Wakaazi wa Bomet waandamana, wamtaka Gavana Barchok kuwajibika

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • Barabara ya Kisii kuelekea Narok ilifungwa kwa zaidi ya saa 3 na waandamanaji katika mji wa Bomet .vurugu zilishuhudiwa baada ya makundi mawili kurushiana mawe hali ambayo ilifanya wafanyabiashara wengi kufunga maduka yao.
    Vijana hao wanalalamikia uongozi mbaya wa gavana wa kaunti hiyo Hillary Barchok

Komentáře • 71

  • @robinsonmugume8132
    @robinsonmugume8132 Před 26 dny +5

    Ruto has created a strong oppsition for himself.

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Před 26 dny +10

    😅😅😅Makosa ni yenu mlichagua chama badala ya kiongozi, kama mngemchagua Issac Ruto sasa hivi Bomet ingekua imeendelea

    • @braimoabu
      @braimoabu Před 25 dny

      True

    • @t0n0k0
      @t0n0k0 Před 23 dny +1

      ​@@braimoabuhaijali nani yuko, good governance is the goal. I wish the media could amplify that. Stop graft and account for previous stolen monies, if you did jiuzuru because it will be worse if still in office.

  • @user-bu5jp2cx7p
    @user-bu5jp2cx7p Před 26 dny +13

    Rift valley people should reject the wheelbarrow and its poverty - that is an alter of poverty reigning in that province

  • @robinsonmugume8132
    @robinsonmugume8132 Před 26 dny +4

    People like Fred Matiangi, Wamalwa should return to gov't immediately...

  • @motivationalit
    @motivationalit Před 26 dny +11

    No cappage

  • @JohnKingondu-yn4zf
    @JohnKingondu-yn4zf Před 26 dny +5

    Poleni kwa hilo bt kuna jambo Mungu anataka tujue kama wakenya jambo la kwanza ni tumtengemee yeye na siyo kutengemea mwanadamu au mawazo yetu uongozi wate usiyo wa halali hautandumu juu utakuwa na mashida

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n Před 26 dny

      Uko sahihi kabis

    • @user-iy3jq7qk5x
      @user-iy3jq7qk5x Před 26 dny

      True, not any human or Jesus or any idol, just God ,the creator

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n Před 26 dny

      @@user-iy3jq7qk5x do you think Jesus is a mortal man like you? He is the express image of invisible God. Sijui Imani yako ni gani. He who the Son sets free is free indeed. For he said believe in God and also in me🫵🫵

    • @richardngetich318
      @richardngetich318 Před 25 dny

      absolutely

  • @makeitright2486
    @makeitright2486 Před 26 dny +3

    Ruto must go 😅

  • @gladyschebet2910
    @gladyschebet2910 Před 26 dny +4

    Your own goons...in kericho we have our own problems

  • @johnsonokeyo545
    @johnsonokeyo545 Před 25 dny +1

    Watu wa Kisumu wamefika Bomet 😂...Was happy to be alive when Kenya got independence in 2024 courtesy of Jensi

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před 26 dny +3

    Swahili say's . SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE UTELEZA UDA ADMINISTRATION CRIMINALS NO WHERE TO HIDE IN COUNTYS AND NATIONAL .

  • @joanchepngeno5379
    @joanchepngeno5379 Před 25 dny

    Barchok must go kabisa..

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 Před 26 dny +2

    Muliruka sana tukilia ambieni ruto nabado ampangwingwi

    • @richardngetich318
      @richardngetich318 Před 25 dny

      the word of God say, dont rejoys when you enemy is in cryticle condition.

  • @paulkikulesi1959
    @paulkikulesi1959 Před 26 dny +2

    Sioni maandamano hapo kabisa.mçhezo mtupu,eti barabara imefungwa

  • @gillygosh
    @gillygosh Před 26 dny

    Barchok must account for that lose and injuries .He must go Go And GO forever😮😡😡😡😡💪🤔🧐naskia vibaya sana county yangu inachafuliwa na mkora ka uyu akijifanya Gavana.

  • @mwafrikaogutu12
    @mwafrikaogutu12 Před 25 dny

    Ruto needs to dissolve everything we need to start fresh

  • @Stephen12.
    @Stephen12. Před 26 dny +3

    Nani ameleta" kunis" tena ?😂😂😂

  • @evalynechelangat358
    @evalynechelangat358 Před 26 dny +3

    Barchok mustigo 😅

  • @HESBONLUKHUBI-hm2sp
    @HESBONLUKHUBI-hm2sp Před 26 dny

    That man in yellow, is a hero. It shows how the young people have woken from their sleep to let their politician know that we need good governance for our Motherland country. If we go this way Kenya will be a good example in the entire Africa

    • @user-hw4vv4zn5l
      @user-hw4vv4zn5l Před 25 dny

      Indeed, he's a hero, I love his energy, punda amechoka!

  • @Nanopark1970
    @Nanopark1970 Před 25 dny

    Accountability is important in public service, this notion of getting to power to 'eat' must stop

  • @ChefBillMkono
    @ChefBillMkono Před 26 dny +3

    "You Want GARBAGE 😂😂😂😂?

  • @derrickasanyo5087
    @derrickasanyo5087 Před 26 dny +2

    Suffering water😂😂😂😂

  • @user-sn9yf2zd1n
    @user-sn9yf2zd1n Před 26 dny

    Issack kiplokop is the answer to bomet county

  • @tristramproductions7252
    @tristramproductions7252 Před 26 dny +2

    Wakaanza vida😂😂

  • @user-zx6pv6tt4n
    @user-zx6pv6tt4n Před 26 dny +1

    Hawa wamelibwa na mtu mmoja

  • @user-vr6fc5qm2i
    @user-vr6fc5qm2i Před 25 dny

    Safari hii viongozi wote mafisadi lazima wachiye uongozi. Waende wakatafute kazi zengine wa fanye bila ivyo watoona moto kila siku. Mpaka watajuwa wajuwi

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Před 26 dny +1

    Mliruka mkojo na kukanyaga mavi.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 23 dny

    Pumbavu sana

  • @derrickasanyo5087
    @derrickasanyo5087 Před 26 dny

    Woda

  • @apudokakajosh5086
    @apudokakajosh5086 Před 26 dny

    Protests devolved, no politician is safe. Siaya county, your pressure needs to creases😅

  • @denniskoech7343
    @denniskoech7343 Před 25 dny

    Si wangechoma huyo barchok kabisa

  • @naomynanjala6469
    @naomynanjala6469 Před 26 dny

    wa yelo uko na loya😢

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian Před 25 dny

    Na hii county iko na shida ya kiswahili.....ni ka wako related na somali bahari yake.

  • @fahadthuo4511
    @fahadthuo4511 Před 26 dny

    Sio kuwajibika atoke

  • @GedionORANGIR
    @GedionORANGIR Před 26 dny

    Apo ni poa

  • @gideonmuchina9242
    @gideonmuchina9242 Před 26 dny

    Wacheni aende tu

  • @KelvinKipsang-kt5ig
    @KelvinKipsang-kt5ig Před 26 dny +2

    😂no garbage

  • @callenmoraa5513
    @callenmoraa5513 Před 26 dny

    Wakaanza bida!!!!!😂😂😂

  • @kentosh120
    @kentosh120 Před 26 dny +2

    Uhuru has payed those youth!

  • @alfredorek5446
    @alfredorek5446 Před 26 dny +3

    Hawa wajaluo wamefika bomet?