MARUBANI WANAFUNZI WA SEKONDARI TZ WAPAA NA NDEGE KENYA "WAMETIMIZA NDOTO ZAO MAPEMA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Pengine baadhi yetu hii inaweza kututamanisha turudi Sekondari ili tu-enjoy kusoma kama wanavyo-enjoy Wanafunzi hawa wa Shule za Alpha DSM, Shule ambazo zilianza kuwafundisha au kuwapa uelewa Wanafunzi wenye ndoto za Urubani toka May 2022 na zikaahidi kuwapeleka nje ya Nchi kujifunza kwa vitendo.
    Hii ni mara ya pili kwa Wanafunzi hao wa kike kwa wa kiume kwenda Kenya kufanya mafunzo kwa vitendo chini ya Kenya School of Flying ambapo video hii inawaonesha wakiwa kwenye Ndege angani wakifanya yao kwa kufurahia.
    Shule za Alpha zilizopo Mikocheni na Kunduchi Jijini Dar es salaam ndio Shule za kwanza Tanzania kuja na ubunifu huu wa kutenga muda wa kuwafundisha Wanafunzi ( kuwapa uelewa) juu ya maswala ya anga ambapo masomo hutolewa mara mbili kwa wiki pamoja na kuwapeleka nje ya Nchi kujifunza kwa vitendo.

Komentáře • 8

  • @hamiduhamisi2371
    @hamiduhamisi2371 Před rokem +1

    du🤔🤔🤔!! ninaipenda sana kazi ya urubani ila sasa kingereza kimeenda mwanakwendazake, je nitafanyaje na mie ni rasaba ziro? huo mpunga wa ada yake sasa mhhm!!! 🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️, ila nalia na mwalimu wa darasa kunifundisha elimu ya kureta fimbo shule za kutuchapia mpaka kuwa ziro

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před 4 měsíci

    Milidayo naomba uniulumie hio shule nimeisikia, IPO dar hapo, Sasa nilikuwa naomba hio shule niulizie, hiii nisekondali? Maana na mtoto anamaliza la saba , Sasa wanawapokea,

  • @kabwelasutiviraka4765

    Ni shule za watoto wa kishua au matajiri huwezi kukuta mtoto wa kabwela hapo

  • @tanzaniacarschannel6975

    Pitching

  • @kabwelasutiviraka4765

    Tanzania bado practical training inabidi waende Kenya

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem

    kuna vyakuiga hapa ktk shule nyingi kwanza wawe na watumie vizuri extra curricula

  • @jamesgeofrey8692
    @jamesgeofrey8692 Před rokem

    Everybody likes it but ukifuatilia fees yao ndo utajua kwamba ni coz ya wakishua or not