Sidhani Kama kwa Tanzania hata Africa mashariki kama kuna spea ya mtu huyo Mch Dr Mitimingi. Mahubiri yake yakujenga ndoa uwezi kuyapata kwingine kokote nasikitika Sanaa 😭😭😭😭😭😭 RIP my preferred Pastor
yesu ni mwaminifu hata kuacha yatima atawapatieni ROHO MSAIDIZI ATAKUA MWALIMU WETU ZAIDI ATATUTIA KATIKA KWELI YOTE YEYE HADANGANYI KAMA WACHUNGAJI WA UONGO NA MANABII WA UONGO yohana 14:16, yohana 16:13-14
Daddy I'm very sad that I didn't even say goodbye. Thank you for loving me and let me call you dad. You are always my greatest big DADDY ever. I love you 💖
Poleni Sana wanafamilia wa WCC tumepokea Kwa masikitiko makubwa kifo cha mpedwa wetu Pastor Peter Mitimingi,Tuna mengi ya kumkumbuka.Maana hapa hatuna mji ufunuo Sisi no wasafiri na wapitaji Makao yetu yako mbinguni Kwa Babaaa.Amemaliza kazi.
Kazi yako uliyofanya kwa ajili ya Bwana ni kumbukizi ya milele na changamoto kwetu Baba na Mwalimu Wangu.. Vitabu na mafundisho yako yote ni changamoto yetu umetupatia rasmi. Pumzika kwa amani.. Imani yaniambia ni sehemu salama sana. Hakika kuishi ni Kristo kufanya ni faida, nakaza mwendo nifike mbinguni!
😭😭😭 jamani nilikuwa nikiskiliza maubiri yake nazidi kuomarika kwenye mahusiano Mungu unatuchukulia watu wa kutusaidia kiroho tutabaki na Nani??? Ee yesu shujaa wa msalaba tuhurumie sisi na Dunia nzima😭😭😭😭
Aloyce umeona eeh!! Sijawahi sema au kumsingizia aliyetuumba kuwa amependa kuwachukua, tathimini maisha yako je yanaendana na aliyekuumba au unachanganya matikiti na matango pori?. Tatito tunakariri kapumzika kampumzika wapi huko.
Hani Niliona Kama donto nika mwambia Mungu basi naniwe nime ota sababu hikiwa kweli daaaah Likini tujipe moyo maadiko yana sema Mungu ata twaa waliyo wake mapema, sasa mm ndo sihelewi Kama huu domwishoo au? 🙏🙏🙏🙏 Pumuzika Papa Amen😭😭🥺
Mungu wangu mchungaji simjui lakini nilikuwa nafwata mafundisho yake kila siku na mafundisho take imenisaidia sana katika relationship yangu , Mungu ailaze roho take mahali pema peponi😭😭😭😭🙏🙏🙏
Hanan Khalifa hapana Hanan Aya inazungumzia sifa za waumini ambao wakipatwa na musiba yani mitihani au mabalaa wanasema inna Lillah wainna ilaih Raajiun .
YOHANA 11:25 [25] Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi Yohana3:16 [16] Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Mitimingi ata ishi Milele coz Alimwamini YESU.
