud wao walishatengeza calendar yao so ata mwezi usipotoka lazima watalazimisha tu na hii Kwa Taarifa yako sio EIDUL-HAJ NI EIDUL-KAADA AMA EIDUL-ADHUKHA
Bora tupiganie kuondosha MUGOKAA pwani haya ya mwezi hayanafaida yoyote ni kuonesha a ubabe wa nani anae faa kufuatwa na muislamu zaidi ya mwengine nani mmwenye elimu kumshinda mwengine nani bora kushinda mwingine haya hayatotusaidia na lolote.
Ok so suudia akikupangia haji usiende kwa sababu calender yako na zao pia haziko SAWA basi hapo itabidi mupangei hijja zenu Maana muko nyuma na siku moja
ASSALLAMU ALAIKUM, Jamia Mosque hawakusema wanafuta Saudia Sheikh. Mwezi huonekana mara nyingi North Eastern na kule pia kuna waislamu wanaomuogopa Allah. Mtu huwa hasemi tu ameuona mwezi halafu anaaminiwa la. Kwani tunataka mtu auwone mwezi halafu anyamaze kwa kuwa umeonekana saudia? hebu kwanza mtu anieleze tumepishana na saudia kwa masaa mangapi au siku ngapi? kabla twendelee na huu mjadala wa mwezi
Basi na vipindi vya Sala tufuate saudia Basi na mida ya Sala tufuate saudia na mida kufuturu vilevile maana tunatakiwa kufuata majira ya saudia sio mahali ulipo
Chief kadhi mwezi wa mfunguo tatu aliutangaza tangu mfunguo mosi siku mwezi uliyo onekana saudia kwa tarehe ya chief kadhi ya mwezi wa kenya ilikua ni mwezi 28 sasa ilikuaje kuonekana mwezi tarehe 28 ni geni hilo kwaiyo yoyote atakae kuja na rai zipinganazo na dalili hata km ni mwanachuoni gani hatofatwa
Izuddy mawahabi hawakuwa na midomomidomo na ufedhuli na dharau kama yiyi waliamua tu kufwata msimamo wao hakuna viclip wala kelekele lakini yiyi makhurafi midomo keleji dharau kuwa,na kukangaya ummah hio ndio tatizo.
Wewe wahabi twambieni mlimuhalifu chief kadhi kwenye Eidul fitri au la. Mawahabi tushawajua hawana haja ya dini wao lao kubwa nikubadilisha ibada ziendane na siasa za Saudia
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
Swali linakuja, je mafungamano hayo yawe yamefungamanishwa na zama fulani tuu wakati wa mtume maswahaba na salafi wema walio tangulia na kabla ya miaka mia mafungamano ayo yalikua yapatikana vp fikiria jambo hili kisha ujue kuna siasa kubwa inaendelea
Hija kwa kauli yenye nguvu ilifaradhiwa mwaka wa tisa kabla ya kufaradhiwa hija watu walikua wakila eid na kufunga siku ya arafa je ni mahujaji gani walio wakitazamwa ili mafungamano yapatikane? Na baada ya kufaradhiwa hija lini mtume alipo kua madina aliulizia tarehe ya makkah ili wasikhalifiyane
Lau watu nchi ikiona mbele ya saudia ikawa tisa yao ni nane saudia wataangalia mafungamano gani hao? na hilo lawezekana eid ya mfunguo mosi juzi kuna nchi Africa km mali na zengine zilitangaza kuona mwezi kabla ya saudia na lakushangaza wasemao mwezi wa kimataifa hawakuwafuata
Ni dalili gani iliyo kuja kuhusisha mwezi kuwa ni lazima saudia au ni lazima mwezi wa mfunguo tatu uonekane saudia? Pili ikiwa ni lazima mwezi uwe mmoja dunia nzima tena uwe ni wa saudia tuu ilikua kuna haja gani mtume kusema fungeni kwa kuonekana mwezi na mufunguwe kwa kuonekana mwezi ikiwa kutakua na mawingu kamilisheni hesabu 30 je yawezekana ulimwengu nzima kuwe na mawingu akili lazima itumike
بارك الله فيك
Subhanallah wamefanikiwa Wazayuni kazi ya kuwaparaganya Waislam hilo hazionekani na ndii wanatuuwa kuliko kuku bado tu sie hatufaham
Kuwani Leo tusi fuate kitambu tulikuwa tuna sema tufate yeye .tena hi ni arafah hakuna arafa mpili
Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.
