SUIT CUTTING JINSI YA KUKATA NA KUSHONA KOTI LA SUIT Part 1
Vložit
- čas přidán 2. 08. 2024
- WhatsApp Group link -- chat.whatsapp.com/GcKULJxgQFP...
Chapters;
0:00 Introduction
1:10 Kupima kitambaa
24:34 kukata Kitambaa
29:50 kukata facing
33:30 jinsi ya kukata mkono
Jinsi ya kukata na kushona koti la suti, video hii inafundisha jinsi ya kukata kitambaa cha koti, hapa utajifunza njia kubwa zinazotumiwa na waliobobea kwenye fashion ya ufundi wa nguo. Pia utajifunza formula kubwa ambazo hutumiwa kwenye ukataji wa koti, kwa video hii ukifata kama viloe ilivoelekeza basi inatosha sana wewe kuwa fundi, ila zingatia kufanya mazoezi ya ukataji wa aina hii tumia hata boxes kwaajili ya kujifunza.
Video hii ni Mali ya @suitland
Host: Imman Amos
Editor : Richard Mahendeka
©Suitland 2023.
kwa taarifa zaid To follow Instagram / suitlandtz
Na Facebook / suitland
kwa kujifunza video zingine angalia Playlist hapa chini
Jinsi ya kukatana kushona Suruali ya kike: • Jinsi Ya Kushona Surua...
Kushona Shati Lenye Details: • Shati lenye details
Kushona Kaftan: • Kaftan yenye Details n...
Kushona Suruali ya kiume: • SURUALI
Kushona Shati La kisasa: • Jifunze Kushona Shati
Kaftan ya kawaida : • Jifuze kushona KAFTAN
Asante sana kwa ufundishaj mzuri
Shukrani Subscribe, share kwa wengine pia
Kaka Ima mambo vip najua unaona unafanya Jambo la kawaida ila nikuambie unaoko kizazi kikubwa sana na hasa sisii wenyeshahuku yakujifunza kusho tunashukuru Sana na especialy mm nakuombea Sana kwa Mungu wewe na familia yako Nina maswali mengi ila leo nipo kwaajiri ya kukuoa maua yako bro keep it up
Shukrani sana, Tusaidie Kushare kwa watu Nao Wapate Maujuzi Haya
Shukran Sana ndg
Karibu sana, Pia share kwa marafiki ili nao wapate Ujuzi huu
mimi bado sijaeele. Asante kwaiyo mwalimu
kama hujaelewa rudia kuangalia video tena
shukran sana fundi mmoja kwakutoa ujuzi bila malipo m.mungu akupe maisha marefu tungependa kujifunza kukata safari suit
Safari Suit ipo hapo angalia vizuri
Asante sana kaka, nitaendelea mpaka nielewe
Asante mwalimu
Asante pia, Endelea Kushare kwa watu wenye uhitaji zaidi.
Safi sana mkuu
Pamoja sana karibu suitland Subscribe like 👍 na share kwa wengine wapate ujuzi huu
Uko sawa fundi nimeelewa kinoma mkuu
Safi sana wewe ni nomaaa
Nimeelewa asante sana
Karibu saana
Asante San ila bd upachikaji was mkono ktk skwea
Shukran sana kaka
Karibu saana, Subscribe like 👍 na Share kwa marafiki ili nao wapate ujuzi
Uko vinzur fundi
Asante karibu pia share kwa wengine wapate ujuzi huu
Mwalim kama una group naomba uni addy namimi🙏🙏🙏😪
Link ipo kwenye maelezo ya Kila video humu
Mwalimu nakuelewa sana naomba kuelewa upande wa kizibao kinakatwaje
Inakuja maana hata video ya koti haijaisha
Asant fundi
Karibu sana, tuna group pia whatsApp angalia kwenye maelezo ya video zetu tumeweka hapo, Pia SUBSCRIBE na share kwa wengine unaowajuwa wajifunze hii elimu adimu
fund nimekubar umeongeza maujanja, sio mbere tu hata hapa safi tu
Mkuu nimekuelewa sana mungu akubariki
Umetisha kaka 💪
Karibu sana, Tusaidie kushare pia kwa wengine ìli wapate ujuzi kama huu
Hiyo rula ya shepu naipataje
Shukrani za dhati twasoma
Shukran Pia tuna Group pia la whatsApp Kama Bado hujajiunga Link ipo hapo chini ya viedeo kwenye maelezo
Pia share kwa marafiki unaowajua wenye uhitaji na hii elimu
We fundi nikijua itabidi nikupe hela ya kuku
😁😁😁 cha kufanya waambie wana kama 20 hivi utakuwa umedanya poa sana
Nimeshiba
😁😁😁👍
Sierewa kukata
Rudia kuangalia video utaelewa tu
Nataka video ya suti kora ya mojakwa moja
Karibu saana Subscribe like 👍 na share kwa wengine wapate ujuzi huu, jiunge WhatsApp utapata kuuliza maswali yako na utaeleweka link ya group ipo hapo chini kwenye description/maelezo.
