Amani Worship Experience (A.W.E) season Two. Wimbo umeimbwa na Paul Clement na Team Audio: Fisher Records Mixing:Nsajigwa Modecai Nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu..........
"BWANA KWAKO KUNA KILA JIBU LA KILA SWALI LA MOYONI.AKILI YANGU IFIKAPO MWISHO ,WEWE NDIPO UNAANZIA "😭😭😭😭😭😭😭 THIS PART IS ON REPLAY FOR THE 10TH TIME . IM BLESSED
I will rejoice in the Lord always.... Hii ndio ushuhuda wangu leo 6 na 7 April 2021... Mungu amejibu haja ya moyo wangu... Baba Mzazi amepata uponyaji katika Jina la Yesu Kristo.! Nimenakili kwa sababu ningependa kukumbuka hii siku.. Mungu ndiye mwanzo na mwisho wangu.. Asante 🇰🇪
Mungu amenileta hapa baada ya miezi mienne nashangilia Mungu kwa shangwe na nderemo... The walls of Jericho are coming down in the mighty name of Jesus
"Nashangilia" by Paul Clement Lyrics *Chorus* Nashangilia sababu Mungu, Amejibu haja ya moyo Wangu *Verse* Kwa Imani yangu Amenijibu, Maswali Magumu Ya Moyo wangu, Ameniambia Amerejesha, kilichopotea aah Nami sina budi kushangilia, Japo sijaona Kwa Macho, Ila naamini neno Lako... Bwana Ni kweli, *Bridge* Solo:Amenijibu Maombi AMejibu kwa wakati... All:Heiyee Heiyee Amejibu kwa Wakati. [3X] Solo: Kwa Kushangilia,Kuta za Yeriko zimeanguka,Amefanya Njia mbele Yangu.. All:Amejibu kwa wakati [2X] Bwana Kwako Kuna Kila jibu la kila swali la moyoni Akili yangu ifikapo mwisho Wewe ndipo Unaanzia
Indeed nina shangilia what the Lord has done for me...i have been jobless for 8 years this year 2019 God has been so faithful amejibu haja ya moyo wangu .....FAITHFUL GOD HAS ANSWERED IN HIS OWN TIME
Wache Nikuambie Paul Clement Kwamba Umenibariki na Huu Wimbo Wako "Nimeshangilia" na Nasema Hiyo Wimbo "Nimeshangilia" ni Wimbo Ukona Upako Wa Mungu, Roho Mtakatifu, na Uwepo Wa Mungu na Nasema Mungu Akubariki Bariki Sana Paul Clement na Mungu Awe Nawe Milele.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
nashangiliaa sababu MUNGU amejibu haja ya moyo wangu amejibu kwa wakati kwa kushangilia,Kuta za yeriko zimeanguka amefanya njia mbele yangu .Bwana kwako kuna kila jibu na kila swali la moyoni ,akili yangu ifikapo mwisho wewe ndipo unaanzisha.ELIAKUNDA loves you GOD
Waoow this song is so powerful so powerful Ukiimba huu wimbo kwa kumaanisha hakika unaona uwepo wa Bwana unashuka,wimbo huu umejaa upako wa roho mtakatifu. Barikiwa mnoo kwa wimbo huu mzuri Mungu azidi kukuinua.
Amejibu mengi amejibu maswali mazito ambayo mwanadamu wa kawaida asingeweza kujibu nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu. Shukrani apokee Bwanaaa
Am glad and thankful this song is out! Should walk down the altar with this song Psalms 37:5 I delight in the lord for he answers the desires of my heart. Who is like our Father in heaven
Amen a good song to me ple unapoomba kwa imani kwa mungu mara unaingia u tube unakutana na wimbo huu jmani mungu mkuu sana wimbo unatoa majibu barikiwa kaka paul clement
Daah! naandika nafuta,naandika tena nafuta,,, nashindwa niandike nini ila kaka paul unanibariki sana,,God bless you more,,,, Amejibu haja ya moyo wangu,,,,,thank you JESUS 🙏
OMG 😮 it just clicked you’re the same brother who sang “umenifanya ibada” and “amenifanyia amani” Ndugu yangu unakipako kikubwa sana sana! Whatever you do, NEVER forsake your secret place!! May the oil of worship never cease!! I celebrate 🥳🎉 🙌🏾👏🏾 God in your life!! Much love ❤️ from #kenyaindiaspora 🇰🇪
Mungu awabariki sana, nami nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu. Hakiki ww ni Mungu wa kweli haufananishi na kitu chichote, ukisema ndio hakuna wa kupinga, amen.
