JE NI NANI ALIYEMUKHALIFU CHIF KADHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 85

  • @maalimjumabinmuhammad6128
    @maalimjumabinmuhammad6128 Před 3 měsíci +7

    بارك الله فيك

  • @w4058
    @w4058 Před 3 měsíci +1

    Subhanallah wamefanikiwa Wazayuni kazi ya kuwaparaganya Waislam hilo hazionekani na ndii wanatuuwa kuliko kuku bado tu sie hatufaham

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf Před 3 měsíci +3

    Kuwani Leo tusi fuate kitambu tulikuwa tuna sema tufate yeye .tena hi ni arafah hakuna arafa mpili

  • @genius0045
    @genius0045 Před 2 měsíci

    Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 Před 3 měsíci +3

    TUKO PAMOJA USTADH WETU 👍🏼

  • @adilmansur4177
    @adilmansur4177 Před 3 měsíci +1

    Hii nchi yako unayoishi imeekwa mipaka kwa aya gani? Au hadithi gani?

  • @Abdulrahman.84
    @Abdulrahman.84 Před 3 měsíci +1

    Shukran Wajazaka Allah kheir Habib

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 měsíci

    أعزك الله يا أخي العزيز
    اسال الله ان يجمعنا على الخير و الحق
    اللهم ردنا الى دينك رداً جميلا

  • @user-nr4xd4lh5s
    @user-nr4xd4lh5s Před 2 měsíci

    Ajabu ni moja mufuatao saudia.hakuna hata siku moja saudia hakubali mwezi wa nchi nyengine wao ndio wamekamilika

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 Před 3 měsíci +2

    Wafuasi wa saudia hebu niambieni sababu za msingi kuwa lazima mufwate huko ndivyo mtume alivyofanya ama alivyo tuambia tufanye????

    • @Manimajura
      @Manimajura Před 3 měsíci

      Sababu kuna Tv, internet na simu tu si zaidi ya hapo.

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 Před 3 měsíci

      @@Manimajura ndio maana mwakosea, fwateni mtume alivofanya. Na wale watu wakutaka dalili kwa kila kitu jee hili la kufwata saudi lina dalili?? Ama mwafwata hizo TV tu?? Na hizo TV na Simu ukiangalia vizuri mashekhe wa saudi wasema kila mtu afwate mwezi wao..... wakati wa corona watu walifwata wapi???

    • @Manimajura
      @Manimajura Před 3 měsíci

      @@majidsaid08 nilichomaanisha hao wanaofuata Saudia hawana sababu za msingi. Ni kwamba sasahivi kuna simu, tv na internet mana ndo kitu pekee kinachowaweza kuwafanya wajue muandamo wa mwezi wa Saudia lakini tuwaulize kabla ya kuwepo vitu hivo tarehe zao walizikipata vipi kama si kuangalia miandamo katika maeneo yao. Na kama ni hivyo wasema je uislam wa wakati huo ulikuwa haujakamilika sababu hakukuwa na Teknolojia?. So dalili sio za kifiqhi bali ni za kutumia akili zaidi na teknolojia

  • @DekowMohamedofficial
    @DekowMohamedofficial Před 3 měsíci +2

    Arafah Ni moja..wacheni kupoteza watu.

  • @naimasheikh3055
    @naimasheikh3055 Před 3 měsíci +5

    Ikiwa tumemukhalifu cheif Qadhi basi wao wametangulia kufanya hivo.

  • @nasarsulaiman9549
    @nasarsulaiman9549 Před 3 měsíci +3

    sheekh mbona una chuki sana na saudi

    • @aligeraden3559
      @aligeraden3559 Před 3 měsíci

      analipwa na oman😂

    • @habibmayike7463
      @habibmayike7463 Před 3 měsíci +1

      Saudi imetawalwa na makafiri thats why

    • @aligeraden3559
      @aligeraden3559 Před 3 měsíci

      @@habibmayike7463 wewe unajua maana ya kafiri, sista you have to learn, hawa sheikh wasikupoteshe.
      bendera ya saudi ni Tawhid kwanza fahamu hivyo pili ummah yetu ilianzia huko,

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 Před 3 měsíci +1

    Kuna WENGINE ni washindani ustadh kusoma ni tamu mm hata nikiwa usingizini siwafuati vilemba