TUKO PAMOJA USTADH WETU 👍🏼
Hii nchi yako unayoishi imeekwa mipaka kwa aya gani? Au hadithi gani?
Shukran Wajazaka Allah kheir Habib
أعزك الله يا أخي العزيز
اسال الله ان يجمعنا على الخير و الحق
اللهم ردنا الى دينك رداً جميلا
Ajabu ni moja mufuatao saudia.hakuna hata siku moja saudia hakubali mwezi wa nchi nyengine wao ndio wamekamilika
Wafuasi wa saudia hebu niambieni sababu za msingi kuwa lazima mufwate huko ndivyo mtume alivyofanya ama alivyo tuambia tufanye????
Sababu kuna Tv, internet na simu tu si zaidi ya hapo.
@@Manimajura ndio maana mwakosea, fwateni mtume alivofanya. Na wale watu wakutaka dalili kwa kila kitu jee hili la kufwata saudi lina dalili?? Ama mwafwata hizo TV tu?? Na hizo TV na Simu ukiangalia vizuri mashekhe wa saudi wasema kila mtu afwate mwezi wao..... wakati wa corona watu walifwata wapi???
@@majidsaid08 nilichomaanisha hao wanaofuata Saudia hawana sababu za msingi. Ni kwamba sasahivi kuna simu, tv na internet mana ndo kitu pekee kinachowaweza kuwafanya wajue muandamo wa mwezi wa Saudia lakini tuwaulize kabla ya kuwepo vitu hivo tarehe zao walizikipata vipi kama si kuangalia miandamo katika maeneo yao. Na kama ni hivyo wasema je uislam wa wakati huo ulikuwa haujakamilika sababu hakukuwa na Teknolojia?. So dalili sio za kifiqhi bali ni za kutumia akili zaidi na teknolojia
Arafah Ni moja..wacheni kupoteza watu.
Ikiwa tumemukhalifu cheif Qadhi basi wao wametangulia kufanya hivo.
sheekh mbona una chuki sana na saudi
analipwa na oman😂
Saudi imetawalwa na makafiri thats why
@@habibmayike7463 wewe unajua maana ya kafiri, sista you have to learn, hawa sheikh wasikupoteshe.
bendera ya saudi ni Tawhid kwanza fahamu hivyo pili ummah yetu ilianzia huko,
Kuna WENGINE ni washindani ustadh kusoma ni tamu mm hata nikiwa usingizini siwafuati vilemba
🤣🤣🤣🤣KWAIYO MKO NA CHUKI NA SAUDIA NYIE MNACHUKI NA CHIF KADHI MAKHULAFI HAMUMTAKI CHIF KADHI KAWABANA KWA MBAVU
Eti makulafi 😂😂😂😂😂 we wajua wasema nini hata ama ndiyo nyinyi wa propaganda.....kwanza kasema wapi hataki kadhi ama wanachukia Suudia!? Elimu muhimu usiitwe tu mwislamu bro
Izzudin fuata Quran Na Sunnah...Wacha mchezo katika Dini.