Phil 4:4 Rejoice in the Lord ALWAYS and again i say Rejoice. In EVERYTHING gives thanks, for this is the Will of God in Christ Jesus Concerning You...1thess 5:18
SO TOUCHNG MAN OF GOD.....NAKUOMBEA PAUL UFIKE MBALI KWA UTUKUFU WAMUNGU...KILA NAPOUIMBA WIMBO HUU NAONA HAKUNA OMBI AMBALO MUNGU AJANIJIBU HATA KAMA SIJAPOKEA NAJUA SI KITAMBO,HIVYO NINATUMAINI.......NAKUPENDA BURE MWANA WA MUNGU
This song is heart touching ❤ I have happened to fall in love with your songs brother!!! Mungu aku bariki for I can hear God speaking to me through your songs
Nmeuckiliza wimbo Wakat muafaka,,,,, the time ambapo the situation really needs God's support,,,, u are there to bless people Paul,,,,,,, God on ur side forever.
This song is one of your best bro @paulclement....ila hujaitendea video haki chief.. the vyombo pia...Ni wimbo mkubwa sana.. the lyrics ni za shukrani na worship na praise all at once.... Ongea na Gee mfanye jambo chief!!!!
Namshukuru sana Mungu, na asubuhi ya leo nimeamka nikiimba wimbo huu, nashangalia kwa sababu, Mungu amekuwa mwaminifu kwangu katika maeneo yote, amenipa nilichokuwa nahitaji miaka zaidi ya 13 iliyopita. #Nov2022
Broo your blessed your anointed too much Grace in you namtukuza Mungu kwajili yako sana kaka nimepokea majibu yangu kupitia wimbo huu leo Mungu akutumie vile apendavyo kila iitwapo leo🙏
brother poul Mungu akubarik na akuinue ufikie pale atakapo yeye na si wanadam.
MUNGU akubariki brother nahudumiwa na nyimbo zako na unyenyekevu wako
I love you voice broo
Nabarikiwa sanaaa na Huduma yako
Same to me sis always made me cry with believe that he is faithful everyday and everytime when we need
❤
2023......wimbo wa kinabii hata baada ya miaka kadhaa mbele....Thank you Jesus Lord...I rejoice your name.
"BWANA KWAKO KUNA KILA JIBU LA KILA SWALI LA MOYONI.AKILI YANGU IFIKAPO MWISHO ,WEWE NDIPO UNAANZIA "😭😭😭😭😭😭😭
THIS PART IS ON REPLAY FOR THE 10TH TIME .
IM BLESSED
This song always made me cry,,,, Huyu MUNGU anajibu pale ambapo hukutegemea,,,, Bless you man of God.
I will rejoice in the Lord always.... Hii ndio ushuhuda wangu leo 6 na 7 April 2021... Mungu amejibu haja ya moyo wangu... Baba Mzazi amepata uponyaji katika Jina la Yesu Kristo.! Nimenakili kwa sababu ningependa kukumbuka hii siku.. Mungu ndiye mwanzo na mwisho wangu.. Asante 🇰🇪
Mungu amenileta hapa baada ya miezi mienne nashangilia Mungu kwa shangwe na nderemo... The walls of Jericho are coming down in the mighty name of Jesus
@Nikangima tumpenda sana nyimbo zake zinatubariki sana
Huu wimbo umenivusha hatua kubwa sana uinuliwe mungu wangu
"Nashangilia" by Paul Clement Lyrics
*Chorus*
Nashangilia sababu Mungu,
Amejibu haja ya moyo Wangu
*Verse*
Kwa Imani yangu Amenijibu,
Maswali Magumu Ya Moyo wangu,
Ameniambia Amerejesha, kilichopotea aah
Nami sina budi kushangilia,
Japo sijaona Kwa Macho,
Ila naamini neno Lako... Bwana Ni kweli,
*Bridge*
Solo:Amenijibu Maombi AMejibu kwa wakati...