Wanakufa katika Bwana,wamemtangaza Kristo hata dk za mwisho,hawawez kujifungia au kutishika na ibilisi kisa kuogopa Corona,hakuna woga katika Kristo na hata iwejw hakuna atakayeish milele,Bwana ameona Utii wao wamekubal kufa kumshuhudia Yesu wanayemuamini,Wapo Mbinguni wanafurahia kazi walizotenda Duniani.Wewe jifungieeee uone kama utaishi milele hapa Dunian,na we ipo sk utaondoka hujui saa yako ikifika utakuwa wapi
Mbele yetu wametangulia nyuma yetu sisi anaemini mwalimu atakutana na mama lwakatare njia moja Kama wachungji kondoo tumebaki peke yetu aseme Amina
Sidhani Kama kwa Tanzania hata Africa mashariki kama kuna spea ya mtu huyo Mch Dr Mitimingi. Mahubiri yake yakujenga ndoa uwezi kuyapata kwingine kokote nasikitika Sanaa 😭😭😭😭😭😭 RIP my preferred Pastor
Am sorry,nini imeua mchungaji,jamani,so painful, God of Israel
Jamson Peter Kweli kabisa
RIP Peter mitimingi mbele yako nyuma yetu
Amen
Mwalimu Wangu ulinifundisha kidacho cha tatu st Therese ulikua mkali kipindi cha dini wanafunzi wako tunakulilia baba 😭
Huyu jamaa kwa kweli nilikuwa nnamuelewa.M/mungu amuweke sehemu stahiki.😱
Daaaa inauma sanaaa nuru ya mungu imuangazi milele yote amen
Daaaah wanaondoka watumishi wa Mungu tunabaki tusiotaka kutii maagizo ya Mungu sijui tutahubiriwa na nan, R.I.P mitimingi
Hakika umenena vyema,, Mungu atuhurumie😭😭😭😭😭😭
yesu ni mwaminifu hata kuacha yatima atawapatieni ROHO MSAIDIZI ATAKUA MWALIMU WETU ZAIDI ATATUTIA KATIKA KWELI YOTE YEYE HADANGANYI KAMA WACHUNGAJI WA UONGO NA MANABII WA UONGO yohana 14:16, yohana 16:13-14
groly umewaza kama mimi
Daaaaaa😭😭😭😭Mungu ailaze roho yake mahali pema pepon Amina!!
Inaniuuuma Lakin Mimi Ni Nani Hata Nipingane Na Maamuzi Ya Mungu? R.I.P Mwalimu Na Mchungaji Wetu.
Tumshukuru MUNGU
Mbinguni ndiyo makao yetu
Duniani tunapita
RIP Mchungaji Mitimingi
Upendo ndiyo pumzi yetu 😭😭r.i.p mchungaji
Poleni sana wanafamilia wa warehouse christian centre Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu
Daddy I'm very sad that I didn't even say goodbye. Thank you for loving me and let me call you dad. You are always my greatest big DADDY ever. I love you 💖
Poleni Sana wanafamilia wa WCC tumepokea Kwa masikitiko makubwa kifo cha mpedwa wetu Pastor Peter Mitimingi,Tuna mengi ya kumkumbuka.Maana hapa hatuna mji ufunuo Sisi no wasafiri na wapitaji Makao yetu yako mbinguni Kwa Babaaa.Amemaliza kazi.
Kazi yako uliyofanya kwa ajili ya Bwana ni kumbukizi ya milele na changamoto kwetu Baba na Mwalimu Wangu.. Vitabu na mafundisho yako yote ni changamoto yetu umetupatia rasmi. Pumzika kwa amani.. Imani yaniambia ni sehemu salama sana.
Hakika kuishi ni Kristo kufanya ni faida, nakaza mwendo nifike mbinguni!
Jamani hivi nikwer mbona sielewi?? Na mtumishi buyu hivi nikwer amefariki? Mungu wangu tuhurumie sisi wakosefu!
😭😭😭 jamani nilikuwa nikiskiliza maubiri yake nazidi kuomarika kwenye mahusiano Mungu unatuchukulia watu wa kutusaidia kiroho tutabaki na Nani??? Ee yesu shujaa wa msalaba tuhurumie sisi na Dunia nzima😭😭😭😭
Jamani Kama utani vile laza roho ya marehehemu mahari pema ,Kama mpenzi wa vitu vya asilia karibu na subscribe Channel yangu🙏
Hakika umetuumiza baba tutakukumbka daima Lala salama jembe la yesu
MUNGU atukuzwe kwa yote. Ila kibinadamu imeniuma Sana MUNGU naamin amempokea masihi wake AMEN😭
Vitabu vinasema ucmtegemee
Mwanadam make wakat wowote anarudi kwa muumba wake
My condolences to Mrs patience mitimingi n the family of WCC and Tanzania at large..sleep well man of God Mitimingi😭😭😭 it is well🙏
Rest in peace 😭😭
Siwezi kusema jinsi nimeumia mwalimu wangu umefanya ndoa yangu imekuwa imara kweli nimeumia sana MUNGU akupumzishe sehemu salama
Sad. Rip
too sad......used to follow his teachings.....Oh Mungu wetu......Dunia tunapita tuuu
Eeee Mungu turehem watumishi uliyo tupatia Tanzania na nnje ya tz wanatuacha ww ndo ujuae mwanz na mwisho wetu 😭🙏🏻
Poleni sana
Rest easy papa...you have left your footprints with glory...blessed be God
Hivi ni kitu gani haswa kinachukua hawa Public figures kwa speed kubwa hivi.!!?? Tusishabikie tu kuwa ni kazi ya Mungu.!
