MAOMBI YA ASUBUHI | BWANA pigana nao
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2024
- Fanya maombi haya kila siku asubuhi unapoianza siku yako mpya.
Zaburi 35:1-7 | Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami. Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie. Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako. Waaibishwe, wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya. Wawe kama makapi mbele ya upepo, Malaika wa Bwana akiwaangusha chini. Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia. Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.
Mungu Baba pigana na wanao pigana Nami katika jina la yesu christu amen Asante kwa maombi ubarikiwe
Asante yesu nashukuru kwa kunilinda adi cku ya leo sina cha kukulipa bali nashukuru mungu ulikumbuke jina langu usinifiche uso wako Asante mokozi ameni
Baba uketie juu pigana nao wanaopigana nami wavu walionitegea uwanase wao Kwa jina la Yesu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Eeeee mungu wangu nisaidie niokoe na ibilisi amen
Aminaa damu ya yesu ikatende mema Kwa familia yangu na ikafungue kazi na baraka
Mtumishi wamungu umbarikiwe kwamaobi yakowewe nafamiriya yakomungu azindikuku tuza❤
Ee Baba piga nao wale wanao itafuta nafsi yangu ma maneno ya fedheha kwa damu ya yesu pale ilivyo mwagika pale msalabani naufungua kwa jina la yesu katika siku hii yaleo nitafanikiwa nitatembea na wewe utanipigania na kunishindia yote
Mtumishi wa MUNGU Asante sana kwa maombi yako yote ubarikiwe wewe na family yako
Amen mtumishi ubarikiwe kwa maombi ya asubuhi
Wow! What a powerful prayer! Asante sana mtumishi! Mungu akubariki sana.
Ee mwenyezi mu gu ninakushukuru kwa neema zako na barcka zako umeniokoa na maudui nashukuru umenitetea
Amen 🙏 mubalikiwe Sana mutumishi wa Mungu
Mungu wangu naomba unipiganie n kunitetea, wanaokosesha mwili wangu amani washindwi katika jina la Yesu naomba damu ya Yesu inifunike n kunificha kutoka mipango yao miovu Amen🙏🙏🙌.
Amen 🙏 ❤❤ waabishwe na kufedhe heshwa wataftao nafsi yangu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa maombi haya ya ukombozi wa familia
Mungu nipiganie pigana na maadaui wangu
Mtumishi wa Mungu asante kwa maombi naubarikier na Bwana.
napokea maombi haya kwa jina la yesu ameen
Nmi. Nasema Asant Yesu kwa kuniamsha salama AMINA.
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana kwa Maombi haya ya BARAKA
asante yesu kunipa kipali cha kuona siku ya leo pia napokea maombi haya
Mungu nitetee pale ninaposhindwa.kwenye magumu baba nishike mkono Mimi na familia yangu yote
Amena Mungu ni mwema siku zote tena Akubariki
Ee Mungu uwe mtetezi wangu juu ya adui zangu
Eeh mungu uniongoze leo Kwa siku nzima uniepushe na Kila majaribu ya adui zangu 🙏🙏🏾
Mungu akuinue Kwa viwango vya juu mtumishi nimebarikiwa sana
Walinde watoto wangu Mungu uwabariki asubuhi ya leo
Amina,damu ya Yesu ikanifunike
Asante Yesu Kwa ubendo wako WA ajabu kwangu.
Ubarikiwe Mtumishi Kwa maombi ya Asubuhi.
Amen Amen!!!
Amen 🙏
Mungu baba pigana na wanao pigana nami siku yaleo
Ee mungu nilinde Tena siku yaleo kwasababu hatujuwi saa
Ubarikiwe na bwana mtumishi wamungu🎉🎉🎉
Washindwe kwa jina la YESU aliyekufa akafufuka 🙏
Ameen and Ameen 🙏🙏🙏 Bwana Yesu asifiwe kila saa🙏🙏🙏
Thanks Jesus for the best prayer! Asante sana mtumishi kwa kumtii Roho Mt. na kuachilia maombi haya! Yana nguvu kubwa sana. Barikiwa sana.
Naomba mungu upigane wanao piga mm Amini
Amen njia zao ziwe. Giza na utelesi
AMEN AMEN 🙏 Asante sana kwa mafundisho yako mtumishi wetu
Wapigane nawe wanao pigana nami Amina nimebarikiwa na maombi haya
Amen Mungu azidi kukuinua mtumishi🙏
Mungu uwafezehesha wanao nena mabaya juu yangu kwa jina la yesu ameen😅😅😅
mungu piganao wanao pigana Nami na unilinde mimi na Familia yangu na wale wote walio nizunguka Amina
Ee Bwana Yesu kristu wafedheheshe wanaoitafuta nafsi yangu🥺🙏
Ee Mungu wafedheheshwe wooote wanaoitafuta nafsi yangu, wapigwe kwa jina la Yesu.
