kwa mara ya kwanza nilianza kusikiliza nyimbo za kisabato mwaka 2023 nilikuwa Tarime nikasikilizishwa huu wimbo na rafiki yangu Nehemiah , MUNGU akubariki sana popote ulipo tangu hapo nabarikiwa mno na nyimbo za waadventisata wasabato ,utumishi wenu ni mzuri sana
Huuu wimbo nimeanza kuusikiza nikiwa nyumbani DRC kwenye radio morning 🌞 lkn Kwa leo nyumbani tumetolewa huko juu ya Vita nikiusikiza machozi inanitililika lkn pamoja namungu tutarudi kwa sasa tupo kwenye ichi ya Kenya muzidi kutuombea
Endelea kushikilia hapohapo Tunaanguka na kunyanyuka tena hakuna muda wa kuangalia nyuma Taji zinatungoja, bado kitambonkidogo tunaiaga dunia hii ya dhambi Yesu, shujaa wa msalaba yuko mbele 🙏🏿🙏🏿
This song gave me great hope n healed my heart 2yrs ago wen wen i was deeply troubled n my world was falling apart. God bless yu. I finally decided sitawahi rudi nyuma tena oh God help me
August 2019, bado naung’ang’ania msalaba maana najua shujaa yuko mbele. naanza safari upya hadi nifike juu. wokovu taji vyote vimeandaliwa kwa ajili yangu . Siku moja atanifuta machozi 😢🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
@@jeancadet5477 My sentiments exactly. This song makes me want to travel to Arusha and marry the soloist, I mean, imagine that songbird waking up next to you everyday!! Her voice blows me away
Hata sasa 2022 sikio langu halijafanikiwa kusikiliza mashairi ya wimbo mzuri kama huu....Mungu mbariki Namsifu. Kwa Wimbo siwezi kujitetea kwa chochote siku ya mwisho
I'm so saddened to have learnt about this song this late,it's an inspiration to me❤God bless this voices that are still great even in 2023 and speaks to our hearts freshly every time we hear this hymn.💯
It is January 2023 but this song sound like a new one. This lady real sings in the glory of the Most High. Keep it up so that we meet and sing this song in heaven
I regret that l don't understand your language, but when l hear your harmonies and see your smiling faces l know that what you are singing is God sent. Thank you all.
I had this song on my old phone but I lost it and I have been searching for this particular song for years but I thank God I have finally found it even though I don't understand the language
🤔I have reason not to be ashamed whatsoever of any of my failures to grace to grace! Be blessed to nurture your talents as you find it possible to do so! 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Praise God for the beautiful people gifted with voices to praise Him on his holy day. Happy Sabbath to you all, my brothers and sisters. I pray we get to meet up there.
If you are here in 2024,let's gather here
Here we are!!! This song never get old!
Who is with me 2024❤
❤
these song never gets old maze bado ni vyb@@flavyannemogoa
kwa mara ya kwanza nilianza kusikiliza nyimbo za kisabato mwaka 2023 nilikuwa Tarime nikasikilizishwa huu wimbo na rafiki yangu Nehemiah , MUNGU akubariki sana popote ulipo tangu hapo nabarikiwa mno na nyimbo za waadventisata wasabato ,utumishi wenu ni mzuri sana
Huu wimbo una ujumbe sana wangapi tupo 2021 tunautazama bado...
Huuu wimbo nimeanza kuusikiza nikiwa nyumbani DRC kwenye radio morning 🌞 lkn Kwa leo nyumbani tumetolewa huko juu ya Vita nikiusikiza machozi inanitililika lkn pamoja namungu tutarudi kwa sasa tupo kwenye ichi ya Kenya muzidi kutuombea
2023
Naendea since 2017 when I knew the song
2024 still
Pole mungu yu nawe @@mandelakitungano2424
2024 and the song still so fresh. Such a strong msg.... narudi kwa Yesu
i can replay this song over and over again. wangapi wanakubaliana na mm!!!!
It is stuck in my head
i play it almost daily
🌞
it's 2022 and the song drives me back to Jesus. It's a powerful message of it's kind. May God accept us back once more
Same here...
Ahsanteni Sana kwa mtunzi wa wimbo huu nimekuwa na ushujaa wakung'ang'ania msalaba wow wow may GOD bless all🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Endelea kushikilia hapohapo
Tunaanguka na kunyanyuka tena hakuna muda wa kuangalia nyuma
Taji zinatungoja, bado kitambonkidogo tunaiaga dunia hii ya dhambi
Yesu, shujaa wa msalaba yuko mbele 🙏🏿🙏🏿
I really love this song 🎉just saw it in TikTok and I came to search
Huu wimbo umekuwa wa kunitia moyo sana katika safari ya matumaini sana nashukuru mungu sana amen
This song gave me great hope n healed my heart 2yrs ago wen wen i was deeply troubled n my world was falling apart. God bless yu. I finally decided sitawahi rudi nyuma tena oh God help me
'Sasa nimejua ya kwamba kuwa mbali sana sio chanzo changu Mimi kukataliwa na Yesu". Nabarikiwa Sana na huu Wimbo.
