"SIRUDI KWA DIAMOND NG'O NIMEBEBA NA MABEGI YANGU" Zuchu Agoma Kurudi NYUMBANI KWA DIAMOND
Vložit
- čas přidán 29. 04. 2024
- East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande - Zábava
the reason diamond Yuko na zuchu ni kipaji chake hataki ampoteze anamuingizia pesa.
Una akili sanaaaaa 👍
Unaakili Sana huo ndo ukweli akitoka zuchu wa Safi kwishaaaa
Yeeees yupo kumtumia aingize pesa
Penzi la biashara😂
Kabisa hapo umesema
Huyokijana hanaeshima . Hajatulia , zuuuu , tulia nyumbani utakujapatamme mwema inshaAllah . Acana nauyokijana , asijekupa presha mwanangu❤
Hata kidg ni mshenz t diamond hajiheshim
Kwani diamond kafanya nini haswaa man me sielewi??
Huyu zuchu hapendwi yy ajitahidi kutunga nyimbo aingize hela watoto na wanawake wanaopendwa waenjoy...
Ww fanya kazi mwanaume humwezi yule mhuni sana yule diamond
Uliona wapi mapenzi ya MTU na boss wake yakadumu kama sikuchezewa tu
Ya ALLAH jaalia uyo Zuchu asirudi kwenye UCHAFU uo
Inshaallah amiin
Zuchu ww fanya kazi achana na diamond maana heshima ya mapenzi hana hata mwache aende tulia utapata mwanaume mnayeendana kitabia na mtapendana kidhati
Kwani kosa la simba nini haswaa???
ZUCHU wakikuita kwenye iterview yao usiende wote wanafik tu ao
Atarudi tu huyu maana amekufa ameoza kwa diamond maana anajua diamond jinsi anavyojua kumdekeza. Ngoja tuone
Mabegi ju juu wifi huyo jmn😂
Yarrabi subhana Allah muweza wa yote utajaariwa 🤲
Zuchu mabegi juu juu zanzibari ndo jina lake
don't force love ma girl ebu we pia ringa kidogo aky
Waongo wanafiki kama kweli mngefanya siri mtangaza mtandaoni mngefanya siri wala sio wakutangaza mnajifanyisha
Mabegi juu😂😂
Mmhh pole zuchu wangu,binafsi mwanaume kama huyo bwana simba hapana kwakweli mda wote roho juu khaa.
Zuchu shida nn jamani kipaji kixuri hivyo kwann ateseke mapenzi ,wasafi msipoteze zuu yupo vizuri
Dida na wewe❤❤❤
Nasibu hana kosa wallh pia ni star simba anatamaniwa nawana wake wengi san sas kupendan naye inabidi subra kama anampenda simba atuliye afunge macho na masikiyo plz zuu msame simbaa❤❤❤
Wasafi niwachochesi 😊😊laminitis diamond kuna siku utalipwa kwa yale unoyo 2 wwe name uko n watoi u will cry my friend we will see
Wasafi mnachochea ugomvi. Wee Esma mbona na wewe unabadili waume kama chupi?
Jamani mnamwonea kweli maskini.kwani kwao hana wakubwa wa kumweka chini.mtoto mzuri anachezelewa hivihivi maskini.wanaume wako wengi wastaraabu
.Jina unalo tayari,.shida nn?
We nzuri kixha bado mtoto
Kwanini daimon na zuchu mnaweka ugovi wenu public watu wanafurahiya mnaweka leo kesho meridians mnachekwa mnakaa kama watoto mfanye kweli mukiweka public mjue ndo forever hiyo hairudi sio kila saa mnaweka ujinga
Nyie ni wambea san mnashadidia zinaa kweli wallah myihan
Yana mwisho
Huyo awekwa kama kitega ushumi
Mpaka wapewa jn la mabegi juu
Diamond ajiheshimu akae kama mwanaume.
