Whozu - Mii (Official Lyrics Video)
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Whozu's "Mii" is a deeply emotional love song that showcases the artist's talent for blending heartfelt lyrics with soulful melodies.
In this track, Whozu explores the themes of love and connection, using evocative imagery and tender vocals to express the depth of intimate relationships.
The song’s gentle rhythm and poignant delivery highlight Whozu’s ability to convey profound emotions through music.
#Whozu #SMILESASA #Mii #Komasava #Kipofu #Ujana #Tangazo #IphoneUser #Nani #NipoSingle
This is good song ....
Umebadirika sana Hivi ndio inatakiwa msanii uwe wabadirikabadirika
Mimi pekee kutoka Kenya naomba likes 🥰😍
Wema huyo😂❤
Yaan mm nyimbo za midundo ya hv zinanikosha moyo 🎉🎉🎉
Kompa Love hiyo(zouk flani hivi ndani yake ila ina vionjo vingi)
Sikiliza pia nyimbo ya loynizer ft lodymusic inaitwa utanishikuru😅
😂😂😂nilijua nimimi tu😂😂 ivi hii miondoko wanaiitaje? Ndio compa au zuku? Napenda sana
@@cuteliciacutelicia3968 hii ni kompa love(ni zouk ambayo ina vionjo vya kutoka visiwa vya Haiti)
Km Zawadi ya Zuchu💥🙌🏿 @@cuteliciacutelicia3968
Huu wimbo naukubarii kama wewe ni team mii like nyingii sasa🔥🔥🔥
czcams.com/video/Ts6MWufd-e0/video.htmlsi=03ULcREZkbor2_TO
Moto
Vevo Na comment nawaomba like tu
Kaka unachelewesha mwendelezo
Vevo gan wee mavi 😂
Ata wewe unaomba LIKE ama nawewe alikazalika?😂😂
Vevo wa mchongo😅😅
Ni VEVO wa mchongo huyo @@user-jt1lc2tt5j
ZOMBI,LIZZER kazi safi sana CHIBABA umeuwa hii ngoma 🎉🎉🎉
Beautiful art work 🤸🤸✌️✌️✌️✌️ let love lead ...PERIOD ✌️✌️✌️✌️
WHOZU🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥👑 KAMA INAIKUBALI HII SOUND WEKA MAKOPA KOPA
Anamkubali Whozu gonga like hapa ni 🔥 let's do this now
Bonge la Video💗🔥🔥🔥.Mnipe Like zangu kma Mchaga wa Kwanza Ku Comment 😂
Video kakopi kwa msanii wa Burundi, Drama T
Noma hii ,,weka like yako hapa🔥🔥🔥🔥💯
nimerudia huyu wimbo mara 10× thanks my brother woozu full Respect bloody keep doing such a good music kwa ufa leo nimepiga kelele hadi jirani ame call 911 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 best song of this sweet august 💖
So creative
Daaamn
Ngomali whozu nakufatilia toka unatoa crip za comed
Ata mm
Hii ngoma nimeisikiriza Kama mala 50 ikanipotea hesabu nitafika asubuhi kwa kuisikiriza,mungu angenipa mamlaka ya kugawa pesa nadhani leo zote ningekupa wewe acha wafe njaa siku moja sio mbaya,
Kutoka kijijini,mtaani,mkoani kwetu tumekubaliana huyu wimbo ni wataifa ukitoa comasava master piece
Drama-T juu unajua kuwapatia mfano watu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I know right 😂kumbe Burundi tunaibwa!?🤔yaani nimeshangaaa!
@@Dusenge-TV ntidutamba twirorera
That’s what I was about to say , totally 100% video couple past.
Great great
Miii
❤❤❤❤
Nakukubal xana my brother whozu.
Naishi south Africa lakin ni mtanzania nakukubali sana brother nice song nice melodies nice picture ❤❤❤❤❤❤
Huu wimbo una FAA harusi aki🎉🎉🎉❤❤🇰🇪
Drama t your the best❤❤❤
Noma sana
Shout out to you my broo whozu i love you and i support you too big up broo ongeza likes kama unakubali ngoma hii
Pacha wangu ni wamoto one of the best song kuwah kutokea hii bongo
Good song whozu 🙌
Hallelujah nampenda huyu❤. Kazi safii
Kosho n'y dramat🇧🇮🇧🇮🇧🇮 umekopi kwake kwa msani wa Burundi aise bongo mumeanza kukopi music ya Burundi mumeishiwa pakuiga hadi mmevamia nchi yangu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮😂😂😂😂
Mashairi mazuriiii, Melody kariii, beat kariiii ILA ILA .... NYIMBO INAMUHITAJI MARIO AU J MELODY.
