🔴 LIVE: Yanga yashuka Bandarini wakutana na balaa zito kutoka kwa Mashabiki wa Simba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    CZcams: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.co...
  • Sport

Komentáře • 84

  • @omarymkungwa7657
    @omarymkungwa7657 Před 2 lety +7

    Iyo kawaida hata shule ukiwa mjinga utazomewa tu

  • @elphazjavan6789
    @elphazjavan6789 Před 2 lety +2

    Simba kwa yanga hawafurukutu ko na mwenzako anakuwa wa Kwanza unafurahi wew wa mwisho

    • @2times273
      @2times273 Před 2 lety

      Si wazee wa waganga ukitaka kujua yanga wabovu mechi 5 za mwisho za kimataifa wamefungwa zote

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před 2 lety +1

    Mayele marufu kulivyo nilivyo fikiria💛💛💛💚💚💚

  • @danieljoseph4312
    @danieljoseph4312 Před 2 lety +5

    Tumepambana tulivyoweza, kazi iendelee chama langu Yanga Africans

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 Před 2 lety

    Ushabiki Bora cyo kuzomeana. Makolo mnaanzaga ugomvi wenyewe, na viongozi wenu wamenyamaza kimyaaa, wanaona ni vema. Basi tuwaombe Simba, kafanyeni kazi zenu, Hongera Wananchi kwa hatua mliyoifikia.

  • @chockmaumba471
    @chockmaumba471 Před 2 lety +3

    Kuna wakat unaona Bora mzomewe ili mpate akil. Yanga hawakuwa serious katk ile mech. Kocha nae kafanya ujinga na nusu. Kuzomewa ni Hak yetu, kwa jins tulivokuwa tunajiamin, imeniuma xana

  • @neemajerrynaipendatimuyang6316

    Hakuna chakulaumu hapa,YangA ni timu ambayo imejitahid sana,Penalt ni mchezo mgumu sana kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kaa kulaumu Jambo hili,YangA wanaume hongereni sana sana ongezeni mazoezi na kujiamini mara mbili zaidi bado tunawategemea nyie ,maneno hayapunguzi mwendo,keep it up Men's.

  • @deniserick6115
    @deniserick6115 Před 2 lety +2

    Ukiona mtu anashangilia anguko lako jua wew Ni mtu na nusu

  • @rabanmatokeo8782
    @rabanmatokeo8782 Před 2 lety +5

    Hivi huu ndo utani wenyewe unavyo kuwa....!!!!

    • @jumamwene115
      @jumamwene115 Před 2 lety +1

      Haswa ndio utani unaotakiwa sio matusi wala kupigana

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 Před 2 lety

      Nakama hawajazomewa hawawezi kufanya vizur

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety +1

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @vickygody9414
    @vickygody9414 Před 2 lety

    Kiukweli japo ni utani ila inaniuma nafikiri hapa wachezaji wakae na wajitafakari then wajuwe mashabiki ni jinsi gani tunaitaji ubigwa

  • @ndwangilandwangila9334
    @ndwangilandwangila9334 Před 2 lety +1

    Nimeshuhudia ushabiki wa kishamba wao ndio wamewapokea kwa kuzomea lakini wakumbuke mashabiki waupande wapili wanaangalia wameanza wenzao wenzao watamaliza sio wanyonge kihivyo.

    • @jumamwene115
      @jumamwene115 Před 2 lety +1

      Huu ndio maana ya utani halisi sio wakishamba’utani wa kishamba ni kutukana au kupigana utani unaotakiwa ni kuzomeana na kukejeleana kama hivyo

  • @SwahiliSkills
    @SwahiliSkills Před 2 lety +1

    Hii ya leo Kali Ya Mwaka. Mbona Basi Baya Hivi ?

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 2 lety +1

    Ya leo kali imezidi sukari

  • @elphazjavan6789
    @elphazjavan6789 Před 2 lety +1

    Wamefurahi kisiki Chao kuondolewa

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety

    Manara msukule yuko wapi.?
    Mwenzako akinyolewa wewe tia maji, tuwe waangalifu.

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 2 lety

    Bola wangepandishwa ndege si kwa aiubu hii!

  • @shabanmilingo4266
    @shabanmilingo4266 Před 2 lety +3

    Manara yote haya kasababisha

  • @fatumakassim64
    @fatumakassim64 Před 2 lety

    😀😀😀😀ila simba sijapenda jmn mlicho fanya 😀😀😀😀😀😀😅😅💃💃💃💃💃💃💃

  • @nadymhamad2655
    @nadymhamad2655 Před 2 lety +1

    Mashabiki wa tanzania n washamba kweli

  • @haxkhabaisa9433
    @haxkhabaisa9433 Před 2 lety

    Wao wamehanza sisi tuta maliza Azam chonde chonde msi wahachie hawa makolo

  • @DM_15
    @DM_15 Před 2 lety +1

    Hapandipo utakapojua mbwembwe huleta fedheha

  • @matrida.lunyilija5196
    @matrida.lunyilija5196 Před 2 lety +1

    Hampati usingizi sababu ya yanga ndo maana mnajifariji kwa kuwazomea yaani mnawapa credit kwa hicho mlichokifanya, subirini mtanyamaza wenyewe

    • @wilsonkimaro6375
      @wilsonkimaro6375 Před 2 lety

      Utopolo ni Utopolo msipobadilika hamtaenda popote Dunia ya sasa mpira nihela sii usanii acha ushamba , mnadata na Aucho na Mayele mnafikiri mna team kubwa huku mipango endelevu hakuna

