ALIKIBA ATANGAZA RASMI KURUDI YANGA KISA CHAMA/NITAIMBA YANGA DAY/KWA USAJILI HUU YANGA BINGWA TENA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • #alikamwe #azizki #msuva #yanga #yangasc #yangatv #hersisaid #live_ #mayele #yangaleo
  • Sport

Komentáře • 122

  • @praizmwabukusi3452
    @praizmwabukusi3452 Před 12 dny +9

    Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond

  • @user-qu4wz1wo2f
    @user-qu4wz1wo2f Před 14 dny +18

    Simba nguvu moja❤

  • @alfanimwakipesile19
    @alfanimwakipesile19 Před 11 dny +5

    Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi

  • @shikuhata
    @shikuhata Před 11 dny +12

    Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake.
    Hongera sana King

  • @mariamnchimbi7866
    @mariamnchimbi7866 Před 15 dny +16

    Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 17 dny +41

    Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 16 dny +8

    Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa Před 17 dny +11

    Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 Před 17 dny +12

    Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 3 dny +1

    Uko vizuri sana bro

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před 17 dny +7

    king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 Před 17 dny +6

    Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea

    • @user-rf7ni6tr2o
      @user-rf7ni6tr2o Před 16 dny +1

      Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama

    • @CatherineAmos-zw8dx
      @CatherineAmos-zw8dx Před 16 dny +1

      Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 17 dny +10

    Kiba sasa umekomaa safi sana dogo

    • @RashidiTwalibu
      @RashidiTwalibu Před 11 dny

      Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 Před 4 dny +1

    Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko

  • @gastomponji
    @gastomponji Před dnem

    huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤

  • @habibukhatib2615
    @habibukhatib2615 Před 6 dny +1

    Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Před 17 dny +7

    Nice king kiba

  • @IsackOppa
    @IsackOppa Před dnem

    Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew

  • @SanuraMnaziru
    @SanuraMnaziru Před dnem

    Mmmmmmh jaman karibu sana yanga

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__23 Před 6 dny

    Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy Před 14 dny +3

    Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina Před 14 dny +3

    Asante kwa kjitambua

  • @malikebumoshiselemani440
    @malikebumoshiselemani440 Před 16 dny +3

    Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia
    hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma Před 17 dny +4

    Utafika mbari sana

  • @thobiassamwel4077
    @thobiassamwel4077 Před 6 dny +1

    Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮

  • @user-pc5uw7qo1x
    @user-pc5uw7qo1x Před 16 dny +3

    Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu

  • @Pachaboy-k2b
    @Pachaboy-k2b Před 15 dny +1

    Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu

  • @UpendoJackson-pf4kq
    @UpendoJackson-pf4kq Před 4 dny

    Nimekupenda sanaa

  • @technology.0508
    @technology.0508 Před 11 dny +1

    Unamjua simba mnyama

  • @ShabaniSelemani-k7n
    @ShabaniSelemani-k7n Před 14 dny +4

    Safi sana king kuludi yanga

  • @masudiitembele7036
    @masudiitembele7036 Před 11 dny +7

    mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 Před 15 dny +1

    Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 Před 10 dny +1

    Sijasikia akisema kurudi yanga

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 13 dny +1

    Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Před 12 dny

      Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king

  • @winfredmasheyo2477
    @winfredmasheyo2477 Před 16 dny +3

    Chaaaamaaaaaaa

  • @MwilikwaNgongo
    @MwilikwaNgongo Před 14 dny +1

    Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 16 dny +2

    KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 16 dny +2

    KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA

  • @CastorOmmy
    @CastorOmmy Před 11 dny +1

    Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga

  • @MituniIssa
    @MituniIssa Před 11 dny +1

    Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?

  • @ZachariaDottoz
    @ZachariaDottoz Před 4 dny

    nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅

  • @HusseinShuga-e3g
    @HusseinShuga-e3g Před 14 dny +3

    Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?

