wimbo mzuri sana kila mtu hupitia kipind cha changamoto ambapo anaona hana msaada ila mwisho wa siku ukweli ni kuwa Mungu yupo na wew katka kipind hicho... wimbo mkali sana nipeni likes kama mnakubaliana na nilichosema
Ommy for the second time machozi yamenitoka....baada kuona R.i.p na usiku wa jana nlipooona hii ngoma . Aisee Mungu ako nawe Ommy🙏 Gonga like kama unakubaliana na mimi. #001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪✌
Mungu akujalie maisha marefu Ommy wa mtima. Ungetutoka ingekuwa vigumu. Love this from the bottom of my heart, Mungu asifiwe. Lots of love from 254, Kenya.
Mungu anakuitaji wewe ni hekalu lake hakuna kama mungu, mtumikiye mungu yeye ni mwaminifu wacha mungu azidi kukujenga katika kumjuwa yeye na kukaa dani yake pokea uponyangi
*Kuna wakati blogg za kibongo huwa zipo kwa ajili ya kuuwa watu KUNA wakati walipost R.I.P tuliokupenda tuliumia sana nyimbo hii mpaka imeniliza ila naamini Mungu ni wetu sote kama unaamini SEMA AMEN na like comment hii*
Huu wimbo nimeupenda kwa kweli ameelezea ukuu wa Mungu kwani ni muujiza kwake kupona basi ashukuriwe yeye Mungu awezaye kutenda matendo makuu ya namna hiii,mwisho wa ubaya ni AIBU!!!!!GLORY TO ALMIGHTY GOD(JEHOVA RAPHA-MUNGU MPONYAJI)
Mungu ni mkuu siku zote na kila hamwachi mja wake anayemtegemea kwa maombi,Mungu azidi kuimarisha afya yako kaka kila iitwayo Leo nguvu za giza zinazotaka kukurudisha nyuma zishindwe kwa jina la Yesu.
I listen to this song for the fst day today and I said GLORY TO THE ALMIGHTY GOD indeed HE IS Yahweh kuacha nyimbo za kidunia na kumrudia Mungu Omy Dimpose congrats
Unaniliza Ommy..kweli mungu ndiye tabibu wa kweli..the song is soo touching..Baba ni wewe😢😢😢..those disliking the song i guess u r devil worshipers.to hell they will burn forever..God bless u Ommy and always live healthy to testify the goodness of God in the land of the living.WAPI THUMPS UP..👍
God is truly faithful..I worship him as I listen to this beautiful praise song..I glorify God for healing you and many more in Jesus name..Surely He is the Alpha & Omega...Amen
Hii nyimbo haifanani na ya Mwanamuziki Mwingine yeyote ni ya kipekee.... Umefanya vema kumkumbuka Mungu, niwachache ukumbuka fadhila za Mungu. Ongera broo dimpo.
nimejiwekea ratiba kabla cjalala au siku kuisha lazima niangalie wimbo huu au kuusikiliza ommy amewakilisha wengi hata ambao si wasanii kwel baba Ni wewe wengii tunamengi ya kuandika ila atabaki kuwa mungu
This makes me tear up. Great your back. I know what happened to you is very painful and traumatizing but on the plus side your voice is waaay better and stronger. Ur unbreakable. All the best
Mungu humtetea amuaminiaye kwa roho na moyo moja,hakika Mungu ametupa somo kwako kwamba hakuna jambo linaloshindikana mbele zake ,,hongera ommy dimpoz mana umerudi tena kwenye nafasi yako
I can't express my happiness in writing ...av been waiting for ommy's comeback and am glad that God saw him through even when his doctors had no faith in his living...
Naona miujizaaa, siamini moyo Ndio najiuliza ni mimi Wale nliowalizaaaa, kwa dua zao Wakasimama na mimi, nikawaza eeeeeh, ingekuwajee eeeh Maisha yaaaangu na familia ningeondoka Nikawaza eeeeeh, ingekuajeee eeeh Shabiki zangu na ndoto zangu zingezimika ........................................................................