Shuklan san fund nataka suluali nijue kushona
Video za suruali zipo angalia kwenye videos
Fund mbona sioni dazain mpya zakaunda sut
Zitakuja relax kuta unajifunza ambacho hujui, pia share kwa marafiki nao wapate ujuzi huu
Bado sijaelewa kushep vipande vya mbele
Rudia kuangalia utaelewa tu usikubali kutokuelewa
Mkuu nataka unieleweshe kati kati ya mkono
Nazani ukiangalia video nyingine kama hii utaona nimeelekeza
Kaka naomba namba yako tafadhali
Ingia WhatsApp Utaikuta Link ipo kwenye maelezo ya Videos
Sije
erew
1:20:44
Rudia kuangalia video
Please if you want more like you need to speak English or subtitled. I like your cutting but language is the barrier.
Please your next video should be English language thanks.
Thanks for your opinions 👍 we will take into action for the next videos
Hyo 5 na nux n nn
Angalia video kwa makini hakuna ambacho kimewekwa na hakijasemwa ni cha nini.
Nitumie namba yako
Ukiangalia kwenye hio video kuna link ya group WhatsApp kama bado hujajiunga bonyeza hiyo link itakupeleka kwenye kujiunga
Kwawale ambao ha2na iyo rula ya kushep
Unatumia vipimo na unachora kwa mkono
Na mwalimu kaelekeza kwenye baadhi ya videos
Tukitaka ututumie rula he maana tunaamini yakwko ndo iko kwenye vipimo sahihi
@@user-cu6tp2bh7b hapana kila mtu anaanza bila rula na inawezekana, angalia videos zingine amefundisha jinsi ya kushepu bila rula
Mkuu nahitaj kuja kuzifunza kwenu naomba no nzenu
Karibu sana, awali ya yote tuna group la WhatsApp link iko kwenye kila video chini hapo kwnye maelezo kama huioni bonyeza more utaiona. Pili tuna group la telegram lenye course za kulipia, kwa mwezi 15 tu kwa mwezi unajiunga unasoma then kama unachangamoto utapata usaidizi hapo hapo, kama uko dar es salaam karibu ofisin tupo Tabata bima mkabala na mwigo hall
Unakaribishwa sana
Nashukuru dana kwamafunzo unayotoa mungu akubaliki. Link nitaipataje
chat.whatsapp.com/GcKULJxgQFPByu3lDV5owQ
Share pia kwa marafiki wenye uhitaji wa kujua kushona
@@suitland❤
Sijaelewa kuhusu kukata koti
Rudia video uwezavyo rudia hata kama ni mala mia, kwa sababu kila kitu kimezungumzwa hapo ni wewe tu kufata hatua, na uwe na kalamu na daftari au uwe na box alafu anza kufatisha utaelewa tu
Niposasa nione mwenyewe
Karibu endelea kuenjoy share kwa marafiki pia
Jamani mm ni mwajiriwa napenda nijue niongeze kipato na pia ninapo staafu nifungue darasa siunajua Tena
Kama sina izo rula nafanyaje
Una nunua
@@suitland zinapatikana wapi
Na zinaitwaje
Kwa mtoto unashuka ngapi
Mtoto hana formula, alafu ukiuliza swali uliza kuonesha sehem husika. Hapo umesema kwa Mtoto unashuka ngapi sasa kushuka wapi ? Kwenye nini.??
Sir please speak English
Ofcoz we will provide subtitles
mm nataka xijaeee vinzuri kitamba chambere kwenye kwampa muniereweshe vinzuri kambixa
Rudia kuangalia video utaelewa tu
Au subilia Aina nyingine ya Suit utaelewa tu
sas munipatiye namba yagurupu
Daah hongera sana unaeleweka mpk raha samahn kwenye suruali kiuno kinanisumbua mnoo😿😿
Asante saana
Kwenye suruali kuna video hapo kuanzia kukata mpaka kushona
Ingia angalia playlist imeandikwa suruali
@@suitland barikiwa sana 🥰🥰
Tutaludia soon
@@suitland asee ntafrah mnoo hivi hmna group what'sup?
Tuunge kwenye glup .ndo tutajua
Link ipo hapo chini kwenye video
Hapo kwenye kukata mkono hiyo 12 ya paja la mkono umeigawa kwa mbili then ukatoa 0.5kisha ukaongeza 3??
Upo sahihi kabsaa