  • @kaluaabdallah6506
    @kaluaabdallah6506 Před 4 dny

    Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Bado Haji kurudi alikotoka

  • @glorysilayo1034
    @glorysilayo1034 Před dnem

    Hata km mnataka viewers sio ushenz huo

  • @MirroAsinaly
    @MirroAsinaly Před 6 dny

    Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu

  • @muthefuture
    @muthefuture Před dnem

    Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba

  • @AsiaKidunu-nm2ik
    @AsiaKidunu-nm2ik Před 14 dny

    Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 Před 12 dny

    Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 Před 16 dny +3

    Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2
    K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d Před 6 dny +1

    Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Před 2 dny

    Aloandika Caption n mas...ge

  • @NehemiaMagori
    @NehemiaMagori Před 9 dny

    Dah kumbe shabik mandaz😅😅

  • @user-gf9uw1zz3d
    @user-gf9uw1zz3d Před 16 dny

    Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂

  • @Hellena-ds3bp
    @Hellena-ds3bp Před 16 dny +1

    Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo

  • @eliadausen3025
    @eliadausen3025 Před 12 dny +1

    Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Před 4 dny

    Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 Před 14 dny

    Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 Před 8 dny

    Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi

  • @ChegeChigunda-v2g
    @ChegeChigunda-v2g Před 10 dny +1

    Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba

  • @Wish_Tv
    @Wish_Tv Před 12 dny

    Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi

  • @user-hw8bb9jo9j
    @user-hw8bb9jo9j Před 16 dny

    Kwer kaka

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před 14 dny

    Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe

  • @geraldkirenga7159
    @geraldkirenga7159 Před 15 dny

    Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 Před 17 dny +2

    Duuuuh

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 Před 17 dny +1

    Duuuuuuh

  • @user-ci6em5kr8g
    @user-ci6em5kr8g Před 16 dny +1

    Kiba Big up

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 13 dny

    Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 Před 17 dny +4

    Kb anajielewa sana

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan5814 Před 15 dny

    Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 15 dny +1

    Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.

  • @ancyblix
    @ancyblix Před 6 dny

    Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii

  • @TheRobertCK
    @TheRobertCK Před 2 dny

    Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa

  • @JacksonKaloli-du7vq
    @JacksonKaloli-du7vq Před 16 dny

    kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l Před 13 dny

    Yow

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Před 12 dny

    Pumbav ndo maana hamuendelei 😠

  • @FabianSanga-d2i
    @FabianSanga-d2i Před 17 dny

    Sawa

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 17 dny +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allysunday8614
    @allysunday8614 Před 15 dny

    Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de Před 12 dny

      😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang

  • @AhmedAbdallah-cv6rn
    @AhmedAbdallah-cv6rn Před 16 dny

    Simba wabovu Sanaa 😂😂

  • @innosentmolel8057
    @innosentmolel8057 Před 15 dny

    mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka

  • @user-cs1im9pc2u
    @user-cs1im9pc2u Před 16 dny

    shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga

  • @patrickilambona5042
    @patrickilambona5042 Před 12 dny

    Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako

  • @Kadeslersoap
    @Kadeslersoap Před 14 dny

    😂😂😂😂

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m Před 12 dny

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Před 11 dny

    Acheni uzwazwa

  • @MashakaMakamba
    @MashakaMakamba Před 11 dny

    Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba

  • @christinanyalusi6341
    @christinanyalusi6341 Před 23 hodinami

    Shabik mandazi

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 Před 13 dny

    Ukuwahi kuwa Simba wewe

  • @lundimbekelu8866
    @lundimbekelu8866 Před 11 dny

    Mamluki hao

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z Před 11 dny

    Hi nimupya

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 16 dny

    Xavi mtupu

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 Před 15 dny

    Kiki huna jemgine

  • @user-hs7um1rf8s
    @user-hs7um1rf8s Před 6 dny

    utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli

  • @JoyceDaniel-g3e
    @JoyceDaniel-g3e Před 14 dny

    Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 17 dny +6

    Yanga bingwa adi 230😁

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x Před 10 dny

      Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x Před 10 dny

      Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 Před 23 hodinami

      😮😮umesikia wapi