This song is Really amazing and words in it are really strong.ommy may God bless you abundantly and keep you safe. He who started gud work in you is the only one who is able to complete it as the way he did with Ruge (may he rest in peace ) be strong and he will guide you always
Anachokisema Ommy ni kweli, wanadamu sio wote ni wema hata mimi kimeshanitokea lkn amini kuna walio wema wapo nyuma yako wakimuomba Mola akuepushe na maovu na maombi yao ya kipepo... HAWATANIWEZA KAMWE
Nimependa xaaan kwa ulivyoweza kutoa shukurani kwa aliyekuwezesha kusimama tena true NI WEWE NEW INSPIRATION SONG.
wimbo mzuri sana kila mtu hupitia kipind cha changamoto ambapo anaona hana msaada ila mwisho wa siku ukweli ni kuwa Mungu yupo na wew katka kipind hicho... wimbo mkali sana nipeni likes kama mnakubaliana na nilichosema
hahah sawa bhana
I can’t stop listening to this song even after 4yrs now. 2024
Together on this
amen
Ommy will never die young in Jesus name, I pray this prayer from Kenya 254,....wapi wakenya wampendae dimpoz likes hapa
Ommy for the second time machozi yamenitoka....baada kuona R.i.p na usiku wa jana nlipooona hii ngoma . Aisee Mungu ako nawe Ommy🙏
Gonga like kama unakubaliana na mimi.
#001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪✌
The song is so so mwaaaaaa.. mwenyezi Mungu siku zote humpa mtu mitihan ili amkumbuke.. may Allah bless you with more years uzd kuona rehma zake..
Mungu akujalie maisha marefu Ommy wa mtima. Ungetutoka ingekuwa vigumu. Love this from the bottom of my heart, Mungu asifiwe. Lots of love from 254, Kenya.
Huu wimbo umenijaza machozi mengi sana. God is great Ommy 🙏🙏🙏
Mungu anakuitaji wewe ni hekalu lake hakuna kama mungu, mtumikiye mungu yeye ni mwaminifu wacha mungu azidi kukujenga katika kumjuwa yeye na kukaa dani yake pokea uponyangi
Daaah wimbo bora huuu gonga like kama umekugusa na wew
This song came out when I was nursing injuries from robbery attack. Mungu ni mwema.
Machozi hunidondoka kilaninaposikiliza hii muziki, big up ommy
Wachache sana humkumbuka mungu baada ya kufanikiwa ww ni moja wao maana wengi husahau kabisa kama niyeye kawaponya big up ommy d ubarikiwe
Kama umerudia kuplay hii nyimbo zaid ya mala tatu like hapa twende sawa mung mkubwa atimaye kakayetu yuko poa
Kweli Baba Ni wewe ,when God speak even the kingdom of luccfer scatered
Carolyne Posita GOD THE FATHER is everything in our life.let's glorify his name forever and ever😄
Wangapi wanashukuru Mungu kwa maisha ya Ommy ...nipe likes
Yes Ommy wetu Mungu amuzidishie miaka Mia zaidi 🙏
Song yake iko xaW inanikumbusha mbali
𝚘𝚑 𝚑𝚘𝚠 𝚒 𝚕𝚘𝚟𝚎 𝚝𝚑𝚒𝚜 𝚕𝚘𝚛𝚍
This song will be the hottest new gospel in 2019 .who else agrees with me..?
Yes its on my list already....Ni Mungu tu Pekee
Very nice song and touching too God bless Ommy dimpo
I agree so shocked the guy has been transformed by God through his sickness
@@dorotheamoris1880 God can use anything to draw someone to him!
I agree
*Kuna wakati blogg za kibongo huwa zipo kwa ajili ya kuuwa watu KUNA wakati walipost R.I.P tuliokupenda tuliumia sana nyimbo hii mpaka imeniliza ila naamini Mungu ni wetu sote kama unaamini SEMA AMEN na like comment hii*
amen
Amen
AMEN
B12 Chomolla Amina
amen
E mwenyezi mungu pokea sala zetu na maomb yetu juu ya mwanao huyu mpe miaka kama yoteeee aminaa penda snna mtu wa mungu
Ommy kwani umesahau mahali Mungu amekutoa??? this is the best song ever napenda Sana🔥🔥🔥💖💖
ntakua wakwanza kushukuru mungu kwa kukurudisha tena..#baba ni wewe
Mungu yuko na wewe bro ommy usijali bro..kama umefurahia ommy kuwa na uzima wake gonga like hapo
Ameen
Hongera sana bro kwakumukumbuka mungu inshallah mungu ndiye muweza wa yote
Huu wimbo nimeupenda kwa kweli ameelezea ukuu wa Mungu kwani ni muujiza kwake kupona basi ashukuriwe yeye Mungu awezaye kutenda matendo makuu ya namna hiii,mwisho wa ubaya ni AIBU!!!!!GLORY TO ALMIGHTY GOD(JEHOVA RAPHA-MUNGU MPONYAJI)
Mungu azidi kuwa upande wako Ommy wachawi waaibike, mungu akulinde 🙏🙏🙏
Wangap wamegundua kuwa Ommy dimpoz kafanana na davido gonga like Kama kweli Ahsant mungu kwa kumponya omary nyembo👏👏🙏🙏🏿🙏🙏🙏🙏🙏
Kamfanana Marehemu Radio.