Mtakalia hayo2
💙💙💙💙💙💪🔥
Hata nashagaa sana
Zuchu mwanaume akufukuze mara ngapi, bora ule dagaa na furaha, kuliko nyama na majonzi 😅
Mabegi juuu duu😂😂
Aende tu kwan kaolewa Sarah yupo
Uyo Sara nayo ataachwa atakuja mwingine mwanaume sio baba yako mzaz ambayohuz kumcha kutafuta baba mwingine
Aelewe tu Diamond ni cha wote😅😅
Mackini wanamsema hku wanacheka zuchu utpta maraz kwa hyu mwanamme
Zuchu huachiii teee aaa hebu mie inahuuu
Chuchu mpuuzi anadhani kwamba mondi atakuwa wake tu. huyo ni super star bhn. kila mtu anamtamani yy abaki kwenye nafasi yake.asitafute mambo mengi.
Wivu wa zuchu ni mbaya mno dah
Diamond kaishiwa kiasi hicho mpaka nyimbo muitengenezee kiki kiasi hicho?
aky zuchu
Esma una ushauri mzuri sana
Usiyende zuchu has siyo unafiki tu
Hii moma
Mapenzi ya kitoto raha saanana.zuchu anadeka saana lakini ajue sio penzi anatumiwa tu.friend in advantage
Wewe tumbili ukirudi utakuwa mjinga Diamond anampenda Zari shepu kama yote Tanisha wewe wa kutumiwa tu
Huyu Esma ni mmbea yakwakwe matakaoni yawenzie midomoni
Wewe Esma umeondoka
Kwenye ndoa ngapi?
Lakini zuchu kiundani ajatoka kwa sababu ya salaha'kuna jambo nyuma ya panzia.
huyu zuchu hana jeuri ya kukosa kurudi kwa mond alishaambiwa mond mtu mbadi hakutaka kusikia anachanganya kazi na mapenzi, anamjua vzr mond avumilie tu
Sasa watu. Wana msema rajabu ana chezeya wanawake sasa bosi wangu hachezeyi? Hum uyu naye sijuwi zuhura sijuwi zuchu jamais Léo ana jifanya anauzika kwanza hajaolewa ata kuji tambulisha bado kinginevalikuwa anasema yule bosi wake kulikoni sasa?
Atarudi huyo. Hajiwezi hata kidogo kwa Diamond.
Kabisa hana ubavu wa kumuacha Mond
Eti mabegi juujuu😅😅😅
Esma ni mnafiki saaana tena saaaana na amefurai kuona zuchu ameondoka , na kingine walimdharau saaaana zuchu kweri
Mwapaliliya zinaa au Kwakuwa yuwawaleteya pesa
Uyo dida na Esma mmeachika mara ngapi
Wazanzibari wa hovyo kumbe
Nanyi wahovyo vivyo na walimbukeni sana
Mnashije na mwanaume hajakuowa
Anatikisa kibeliti araldite tuuuuuu
Wacheni ujinga huo kwani uyo ni mke au Hawara?
Uyo zuchu hajielewi kwa akili zake uyo mondi atamwowa yy anajisumbuwa tu
Akili z mapenzi shog moyoo dada
ndoa hupangwa mbinguni ajuae ni allah pekee yke ila pia haitakiwi kuishi nae bila ndoa
Vitu vingine viwe faragha si ustaarabu
Hahahahaha mabegi juuuuuuu
Une personne qui ne tourne qu'autour de ces EX hé non ma QUEEN quitte ce gars maintenant et si possible change de label c'est mieux au lieu de resté au milieu des vautours et des loups.....!
Zuchu met toi en valeur.Diamond est un perdant et il finira mal sa vie. Wait and see. ❤❤❤❤❤❤❤
Zuchu kapendwa eeeeish mbona Donna hakufuatwa na familia Zuchu ringaaa.😂
Elle est aimé par qui ?
Zuchu mmbeba mabegi 😂😂😂
usitafute mtu zuchu ww ndio utafutwe
Mbona nyie mumeachana nawatu kibao hatusemi pungunzen ujinga watuwazima hovyo
Jamani Zuchu akikataa kurudi njooni munichukuwe mie,😂 mm ningekuwa zuchu ningenyamaza kama moja. Wala nisingejihusisha na mitandao mapenz hayataki fujoo, mazali moyo wa zuchu unampenda nasibu, na sio diamond rudi ukaishi na nasibu, hayo mambo ya diamond waachie walimwengu.
