"SIRUDI KWA DIAMOND NG'O NIMEBEBA NA MABEGI YANGU" Zuchu Agoma Kurudi NYUMBANI KWA DIAMOND

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2024
  • East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • Zábava

Komentáře • 144

  • @sheilanampenya1833
    @sheilanampenya1833 Před měsícem +29

    the reason diamond Yuko na zuchu ni kipaji chake hataki ampoteze anamuingizia pesa.

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 Před měsícem +19

    Huyokijana hanaeshima . Hajatulia , zuuuu , tulia nyumbani utakujapatamme mwema inshaAllah . Acana nauyokijana , asijekupa presha mwanangu❤

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq Před měsícem

      Hata kidg ni mshenz t diamond hajiheshim

    • @zazalareinebosslady
      @zazalareinebosslady Před měsícem

      Kwani diamond kafanya nini haswaa man me sielewi??

    • @user-iz2dw8rp2i
      @user-iz2dw8rp2i Před měsícem

      Huyu zuchu hapendwi yy ajitahidi kutunga nyimbo aingize hela watoto na wanawake wanaopendwa waenjoy...

  • @user-xg7eu3vk2p
    @user-xg7eu3vk2p Před měsícem +13

    Ww fanya kazi mwanaume humwezi yule mhuni sana yule diamond

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 Před měsícem +9

    Uliona wapi mapenzi ya MTU na boss wake yakadumu kama sikuchezewa tu

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před měsícem +16

    Ya ALLAH jaalia uyo Zuchu asirudi kwenye UCHAFU uo

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před měsícem +13

    Zuchu ww fanya kazi achana na diamond maana heshima ya mapenzi hana hata mwache aende tulia utapata mwanaume mnayeendana kitabia na mtapendana kidhati

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před měsícem +8

    ZUCHU wakikuita kwenye iterview yao usiende wote wanafik tu ao

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Před měsícem +8

    Atarudi tu huyu maana amekufa ameoza kwa diamond maana anajua diamond jinsi anavyojua kumdekeza. Ngoja tuone

  • @BintialiBintali
    @BintialiBintali Před měsícem +2

    Mabegi ju juu wifi huyo jmn😂

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před měsícem +1

    Yarrabi subhana Allah muweza wa yote utajaariwa 🤲

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt Před měsícem +2

    Zuchu mabegi juu juu zanzibari ndo jina lake

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo Před měsícem +4

    don't force love ma girl ebu we pia ringa kidogo aky

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Waongo wanafiki kama kweli mngefanya siri mtangaza mtandaoni mngefanya siri wala sio wakutangaza mnajifanyisha

  • @tuyisengesamuel4161
    @tuyisengesamuel4161 Před měsícem +1

    Mabegi juu😂😂

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 Před měsícem +1

    Mmhh pole zuchu wangu,binafsi mwanaume kama huyo bwana simba hapana kwakweli mda wote roho juu khaa.

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +1

    Zuchu shida nn jamani kipaji kixuri hivyo kwann ateseke mapenzi ,wasafi msipoteze zuu yupo vizuri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem

    Dida na wewe❤❤❤

  • @zazalareinebosslady
    @zazalareinebosslady Před měsícem +1

    Nasibu hana kosa wallh pia ni star simba anatamaniwa nawana wake wengi san sas kupendan naye inabidi subra kama anampenda simba atuliye afunge macho na masikiyo plz zuu msame simbaa❤❤❤

  • @BabraWati
    @BabraWati Před měsícem +1

    Wasafi niwachochesi 😊😊laminitis diamond kuna siku utalipwa kwa yale unoyo 2 wwe name uko n watoi u will cry my friend we will see

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před měsícem +5

    Wasafi mnachochea ugomvi. Wee Esma mbona na wewe unabadili waume kama chupi?

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem +4

    Jamani mnamwonea kweli maskini.kwani kwao hana wakubwa wa kumweka chini.mtoto mzuri anachezelewa hivihivi maskini.wanaume wako wengi wastaraabu
    .Jina unalo tayari,.shida nn?

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs Před měsícem +1

    We nzuri kixha bado mtoto

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Kwanini daimon na zuchu mnaweka ugovi wenu public watu wanafurahiya mnaweka leo kesho meridians mnachekwa mnakaa kama watoto mfanye kweli mukiweka public mjue ndo forever hiyo hairudi sio kila saa mnaweka ujinga

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem +1

    Nyie ni wambea san mnashadidia zinaa kweli wallah myihan

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před měsícem +1

    Yana mwisho

  • @user-qv4zk6hd9k
    @user-qv4zk6hd9k Před měsícem +1

    Huyo awekwa kama kitega ushumi

  • @user-zk8jy4zz4f
    @user-zk8jy4zz4f Před měsícem +1

    Mpaka wapewa jn la mabegi juu

  • @PendoEnock-cr3vu
    @PendoEnock-cr3vu Před měsícem +1

    Diamond ajiheshimu akae kama mwanaume.