Kwenye saumu ya ramadhani tumeambiwa tufunge tukiona mwezi na kuleni mukiona mwezi, hii ya Arafat tumeambiwa yaumu Arafat siku mahujaji watakapokuwa Arafat sasa tumfuwate MTUME na Mahujaji na Kadhi au tuwafute hawa MAMUFTI ? mbona mnatukoroga Akili? Wallahi yasikitisha hivi mnavyo tupeleka😢
Wallahi wapenda fitna sasa tukufuate wewe kadhi
Kwani masaa ya Saudia na Kenya yanatofautia? Kama Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha kua kwenye mwezi wa Eid-Ul Hijja tuwafuate mahujaji mpaka watakapo kamilisha umra, mbona wewe unachanganya watu. Hakuna mwezi wa Saudia wala mwezi wa Kenya, tunatofautia hali za kianga tu, kwa wenzetu nchi za Arabuni ni jangwa na nirahisi kuwona mwezi, na sisi hali ya anga kwetu inakua ya kiza na miti imejaa kila mahali. Kisha pili kwa wenzetu wanakila aina ya vifaa vya kisasa vya kuangalia hali ya anga na wanao fanya kazi hio wote ni waislamu, lakini kwenye hatuna vifaa kama vyao na isitoshe wanao fanya kazi hio na kutangaza ni wasio kua waislamu, So mwezi ukiambiwa umeonekana Saudia kubali kwa sababu alie kuambia ni muislamu mwenzako na sie kafiri na Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha waislamu tuwe ni wenye kuaminiana inapo tokea jambo lenye na ushahidi
tarehe yake ya hijr iko nyuma na siku moja
Wacha kuongea mambo usioyafahamu Wakati WA MTUME mwezi ulikuwa ukivutwa na microscope? Ama wakati WA MTUME kulikuwa na tv kusema watu watizame mahujaj? Saud wao walishatengeza calendar yao so ata mwezi usipotoka lazima watalazimisha tu na hii Kwa Taarifa yako sio EIDUL-HAJ NI EIDUL-KAADA AMA EIDUL-ADHUKHA
Swadakta sheikh Izudin
Hakuna Cha wao wala wale. Hakuna arafa mbili ikiwa mnajua haswa Makkah watu wako arafa.
Bora tupiganie kuondosha MUGOKAA pwani haya ya mwezi hayanafaida yoyote ni kuonesha a ubabe wa nani anae faa kufuatwa na muislamu zaidi ya mwengine nani mmwenye elimu kumshinda mwengine nani bora kushinda mwingine haya hayatotusaidia na lolote.
Ok so suudia akikupangia haji usiende kwa sababu calender yako na zao pia haziko SAWA
basi hapo itabidi mupangei hijja zenu
Maana muko nyuma na siku moja
ASSALLAMU ALAIKUM, Jamia Mosque hawakusema wanafuta Saudia Sheikh. Mwezi huonekana mara nyingi North Eastern na kule pia kuna waislamu wanaomuogopa Allah. Mtu huwa hasemi tu ameuona mwezi halafu anaaminiwa la. Kwani tunataka mtu auwone mwezi halafu anyamaze kwa kuwa umeonekana saudia? hebu kwanza mtu anieleze tumepishana na saudia kwa masaa mangapi au siku ngapi? kabla twendelee na huu mjadala wa mwezi
Basi na vipindi vya Sala tufuate saudia Basi na mida ya Sala tufuate saudia na mida kufuturu vilevile maana tunatakiwa kufuata majira ya saudia sio mahali ulipo
❤❤❤
صومو يوم غرفة mtume wetu hakutaja tarehe hapo, alitaja siku ya Arafa 4:36 , sikama ile hadith ya kufunga Ashura na tssuaay
Mnajipiteza wenyewe hamna ila ubishi wenu tu
Utajibiwa huna point muhimu.... kama mnavoeneza propaganda potofu kuhusu Saudi....ungefuata jamaica Mufti JAmaica
Mahurafy walikataa toka mwanzo alivotangazwa new chief kadhi.nawao apo apo wakatengeza mufti wao,ambae hapajawi kuwepo
Fatwa chief council ina miaka mitatu Saa hii uko uko Tu ww😂😂
Chief kadhi mwezi wa mfunguo tatu aliutangaza tangu mfunguo mosi siku mwezi uliyo onekana saudia kwa tarehe ya chief kadhi ya mwezi wa kenya ilikua ni mwezi 28 sasa ilikuaje kuonekana mwezi tarehe 28 ni geni hilo kwaiyo yoyote atakae kuja na rai zipinganazo na dalili hata km ni mwanachuoni gani hatofatwa
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Sheikhi Takfiri waa shibu
Hii dini sio yenu mnafanya mtakavyo Ramadan hatufuati Saudia alafu hajj tuko na wao 😂😂😂
Urongo kwanza, eid ya kwanza tulifungua sote
Bila kupepesa macho answari Sunnah,salafi wameamua kwa makisudi kuwakhalifu mashekhe wao wakisunnah jua likiwa linawaka.
