Uko vizuri sana Steve Mweusi. Ushauri kwa vijana kama hao, inatakiwa wajiandae kiakili sio kimapenzi, yaani wasipende kua wepesi tu, ila wajiandae na uzito pia.
Steve pamoja na kk kipara munaweza salut ilawadada mujifunze achenekufungilamigilukilawakati usimwamini mwanaume mbiyo saana itaku cost saana from American
Its funny until I rem ,I went through the same😭😭😭😭. I made a decision to keep it, n today I'm happy,,,my baby is very bright and receives presents all through. He introduces me as ,"my beautiful mum"❤❤❤❤
Lakini sister ajra nimwisilamu ila anapendakujitiyamushauri zaidi kama vile mulokole ila mashsuri yako yanajenga kama tabiyazako zinaendana naiyomashauriyako aah kweli atakaye kutowa amepata mwanamuke swahili from American
Uko vizuri sana Steve Mweusi. Ushauri kwa vijana kama hao, inatakiwa wajiandae kiakili sio kimapenzi, yaani wasipende kua wepesi tu, ila wajiandae na uzito pia.
kila igizo yenu hajra akiwemo huwa inavutiaga sana,bigup sana hajra
Heeeeh🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri sn blessed
Nipo mezan nasubiri part 2, n nzuri sana
Living legendary 🔥🔥 steven mweusi
Wanaharibu sana wasichana je angekuwa mtoto wake
wow nice Steve mweusi big up bro🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tumeipenda toa part 2
Hii kar stiv black we noma
Mmmmmmm umetisha s
@@jacksondeo6280 ametisha atulete part 2 amaje wase
Kaka stive ahujawayi kuniangusha unanitesa nambavuza ni princekutoka burundi bujumbura
Nzur sana
Mh
Tafadhali jamani tunaomba muendelezo wa hii kitu maana kama inaleta historia nzuri mbele
Maana hapo Stiven kesha yabananga
Nzuriii keep it up
Wow what a movie,nimependa sana
Nashukuru mungu ninalea wanangu mimi mwenyewe sitegemei bwana mwanaume wala ndugu yake😂😂
Hata wake wawe na vituo sio kila anae muona ndie
Sema kimeumana
Wanaume wengi ni vibaka baba
Chips mayai ndio usababisha mimba zembe,tuweni na uruma basi tunapokua na makubaliano.
😂😂😂😂steevu siku moja uta tu uwa na cheko,niku fuatiliya toka Congo DRC,Goma
Naku pongeza Steve uko vizuri sana umenipa fundisho la mahisha
Huyo jamaa alipitelea wapi
😂😂😂😂😂 !!! Steve bwanaa
Steve pamoja na kk kipara munaweza salut ilawadada mujifunze achenekufungilamigilukilawakati usimwamini mwanaume mbiyo saana itaku cost saana from American
Majibu ni baada ya kutuma video nyingine
Eti ww in nani UNISEF 🤣🤣🤣🤣daaaah huyo mamdogo amenimaliza mbavu eti 💙big love Steve and the group from Kenya
Wanaume tukuwe nauruma Kweli
HUYO MWANAMUME MWENYEWE ANAKUWA MTOTO WA NJE SIO BURE.
❤🎉❤❤ so much better 😂🎉🎉
Tafadhali Hii movie muendeleze iko na somo
Ni shida
Nimekuwa wa nane
hapo sasa ndo mumeanza kucheza filamu .siyo zile story mulizokuwa munafanya kila siku eti munacheza filamu
Pamoja Sanaa Steve
Hilo cinema limeweza kweli.. much love from Kenya. Start acting bongo movies now
Steve nliskia kulia ukipoichana like koti, niko hapa Nairobi, nakuoenda sana kaka😂
Part 2,nawakubali sana
Its funny until I rem ,I went through the same😭😭😭😭. I made a decision to keep it, n today I'm happy,,,my baby is very bright and receives presents all through. He introduces me as ,"my beautiful mum"❤❤❤❤
Kukimbia tatizo siyo njia ya kulimaliza💪
Huyu upara hayo macho yanatisha kwel😂😂😂😂
Steve unaongea sna😂😂😂😂😂😂😂
Jamaaan Steve kwani lazima utokeee uharibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
😀😀😀😀😀😀😀
Steve eeeeeeeeeeeeeeeeee
🤣🤣🤣🤣Mamdgo nae pambe 😂😂😂😂 Steve mweusi Nakubali Sana 🙌🏼🔥🙌🏼
Dah' Wa nyumbani Umetisha
😭😭😭
Steve cha kuharibu mambo🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Steve napenda tu kufuatilia filamu zako hongera natoka kenya
Tunawashauri dada akija mtie mimba halafu umfukuze ndio watoto wawe kina diamond na Eminem
Huyu stivu chizi kweli hhhhhhhhhh
Gonga like hapo kwanza❤❤😮😂
Stive nakubari mwanangu kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣😂🤣
Steve kayatibua tena
Kazi nzur🤗🤗🤗
Ma binti njo na shauriya wakuwe na uliza mbele , piya wa ume wa kamate na kuitika responsability zao . mi ni jean claude kutoka drc kalemie
Tafadhali sisi kama mashabiki wenu tunaomba muwe mkiigiza movie ndefu kuanzia lisa
Stive rafikiyangu uko vizuri kwaku igiza🙏🙏
Jaman imeniuma mpaka machozi yamenitoka
Huyu kipara alikuwa wapi jamani.....ametisha sana 😂😂😂
😂😅😂😢😢😢😢kipara chawasha kinyolewe tena😢
Ila stivu umekua mmbea Sana et
Lakini sister ajra nimwisilamu ila anapendakujitiyamushauri zaidi kama vile mulokole ila mashsuri yako yanajenga kama tabiyazako zinaendana naiyomashauriyako aah kweli atakaye kutowa amepata mwanamuke swahili from American
Steve king of comedy
Ikitokea ukampamimba mwanamke nivema ukamuoa mimi mwenyewe natamani nipate mwanamke wa kunizalia duh iyujamaa nae kachemka aisee
Ajira is so beautiful ♥️♥️♥️
Kipara yamemukuta kiukweli ameuponza kwamupenzi wake ajra
Akuna ushauliiiiii apo Show show
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗 steve kafichua siri yote
Hararii
Nafurai kwa mafundisho yako
Alichokifanya mma mdogo ni sawa kabisaa
Good job Steve
tunaomba part 2 from 🇧🇮
Stivu bwana 😂😂😂😂😂
Tunaomba Party Two
Wachafu
😂😂😂😂😂
TOP🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Filamu ya Kiswahili kutoka Inchini Burundi akishirikiana na wa Tanzania
czcams.com/video/8S6iPmpTezc/video.html
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂😂🥲😂😂🤣