Damu yako Yesu. Inilinde amen
Nawakabizi kwako Mungu wangu wanangu uwalinde uwajalie afya furaha matumaini wawe nahofu yamungu mbelezako wakumbatie bwana fungua milango yanabarka juu yao
Amen, ubarikiwe zaidi mtumishi
Ee mungu naomba unirinde naomba unirindie wanangu na ichi kiumbe nilichobeba, nilindie na mahusiano yangu namume wangu pia🙏🙏🙏 naomba mume wangu apate kuwa mume wangu wa halali sio kufichana tena amina🙏🙏🙏🙏
Amen ubarikiwe sana mtumishi
Mungu piganao wanao piganap nani unilinde na familia yangu Amen
Yesu nitetee katika maisha yangu
Amina barikiwa kwa maombi ya asbh
Mungu unitetee na kla aibu iliyopangwa dhidi yangu nipiganie dhdi ya adui niinuke kiuchumi
Mtumishi ubalikiwe kwa maombi ya asubui
Asante kwa maombi nafta yote mabaya amina
Eeeh mungu wafeheshwe na waangushwe wanaoiwinda nafs yangu
Amina napokea mtumish
Ameeeeen Ameeeeen imekuwaaa kwa jina la Yesu
Ameeen Mungu pigana NAO wanaopigana nami
Washindwe kwa jina la Yesu kristo
Maombi ya kipekee sana God bless you
Amina… Bwana Yesu Asifiwe Milele!
Amen 🙏🙏🙏 barikiwa Sana mtumishi
wote wanaoitafuta roho yangu,wote walionitendea uchawi wafedheheshwe kwa jina la yesu ,kila baya walilolifany kwangu liwarudie wao wenyewe ameen
❤ameen
Hallelujah... Soo powerful verse. Amen
Amen pewa sifa Yesu
Bwana napigane nao wanaopigana nami amen
Ameeen naomba uniweshe
Mungu nilinde pamoja na familia yangu kila mahali tuendapo tuwe pamoja nawe Amen
Editha ukumbuke uzao wangu wanao ulaani wapidwe upofu wafedheeshwe kwajina layesu amina
Amen,Kila sindano nilizondungwa kwa kupitia ndoto nazishinda kwa damu ya yesu 🙏🏾
EEE mungu,nilinde na ma adui zangu wasumbuke wenyewe
Amen Amen asante MUNGU baba yangu,Wewe ndio natengemea kwa maisha yangu,Sina mwingine wa kunipingania. Ila wewe tuu baba yangu..Jina lako litukuzwe kila wakati..Tembea na mimi kila wakati JEHOVAH JIHER.
Bwana yesu. Nishindie kwenye mipango yangu,,Asante yesu mwokozi was maisha yangu. Ameen
Bwana yesu. Nishindie kwenye mipango yangu,,Asante yesu mwokozi was maisha yangu. Ameen
Mungu baba Katika jina la Yesu Kristo pigana nao wanaopigana nami na wanaopigana na familia yangu wafedheheshwe ?watumbukie wenyewe kwenye mashimo walionichimbia Asante Baba Kwa sala nzuri juu ya watesi wetu
Mungu akutunze na nyumba yako Amen
Damu ya YESU imefuta kila aina ya uchafu walionitegea
Amen zaburi 118:17
Mtumishi ubalikiwe Kwa maombi haya Asubui
Mungu baba nakuoba kutulida na mabaya baba watoto wangu naoba uwabaliki Amen
Ameen and Ameen in Jesus mighty Name 🙏🙏
Amen and Amen mtumishi
Amina mungu akumbaliki
Editha lwegasira bwana yesu nishuke mkono asubui yaleo
Ee mungu wafezeeshwe wote wanao winda nafsi yangu na familia yangu wapigwe katika jina yesu na kuanguka chini amen ubalikwe baba kwa maombi ya asubuhi
Eeh bwana pigana nao wanao pigana na mimi
Ubarikiwe pia ww
Barikiwa sana matumishi
Amen,,barikiwa mt
Amina pigana nao wanao pigana nam
Amen ubarikiwe pia 🙏🙏🙏
Napokea ushindi kwa damu ya YESU KRISTO kwa kila jambo linalonihusu Mimi AMEN.
Ee mungu wangu wafezeeshe maadui zangu wote katika jina la yesu kristo
Mungu pigana na wanaopigana nami na uilinde familia yangu Amen
Pigana nao wanao pigana Nami baba,univushe na kunishindiya.
Mungu baba pigana nao wanaopigana na mimi.waokoe wazazi wangu waponye wazazi wangu walipolala pale kitandani wakiugua sana.mungu okoa wazazi wangu🙏
Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
Amina Amina Amina
Amen and amen thank you Lord
Eee bwana waaibishee wanaonitafta nafs yanguu
Asante Mungu wangu.
Amen thank you Jesus