Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Namba za simu hazisomeki vizuri ili tuwasiliane na wataalam wa virutubisho vya chakula hicho.
Jamani hakika ni Raha sana. Hongera sana Kaka. Kazi nzuuri saana. Vijana jamani tuige hii fursa. Mtangazaji wekeni mawasiliano mazuri ya huyu Mfugaji. Wengine tutahitaji sana ushauri wake na mambo mengine.
Kabisaa dorcas hii ndo fursa kwa sisi vijana ndugu.Unapatikana wapi dorcas.
Ni Rombo ipi ?
Tatakea ai mashati
Namba ya simu naomba
Naomba namba ya simu.
Big up sana
Kaka ngowi mimi naitwa Bibi Agnes Moshi nimfugaji niko Dar nikitaka Hao kuku wa mayai nawapataje je nikianzia na kuku 300 ni mbaya
Hawezi kukujibu hii ni account ya ITV, watafute hao aliwataja ( Kawudays) amabao nadhani hata Dar es salaam wapo
Hongera sana
iko vizuri
Naomba no ya huyo mfugaji wa kwanza
Asante,kwa sehem ambayo hakkuna umeme inawezekana ?
Hongera sana Ngowi
Hongera sana naomba namba ya simu
Hongera kaka mimi naomba namba yako hivyo virutubisho vinapatikana wapi
Ushauri wangu dada hoji pole pole unaongea sana haraka haraka
Asante kaka Ngowi naomba namba yako nahitaji kufuga kisasa nahitaji msaada wako no yangu
kaka samahani naitaji kujuwa kwamba aina ya Banda la kuku ambalo ni zuri kwa kuku?
Hii ni ajira tosha
Ni zaidi ya ajira
Nipeni namba za simu niongee naye anishauri
MUNGU awabariki sana
No ya virutubisho tafadhal
Tunaomba namba
Cage moja bei gani
Laki8 kwa dar
Laki8 kwa dar cage inayoingia kuku 128
Keji 1 ya kuku 50 ni bei gn
Cage laki8 ya kuku 128,cage ya kuku 96 ni laki6
Nimenunua jana2 mlimanicity dar
Namba za simu hazisomeki vizuri ili tuwasiliane na wataalam wa virutubisho vya chakula hicho.
Jamani hakika ni Raha sana. Hongera sana Kaka. Kazi nzuuri saana. Vijana jamani tuige hii fursa. Mtangazaji wekeni mawasiliano mazuri ya huyu Mfugaji. Wengine tutahitaji sana ushauri wake na mambo mengine.
Kabisaa dorcas hii ndo fursa kwa sisi vijana ndugu.Unapatikana wapi dorcas.
Ni Rombo ipi ?
Tatakea ai mashati
Namba ya simu naomba
Naomba namba ya simu.
Big up sana
Kaka ngowi mimi naitwa Bibi Agnes Moshi nimfugaji niko Dar nikitaka Hao kuku wa mayai nawapataje je nikianzia na kuku 300 ni mbaya
Hawezi kukujibu hii ni account ya ITV, watafute hao aliwataja ( Kawudays) amabao nadhani hata Dar es salaam wapo
Hongera sana
iko vizuri
Naomba no ya huyo mfugaji wa kwanza
Asante,kwa sehem ambayo hakkuna umeme inawezekana ?
Hongera sana Ngowi
Hongera sana naomba namba ya simu
Hongera kaka mimi naomba namba yako hivyo virutubisho vinapatikana wapi
Ushauri wangu dada hoji pole pole unaongea sana haraka haraka
Asante kaka Ngowi naomba namba yako nahitaji kufuga kisasa nahitaji msaada wako no yangu
kaka samahani naitaji kujuwa kwamba aina ya Banda la kuku ambalo ni zuri kwa kuku?
Hii ni ajira tosha
Ni zaidi ya ajira
Nipeni namba za simu niongee naye anishauri
MUNGU awabariki sana
No ya virutubisho tafadhal
Tunaomba namba
Cage moja bei gani
Laki8 kwa dar
Laki8 kwa dar cage inayoingia kuku 128
Keji 1 ya kuku 50 ni bei gn
Cage laki8 ya kuku 128,cage ya kuku 96 ni laki6
Nimenunua jana2 mlimanicity dar