DADA YETU AMECHANGIA SANA AZIZ KI KUBAKI KLABU YA YANGA| INASEMEKANA NI MJAMZITO, WANATEGEMEA MTOTO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 80

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk Před měsícem +8

    Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 Před měsícem +15

    Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +4

    AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 Před měsícem +2

    Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz

  • @johnmshuta5133
    @johnmshuta5133 Před měsícem +4

    Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃

  • @jumamchewa3246
    @jumamchewa3246 Před měsícem +1

    Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +7

    Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 20 dny

      MAAN GANII HIOOO?

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před 20 dny

      @@allahisone6386 hili neno BONGO lina maana fiche ambayo siyo rahisi mtu kuijua

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 Před měsícem +6

    Ety ana mahusiano achen uongo

    • @hijakinina1793
      @hijakinina1793 Před měsícem +1

      Kama wataka nawao wapate mausiano ya kii si waseme

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před měsícem +2

    Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před měsícem +1

    Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem +2

    Tatizo ni kwamba Aziz sio mchaga angekua mchaga hapo angetumia akili sasa hapo Aziz ametumia mapenzi, nikwamba Aziz aliumbiwa ufukara ndani yake.

    • @erickmbuya8373
      @erickmbuya8373 Před měsícem

      Wewe utakuwa ni kolo😂

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Kolo moja la kichaga ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 million 35 kwa mwezi ni ndogo?

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l Před měsícem

      Hv ww hua unapokea hyo mil.35 kwa mwez? Kama ni hapana,ni Nani kaumbiwa ufukara kati yako na aziz ki?

    • @mwitaprotus7649
      @mwitaprotus7649 Před měsícem

      ❤❤❤❤😊love bro ndo cha msingi apa the world 🌎

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini Před měsícem +3

    Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Před měsícem +1

    Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw Před měsícem

    Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Před měsícem

    Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw Před měsícem

    Na wee Edo mpuuzi sana

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před měsícem +1

    Aziz k amebakia kwaajiri ya mapenzi. Mapenzi ya watanzania yamembakiza

  • @salimusafuko8594
    @salimusafuko8594 Před měsícem

    Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Před měsícem

    Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee

  • @ElidaMsigwa-nz2ts
    @ElidaMsigwa-nz2ts Před měsícem

    Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 Před měsícem

    Metokeo ya uwongo na uzushi, ni aibu, hapa habari zaichezo hapa zimeisha, kilicho baki udaku.

  • @Jamesmwakalile
    @Jamesmwakalile Před měsícem

    Mwache apg kazi aziZ jaman

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před měsícem +1

    yanga baba lao

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o Před měsícem +1

    Wewe umesema ukweli maisha matamu Tanzania siyo mwanamke

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy Před měsícem

    Ili momo kma senge SI jana kasema azizi anaenda simba

  • @danyboy571
    @danyboy571 Před měsícem

    Eti dada yetu ame asisit😅😅😅😅

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 Před měsícem +1

    Huyu dada atakuja kuzaa na vibwenzi

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata Před měsícem

    Nyie wachambuzi uchwala waongo sana

  • @HafizAbdallah-n4b
    @HafizAbdallah-n4b Před měsícem

    yani ww mjinga sana kwann asingesaini simba kwani wako inje ya tanzania

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 Před měsícem

    😂😂😂😂Ila wachambuzi wa bongo ni shida.

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 Před měsícem

    Tofautisheni habari za uhakika na mizaha

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před měsícem

    Huyo wazandaaaani leo kawa mdogo kama piliton, wiki iliyopita alileta zandaaani zake kwambwembwe ile mbaya, leo hata bnguvu yakuongea kwambwembwe hana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Před měsícem

    Mna huakika mimba ya mwamba😊

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole Před měsícem

    Momo Hana kituuu kichwanii

  • @RehemaKizeru
    @RehemaKizeru Před měsícem

    Kuna watu wanafiki kama wachambuzi

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před měsícem

    Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff Před měsícem

    Mzee w za ndani uliapa

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před měsícem

    Uyu jamaa anaenyoa kiuni muongo kweli Leo unasema mapenzi mara mo, jinga kweli.

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 Před měsícem

    ila nyie wahun😂

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 Před měsícem

    Ameasst 😂😂😂😂

  • @azimioalbertongellangella8970

    Eti za ndaaaaaaaani za ndaaan wapi? Uongo mtupuuu😂😂😂😂

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc Před měsícem

    Lazima abaki ufungaji Bora umetengezwa Na viongoz😂

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Před měsícem

    Momo usiwe unaongea pumba

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony1085 Před měsícem

    Momo hyo siyo sababu Acha ujinga

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z Před měsícem

    Momo ni fala sana

  • @bilalikisembe5012
    @bilalikisembe5012 Před měsícem

    Huyu jamaa muongo sana huyu

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o Před měsícem

    Acha uongo usiwe na uchuro

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před měsícem

    Huyu Momo anatuona wajinga sana, eti kabaki kwa sababu ya kulinda mahusiano, hiyo si sababu ya msingi! Mtu anaoa Kenya yeye anaishi Italia na maisha yanaendelea. Acha uongo, momo umezidi sasa.

    • @MikiGermany210
      @MikiGermany210 Před měsícem

      Sio kulinda mahusiano ana mtoto tayari na huyo mdada,hivi unafuatilia kweli ndugu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem

      @@MikiGermany210 Kwa hiyo kwa kuwa ana mtoto maana yake haruhusiwi kusajiliwa na timu nyingine yoyote nje ya Tanzania? Basi tutarajie ataomba kusajiliwa uraia wa Tanzania abaki kulea mtoto! Hakuna mantiki.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před měsícem

    Acha ujinga wewe Momo, hayo mambo binafsi ya mtu unayasema kwenye media?

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před měsícem

    Xavi mtupu

  • @leonardsr8994
    @leonardsr8994 Před měsícem

    Kama ulitoa boko unasema tu

  • @SubiraJohn
    @SubiraJohn Před měsícem

    😅😅😅😅😅😅

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 Před měsícem +1

    Acha uongo wewe

  • @hijakinina1793
    @hijakinina1793 Před měsícem

    Mpumbavu sana akuna za ndani wala nje

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 Před měsícem

    HUYU RICARDO MOMO NAE SOMETIMES NI MUONGO SANA YEYE NDIO ALIYESEMA MUHINDI KAWEKA B 3 LEO ANASEMA DADA YETU

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 Před měsícem

      Chukuwa yote

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Huyu Momo hovyo kabisa, alisema mo Salah kaweka b3 hahahahahaaaa

    • @ZachariaCharles-sq8cx
      @ZachariaCharles-sq8cx Před měsícem

      Uliisikiliza mpaka mwisho? alisema ameweka B3 ila Azizi alikua kashachelewa

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z Před měsícem

    Wajinga hawa