All:Heiyee Heiyee Amejibu kwa Wakati. [3X]
Solo: Kwa Kushangilia,Kuta za Yeriko zimeanguka,Amefanya Njia mbele Yangu..
All:Amejibu kwa wakati [2X]
Bwana Kwako Kuna Kila jibu la kila swali la moyoni
Akili yangu ifikapo mwisho Wewe ndipo Unaanzia
Thanks for the sweet lyrics
@@marrysaitot1640 You're welcome
Kweli bwana amejibu haja ya moyo wangu good song
Jackie Mbeya Tabasamu r
Amena sana dada
niliahid kuuimba huu wimbo siku moja! Na leo imetimia NASHANGILIA SABABU MUNGU AMEJIBU HAJA YA MOYO WANGU!
Indeed nina shangilia what the Lord has done for me...i have been jobless for 8 years this year 2019 God has been so faithful amejibu haja ya moyo wangu .....FAITHFUL GOD HAS ANSWERED IN HIS OWN TIME
My faith declaration in 2022 Amen….nashangilia Bwana amenijibu sitalia tena
No matter how tough it is to live in this planet earth najua Mungu amejibu na anajibu haja za moyo wangu.
Here in 2021
MUNGU azidi kukuinua zaidi Na zaidi
Kuna ane Endelea kushangilia na huku 2020 Kama Mimi?? Hii nyimbo Ni ya Karne 🧡🤗
Wimbo huu umenibariki Sana na kunijaza imani
Wache Nikuambie Paul Clement Kwamba Umenibariki na Huu Wimbo Wako "Nimeshangilia" na Nasema Hiyo Wimbo "Nimeshangilia" ni Wimbo Ukona Upako Wa Mungu, Roho Mtakatifu, na Uwepo Wa Mungu na Nasema Mungu Akubariki Bariki Sana Paul Clement na Mungu Awe Nawe Milele.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
God bless you kaka!! Its so wonderful song!
Wow
Ameeen. He has not withholden the desire of my heart and the request of my lips.
Ninashangilia 2021 kwa kuwa amenivusha mwaka salama. Amina!!
Amin Mungu anafanya hata xx nimda wa kushangiria kwa Mungu wet ili upate haja ya moyo wangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏📲
nashangiliaa sababu MUNGU amejibu haja ya moyo wangu amejibu kwa wakati kwa kushangilia,Kuta za yeriko zimeanguka amefanya njia mbele yangu .Bwana kwako kuna kila jibu na kila swali la moyoni ,akili yangu ifikapo mwisho wewe ndipo unaanzisha.ELIAKUNDA loves you GOD
Waoow this song is so powerful so powerful
Ukiimba huu wimbo kwa kumaanisha hakika unaona uwepo wa Bwana unashuka,wimbo huu umejaa upako wa roho mtakatifu.
Barikiwa mnoo kwa wimbo huu mzuri Mungu azidi kukuinua.
It's my faith you're going to answer my prayers 🙌🙌🙌🙌 you're my everything Lord Jesus Christ I love you and depend on your help always 😭😭🙌🙌🙌🙌
The starting keyboard beats are heavenly, God bless you.
Nashangilia pia,,kanilejeshea vyote vilivyopotea,amejibu kwa wakati,kafanya njia mbele yangu
Amejibu mengi amejibu maswali mazito ambayo mwanadamu wa kawaida asingeweza kujibu nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu. Shukrani apokee Bwanaaa
Amejibu kwa wakati. Bwana kwako Kuna jibu. Nashangilia!!! Am blessed Paul. We thank God for you.
Nashangilia pia sababu Mungu amejibu haja ya Moyo wangu japo sijaona kwa macho 2020 maswali magumu ya moyo wangu yanajibiwa.
