NENO LA SIKU | Marko 2 | Maombi Ya Kushinda Vikwazo
Vložit
- čas přidán 29. 03. 2024
- Leo tunasoma kitabu cha Marko sura ya pili, na tunaenda kufanya maombi ya kushinda vikwazo. Katik maisha tunayoishi hapa duniani, shetani anapambana kuhakikisha anaturudisha nyuma. Na moja ya mbinu anazotumia ni kuinua vikwazo ili kutuzuia tusitimize mapenzi ya Mungu katika maisha yetu.
Kuna watu wamekata tamaa ya maisha kwa sababu walikutana na vikwazo vilivyowavunja moyo wa kusonga mbele. Wengine wamekata tamaa ya kuomba kwa sababu ya vikwazo walivyokutana navyo kwenye maisha. Lakini Mungu ni mwaminifu, na siku ya leo anaenda kutushindia, na kutuondolea vikwazo vinavyotuzuia tusipige hatua kimaisha na kutimiza kusudi la Mungu.
Ninakuombea, YESU akupe ushindi mkuu kupitia maombi ya leo. Nakuombea damu ya YESU ifanyike silaha ya ushindi kwenye maombi yako, na Roho Mtakatifu akutie nguvu ya kushinda upinzani wa kiroho unaosimama kinyume na wewe katika ulimwengu wa roho. Nakuombea maisha yako yawe na wepesi, amani, na furaha ndani ya YESU. Mungu akubariki sana na kukutunza milele. Amen!
Isaac Javan +255 745 76 45 72
Amina
Amen Amen
Amen
Amen Amen🙌🙌🙏🙏♥️
MUNGU akubariki Mtumishi wa Mungu
Asante Bwana Yesu kwa mafundisho na maombi haya.
Amen Asante Mungu 🙏🙏🙏
Ameen ameen Baba barikiwa Kwa maombi na somo
❤ mungu akubarik san mtumishi wa mungu
Ee Mungu Baba muumba wa vitu vyote , ninakuomba uniondolee kila kikwazo kinachonizuia Mimi kusinga mbele katika kiimani, kimaisha, na hata kifamilia
Asante Yesu Amen Amen Amen Amen
Amen Amen Asante yesu
Amiiiiina Amiiiiina 🙏🙏🙏🙏
Amen ubarikiwe mtumishi kwa neno la siku pamoja na maombi yako,naamini Kila kikwazo kimeondolewa kwa jina la yesu kristo
Barikiwa sana
Naomba kuondolewa vikwazo vyote kwenye maisha yangu na familiya yamgu kwa damu ya Yesu na kwa jina la Yesu amina
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa maombi haya yamekuwa msaada mkubwa sana... namshukuru Mungu sana kwa kunifunulia "NENO LA SIKU" kuwa msaada mkubwa kwangu, Mungu azidi kukuongeza zaidi.
Amina
Barikiwa mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI
Amen Amen God bless you mon of God
Aminaa. NAOMBA UWE UNATOA KILA SIKU.❤
Amina mtumishi ubalikiwe
Shalom..Naomba utume Marko 7 na 8...nimetafuta sana but sijaona jmn..
Asante.
MUNGU atukuswe mtumisha kwa kweli kuna viwango nasongea barikiwa mtumishi
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Mungu azidi sana kukutumia maana unatuondoa kutoka kwenye kuto kuelewa neno la Mungu mpaka kwenye KUELEWA KUWA MSAADA WA MUNGU UNAPOKELEWA KWA IMANI MUNGU AKUBARIKI SANA
Amen Mtumishi Asante sana 🙏
Amen ubarikiwe sana baba
Amen
Barikiwa sana
Amen