Kweli
Omary Hussein Libenanga kwel
🙏
Omary Hussein Libenanga
nilijua kwa upande wangu tyu naona hivyo kumbe tupo wengi
Mungu ndo rfk wa pekee na upendo wake n wa kwel anafanya njia pasipo njia, pole ommy dimpoz karibu tena.
Mungu ni mkuu siku zote na kila hamwachi mja wake anayemtegemea kwa maombi,Mungu azidi kuimarisha afya yako kaka kila iitwayo Leo nguvu za giza zinazotaka kukurudisha nyuma zishindwe kwa jina la Yesu.
Wewe ni moja ya wasanii ninao wakubali sana, matatizo uliyoayo kwa sasa huwa yananiumiza sana moyo. Mungu ni mwema, nategemea kukuona sana tu!!!!
Baba ni we hata mimi nimeimba!!!!
Nikifa Mnikumbuke🙏🙏🙏Bonge La Dude
Uchawi si lazima uruke usiku....Ukidislike nyimbo kama hii pia we mchawi tu...
Ommy Mwenyezi Mungu azidi kukulinda .....
Tena uchawi wa kiwango cha Lami
Hao ndo walikua wakimuombea Ommy wetu kifo shindwe those people who are whitch
@@conceptahimbezi9979 😂😂😂 hao wcb
Waliomuwekea sumu hao wachawi wakubwa hao
Kiwango cha uchawi wao c cha usawa wa nchi i
Kama unaamini utukufu wa mungu huamsha na kulinda nyota ya mtu haijashi watesi wako watafanya juhudi gani kukufitini, gonga like twende sawa
I listen to this song for the fst day today and I said GLORY TO THE ALMIGHTY GOD indeed HE IS Yahweh kuacha nyimbo za kidunia na kumrudia Mungu Omy Dimpose congrats
...ahimidiwe mungu wetu alipema penda sana ommy kama unamkubali ommy naomba like zakutosha
Wakenya, Nani ameskia kama mimi ngoma ikianza,"Sultan,001" nipeni Likes zenu twende kimoja. God is Good Ommy, thank him you are alive and sound🙏
I gues joho ndo amesponsor
Naona vipingo Ridge
Ata Hii recent yake ya girl you're the best anamaliza na Sultan 001 I think Joho owns the production company
@@priscambilo Hiyo song ni kali
@Denis okello Sana in fact I think it's the best yake nishaiskia
Asante Mwenyezi Mungu umemponya Ommy sifa na utukufu ukurudie.
Wimbo huu kakika unanitoa machozi Mama yangu naye anapitia wakati mgumu sana wa ugonjwa.Namwombea kwa Mungu apone
aliyesikia sauti ya Christian Bella aweke like APA twende saw a na kichupa kikaliiiiiiii #dimpoz hujawah niangusha unajua mpaka sio poa👏👏👏👏👏👏👏👏
Kalib om dimpoz twakupenda wote mnguakutangulie kwenye kazizako usikumwema wadau
Nmeisikia pia lakini inaeleweka kisa lile Shida LA koo
yaap
Acha ujinga na ushukuru Mungu kwa ajili ya mwenzako kama unaona hio video ni pelekaa kushoto
Is true
Wow I'm so happy to see u again OMMY DIMPOZ. Mungu mkubwa show love to ommy ❤
Winifrida Wabarega aisee imbelievable mungu huyu
Mungu mkubwa 🙏🙏
Hongera kwa wimbo mzuri.mungu azidi kukuinua.amekuvusha kwenye hali yaugonjwa.amen
Unaniliza Ommy..kweli mungu ndiye tabibu wa kweli..the song is soo touching..Baba ni wewe😢😢😢..those disliking the song i guess u r devil worshipers.to hell they will burn forever..God bless u Ommy and always live healthy to testify the goodness of God in the land of the living.WAPI THUMPS UP..👍
Hii ngoma ya Ommy Dimpoz Hata kanisani Inaffaa kuingia ziwe zana piwa tuu Kama unaamini gonga like hapaa
aisee mungu kafanya muujiza wake asantee mungu mpe maisha marefu ndugu yetu
OMMY UMENTOA MACHOZI NDUGU YANGU . KWELI MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU TU . AMEKUTOA SHIMONI BARIKIWA SANA BRO GREAT GOSPEL HIT
Nani yupo hapa 2024😢😢 we are getting old
All praise goes To God
Happy to see you Ommy Dimpoz
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝#MunguNiWewe
I can't hold my tears😭😭issa living testimony🙏To GOD BE THE GLORY
Ommmmmy Mungu ndio the best men 2019 unawafunikaaaa mbaya
we are proud of you ommy... Mwenyezi Mungu azidi kukulinda.... we love you
Baba Ni ww Alpha na Omega.. 🙏🙏.. Nice inspiration song Ommy
001 Kenya 2meipokea vizuri xnaa
God is truly faithful..I worship him as I listen to this beautiful praise song..I glorify God for healing you and many more in Jesus name..Surely He is the Alpha & Omega...Amen
Asante Mungu kwakumuponya ommy dimpoz thx God wlcm bck ommy on ur gme God is good all time
Kwa kweli there's God today, tomorrow and forever
Good song....we love you God n we give you thanks for everything....
