NENO LA SIKU | Marko 2 | Maombi Ya Kushinda Vikwazo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2024
  • Leo tunasoma kitabu cha Marko sura ya pili, na tunaenda kufanya maombi ya kushinda vikwazo. Katik maisha tunayoishi hapa duniani, shetani anapambana kuhakikisha anaturudisha nyuma. Na moja ya mbinu anazotumia ni kuinua vikwazo ili kutuzuia tusitimize mapenzi ya Mungu katika maisha yetu.
    Kuna watu wamekata tamaa ya maisha kwa sababu walikutana na vikwazo vilivyowavunja moyo wa kusonga mbele. Wengine wamekata tamaa ya kuomba kwa sababu ya vikwazo walivyokutana navyo kwenye maisha. Lakini Mungu ni mwaminifu, na siku ya leo anaenda kutushindia, na kutuondolea vikwazo vinavyotuzuia tusipige hatua kimaisha na kutimiza kusudi la Mungu.
    Ninakuombea, YESU akupe ushindi mkuu kupitia maombi ya leo. Nakuombea damu ya YESU ifanyike silaha ya ushindi kwenye maombi yako, na Roho Mtakatifu akutie nguvu ya kushinda upinzani wa kiroho unaosimama kinyume na wewe katika ulimwengu wa roho. Nakuombea maisha yako yawe na wepesi, amani, na furaha ndani ya YESU. Mungu akubariki sana na kukutunza milele. Amen!
    Isaac Javan +255 745 76 45 72

Komentáře • 30

  • @HerenaYakobi
    @HerenaYakobi Před 3 měsíci +1

    Amina

  • @user-uz2ic6rk9e
    @user-uz2ic6rk9e Před 3 měsíci +1

    Amen Amen

  • @VeraBarasa
    @VeraBarasa Před 3 měsíci +1

    Amen

  • @sarahsongole485
    @sarahsongole485 Před 3 měsíci +1

    Amen Amen🙌🙌🙏🙏♥️

  • @zitashio7920
    @zitashio7920 Před 2 měsíci +1

    MUNGU akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @rhodamwakatundu5226
    @rhodamwakatundu5226 Před 3 měsíci +2

    Asante Bwana Yesu kwa mafundisho na maombi haya.

  • @user-hz6se7vh4h
    @user-hz6se7vh4h Před 3 měsíci +1

    Amen Asante Mungu 🙏🙏🙏

  • @serinaserina9639
    @serinaserina9639 Před 3 měsíci +1

    Ameen ameen Baba barikiwa Kwa maombi na somo

  • @user-no2ft6xm6j
    @user-no2ft6xm6j Před 3 měsíci +2

    ❤ mungu akubarik san mtumishi wa mungu

  • @NeemaaliceK2546
    @NeemaaliceK2546 Před 3 měsíci +1

    Ee Mungu Baba muumba wa vitu vyote , ninakuomba uniondolee kila kikwazo kinachonizuia Mimi kusinga mbele katika kiimani, kimaisha, na hata kifamilia

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 Před 3 měsíci

    Asante Yesu Amen Amen Amen Amen

  • @user-yt2yj9ye2y
    @user-yt2yj9ye2y Před 3 měsíci

    Amen Amen Asante yesu

  • @lennyfrank
    @lennyfrank Před 2 měsíci

    Amiiiiina Amiiiiina 🙏🙏🙏🙏

  • @NasriHasan-tv7vy
    @NasriHasan-tv7vy Před 2 měsíci

    Amen ubarikiwe mtumishi kwa neno la siku pamoja na maombi yako,naamini Kila kikwazo kimeondolewa kwa jina la yesu kristo

  • @haikashayo4308
    @haikashayo4308 Před 3 měsíci +1

    Barikiwa sana

  • @dorolesmsilu265
    @dorolesmsilu265 Před 2 měsíci

    Naomba kuondolewa vikwazo vyote kwenye maisha yangu na familiya yamgu kwa damu ya Yesu na kwa jina la Yesu amina

  • @rifikbenny2656
    @rifikbenny2656 Před 3 měsíci +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa maombi haya yamekuwa msaada mkubwa sana... namshukuru Mungu sana kwa kunifunulia "NENO LA SIKU" kuwa msaada mkubwa kwangu, Mungu azidi kukuongeza zaidi.

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 Před 2 měsíci

    Amina
    Barikiwa mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI

  • @user-ur4tz9xs7e
    @user-ur4tz9xs7e Před 3 měsíci

    Amen Amen God bless you mon of God

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i Před 3 měsíci

    Aminaa. NAOMBA UWE UNATOA KILA SIKU.❤

  • @user-cw6kk2rw8f
    @user-cw6kk2rw8f Před 2 měsíci

    Amina mtumishi ubalikiwe

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i Před 2 měsíci +1

    Shalom..Naomba utume Marko 7 na 8...nimetafuta sana but sijaona jmn..
    Asante.

  • @nabangijane2331
    @nabangijane2331 Před 2 měsíci

    MUNGU atukuswe mtumisha kwa kweli kuna viwango nasongea barikiwa mtumishi

  • @EsperanceNsabimana
    @EsperanceNsabimana Před 3 měsíci

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 Před 3 měsíci

    Mungu azidi sana kukutumia maana unatuondoa kutoka kwenye kuto kuelewa neno la Mungu mpaka kwenye KUELEWA KUWA MSAADA WA MUNGU UNAPOKELEWA KWA IMANI MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman6628 Před 3 měsíci

    Amen Mtumishi Asante sana 🙏

  • @mkailivin4050
    @mkailivin4050 Před 3 měsíci

    Amen ubarikiwe sana baba

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 Před 3 měsíci +1

    Amen

  • @marlineelipid5952
    @marlineelipid5952 Před 3 měsíci

    Barikiwa sana

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k Před 3 měsíci

    Amen