WA KWANZA KUMKHALIFU CHIEF QADHI NI CHIEF QADHI MWENYEWE KISHA WAKAFUATIA MAWAHABI NA WANATWARIQA WAKAWASHANGILIA.
Oooooo! Kumbe wao wamekhalifu wakati wa ramadhan na nyinyi mmelipisha saa hii
Chief kadhi hajitambui.hajijui ni chief kadhi wa kenya au wa Saudia
@@abiabi9353 shia we nenda Iran,
Sheikh izudin kila moya afwate yake mbona mupige kee nana hio
Haya hayamaliziki mpaka wewe ukubali kuwa huhistahiki kuzungumza mas,ala kama haya wewe ni youtuber tu
Mbona mwaendeleza ugomvi mwazidi kugawanya ummah. Hii ni makosa makubwa. Ushindani huu ni wa kujijengea majina tu na wafuasi.
Hakuna mtu amemkhalifu chief kadhi bali masufi wameamua kukataa amri yake😂😂😂
Je nyinyi mawahabi mlifata amri ya kadhi katika eidul fitri?
@@abiabi9353 shia toka hapo na uende kwa mashia wenzio
huyu bwana عز بدعة والضلالة
Ww mwenye dwalala
Sisi watu wa sunnah miaka yote msimamo wetu ni wa kokote.chief qadhi alikuwa kwenu pia naye sasa afata haqqi.usiume maneno shekhe
Izuddy mawahabi hawakuwa na midomomidomo na ufedhuli na dharau kama yiyi waliamua tu kufwata msimamo wao hakuna viclip wala kelekele lakini yiyi makhurafi midomo keleji dharau kuwa,na kukangaya ummah hio ndio tatizo.
Kweli kabisa mawahabi watu wa fitna kubwa sana
Sheikh wetu izudin kama unamchanganya ummah kusudi mungu akupe mtihani duniani na aakhira
Wewe wahabi twambieni mlimuhalifu chief kadhi kwenye Eidul fitri au la. Mawahabi tushawajua hawana haja ya dini wao lao kubwa nikubadilisha ibada ziendane na siasa za Saudia
Na hii dua imfikie kila mwenye malengo hayo,si Sayyid Izzuddin pekeake
Dua ya kuku haimpati mwewe
@@abiabi9353 shia toka hapo, uende kwa mashia wenzio
@@answarmohamed4564 ameen
Sheikh izudin tunakuelewa sana, tuko pamoja nawe
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
Swali linakuja, je mafungamano hayo yawe yamefungamanishwa na zama fulani tuu wakati wa mtume maswahaba na salafi wema walio tangulia na kabla ya miaka mia mafungamano ayo yalikua yapatikana vp fikiria jambo hili kisha ujue kuna siasa kubwa inaendelea
Hija kwa kauli yenye nguvu ilifaradhiwa mwaka wa tisa kabla ya kufaradhiwa hija watu walikua wakila eid na kufunga siku ya arafa je ni mahujaji gani walio wakitazamwa ili mafungamano yapatikane? Na baada ya kufaradhiwa hija lini mtume alipo kua madina aliulizia tarehe ya makkah ili wasikhalifiyane
Lau watu nchi ikiona mbele ya saudia ikawa tisa yao ni nane saudia wataangalia mafungamano gani hao? na hilo lawezekana eid ya mfunguo mosi juzi kuna nchi Africa km mali na zengine zilitangaza kuona mwezi kabla ya saudia na lakushangaza wasemao mwezi wa kimataifa hawakuwafuata
Ni dalili gani iliyo kuja kuhusisha mwezi kuwa ni lazima saudia au ni lazima mwezi wa mfunguo tatu uonekane saudia? Pili ikiwa ni lazima mwezi uwe mmoja dunia nzima tena uwe ni wa saudia tuu ilikua kuna haja gani mtume kusema fungeni kwa kuonekana mwezi na mufunguwe kwa kuonekana mwezi ikiwa kutakua na mawingu kamilisheni hesabu 30 je yawezekana ulimwengu nzima kuwe na mawingu akili lazima itumike
Bila ya tv na internet watu walifungaje ? Apo ndo utapata majibu yote
Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.