WHOOZE UMEUWA #NIPINGE MIMI NANI#
Eehh wapige remix
Nice work mii❤
Hii Ngoma umetua whozu respect 🫡🫡🫡🫡🫡💯❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️k nzr bro
Ngoja nikasimulie Zangu simulizi 😊😊🏃♂️➡️🏃♂️➡️
Kwanini usisikilize kaka Lucas jamani unakimbia
Ufanye utuletee Edina wetu
Kaka Lucas lummbasi
Aise umeua sana vise nzuri sana duuh ❤❤🎉🎉🎉
Weweeeeeeee goma Kali kinoma
Drama T keep it up umeinspired wengi...mpaka na whozu
Lakini wimbo wa whozu ni wa moto sana....and that's what matters....
Asifiwe producer kwa malimba alotandikaaa..saluuuuuuteeee"
Dingoooooo🙌
Team wozou tuna jua sana
Ulimkopi Drama T from Bdi kwa mziki wake maarufu #koshoo hiyo video nikopi 100%
Babykiller my boy you got em
U from on other planet
Our fav becomes their inspiration😂
Uyo Drama alicopy kw Drake - Falling back 2022
mzk mzur mbon monz wko anachepuka huko cc tumenyamaza tu😂😂😂
Ivan🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ngoma kali sana
Much love from 🇰🇪
Wakwangu huyu kali kinyamaa 👌
😘💃💃💃atar Sana
Sijachelewaaah jaman 😮naombeni like zenu
Kali sana from Tanzania nipate maua leo❤❤❤❤
Ukiimbaga ivi unauwa sana amapiano tupa kule
Sana boy whozu
Creativity Kutoka Kwa Drama T From Burundi 🇧🇮 Kosho
Drake- Falling Back (2022)
😂😂
❤nyimbo nzuri
noma sana
All the way from 254...anguka hapa😊
Ni balaa❤❤
DINGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO🎉
From Kenya🔥🔥🔥🔥
Imepenya❤❤
Ungemtia Jay melody hapa ndan ingebust sanaa💣
Kabisa yn ndo midundo yake hii🔥
umemuiga drama-t song inaitwa KOSHO 😂😂😂😂 kwahio style ya kukaa na mademu wengi ila big up like nyingi
❤❤ whozu 🎉🎉🎉
Nimependa aliyepiga instruments imekaa powa sana
Daaaa siamini Leo nmkua wa kwnza
❤❤❤ Yeziiii man
Nyimbo mzr sana
Nicer song🎉
Wa kwanza kulike😢ngoma kali🎉🎉
We mpuuz huu wimbo umetulia san...hauna kelel maneno yanasikika vzr
TEAM BABA LOLA JAMANI LEO TUJUANE 🎉🎉🎉
czcams.com/video/66Qq6RjxAjI/video.htmlsi=x_1kkcbae3vfD6Rc❤
Sasa mbona whozu ndio mrembo kuwazidi hao woote👐👐
😂😂 matusi hayo
Noma🔥💥
❤❤❤❤nzuri sanaaa
Goma Kali kinyama one love
Fundi🔥🔥
Lovitt 🇷🇼🇷🇼🇷🇼♥️🏏🔥
Such a nice a song❤
J'aime cette chanson depuis la RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Like kama zote Kwa king wang
Wahoooo❤❤❤❤
Hapa Whozu umeweza nyimbo Kali aisee❤
Jamani mm huu wimbo ❤❤❤❤
i like you music ...from Guinée Conakry ❤️🇬🇳
❤🔥dingoo
#goma kali sana🎼🎼
Auna mpinzanii chibaba safiiii
❤ depuis le Gabon
FIYAAAAH🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌🙌
Udi boy tz naomba like zangu kwanza🎉🎉🎉🎉🎉
Ngoma nzuri hiyo🎉 achana na mapiano
A stunning shot!
Umeuaa kaka
Chibaba ake nanu uyu mbona anajua shana ❤
❤❤❤❤ saund kali
Nice song 🎧🔥🔥🥰😍
HUYO MTOTO WA MKONO WAKULIA MIALIII ANATABASAM TAM SANAAA
This is good song ❤
Tishaaaaaaaaaa💥
Wooooow ❤
Jamaa akitulia anakua tishiooo
Wenye waliotazama zaidi ya mara moja tujuwane like 👉👉
Oooh waooh