Amen, barikiwa
Kweri
Narudi kwa YESU bado muda mfupi kwa anayetaka toba naanza safari nashonga mbele usife moyo shujaa wa msalaba yuko mbele
Nani yuko hapa 2023❤
August 2019, bado naung’ang’ania msalaba maana najua shujaa yuko mbele. naanza safari upya hadi nifike juu. wokovu taji vyote vimeandaliwa kwa ajili yangu .
Siku moja atanifuta machozi 😢🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
wow wow wow
this lady has a very sweet voice
may God bless you all
i love the song
Ruth Aloys amen be blessed
Who still listening in 2019...this song motivates me a lot
amina
Bt also 2020
2021, and still wanting to travel to Arusha to meet the lady who leads it.
This is the right time for me to hear this song. It's touching me from every corner
Amen, be blessed
This song has encouraged me severally.I fell from the faith but indeed I've chosen to go back to Jesus"Wokovu umeandaliwa Kwa ajili yangu"
This is me this year..I've gone back to christ
This is the song to took me back to the Church, May Gods glory work throught.
Ameeen❤Glory to our faithful GOD...👏
The lady's voice is soft and clear
@@damarisoanda4779 God is faithful. Glory be to God for her voice
Ameeen, even 2023, there is still a loving God in heaven
One of the SDA's best songs
Please translate in English I love this song the emotion of the lady torches me
@@jeancadet5477 My sentiments exactly. This song makes me want to travel to Arusha and marry the soloist, I mean, imagine that songbird waking up next to you everyday!! Her voice blows me away
Msafiri bora still makes alot of sense and convicting my soul that Christ will forgive me and cleanse me from dean of death
Nafalijika sana ninaposikia nyimbo za SDA mubalikiwe
Amen, barikiwa
mungu akutetee dada nimeipenda sauti yako sana usonge mbele ndlo ombi langu kwa mungu
Hata sasa 2022 sikio langu halijafanikiwa kusikiliza mashairi ya wimbo mzuri kama huu....Mungu mbariki Namsifu. Kwa Wimbo siwezi kujitetea kwa chochote siku ya mwisho
2020 who's listening🙌
Waimbaji bora! Sisi wadiventista wa Sabato kutoka Burundi tunawapenda sana
This song just leaves me in tears coz I feel it’s me it talks about.nitaungangani msalaba.
It's 2023,, the song is still so fresh to my soul.
The song is too emotional and inspiring too, it gives me hope when I feel weak
Nafarijika sana nikisikiliza nyimbo za SDA
Amen ubarikiwe sana Denice
Denice jumanne Ameeen.!!barikiwa sanaaaa
Barikiwa
Wimbo umenipa nguvu jaman Jina la Yesu lizidi kuinuliwa Amen nitaendelea kung'ang'ania kwa Yesu
Ooh lord have mercy on me. I want to come back home... am filthy with sins. Cleanse me once more
Amen, be blessed Esther
I love the song. Kurudi nyuma sio option kamwe hata kama tumeanguka mara ngapi. Tusimame na kusonga mbele tena
Amen, barikiwa sana
@@chiragiabel great song
I don't know what adventists listen this song should be 10M plus views
Ooh my God, I never get enough of this song....I can listen to it over and over .....
2025..saa kumi na moja asubuhi ❤❤❤❤ninaongea na mungu mniombee pia 😢😢napitia changamoto
I'm so saddened to have learnt about this song this late,it's an inspiration to me❤God bless this voices that are still great even in 2023 and speaks to our hearts freshly every time we hear this hymn.💯
Amen amen
wow wow wow I am speechless I thank living God for this beautiful voice Wow
Wimbo. Huu. Unanipeleka hadi. Kwenye. Msalaba. Wa kalvali. Hongela
Sitaki rudi nyuma tena.Nawashukuru sn kwa wito huu nimebarikiwa mno!!!!!!!!.
Amen, Ubarikiwe na usonge mbele. Wokovu umeandaliwa kwa ajili yako.MUNGU AKUBARIKI
It is January 2023 but this song sound like a new one. This lady real sings in the glory of the Most High. Keep it up so that we meet and sing this song in heaven
I love this song ......mpaka sahii
Kwa mara nyingine tena 2021 nimeisikiliza hii nyimbo pendwa 🙏🙏 na ntaendelea kuisikiliza tena na tena mungu awabariki waimbaji kwa kazi nzuri
I regret that l don't understand your language, but when l hear your harmonies and see your smiling faces l know that what you are singing is God sent. Thank you all.
I had this song on my old phone but I lost it and I have been searching for this particular song for years but I thank God I have finally found it even though I don't understand the language
Ooh be blessed
A very touching message to me a sinner....... No shortcut to salvation......... ONLY JESUS CHRIST
+Francis Miruka Amen brother Francis, Be blessed
Song never grows old 💞
Ubarikiwe Namsifu unanikumbusha kurasini enzi zile Mungu akubariki.Nataka toba.