  • @fatumamahoiga3978
    @fatumamahoiga3978 Před měsícem

    Mtakalia hayo2

  • @HusinaKarama-ti9jm
    @HusinaKarama-ti9jm Před měsícem

    💙💙💙💙💙💪🔥

  • @bettynjoki-kk9sm
    @bettynjoki-kk9sm Před měsícem

    Hata nashagaa sana

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před měsícem +3

    Zuchu mwanaume akufukuze mara ngapi, bora ule dagaa na furaha, kuliko nyama na majonzi 😅

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před měsícem

    Mabegi juuu duu😂😂

  • @rehemaomary1739
    @rehemaomary1739 Před měsícem +4

    Aende tu kwan kaolewa Sarah yupo

    • @salomesakson2996
      @salomesakson2996 Před měsícem

      Uyo Sara nayo ataachwa atakuja mwingine mwanaume sio baba yako mzaz ambayohuz kumcha kutafuta baba mwingine

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Před měsícem

    Aelewe tu Diamond ni cha wote😅😅

  • @salmakashau-ib9fq
    @salmakashau-ib9fq Před měsícem +1

    Mackini wanamsema hku wanacheka zuchu utpta maraz kwa hyu mwanamme

  • @yusrakahera7589
    @yusrakahera7589 Před měsícem

    Zuchu huachiii teee aaa hebu mie inahuuu

  • @ckevents3593
    @ckevents3593 Před měsícem +1

    Chuchu mpuuzi anadhani kwamba mondi atakuwa wake tu. huyo ni super star bhn. kila mtu anamtamani yy abaki kwenye nafasi yake.asitafute mambo mengi.

    • @DM.2200
      @DM.2200 Před měsícem

      Wivu wa zuchu ni mbaya mno dah

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Před měsícem +1

    Diamond kaishiwa kiasi hicho mpaka nyimbo muitengenezee kiki kiasi hicho?

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo Před měsícem

    aky zuchu

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 Před měsícem

    Esma una ushauri mzuri sana

  • @MichaelSikazwe-bf3xb
    @MichaelSikazwe-bf3xb Před měsícem +1

    Usiyende zuchu has siyo unafiki tu

  • @Dj7Nix
    @Dj7Nix Před měsícem +1

    Hii moma

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před měsícem

    Mapenzi ya kitoto raha saanana.zuchu anadeka saana lakini ajue sio penzi anatumiwa tu.friend in advantage

  • @user-wi4nb7fg8v
    @user-wi4nb7fg8v Před 26 dny +1

    Wewe tumbili ukirudi utakuwa mjinga Diamond anampenda Zari shepu kama yote Tanisha wewe wa kutumiwa tu

  • @JamalKhan-le9ud
    @JamalKhan-le9ud Před měsícem +1

    Huyu Esma ni mmbea yakwakwe matakaoni yawenzie midomoni
    Wewe Esma umeondoka
    Kwenye ndoa ngapi?

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem +1

    Lakini zuchu kiundani ajatoka kwa sababu ya salaha'kuna jambo nyuma ya panzia.

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před měsícem +1

    huyu zuchu hana jeuri ya kukosa kurudi kwa mond alishaambiwa mond mtu mbadi hakutaka kusikia anachanganya kazi na mapenzi, anamjua vzr mond avumilie tu

  • @CatherineSakinayemba-tv2cc
    @CatherineSakinayemba-tv2cc Před měsícem +1

    Sasa watu. Wana msema rajabu ana chezeya wanawake sasa bosi wangu hachezeyi? Hum uyu naye sijuwi zuhura sijuwi zuchu jamais Léo ana jifanya anauzika kwanza hajaolewa ata kuji tambulisha bado kinginevalikuwa anasema yule bosi wake kulikoni sasa?

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j Před měsícem +2

    Atarudi huyo. Hajiwezi hata kidogo kwa Diamond.

