Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond
Simba nguvu moja❤
Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi
Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake.
Hongera sana King
Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.
😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna
Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
Sabb n kuwa na media
Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana
Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉
Aya bana mwanabisara😂
Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga
Uko vizuri sana bro
king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu
Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea
Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama
Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman
Kiba sasa umekomaa safi sana dogo
Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana
Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko
huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤
Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana
Nice king kiba
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
Mmmmmmh jaman karibu sana yanga
Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤
Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana
Asante kwa kjitambua
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia
hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
Utafika mbari sana
Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮
Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu
Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu
Nimekupenda sanaa
Unamjua simba mnyama
Safi sana king kuludi yanga
mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.
Ni kwel media imezngua
Kichwa na content haviendani 😅
Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa
😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi
Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki
Sijasikia akisema kurudi yanga
Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo
Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king
Chaaaamaaaaaaa
Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA
Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga
Hata Mimi sijasikia
Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?
nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅
Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?
Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin
Wajinga kumbe na ww umeona
Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili
Bado Haji kurudi alikotoka
Hata km mnataka viewers sio ushenz huo
Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu
Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba
Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo
Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢
Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2
K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2
Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.
Aloandika Caption n mas...ge
Dah kumbe shabik mandaz😅😅
Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂
Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo
Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako
Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅
Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂
Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi
Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba
Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi
Kwer kaka
Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe
Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini
Duuuuh
Duuuuuuh
Kiba Big up
Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku
Kumenogeshwa na nn
Kb anajielewa sana
Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana
Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.
Yes ❤❤
Sijasikia mbona akisema kurud yanga😢
Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii
Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa
kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe
Yow
Pumbav ndo maana hamuendelei 😠
Sawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....
😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang
Simba wabovu Sanaa 😂😂
mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka
shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga
Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako
😂😂😂 yan yanaboa balaa nataman hata nilipwe fidia
😂😂😂😂
❤
Acheni uzwazwa
Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba
Shabik mandazi
Ukuwahi kuwa Simba wewe
Mamluki hao
Hi nimupya
Xavi mtupu
Kiki huna jemgine
utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli
Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?
Mjinga ww ulieangalia👊
Yanga bingwa adi 230😁
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.
😮😮umesikia wapi