Hata wewe utaondoka,hakuna anayeishi Milele,wanakufa wengi kila sk mahospitalin hata ilo hujui we umeona public figure tu?
Aloyce umeona eeh!! Sijawahi sema au kumsingizia aliyetuumba kuwa amependa kuwachukua, tathimini maisha yako je yanaendana na aliyekuumba au unachanganya matikiti na matango pori?. Tatito tunakariri kapumzika kampumzika wapi huko.
Am kwel dunia mapito had huy bab wawat kafariki kifo hakn hurum kbs
Hani Niliona Kama donto nika mwambia Mungu basi naniwe nime ota sababu hikiwa kweli daaaah
Likini tujipe moyo maadiko yana sema Mungu ata twaa waliyo wake mapema, sasa mm ndo sihelewi Kama huu domwishoo au? 🙏🙏🙏🙏 Pumuzika Papa Amen😭😭🥺
R.I.p
Sad,
Rest in peace
Pole sana huyu namfutilianga sana you tube and Facebook Rip man of God
😭😭😭
Rip safari ni yetu sote
Mungu wangu mchungaji simjui lakini nilikuwa nafwata mafundisho yake kila siku na mafundisho take imenisaidia sana katika relationship yangu , Mungu ailaze roho take mahali pema peponi😭😭😭😭🙏🙏🙏
Watu wamebaki njiapanda tumaini lao kwa Sasa ni wew tuu mungu mungu ampumzishe kwa aman
Pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu
Jaman hata siamin nilikuwa nampenda hatari mungu wa mbinguni muweke panapostahiki
Jaman, pumzikaa kwa aman Babaaaa
R.i.p 😭😭😭😭😭😭😭✋✋✋nimetuka sana
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Tangulia mwalimu mwema rip 😭😭😭😭
Rest in peace
Inna lillah waina ileyhi rajiun...hakuna atakae bakia ila Allah.
Hanan Khalifa duh! Huyu si muislamu bana hii kauli sio sahihi kumpatia yeye Hanan
@@abdukadiliissa8076 najua ila neno hilo linatumika kwa wote nil ivyo fundishwa mim na ninavyowaskia walim n mashekh wetu.
Hanan Khalifa hapana Hanan Aya inazungumzia sifa za waumini ambao wakipatwa na musiba yani mitihani au mabalaa wanasema inna Lillah wainna ilaih Raajiun .
Hanan Khalifa sasa ukisema kwa kila mtu sio makusudio ya Hii Aya
YOHANA 11:25
[25]
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi Yohana3:16
[16]
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Mitimingi ata ishi Milele coz Alimwamini YESU.
Poleni sana kwa familiar,rest in peace mchungaji
😭😭😭😭😭
Dah Mungu ailazd roho yake mahal pema peponi😢😢
💔🕊️🕊️🕊️
😭😭😭😭😭😭 pumzika kwa aman 🙏
Dah jaman MUNGU atusaidie NI KUGUMU SANA KWA SASA
Daah!!!!! Ama kweli kifo hakina macho yoyote yule kinamkumba .
Rip ,ama kwel angekuw anajua ,alvokuw ananyeshew na mvua mazara yake ,labda tungekuw nae leo daa ,,w love u BT God does more
Tanzania kumetokea nini? Mbona wachungaji ote wanakufa?hmmmmmm
Polen wafiwa wote 😢😢
Mungu anaondoa walio wake duuuu yesu tukumbuke nasisi katika ufalme wako R.I.P baba.