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852 Před 3 měsíci +1

    🤣🤣🤣🤣KWAIYO MKO NA CHUKI NA SAUDIA NYIE MNACHUKI NA CHIF KADHI MAKHULAFI HAMUMTAKI CHIF KADHI KAWABANA KWA MBAVU

    • @Mohammad_shidogo
      @Mohammad_shidogo Před 3 měsíci

      Eti makulafi 😂😂😂😂😂 we wajua wasema nini hata ama ndiyo nyinyi wa propaganda.....kwanza kasema wapi hataki kadhi ama wanachukia Suudia!? Elimu muhimu usiitwe tu mwislamu bro

  • @AbdallaAbdalla-ib9hv
    @AbdallaAbdalla-ib9hv Před 2 měsíci

    Izzudin fuata Quran Na Sunnah...Wacha mchezo katika Dini.

  • @chozilasamakikachumbari6705
    @chozilasamakikachumbari6705 Před 3 měsíci

    Kwenye saumu ya ramadhani tumeambiwa tufunge tukiona mwezi na kuleni mukiona mwezi, hii ya Arafat tumeambiwa yaumu Arafat siku mahujaji watakapokuwa Arafat sasa tumfuwate MTUME na Mahujaji na Kadhi au tuwafute hawa MAMUFTI ? mbona mnatukoroga Akili? Wallahi yasikitisha hivi mnavyo tupeleka😢

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u Před 3 měsíci +1

    Wallahi wapenda fitna sasa tukufuate wewe kadhi

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Před 3 měsíci +1

    Kwani masaa ya Saudia na Kenya yanatofautia? Kama Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha kua kwenye mwezi wa Eid-Ul Hijja tuwafuate mahujaji mpaka watakapo kamilisha umra, mbona wewe unachanganya watu. Hakuna mwezi wa Saudia wala mwezi wa Kenya, tunatofautia hali za kianga tu, kwa wenzetu nchi za Arabuni ni jangwa na nirahisi kuwona mwezi, na sisi hali ya anga kwetu inakua ya kiza na miti imejaa kila mahali. Kisha pili kwa wenzetu wanakila aina ya vifaa vya kisasa vya kuangalia hali ya anga na wanao fanya kazi hio wote ni waislamu, lakini kwenye hatuna vifaa kama vyao na isitoshe wanao fanya kazi hio na kutangaza ni wasio kua waislamu, So mwezi ukiambiwa umeonekana Saudia kubali kwa sababu alie kuambia ni muislamu mwenzako na sie kafiri na Mtume Muhammad (S. A. W) alifundisha waislamu tuwe ni wenye kuaminiana inapo tokea jambo lenye na ushahidi

    • @aligeraden3559
      @aligeraden3559 Před 3 měsíci

      tarehe yake ya hijr iko nyuma na siku moja

    • @saidhassan9201
      @saidhassan9201 Před 2 měsíci

      Wacha kuongea mambo usioyafahamu Wakati WA MTUME mwezi ulikuwa ukivutwa na microscope? Ama wakati WA MTUME kulikuwa na tv kusema watu watizame mahujaj? Saud wao walishatengeza calendar yao so ata mwezi usipotoka lazima watalazimisha tu na hii Kwa Taarifa yako sio EIDUL-HAJ NI EIDUL-KAADA AMA EIDUL-ADHUKHA

  • @hakimtamimi26
    @hakimtamimi26 Před 3 měsíci +3

    Swadakta sheikh Izudin

  • @binpodah6003
    @binpodah6003 Před 3 měsíci

    Hakuna Cha wao wala wale. Hakuna arafa mbili ikiwa mnajua haswa Makkah watu wako arafa.

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Před 3 měsíci

    Bora tupiganie kuondosha MUGOKAA pwani haya ya mwezi hayanafaida yoyote ni kuonesha a ubabe wa nani anae faa kufuatwa na muislamu zaidi ya mwengine nani mmwenye elimu kumshinda mwengine nani bora kushinda mwingine haya hayatotusaidia na lolote.