2024 narudia kusikiliza nilifanyiwa op na kukatwa mlija mmoja wakati huu wimbo unatoka haki ya Mungu nilikua nalia sana
Who's still watching October 2019....the song is so touching can't stop watching
Hii nyimbo haifanani na ya Mwanamuziki Mwingine yeyote ni ya kipekee.... Umefanya vema kumkumbuka Mungu, niwachache ukumbuka fadhila za Mungu. Ongera broo dimpo.
Imebmb
Ina tia nguvu kwawa2 tuliyo pitia mitiani mizito ommy ume nikubusha ki2 nilicho kipitia mungu akupe nguvu nimoja ya ibada satesana
BM2 TV /MEDIA qalii
BM2 TV /MEDIA hakikaa umekuwa wa tofauti
BM2 TV /MEDIA kweli sana kaka yangu
Thank you Lord for giving this soul another chance for the gift of life.quick recovery Ommy..lots of love from +254
Ameeen
This song is so emotional! Great artist!I love ommy Dimpoz,God is faithful🙏🙏🙏🙏🙏
nimejiwekea ratiba kabla cjalala au siku kuisha lazima niangalie wimbo huu au kuusikiliza ommy amewakilisha wengi hata ambao si wasanii kwel baba Ni wewe wengii tunamengi ya kuandika ila atabaki kuwa mungu
I can't hold my tears. This is touching mungu ni mwema welcome back bro we really missed you
Very touching Song i love love it indeed God answers our prayers we r glad u r ok much love from 254🇰🇪.......
No one is like God amekutoa mbali dimpoz zidi kumshukuru na atakutendea mema.awesome song
Ommy kwakweli ww uko form sana daima nakupenda ahsante kwa wimbo huu wenye ujumbe mzito na kugusa hisia zote
This makes me tear up. Great your back. I know what happened to you is very painful and traumatizing but on the plus side your voice is waaay better and stronger. Ur unbreakable. All the best
Hii nyimbo kama imekuingia moyon kama mm gonga like🙏😔😔😔😔
Mungu ni muweza adui anapoinuka Mungu hujiinua zaid miaka mingi kwako kipenzi chetu ommydimpoz gonga like kama umependa uwepo wa ommydimpoz
Mungu akulinde zaidi ommy dipoz
Mungu humtetea amuaminiaye kwa roho na moyo moja,hakika Mungu ametupa somo kwako kwamba hakuna jambo linaloshindikana mbele zake ,,hongera ommy dimpoz mana umerudi tena kwenye nafasi yako
I can't stop crying. No one should die young God!!! God upon your life ommy na kupenda Bure sweetheart. From 254 💞💞💞
unajaua siamini maana walikusingiziai umekufa jaman watu daaah,,, my love ommy hauta potea tenaaa WE LOVE YOU
v
Swahili Pride - Bongo Movie 2018 duuh ilaike
Swahili Pride - Bongo Movie 2018 we kwl huna akili
@@pauljaphet4735 SAWA PAUL MAANA NASKIA WEWE NI TANZANIA ONE
Amina mwenyenz mungu akulinde
I can't express my happiness in writing ...av been waiting for ommy's comeback and am glad that God saw him through even when his doctors had no faith in his living...
Yaan mpaka nimelia ,umeimba wimbo huu kwa kumaanisha ,Mungu akubariki sana
Jamani nimekumbuka mbali sana na mm😭🙏🏿 Asante baba
Mungu ni mwema daima
😭😭😭dah ugua pole omy
Lee Massawe amenitoa machozi Hutu kaka wallah
Gonga like kama unaamini Mungu anaponya kama haumini pita tu...