🤔I have reason not to be ashamed whatsoever of any of my failures to grace to grace! Be blessed to nurture your talents as you find it possible to do so! 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
48obj amen be blessed
Uyu Dada anaimba vizuri Sana ubarikiwe
Shujaa wa msalaba yuko mbele. Thx for blessing me with the song
This song makes me fill like never giving up in life ....,no matter how hard life is,only God guides me
Heard this song for the first time Tiktok....Happy sabbath 2023
how I wish I could see them perform this item live!! such an inspirational song. I feel emotional 😭😭. the best song among other songs!!!
Amen, Be blessed
Brethren, pray for me. I am a troubled man. I find comfort in such songs.
Be blessed, GOD will take care of you
very good songs God bless you
Asanteni sana kwakuja mwanza Kirumba SDA church, mmetubariki sana kwa huduma yenu kipindi chote cha makambi. Mungu awabariki sana.
The voices are amazing I was looking forward for this video thanks so much you tube has done it for me I love dear lady your voice is so sweet
saut yako imetulia Dada,mashaallah!
The journey to heaven is on despite the challenges we exprience on the way God is in control we shall arrive home safely🙏🙏
am left to listen and watch this song again and again...msafiri bora is just a wake call for me..thanks for such a song
From Washington listening 🎧
Message relevant.
Tanzania will always produce best S D A songs. i lkie it
This is one of my favorite swahili gospel song of all times.... it humbles me every time i hear it. God bless you Namsif
Ujumbe wa huu wimbo una thamani Sana katika maisha yetu
In 2024 the song still has that powerful message and lots of blessings. GOD bless you abundantly Arusha Central 🎉🎉❤❤
Que o eterno criador abençoe essas voses maravilhosas
It's three years now and I never get tired or bored with this wonderful song be blessed singers
Amina, Arusha youth choir has been a blessing to me since my childhood.now iam adult still listening to this great team
Amen, be blessed Shadrack
i can replay this song over and over,it talks about my life in christ
The song depict our daily struggles to calvary but it also gives hope and strength to look at the cross of Calvary..
I have seen Jesus through this song watching now 2023 🔥🔥🔥
Always a very blessing song, every time I listen to it.
I come back here daily 😢🙏, May God forgive us and give us the strength to overcome the world's temptations that we may not forget him.
Listening in 2020, still new and full of hope
Amen
True
Sema kwel sote tu wasafiri kwenda kwa mungu tujiandae na nauli zetu tuzitunze ili tufike salama amina na ubarikiwe sana
I like this song so much. I feel the heavenly glory in my heart. May the lord bless you guys.
From Ghana, don't know what it means but I love it
Amen, be blessed
I feel blessed when listening to this song,may Lord make you greatest.
A pure message...I like this song and the choir too-beautiful voices.God bless you abudantly
lesalon saruni Amen, be blessed
Hak barikiwen san kwa nyimbo yakubarik 2024 ❤❤❤🎉
Bwana azidi kuwapatia nguvu ili neno la bwana lizidi kupenya ndan ya mioyo na wageuke wauendee msalaba wa yesu..
Who else is listen this song up to today 2022.. this song is life
THIS IS A REVIVAL SONG. IT ALWAYS SPEAKS TO ME IN A PERSONAL WAY
"Nina wasiwasi ya kwamba sitapokelewa.." Shujaa wa msalaba yupo mbele na taji zatungoja...
mbarikiwe kwa nyimbo nzuri
huu wimbo nimetafuta sana utunzi wenu ipo juu sana
dennis lagat. amen Denis, be blessed
Mungu wa mbinguni awabariki kwa injili mnayotupatia!!!
Praise God for the beautiful people gifted with voices to praise Him on his holy day. Happy Sabbath to you all, my brothers and sisters. I pray we get to meet up there.
Amen, be blessed
Mungu awabariki wote mlio husika katika huu wimbo unaujumbe mzito sana
Mungu anishaidia naminimalize safari thank you arusha
Amen, Be blessed Ruth
I love the song its has a massage of hope can't stop listening..
Good solution..njoo kwa yesu..i like the voice of the lady
Amen, be blessed Tabith
Mbalikiwe sana nafalijika Sana kusikilizi nyimbo MUNGU awepe afya tere mzidi kumwimbia MUNGU
Blessed voice 💅💅💅💅
this is an amazingly good good song! this is the good news, that Jesus accepts and saves! amen
Wimbo huu hauchuji. Kila siku nabarikiwa ninapo usikiliza. Mungu awabariki muende mbali.
Huu wimbo uniinua sana.Mungu awabariki sana sana.nawapenda sana
Huu Wimbo umenipeleka tombe girls ❤❤❤❤@Askal....nilikuwa msafiri
I never get tired of this amazing song and her beautiful voice.
Thanks Namsifu mwakacha ,🙏🙏during such hard times many of us have forgotten the creator😰😰but at list it gives me hope personally
It's indeed true we can not earn salvation by our deeds but it's by grace that comes through Christ Jesus 🙏
to the soloist and the entire choir,hongera kwa kaz yenu....twafurahia kutoka kenya
Amen amen this is real may God bless you