    • @neemamwijage
      @neemamwijage Před měsícem

      Kabisa hana ubavu wa kumuacha Mond

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Před měsícem

    Eti mabegi juujuu😅😅😅

  • @user-tv8dp8yr7x
    @user-tv8dp8yr7x Před měsícem +1

    Esma ni mnafiki saaana tena saaaana na amefurai kuona zuchu ameondoka , na kingine walimdharau saaaana zuchu kweri

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před měsícem

    Mwapaliliya zinaa au Kwakuwa yuwawaleteya pesa

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Před měsícem +1

    Uyo dida na Esma mmeachika mara ngapi

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt Před měsícem

    Wazanzibari wa hovyo kumbe

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před měsícem +1

    Mnashije na mwanaume hajakuowa

  • @ShirfaDigubike
    @ShirfaDigubike Před měsícem +1

    Anatikisa kibeliti araldite tuuuuuu

  • @user-ix3ue6tm1y
    @user-ix3ue6tm1y Před měsícem +1

    Wacheni ujinga huo kwani uyo ni mke au Hawara?

  • @user-xg7eu3vk2p
    @user-xg7eu3vk2p Před měsícem +3

    Uyo zuchu hajielewi kwa akili zake uyo mondi atamwowa yy anajisumbuwa tu

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq Před měsícem

      Akili z mapenzi shog moyoo dada

    • @user-fo5my5pe3b
      @user-fo5my5pe3b Před měsícem

      ndoa hupangwa mbinguni ajuae ni allah pekee yke ila pia haitakiwi kuishi nae bila ndoa

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před měsícem +1

    Vitu vingine viwe faragha si ustaarabu

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Před měsícem

    Hahahahaha mabegi juuuuuuu

  • @user-wi6uk1vz1h
    @user-wi6uk1vz1h Před měsícem +3

    Une personne qui ne tourne qu'autour de ces EX hé non ma QUEEN quitte ce gars maintenant et si possible change de label c'est mieux au lieu de resté au milieu des vautours et des loups.....!

    • @louloubika8603
      @louloubika8603 Před měsícem +2

      Zuchu met toi en valeur.Diamond est un perdant et il finira mal sa vie. Wait and see. ❤❤❤❤❤❤❤

  • @amanimargaret.1576
    @amanimargaret.1576 Před měsícem +5

    Zuchu kapendwa eeeeish mbona Donna hakufuatwa na familia Zuchu ringaaa.😂

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před měsícem

    Zuchu mmbeba mabegi 😂😂😂

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo Před měsícem +8

    usitafute mtu zuchu ww ndio utafutwe

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Před měsícem +1

    Mbona nyie mumeachana nawatu kibao hatusemi pungunzen ujinga watuwazima hovyo

  • @jinasimai3569
    @jinasimai3569 Před měsícem +1

    Jamani Zuchu akikataa kurudi njooni munichukuwe mie,😂 mm ningekuwa zuchu ningenyamaza kama moja. Wala nisingejihusisha na mitandao mapenz hayataki fujoo, mazali moyo wa zuchu unampenda nasibu, na sio diamond rudi ukaishi na nasibu, hayo mambo ya diamond waachie walimwengu.

    • @NasraSaidi-mg7nq
      @NasraSaidi-mg7nq Před 15 dny

      Hayajakufika wewe ,ingekuwa amemuowa sawa lakini ,mwisho atamletea marazii

    • @NasraSaidi-mg7nq
      @NasraSaidi-mg7nq Před 15 dny

      Huyoesma mwenyewe anasema tuuu kwenyekuvumilia ,yeye mwenyewe ndowa yatano huyoesma mbonahajaziba masikio

  • @janeonchiri2396
    @janeonchiri2396 Před měsícem +1

    Kwani ilikuwa unaishi kwake? Aje? na hiyo ni boss dada. Kwani wewe utakuwa special aje ne ujasoma na hao wa mbele? Soma lebo ya diamond na utoroke kabisa bila kurudi. Kama ni Kazi iwe KAZI. Lakini kama ni.vyuno basi ufunge mdomo.

  • @DM.2200
    @DM.2200 Před měsícem +1

    zuu tafta mme asiye msanii kwa wasanii utazidi tu kuumia songa mbele ata ukirudi mambo ni yaleyale anapendwa na wengi labda ujifunze uvumiliv la sivyo mulemule utarudi

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 Před měsícem

    Hivi lini kukawa na ndoa maama naona ni uchafu tu halafu mnamkufuru Mungu tu

  • @lydi791
    @lydi791 Před měsícem

    😂😂😂Zuchu ni mabegi chuu chuu😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před měsícem

    Wapambe nuksi.