Umebeba majibu ya wengi brother Paul Usiishie njiani
Mungu akutie nguvu... Shika sana ulichonacho
Usiruhusu mtuaichukue taji yako
Amejibu haja ya kila chenye uhai ..... mchana na usiku anatoa haki kwa kila alichokiumba
Hallelujah hallelujah nakushangilia Bwana sababu umejibu haja za moyo wangu
Mungu akubarik mtaan tupo na matarent ya kuimba ila shetan anatuzuia mutuombee tunataka kumimbia Mungu wa mbingu na nchi hallelujah
Am glad and thankful this song is out! Should walk down the altar with this song Psalms 37:5 I delight in the lord for he answers the desires of my heart. Who is like our Father in heaven
Amen to that.
Amen a good song to me ple unapoomba kwa imani kwa mungu mara unaingia u tube unakutana na wimbo huu jmani mungu mkuu sana wimbo unatoa majibu barikiwa kaka paul clement
Daah! naandika nafuta,naandika tena nafuta,,, nashindwa niandike nini ila kaka paul unanibariki sana,,God bless you more,,,, Amejibu haja ya moyo wangu,,,,,thank you JESUS 🙏
Kaka nabarikiwa Sana na nyimbo zako....naamin Mungu ataendelea kukutumia kwa viwango vya juu Sana..
Uganda much love bro nashangaliya sababu mungu amejibu haja ya moyo wangu 🙏🙏🙏
OMG 😮 it just clicked you’re the same brother who sang “umenifanya ibada” and “amenifanyia amani” Ndugu yangu unakipako kikubwa sana sana! Whatever you do, NEVER forsake your secret place!! May the oil of worship never cease!! I celebrate 🥳🎉 🙌🏾👏🏾 God in your life!! Much love ❤️ from #kenyaindiaspora 🇰🇪
Mungu awabariki sana, nami nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu. Hakiki ww ni Mungu wa kweli haufananishi na kitu chichote, ukisema ndio hakuna wa kupinga, amen.
nashangalia sababu mungu amejibu aja ya moyo wangu... Barikiwa.
Phil 4:4
Rejoice in the Lord ALWAYS and again i say Rejoice. In EVERYTHING gives thanks, for this is the Will of God in Christ Jesus Concerning You...1thess 5:18
Amen
Amen
Amen
Nashangilia, natabasamu; umejibu haja zangu zote. 🙌🙌🙌. Sina la kusema! Thank you Lord.
Amen brother be blessed a lot. Nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu.
Nashangilia kwasababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu
Mungu akuinue kupitia huduma yako ili kila mtu aelewe kile Mungu ameweka ndani yako . Mungu akubariki Sana
Congratutions
Hakika naamini Mumgu Ameiibu haja ya Moyo wangu japo sijaona kwa macho🙏🙏
Amejibu haja ya moyo wangu😭💛. Sitalia tena💛
Amejibu Haja Ya Moyo Wangu🙌❤️❤️
Nashangilia Mungu amejibu kwa wakati🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nashangilia sababu mungu amejibu haja ya moyo wangu.. Amen Amen nakupa sifa yesu... Thank you Lord for exceeding my expectations hallelujah Amen
Yani sichoki kuusikiliza...kweli Mungu amenijibu kwa haja
Wimbo mzuri sana,,,ila mavazi ya crew hasa wadada hayampi utukufu MUNGU...
Mungu azidi kukuinua bro. you are doing good.