😭😭REST IN PEACE
Rip
R.i.p pastor
Misiba ya sasa hivi inatisha sana jamani .kiama kinakuja
Walio hai wanajua kwamba watakufa, wafu hawajui neno lolote wala hawana ijara tena, kumbumbuku lao limesahauliwa👉Muhubiri 9:5
RIP daddy
Duh,roho inaniuma mimi
R.I.P mitimingi
Imani yangu ni kwamba umepumzika tu baba, ,
R.I.P
Vita umeipigana Dr mchungaji Peter , daaah Basi Tena ila upo mbinguni
Hapo pa mbinguni kwa kweli sio letu ilo tumuachie MUNGU mwenyewe.
Kulikoni Tanzania?wachungaji mnaondoka?maneno ya kutiana moyo na kufariji tutapata wapi?
Baba wa sindano ndo ivo cndano tutachomwa na nani
Inasikitisha sana inauma sana,mafundisho yake hakuna wa kuyafikia.
Apumzke kwa Aman
R. I. P mchungaj
Pumzika kwa Amani Mchungaji wangu Peter Mitimingi
Daah r. I p
Pumzika kwa amani#upendo ndio pumzi yetu
Sasa kafar link mbona taarifa ngeni
Kila nafsi itaonja mauti,,, R.I.P
Jamani kaanza mama lwakatare kafata mitimingi tukae tayali mungu kaanza kuchukua walio wake
Mungu awatie nguvu..Amen.
At nini???? makubwa!!!😭😭😭😭
Kapumzike kwa mbele yetu nyuma yako
Yaan kama vile ndo Mitimingi ndo ameondoka 😭😭😭 yaani mipango ya Mungu si kama ya wanadamu.
It is pain oooh God let him rest in peace 😭😭😭😭😭😭😭😭
Shine on your way 🙏🙏🙏🙏
My plan was to come and meet him live in tanzania.......
Kizuri hakidumu pumzika mwalimu wa ndoa
Mbona lakini mungu 😭😭😭 ooooh no
Jaman,usimlalamikie mungu
Eeeeee!!?????. Kama ndoto vile🥵😭😭😭
Bonyeza Link hii ili kupata makala nyingi czcams.com/video/VuHenvLJmRw/video.html
DIAMONDPLATINUMZ AMWAGA PESA KWA MASHABIK BOFYA HAPA KUONA ZAIDbongokicks.blogspot.com/2020/05/diamondplatinumz-agawa-vibunda-vya-hela.html
Mbona viongozi wa dini wanakufa wataisha
kwaher baba yangu umemaliza kazi.
Ndio jiulize, kwa ni sasa. Msisahau kutulia nyumbani
Wanakufa katika Bwana,wamemtangaza Kristo hata dk za mwisho,hawawez kujifungia au kutishika na ibilisi kisa kuogopa Corona,hakuna woga katika Kristo na hata iwejw hakuna atakayeish milele,Bwana ameona Utii wao wamekubal kufa kumshuhudia Yesu wanayemuamini,Wapo Mbinguni wanafurahia kazi walizotenda Duniani.Wewe jifungieeee uone kama utaishi milele hapa Dunian,na we ipo sk utaondoka hujui saa yako ikifika utakuwa wapi
du so pain pumzika kwa aman
Jaman mi sielewi mitimingi nae kafariki au
leonce paul Ndio kafarik
@@@lucyluambano8274 Acha uongo alilazwa mhimbili na wallah hakuongoza ibada....kusema uongo ni dhambi ....innalillah wainna illahil rajiun mwendo umemaliza baba Peter Mitimingi pumzika kwa aman.....nitayaishi mafunzo yako amiin
Mmh kumbe sorry Basi ni maneno ya watu. Nasikia alizidiwa jana gafla tu usiku
@@najatmngazija1547 dah jamani inasikitisha sana
@@lucyluambano8274 kweli kifo hakina hodi jamani dah imeniuma san mi nishazoe mahubiri yake duh
Kwanini siku hizi vijana wengi hawataki kuoa? czcams.com/video/elXXz-F77Qg/video.html
Pastor alikua mgonjwa au ilikuaje jameni? mtu anijibu
😭😭😭😭😭
Hakika hiii dunia haina urafiki na mtu
Daa miti mingi kweli haupo nasi .😭😭😭
Kila nafsi itaonja mauti ,Mungu mrehemu
R. I. P
Mungu alitoa na huyohuyo ametwaa maamzi yake ya tukuzwe
😭😭😭😭😭😭😭