FULL MATCH HIGHLIGHTS : ZAMBIA 1-1 TANZANIA
Vložit
- čas přidán 20. 01. 2024
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish) - Sport
What a powerful header from Patson Daka!!! Classic!!! Indeed, such a wonderful header could only come from someone from the EPL... 🎉❤😍😘🥰💪💪🥰
Félicitations wa Tanzanie
Kibu denis n bonge la player❤❤
Refa hakutenda haki kabisa kwa kadi nyekundu
Tunaenda kumchapa Congo mungu hawez kututupa mara zote nitarudia comment hi baada ya mchezo na congo
Mungu kawatupa au wenyewe mwajitupa, come on 😢
@@wisedupshop2731acha dharau
safi mzalendo wa kweli
Kwani congo huabudu shetani?🤔🤔kazi ipo😂
😅😅😅😅😅
Timu imeshinda goli moja tuna relax tunacheza pasi za nyuma badala ya kupiga pasi ndefu halafu pasi za nyuma zenyewe tunatoa maboko dah bora kushabikia tumu za wana wake katima mashindano makubwa kama haya maana wana tuwakilisha vyema
Taifa star Bado Sana
mmepambana sana ,, mtafanya vizuri zaid mchezo ujao
Kazitumeio mmepambana mungu atuvushe mechi ijayo huenda tukafurahi mwisho hata hiki sihaba
Mchezo ulikuwa wetu tushinde lakini wachezaji hawajitambui na sijui kwa nini makocha waliwacha watoe back passes nyingi bila kushambulia kwa nguvu. . Timu ilicheza kama wameongoza goli 4-0.
Walizinduka baada ya Zambia kusawazisha.
What a mess🙈🙈
Taifa star nikichwa cha mwenda wazimu mimi ni mshabiki wa yanga na senegal
Tumecheza vzur sana first half
Sisi kweli kichwa cha mwendawazimu.Licha ya jamaa kuwa pungufu uwanjani lakini tumeshindwa kuwafunga.
Hizi substitution, bench liwe makini ,ukimtoa Kibu ni kama umeloga timu, acha akomae mpaka mwisho anabahati huyoo.
tumejitahidi sio mbaya sana
Tanzania waooo
Very good wa Tanzania
Sisi ni VIGODORO na VIDUKU, lkn MPIRA hatuwezi....!..ujinga mwingi..!
Wachezaji badala ya kukimbiza mpira mbele kushambulia,eti wanapiga passes nyuma,,kwa kweli ni kichwa cha mwenda wazimu😢😢😢
Kocha anahojiwa anasema tulijua mchezo utakuwa mgumu baada ya zambia kuwa pungufu c'mon coach what are you talking about?😮😮
Piga hawoooo
kona ya chama imetuua waTz😢😢😢
DRC must beat Tanzania in order to stay!
If beating is just easy as you think, then people coudn't have been loosing bet
good
Hamijapigwa, munsubiri kupigwa
Mbola na lesa
Mgunda kocha wa Boli
Sasa hawa pungufu tumewashindwa tuta waweza drc hawa hapa ndipo tulipo takiwa kumaliza game mapema tu
NCHI HII TIMU YA TAIFA INATUKANISHA KWAKUA HAWAJUI MAANA YA KUFUNGWA NI MATUSI 1.NCHI IMEJAA MAMBUMBUMBU 2.WAVIVU 3.TUNAKULA KWA KUBANGAIZA
Amazing to see Countries like Tanzania Qualify for CAF na Kenya Siasa tu nyingi na maendeleo hakuna.😢
Ss watanzania tunajifanya na. Ss walabu oasi zanyuma kuliko mbele nakicha anaona yupi kimya tu
Mwali shuka ba mwachiusa, muletola nobwapona.
Congo 6-0
hii tabia ya kuwa tunawakilishwa na watu wasiyo na uwezo tunaaibika wote si sawa. Wachezaji wanachezea jikoni tuuuuuu!!!! inamaana hawaoni wenzao? wapimwe akili
Umakini tu ulikuwa haupo gemu ilikuwa yetu Tanzania
Mfumo wa taifa staa bado saana tena saana mchezo wakurudisha nyuma mpra unapo utumia hakikisha wachezaji wawe nauwezo wa kupiga mipra ya pasi ndefu na pili wachezaji wawe na uwezo mkubwa mipira ya mbio 7bu unapocheza mpira wa kujilinda basi tambua unampa adui nafasi ya kukushambulia hivyo basi ni wazi kabisa mfumo wa mchezo huo hatuna uwezo nao na baado hatubadiliki
Unawaita wachezaji kutoka nje alafu unapanga walewale wakila siku xaxa tumewaitia nini. Inatakiwa mahamuzi magumu ili tufanikiwe
Mbona wabongo siwaelewi😅😅😅
Kiukweli nimeamini hapa hatuna timu watu pungufu lakini wametufunga sisi ni ndugu wasindikizaji tu miaka yote