BURNA BOY kweli ni African Giant! Watu 80,000 wahudhuria tamasha lake London Stadium

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 148

  • @user-xn2ih2br7y
    @user-xn2ih2br7y Před 2 měsíci +6

    Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci +1

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci +7

    Big up Burna boy❤

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před 2 měsíci +10

    alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu

  • @EdsonyMashaka
    @EdsonyMashaka Před 2 měsíci +7

    Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana

    • @Symoob5c
      @Symoob5c Před 2 měsíci

      Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 měsíci +3

    Noma sana

  • @DissahPlusson-jp2qj
    @DissahPlusson-jp2qj Před 2 měsíci

    Burna boy I will see you my artist, champions

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před 2 měsíci +2

    Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi

  • @user-oe1iw6gz2m
    @user-oe1iw6gz2m Před 2 měsíci +5

    Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Před 2 měsíci +36

    Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂

  • @samuelmwatsuma4462
    @samuelmwatsuma4462 Před 2 měsíci +3

    Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale

  • @theresekwizerimana4044
    @theresekwizerimana4044 Před 2 měsíci +1

    Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 2 měsíci +18

    Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂

  • @HakisaniTv
    @HakisaniTv Před 2 měsíci +3

    Burna Boy ni NAMBA 1

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 měsíci +4

    MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 Před 2 měsíci +10

    Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s Před 2 měsíci +3

    Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅

  • @asawoasawo517
    @asawoasawo517 Před 2 měsíci +5

    Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před 2 měsíci +4

    Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 Před 2 měsíci +2

    Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před 2 měsíci +1

    Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii

    • @abedarakaza9017
      @abedarakaza9017 Před 2 měsíci

      ​@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      @@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 Před 2 měsíci

      ​@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Před 2 měsíci +3

    Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,

  • @user-qe7ym7yw9j
    @user-qe7ym7yw9j Před 2 měsíci +3

    Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi Před 2 měsíci +1

      Mungu kahusika tena 😢😢😢?

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi Před 2 měsíci

      وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالًا مَّعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْتَلُنَّ يَوْمَ
      الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ )

    • @GreysonMdee-wm8tn
      @GreysonMdee-wm8tn Před 2 měsíci +1

      Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 Před 2 měsíci +4

    Diamond, analia na nyerere,
    🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana
    Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci +1

      Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      ​@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      @@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      @@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      @@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @user-qu1hc9wl6j
    @user-qu1hc9wl6j Před 2 měsíci +9

    Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 2 měsíci +1

    Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 Před 2 měsíci +6

    Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 2 měsíci

    Hatar

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f Před 2 měsíci +4

    Atambe pande zake pande zetu atambi

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech Před 2 měsíci +2

    Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 2 měsíci +1

    Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana

    • @MohammedBwanga
      @MohammedBwanga Před 2 měsíci

      @@albertkadyanji9722 kabisa

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 Před 2 měsíci

      Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman ​@@albertkadyanji9722

  • @wekezauchumi7440
    @wekezauchumi7440 Před 2 měsíci

    Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha

  • @MOREDI2024
    @MOREDI2024 Před 2 měsíci +1

    Yeye anapewa ngapi?

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay6566 Před 2 měsíci +10

    Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 Před 2 měsíci

    Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 Před 2 měsíci +2

    Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar Před 2 měsíci

      Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo

    • @Asamtz360
      @Asamtz360 Před 2 měsíci +1

      Chris kacheza on the low ya burna kaitafute

    • @NemesMasawe
      @NemesMasawe Před 2 měsíci +1

      On the low na Anamuombaa cokabo

    • @wabackali2494
      @wabackali2494 Před 2 měsíci

      3:35 ​@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 Před 2 měsíci +1

    Mpen Salam Mr mwambino

  • @rehemajuma6008
    @rehemajuma6008 Před 2 měsíci +1

    Hahaaa ety kawakomesha

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura9523 Před 2 měsíci +10

    Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 Před 2 měsíci +10

    MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe

    • @Symoob5c
      @Symoob5c Před 2 měsíci

      😂😂😂

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo8499 Před 2 měsíci +1

    Lakini kama naona ni mchana apo

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Před 2 měsíci +1

      Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅

  • @Oficialkb
    @Oficialkb Před 2 měsíci

    Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 Před 2 měsíci

    Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 Před 2 měsíci +1

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @BakariAlly-dm1vf
    @BakariAlly-dm1vf Před 2 měsíci +1

    Mond au😂

  • @samiusiraj4587
    @samiusiraj4587 Před 2 měsíci

    Anaitwa barn shona domo,ndy

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 2 měsíci +2

    😂😂😂

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @princedrama7
    @princedrama7 Před 2 měsíci +4

    kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 Před 2 měsíci +5

    Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j Před 2 měsíci

    Hata Diamond namuona huku

  • @neltone
    @neltone Před 2 měsíci

    Tanzania tuko vzr mfn n huy burna

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein7678 Před 2 měsíci +1

    Komasava 😂🤣🤣

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 Před 2 měsíci

    Diddy made it😂

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 2 měsíci

    Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.

  • @MikidadiKimilike
    @MikidadiKimilike Před 2 měsíci

    Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 Před 2 měsíci +2

    Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před 2 měsíci

    Shida wanapanga muda mapema mond angejaza

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 Před 2 měsíci

    Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅

  • @selemanirashidi-sc3pp
    @selemanirashidi-sc3pp Před 2 měsíci

    Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari

  • @MichaelAlimasi-jz1wi
    @MichaelAlimasi-jz1wi Před 2 měsíci

    Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 2 měsíci

      Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Před 2 měsíci +6

    Show za mchana na kelele kibao

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi Před 2 měsíci

    SNS hamlali

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau Před 2 měsíci

    Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk Před 2 měsíci

    Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 Před 2 měsíci

    Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Před 2 měsíci +3

    Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 Před 2 měsíci

    Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema

  • @mrenobishoo1118
    @mrenobishoo1118 Před 2 měsíci +1

    Wameingia kwenye mfumo !!!!

  • @EtieniRama
    @EtieniRama Před 2 měsíci

    alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 Před 2 měsíci

    Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před 2 měsíci +1

    Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2

  • @AkatendaAmbrosio
    @AkatendaAmbrosio Před 2 měsíci

    Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 2 měsíci +2

    Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage48 Před 2 měsíci

    Diamond anakomesha kivp sasa

  • @othmanibnabdullah
    @othmanibnabdullah Před 2 měsíci

    Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 Před 2 měsíci

    Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊

  • @MamboSuper
    @MamboSuper Před 2 měsíci +1

    Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola Před 2 měsíci

    Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani.
    Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 2 měsíci

    Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 2 měsíci

    mwambino rudi tandale tu

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi236 Před 2 měsíci

    Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 měsíci

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 Před 2 měsíci

    Kuigizia maisha mbaya mno