Kiongozi Paul Makonda, chapa kazi, huku ukiiangalia sheria ya Mungu unayemtumikia, isikupungukie.Barikiwa sana.Wasio kutakia mema watakubali tu.
Nimesema hayo nikijua kwamba, uongozi wowote unatoka kwa Mungu. Hata ule wa Idd Amin Dadaa wa Uganda ulipata kibali toka kwa Mungu; yeye mwenyewe tu alilewa madaraka ya Uongozi.
Nawapata vizuri Sana ITV from Omani
ITV,nawakubali sana mko vzuri sana mnajitahidi kurusha taarifa ya habari CZcams
Congratulations .
Nawapata vinzur sana
Nawakubl snaa
Rahel Paul balele
Mko poa itv tunawapata vyema sana
Wille man 0:47
Mhh
Kiongozi Paul Makonda, chapa kazi, huku ukiiangalia sheria ya Mungu unayemtumikia, isikupungukie.
Barikiwa sana.
Wasio kutakia mema watakubali tu.
Nimesema hayo nikijua kwamba, uongozi wowote unatoka kwa Mungu. Hata ule wa Idd Amin Dadaa wa Uganda ulipata kibali toka kwa Mungu; yeye mwenyewe tu alilewa madaraka ya Uongozi.