  • @hassanidha3744
    @hassanidha3744 Před 3 měsíci

    Ok so suudia akikupangia haji usiende kwa sababu calender yako na zao pia haziko SAWA
    basi hapo itabidi mupangei hijja zenu
    Maana muko nyuma na siku moja

  • @abdallahkambi3613
    @abdallahkambi3613 Před 3 měsíci

    ASSALLAMU ALAIKUM, Jamia Mosque hawakusema wanafuta Saudia Sheikh. Mwezi huonekana mara nyingi North Eastern na kule pia kuna waislamu wanaomuogopa Allah. Mtu huwa hasemi tu ameuona mwezi halafu anaaminiwa la. Kwani tunataka mtu auwone mwezi halafu anyamaze kwa kuwa umeonekana saudia? hebu kwanza mtu anieleze tumepishana na saudia kwa masaa mangapi au siku ngapi? kabla twendelee na huu mjadala wa mwezi

    • @iddihudu9835
      @iddihudu9835 Před 2 měsíci

      Basi na vipindi vya Sala tufuate saudia Basi na mida ya Sala tufuate saudia na mida kufuturu vilevile maana tunatakiwa kufuata majira ya saudia sio mahali ulipo

  • @MahmoudMwacharo
    @MahmoudMwacharo Před 3 měsíci

    ❤❤❤

  • @hassanislam1796
    @hassanislam1796 Před 3 měsíci

    صومو يوم غرفة mtume wetu hakutaja tarehe hapo, alitaja siku ya Arafa 4:36 , sikama ile hadith ya kufunga Ashura na tssuaay

  • @w4058
    @w4058 Před 3 měsíci

    Mnajipiteza wenyewe hamna ila ubishi wenu tu

  • @fahadhussein4846
    @fahadhussein4846 Před 3 měsíci

    Utajibiwa huna point muhimu.... kama mnavoeneza propaganda potofu kuhusu Saudi....ungefuata jamaica Mufti JAmaica

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Před 3 měsíci +3

    Mahurafy walikataa toka mwanzo alivotangazwa new chief kadhi.nawao apo apo wakatengeza mufti wao,ambae hapajawi kuwepo

    • @answarmohamed4564
      @answarmohamed4564 Před 3 měsíci

      Fatwa chief council ina miaka mitatu Saa hii uko uko Tu ww😂😂

    • @user-ps1fj4uc4g
      @user-ps1fj4uc4g Před 3 měsíci

      Chief kadhi mwezi wa mfunguo tatu aliutangaza tangu mfunguo mosi siku mwezi uliyo onekana saudia kwa tarehe ya chief kadhi ya mwezi wa kenya ilikua ni mwezi 28 sasa ilikuaje kuonekana mwezi tarehe 28 ni geni hilo kwaiyo yoyote atakae kuja na rai zipinganazo na dalili hata km ni mwanachuoni gani hatofatwa

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 3 měsíci

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 3 měsíci

    Sheikhi Takfiri waa shibu

  • @rashidmohamed2626
    @rashidmohamed2626 Před 3 měsíci

    Hii dini sio yenu mnafanya mtakavyo Ramadan hatufuati Saudia alafu hajj tuko na wao 😂😂😂

  • @BarkeEnterprises
    @BarkeEnterprises Před 3 měsíci

    Urongo kwanza, eid ya kwanza tulifungua sote

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Před 3 měsíci

    Bila kupepesa macho answari Sunnah,salafi wameamua kwa makisudi kuwakhalifu mashekhe wao wakisunnah jua likiwa linawaka.

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Před 3 měsíci

    WA KWANZA KUMKHALIFU CHIEF QADHI NI CHIEF QADHI MWENYEWE KISHA WAKAFUATIA MAWAHABI NA WANATWARIQA WAKAWASHANGILIA.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 měsíci

    Oooooo! Kumbe wao wamekhalifu wakati wa ramadhan na nyinyi mmelipisha saa hii

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Chief kadhi hajitambui.hajijui ni chief kadhi wa kenya au wa Saudia

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      @@abiabi9353 shia we nenda Iran,

  • @mohamedadam7880
    @mohamedadam7880 Před 3 měsíci

    Sheikh izudin kila moya afwate yake mbona mupige kee nana hio

  • @user-vd5ws1ij9b
    @user-vd5ws1ij9b Před 3 měsíci +1

    Haya hayamaliziki mpaka wewe ukubali kuwa huhistahiki kuzungumza mas,ala kama haya wewe ni youtuber tu

  • @fedhyful
    @fedhyful Před 3 měsíci +1

    Mbona mwaendeleza ugomvi mwazidi kugawanya ummah. Hii ni makosa makubwa. Ushindani huu ni wa kujijengea majina tu na wafuasi.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 měsíci +3

    Hakuna mtu amemkhalifu chief kadhi bali masufi wameamua kukataa amri yake😂😂😂

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Je nyinyi mawahabi mlifata amri ya kadhi katika eidul fitri?