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles9014 Před 2 lety +1

    hii noumaa 😀😀😀😀😀😀

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Před 2 lety +1

    Bora tuzomewe bana tulichukulia poa sana haya mashindano

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Před 2 lety +1

    Noma 😅🤸

  • @greysonmwaki9532
    @greysonmwaki9532 Před 2 lety

    Kicheko cha mayele apo moyon kina uchungu, naamn ligikuu mwaka huu n yetu

  • @user-rz1lq6ss1j
    @user-rz1lq6ss1j Před 7 měsíci

    Utani wa ngumi. huh jamani

  • @nassirnassor8603
    @nassirnassor8603 Před 2 lety

    Utopolo wamewakimbia hadi Namungo

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 Před 2 lety

    Hapo ndio wajue wachezaji wetu kua huku mtaani sisi tunaishi kwa shida kiasgani na hao makolo mana wanatukana sana

    • @martinekallimbu661
      @martinekallimbu661 Před 2 lety

      Umesema kweli kabisa,tena wangezomewa zaidi hata warushiwe chupa za maji ili waone thamani ya jezi ya Yanga, walicheza chini ya kiwango kabisa wachezaji wetu

  • @elphazjavan6789
    @elphazjavan6789 Před 2 lety

    Kwan waliofunga Ni Simba au azamu

  • @khamispetro7738
    @khamispetro7738 Před 2 lety

    Duuuuh sio pow

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 2 lety +2

    Yanga ni brand kubwa acha tu iwe ivo

  • @phoibembwambo1388
    @phoibembwambo1388 Před 2 lety

    Inapendeza utan mzuri

  • @happymacha9053
    @happymacha9053 Před 2 lety +1

    Kunagubaba gunacheza kwa nguvuu gunakiparaa haaa haaa

  • @fortunatuskadinda9745
    @fortunatuskadinda9745 Před 2 lety

    duuu tumefika huko

  • @christianjohnmwalugaja8090

    Aibu watakoma wao wanafanya madharau

  • @stevedeus7870
    @stevedeus7870 Před 2 lety +1

    Tanzania bado xna simba wamefata nn hapo kuzomea tu ndio ushabiki kweli

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 Před 2 lety

      Ndio ni ushabik,Kwan mbona nyie mnawazomeaga simba

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 lety

      @@atupelemsyani7411 NA BADO MANZIII HAYO

    • @belindamadata7862
      @belindamadata7862 Před 2 lety

      Mwaka jana tulipotolewa fainali mbona mlitusubili ferry mkatuzomea 🤣🤣 acha mkome

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 lety

    MASHUZI FC.

  • @fabiandanielkatikiro1478

    Tunaomba sheria zichukuliwe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 lety

    MANYANGA FC 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fabiandanielkatikiro1478

    Midomo yao itanyamaza mwishowe

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 Před 2 lety +1

    Haina shida,.mcheke lakini, si yanga na tunajua sisi ni mabingwa

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 Před 2 lety

    Manguo ya mgambo

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 2 lety

    Hamja vila mto

  • @linusjohn8328
    @linusjohn8328 Před 2 lety

    Utuloo

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 Před 2 lety

    Mgambo Afs

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 Před 2 lety

    Ha ha ha hw ha ha

  • @yunusimchala9306
    @yunusimchala9306 Před 2 lety

    Ipo cku kutatokea dhahama ya misiba kwa utani huu maana huo sio utani huo ni ukuma sasa unazomea nn makuma nyie akina mama wengine wamezaaa mijusi tu sio binadamu na ndio maana hawa wajinga hawajui kusoma

  • @saumumakangira4354
    @saumumakangira4354 Před 2 lety

    🤣🤣🤣

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 2 lety

    Nchi moja. Lugha moja. Utaifa mmoja.
    Bado mpaka leo hatujakuwa waastarabu.
    Kweli huu ndio uungwana.
    Watu wameacha kufanya kazi ya kupatia riziki. Wamekuja kuzomea tu.
    Toba! Ujinga huu mpaka lini.

    • @SwahiliSkills
      @SwahiliSkills Před 2 lety +1

      Muulizeni Manara Ndo Analeta Yote Haya

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 lety +1

      WE HARASY USTARABU WAKO PELEKA BILADI KAZI IENDELEE.

    • @maulidsheni6878
      @maulidsheni6878 Před 2 lety +1

      Uta juwa mwenyew

    • @belindamadata7862
      @belindamadata7862 Před 2 lety +2

      Hata kuzomea ni kazi,hutaki kuzomewa fanya vizuri

    • @mwandoimma123
      @mwandoimma123 Před 2 lety

      Watu namaisha yao, habari ya wanaacha kufanya kazi wanaenda kuzomea haikuhusu hawali kwako acha wataniane, maisha ndohayohayo.

  • @zainabumohamed600
    @zainabumohamed600 Před 2 lety

    Fala nn kazomewa baba yako

    • @joomlay4443
      @joomlay4443 Před 2 lety

      tim kubwa kama yanga inafanya vitu nya kipumbavu kuzalau mechi acha wazomewe wapumbavu wakubwa ndio walio kua wakiyataka hayo

    • @greysonmwaki9532
      @greysonmwaki9532 Před 2 lety

      We are going to win Npl

  • @DM_15
    @DM_15 Před 2 lety +1

    Hapandipo utakapojua mbwembwe huleta fedheha