Hayajakufika wewe ,ingekuwa amemuowa sawa lakini ,mwisho atamletea marazii
Huyoesma mwenyewe anasema tuuu kwenyekuvumilia ,yeye mwenyewe ndowa yatano huyoesma mbonahajaziba masikio
Kwani ilikuwa unaishi kwake? Aje? na hiyo ni boss dada. Kwani wewe utakuwa special aje ne ujasoma na hao wa mbele? Soma lebo ya diamond na utoroke kabisa bila kurudi. Kama ni Kazi iwe KAZI. Lakini kama ni.vyuno basi ufunge mdomo.
zuu tafta mme asiye msanii kwa wasanii utazidi tu kuumia songa mbele ata ukirudi mambo ni yaleyale anapendwa na wengi labda ujifunze uvumiliv la sivyo mulemule utarudi
Hivi lini kukawa na ndoa maama naona ni uchafu tu halafu mnamkufuru Mungu tu
😂😂😂Zuchu ni mabegi chuu chuu😂😂😂
Wapambe nuksi.
Hahahhahaha lakin tuseme tu ukweli diamond hakufanya poa hata uwe wewe una mwanaume alafu anamtambulisha ex wake hadharan ina maana bado anampenda japo ukweli ni bado anampenda Sara Sara nae kafunguka vila chenga hahhahahaaha
Ila me naona zuchu kajipa presh bure wallh kwasabb yule ni ex nahawez kumrudia kamwe kumtambulish sio shidaa kachukiy to bure wallh😢
Wewe zuchu wanakuita mabegi juu wazanzibr ukirudi si mzanzibar
wazanzibar hatupendi kusalitiwa wala kushea na pia tunajitambua jitu ata liwe na hela vp hatulinganganii tuna kitu kujiona so nyie mnaokaa mukipigwa mukipasuliwa bado mupo ndani mnasubiri urithi
❤
Huyo dida yake yanamshindwa ila mwenza azaraulize kwa kuwa yy diamond nani kwa zuchu ebu muacheni😂mtoto wa watu mnajijali nyie tu huo ni unafki
ATARUDI HUYOO HAJIWEZI KWA DIAMOND
Ungekuwa na ndoa mwanaume hakuchezei.Hasingesubutu .
Watangazaji pigeni kelele Zuchu na Dai hawaachani
Ngoma imebuma sasa wanatafuta kiki
Zuchu tulia utampata mume bora , huyo atakusababishia presha yakushuka.
Ila hiii midia ya wasafi daaa Yani kweli ni ya familia ainaga jipya zaidi ya diamond na familia yake😂😂😂
Esma Unaongea Saana je? Kama ungelikuwa wewe?
Hakika kila mwanamke avae viatu vya zuchu atajiskia rahaa
Kwani zuch alikuwa amesha anza ikala kwa diamond
Atarud tu
Esma mnafiki tu
Unaishi na mwanaume kama mume na kuolewa hujaolewa unapigwa matukio kwa kwenda mbele mwe! Karma karma dada karma
😂😂😂😂😂ma shemej wanafik yani kama esma kafurayi kuona zuchu kwenda gisi anavyo muzarahu eti tuwatuu twembamba😂😂
aky zuchu ananibwaga bwana
Wewe ulikuwa ujui kama daimond malaya umeyataka mwenyewe kwani waume watulivu ujawaona umemuona huyo
Mimi nauliza zuch mwanaume uliona Ni diamond
Kiny, any, a niziiii upomondi maliza hao pesa ndokilakitu uyu mpemba atajijuuuu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
KWANI ZUCHU KAOLEWA AU NDO WANAFANYA UZIZI
Ila daimondi nae kazidi mbona wenzake hawapo ivo daimondi anapenda sifa san na hajui maumivu ya mtu mwingine anajijali yeye km yeye tu mwanaume gani
Msituseme wazanzibari kuwa tuna hasira Ila Ni haki yake sisi tunayajuwa mapenzi kuliko kitu chochote
oyoooooooooo wape wape
😂😂😂😂
Wewe dida ndiomàna Wana ume Wana kutomba nakuondoka fata Yako kum wew
Sometimes if u don't use ur head to understand then use ur bum. Zuchu when she fell in love with diamond did she think she was going to be forever woman? A man who has already met women u expect the best for u .
Sara abaonekana ni mwenye hekma sana
Dida yako yanakush inda unayashadadia ya wenzio loooooh huachi