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      @@abiabi9353 shia toka hapo na uende kwa mashia wenzio

  • @MuhammadJaffary-uu6zl
    @MuhammadJaffary-uu6zl Před 3 měsíci

    huyu bwana عز بدعة والضلالة

  • @arrisalastriker9813
    @arrisalastriker9813 Před 3 měsíci

    Sisi watu wa sunnah miaka yote msimamo wetu ni wa kokote.chief qadhi alikuwa kwenu pia naye sasa afata haqqi.usiume maneno shekhe

  • @Captainome
    @Captainome Před 3 měsíci

    Izuddy mawahabi hawakuwa na midomomidomo na ufedhuli na dharau kama yiyi waliamua tu kufwata msimamo wao hakuna viclip wala kelekele lakini yiyi makhurafi midomo keleji dharau kuwa,na kukangaya ummah hio ndio tatizo.

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 3 měsíci

    Kweli kabisa mawahabi watu wa fitna kubwa sana

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 měsíci

    Sheikh wetu izudin kama unamchanganya ummah kusudi mungu akupe mtihani duniani na aakhira

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Wewe wahabi twambieni mlimuhalifu chief kadhi kwenye Eidul fitri au la. Mawahabi tushawajua hawana haja ya dini wao lao kubwa nikubadilisha ibada ziendane na siasa za Saudia

    • @answarmohamed4564
      @answarmohamed4564 Před 3 měsíci +1

      Na hii dua imfikie kila mwenye malengo hayo,si Sayyid Izzuddin pekeake

    • @mwanakheri2880
      @mwanakheri2880 Před 3 měsíci

      Dua ya kuku haimpati mwewe

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      @@abiabi9353 shia toka hapo, uende kwa mashia wenzio

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      @@answarmohamed4564 ameen

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi Před 3 měsíci

    Sheikh izudin tunakuelewa sana, tuko pamoja nawe

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir Před 3 měsíci +2

    MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.

    • @user-ps1fj4uc4g
      @user-ps1fj4uc4g Před 3 měsíci +1

      Swali linakuja, je mafungamano hayo yawe yamefungamanishwa na zama fulani tuu wakati wa mtume maswahaba na salafi wema walio tangulia na kabla ya miaka mia mafungamano ayo yalikua yapatikana vp fikiria jambo hili kisha ujue kuna siasa kubwa inaendelea

    • @user-ps1fj4uc4g
      @user-ps1fj4uc4g Před 3 měsíci +1

      Hija kwa kauli yenye nguvu ilifaradhiwa mwaka wa tisa kabla ya kufaradhiwa hija watu walikua wakila eid na kufunga siku ya arafa je ni mahujaji gani walio wakitazamwa ili mafungamano yapatikane? Na baada ya kufaradhiwa hija lini mtume alipo kua madina aliulizia tarehe ya makkah ili wasikhalifiyane

    • @user-ps1fj4uc4g
      @user-ps1fj4uc4g Před 3 měsíci +1

      Lau watu nchi ikiona mbele ya saudia ikawa tisa yao ni nane saudia wataangalia mafungamano gani hao? na hilo lawezekana eid ya mfunguo mosi juzi kuna nchi Africa km mali na zengine zilitangaza kuona mwezi kabla ya saudia na lakushangaza wasemao mwezi wa kimataifa hawakuwafuata

    • @user-ps1fj4uc4g
      @user-ps1fj4uc4g Před 3 měsíci +1

      Ni dalili gani iliyo kuja kuhusisha mwezi kuwa ni lazima saudia au ni lazima mwezi wa mfunguo tatu uonekane saudia? Pili ikiwa ni lazima mwezi uwe mmoja dunia nzima tena uwe ni wa saudia tuu ilikua kuna haja gani mtume kusema fungeni kwa kuonekana mwezi na mufunguwe kwa kuonekana mwezi ikiwa kutakua na mawingu kamilisheni hesabu 30 je yawezekana ulimwengu nzima kuwe na mawingu akili lazima itumike

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Před 3 měsíci

      Bila ya tv na internet watu walifungaje ? Apo ndo utapata majibu yote

  • @genius0045
    @genius0045 Před 2 měsíci

    Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.