#ommy
#001
#mofaya
#tanzania
#kenya
Mungu aendelee kuku linda na akupushe nakila mipango yaadui nayeyote atakae taka kuku angamiza aka angamie yeye Kwajina la Yesu
Shed a tear listening to this song. Nothing in this world God cannot pull you out of. All the glory be returned back to Him 🙏🏿
*Ommy D iz back again kama unamkubali Ommy like me like TWENDE sawa*
brooo kwanza pole sana kwa matatizo.. pia mbonge ya nyimbo na inasisimua ni nzuri inavutia
AMEN aunuliwe na ashukuriwe BWANA MUNGU WA MAJESHI kweli ni mwesa wa yote hakuna linalo mshinda yeye
My favorite Ommy ❤️❤️❤️❤️❤️🙏 love from Kenyan in Dubai 🇰🇪❤️❤️❤️❤️
Oooh wimbo umenitoa machozi maskini dimple live for Jesus, here Kenya
Naona miujizaaa, siamini moyo
Ndio najiuliza ni mimi
Wale nliowalizaaaa, kwa dua zao
Wakasimama na mimi,
nikawaza eeeeeh, ingekuwajee eeeh
Maisha yaaaangu na familia ningeondoka
Nikawaza eeeeeh, ingekuajeee eeeh
Shabiki zangu na ndoto zangu zingezimika
........................................................................
Amini katika mungu kwa kila jambo hata Ni zito kiasi gani pole sana ommy Kwa kipnd kigum ulichopitia
Am here today...thanks God.wonders shall never end.God help you(Ommy dimpo)
Mungu ni mkuu siku zote, bado amekuokoa kwa ajali pamoja na Jux ...
Kama una amini mungu ndo kilaki2 Katika dunia piga like yako.....
Mungu Akuzidishie nguvu
Aamin ommy mung akupeiman zaid
Dahhhhhh bonge langoma nafeel kwakweli napo skiliza asante ommy kurudi tena endelea kutuburudisha good song🔥🔥🔥🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🔥🔥😘😘😘😢
Mungu ni mwema 😭😭😘💕
I feel so painful 😅😅😅when l watch the music,😥😥😥God is grt wlcm back 🙏🙏🙏🙄
We're all of divine value,Thank you Ommy Dimpoz
Duh! Mungu mkubwa km umeamin hakuna km mung .gong like hapa
Safi
❤️❤️
Kwel mungu mkubwa 3:23
Tumshukuru mungu kwa Kila jambo. ....niushuda kwako sasa mungu akuongezee maisha. ..Amen. .nakupenda sana mimi toto wa Kenya
Asante mtoto wa kenya
@@masolla8882 karibu
Kuna vitu vngine Mungu anaruhusu ili mwisho ashangaze maadui zako Mungu ni mwaminifu sana
This song is Really amazing and words in it are really strong.ommy may God bless you abundantly and keep you safe. He who started gud work in you is the only one who is able to complete it as the way he did with Ruge (may he rest in peace
) be strong and he will guide you always
Excellent caption...😘😘😘😘
Welcome back ommy, we missed you.
Wallah more life ommy we2 sio kwa tungo hii..kila m2 aliyewahi kuugua akiisikilz lazima atokwe machozi..mmoja wao mm😔😔😔
mbo vp
hy
Omy manga ankupnda nmfurai sana kuona nyimbo nzuri
usher bambi poa sana
Sorry
Oooooh..my Lord..Thank you so much ..Truly you live
Anachokisema Ommy ni kweli, wanadamu sio wote ni wema hata mimi kimeshanitokea lkn amini kuna walio wema wapo nyuma yako wakimuomba Mola akuepushe na maovu na maombi yao ya kipepo... HAWATANIWEZA KAMWE
#tearing up #emotional #sensational....❤️...kama umeskiza hii nyimbo ukatokwa na machozi..nipe LIKE
God is with us# pole san ommy dimpoz
Mm hapa
Nljua tu ommy kila kitu kitakuwa sawa......we missed your voice... Your blessed😊😊😊😊
Hakika mungu mkubwa sana
good music
Nyimbo Nzurii👏👏👏 hongera sana Ommy dimpoz kwa kumkumbuka Mungu wako
Kwakweli alipo kutoa anastahili hizi sifa
I’m from Afghanistan and don’t understand a single word but I’m still in love with this song have been playing nonestop