  • @gracemwailima1780
    @gracemwailima1780 Před měsícem +2

    Hahahhahaha lakin tuseme tu ukweli diamond hakufanya poa hata uwe wewe una mwanaume alafu anamtambulisha ex wake hadharan ina maana bado anampenda japo ukweli ni bado anampenda Sara Sara nae kafunguka vila chenga hahhahahaaha

    • @zazalareinebosslady
      @zazalareinebosslady Před měsícem

      Ila me naona zuchu kajipa presh bure wallh kwasabb yule ni ex nahawez kumrudia kamwe kumtambulish sio shidaa kachukiy to bure wallh😢

  • @user-mz1xw8my8f
    @user-mz1xw8my8f Před měsícem

    Wewe zuchu wanakuita mabegi juu wazanzibr ukirudi si mzanzibar

  • @user-fo5my5pe3b
    @user-fo5my5pe3b Před měsícem +1

    wazanzibar hatupendi kusalitiwa wala kushea na pia tunajitambua jitu ata liwe na hela vp hatulinganganii tuna kitu kujiona so nyie mnaokaa mukipigwa mukipasuliwa bado mupo ndani mnasubiri urithi

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 Před měsícem +1

    Huyo dida yake yanamshindwa ila mwenza azaraulize kwa kuwa yy diamond nani kwa zuchu ebu muacheni😂mtoto wa watu mnajijali nyie tu huo ni unafki

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před měsícem

    ATARUDI HUYOO HAJIWEZI KWA DIAMOND

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem

    Ungekuwa na ndoa mwanaume hakuchezei.Hasingesubutu .

  • @msindimalugendo8252
    @msindimalugendo8252 Před měsícem

    Watangazaji pigeni kelele Zuchu na Dai hawaachani

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před měsícem +1

    Ngoma imebuma sasa wanatafuta kiki

  • @MamtaAnthony
    @MamtaAnthony Před měsícem

    Zuchu tulia utampata mume bora , huyo atakusababishia presha yakushuka.

  • @kingkakamwasungo5023
    @kingkakamwasungo5023 Před měsícem

    Ila hiii midia ya wasafi daaa Yani kweli ni ya familia ainaga jipya zaidi ya diamond na familia yake😂😂😂

  • @fatumamahoiga3978
    @fatumamahoiga3978 Před měsícem +2

    Esma Unaongea Saana je? Kama ungelikuwa wewe?

    • @user-pw2dv9fr6r
      @user-pw2dv9fr6r Před měsícem

      Hakika kila mwanamke avae viatu vya zuchu atajiskia rahaa

  • @zawadigrace3519
    @zawadigrace3519 Před měsícem

    Kwani zuch alikuwa amesha anza ikala kwa diamond

  • @user-yh6mq4ds1m
    @user-yh6mq4ds1m Před měsícem

    Atarud tu

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 Před měsícem

    Esma mnafiki tu

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před měsícem

    Unaishi na mwanaume kama mume na kuolewa hujaolewa unapigwa matukio kwa kwenda mbele mwe! Karma karma dada karma

  • @lydi791
    @lydi791 Před měsícem

    😂😂😂😂😂ma shemej wanafik yani kama esma kafurayi kuona zuchu kwenda gisi anavyo muzarahu eti tuwatuu twembamba😂😂

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo Před měsícem

    aky zuchu ananibwaga bwana

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Před měsícem

    Wewe ulikuwa ujui kama daimond malaya umeyataka mwenyewe kwani waume watulivu ujawaona umemuona huyo

  • @bettynjoki-kk9sm
    @bettynjoki-kk9sm Před měsícem

    Mimi nauliza zuch mwanaume uliona Ni diamond

  • @isamony58
    @isamony58 Před měsícem

    Kiny, any, a niziiii upomondi maliza hao pesa ndokilakitu uyu mpemba atajijuuuu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Před měsícem

    KWANI ZUCHU KAOLEWA AU NDO WANAFANYA UZIZI

  • @fatmahmed5647
    @fatmahmed5647 Před měsícem

    Ila daimondi nae kazidi mbona wenzake hawapo ivo daimondi anapenda sifa san na hajui maumivu ya mtu mwingine anajijali yeye km yeye tu mwanaume gani

  • @user-eo2tl9qw5d
    @user-eo2tl9qw5d Před měsícem

    Msituseme wazanzibari kuwa tuna hasira Ila Ni haki yake sisi tunayajuwa mapenzi kuliko kitu chochote

  • @aminrashid991
    @aminrashid991 Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @user-js6kf9rg5i
    @user-js6kf9rg5i Před měsícem

    Wewe dida ndiomàna Wana ume Wana kutomba nakuondoka fata Yako kum wew

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 Před měsícem +1

    Sometimes if u don't use ur head to understand then use ur bum. Zuchu when she fell in love with diamond did she think she was going to be forever woman? A man who has already met women u expect the best for u .

  • @ckevents3593
    @ckevents3593 Před měsícem

    Sara abaonekana ni mwenye hekma sana

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před měsícem

    Dida yako yanakush inda unayashadadia ya wenzio loooooh huachi