Seikh Nyundo "Mwanamke ni mtiifu kwa Mw/mungu//Mwanamke akifanya mambo machache tu peponi anaenda"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Mwanamke akifanya mambo haya macheche tu peponi anaenda.
    Mwanamke hatakiwi kufuata agizo hatala mama yake mzazi bila kuomba ruhusa kwa mumewe kwahiyo mwanamke anatakiwa amtii mumewe wakati wote asifanye jambo bila mumewe kujua
    Ili uwe wa kwanza kupata video zetu hakikisha unabonyeza kitufe chekundu chenye neno Subscribe na alama ya kengele kama bado hujafanya hivyo ahsante.

Komentáře •