Nashangilia kwasababu umenijibu MUNGU wangu. I love you GOD
AMEN ASANTE MUNGU YOTE UNAYONIFANYIA HATA KABLA SIJAONA YOTE
Mungu azidi kukubariki mtumishi wake usiache kumtumikia daima
Naxhangalia xababuu umenijib haja ya moy wang n.a. amenijib kwa wakatiii
Nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu......Verry powerful I'm blessed 🙌🙌🙌
Dear God, the restorer of men; remember me
Nabarikiwa mno na nyimbo zako mungu akubariki mnoo akutuze 🙏
Amen huu wimbo umeniinua juuu nilikata tamaa
Amejibu haja ya moyo wangu yesu,gud song ubarikiwe sana
SO TOUCHNG MAN OF GOD.....NAKUOMBEA PAUL UFIKE MBALI KWA UTUKUFU WAMUNGU...KILA NAPOUIMBA WIMBO HUU NAONA HAKUNA OMBI AMBALO MUNGU AJANIJIBU HATA KAMA SIJAPOKEA NAJUA SI KITAMBO,HIVYO NINATUMAINI.......NAKUPENDA BURE MWANA WA MUNGU
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na akupandishe viwango vya juu
Nashangilia kwasababu mungu amejibu aja ya moyo wangu💕🙌
This song is heart touching ❤ I have happened to fall in love with your songs brother!!! Mungu aku bariki for I can hear God speaking to me through your songs
There is something special and common between Clement and Joel Lwaga....❤❤❤❤
Nmeuckiliza wimbo Wakat muafaka,,,,, the time ambapo the situation really needs God's support,,,, u are there to bless people Paul,,,,,,, God on ur side forever.
2024 prophetic song of all time
Amejibu kwa wakati, hakika Mungu wetu hachelewi
This song is one of your best bro @paulclement....ila hujaitendea video haki chief.. the vyombo pia...Ni wimbo mkubwa sana.. the lyrics ni za shukrani na worship na praise all at once....
Ongea na Gee mfanye jambo chief!!!!
Yani this is a prophetic message
Hakika mm NASHANGILIA NAAMINI MUNGU AMEJIBU MAOMBI YANGU
Annointed man of God nakukubali sana
Wow God is good
Sijui kwann kila nikisikia unaimba nasikia kulia....ehhhh Mungu akutunze maana ni wengi tunabarikiwa na huduma ilioko ndani yako
Amen Amen. I'm really blessed and encouraged each time I listen to this song. Can't stop singing it whenever I recall it.
Beatiful song paul came across it a few days ago at the right time mungu akuzidishie kwa mwito wako..nyimbo zako hunibariki..
God bless u minister Paul kwa wimbo mzuri Sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu Paul kwa kazi njema ya kumtumikia mungu.
Hakika nashangilia kwa sababau Mungu unaenda kujibu haja ya moyo wangu.Amen
God is forever faithful
Kweli jamni pale ambapo unakata tamaa ndo mungu anajibu jamni
Mungu akubariki sana uwende viwango vya juu
Mungu ni mkuu sana anajibu maombi na anajibu kwa wakati baraka tele kwako man of God paul.
Paul Unanibariki sana.. Sana. Nashangilia Hakika. Barikiwa Mtumishi
Amen Amen
Nashangilia sababu nafaraja moyoni barikiwa kaka
Mungu Kwa Imani nashangilia sababu umejibu haja ya moyo wangu🙏
Ninahudumiwa sana ninaposikiliza nyimbo zako,Mungu aendelee kukutumia kwa utukufu wake..amen
I celebrate coz God amejibu maombi yangu
Truly God has answered the needs of our 💞 🙏
Very inspirational, we give thanks even before we receive. Halleluiah!
Nashangilia kila siku jamani hata Kama yanayonikuta yananirudisha chini najua hajatenda bt atatenda
Namshukuru sana Mungu, na asubuhi ya leo nimeamka nikiimba wimbo huu, nashangalia kwa sababu, Mungu amekuwa mwaminifu kwangu katika maeneo yote, amenipa nilichokuwa nahitaji miaka zaidi ya 13 iliyopita. #Nov2022
Broo your blessed your anointed too much Grace in you namtukuza Mungu kwajili yako sana kaka nimepokea majibu yangu kupitia wimbo huu leo Mungu akutumie vile apendavyo kila iitwapo leo🙏
Da noma
Kaka unaweza nasikiliza wimbo huu hadi nalia mungu akubariki
Mungu akulinde bro Nyimbo zako ni uponyaji mkubwa sana kwangu
Huu wimbo sio wakawaida hata kidogo
nashangilia ababu Mungu ejibu haja ya moyo wangu bay Paul clement
mungu akubariki kaka Paul clement kwa huduma mungu akubaliki
Nashangilia kwakunipa wazazi wazur
We lift your name up high Jesus 🙏🏽