BUYENZI CLEAN CITY 2 / USAFI NA MAENDELEO MJINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 02. 2021
  • Wazawa wa jiji la Buyenzi wakishirikiana na serekali kusafisha mji wawo, mnaombwa wote watoto wa buyenzi na wapenzi wa buyenzi kushiriki kwenye Sakata hilo la usafi mjini kwetu #Buyenzindonyumbani

Komentáře • 19

  • @kaylaassiah9461
    @kaylaassiah9461 Před 2 lety

    Buyenzi ndio nyumbani na wewe kama mzaliwa wa buyenzi gonga like

  • @anournduwimana170
    @anournduwimana170 Před 3 lety +1

    I was born in buyenzi My suburb I’m very happy to see buyenzi

  • @kobwatv812
    @kobwatv812 Před 3 lety

    Akazi keza

  • @ramadhaniharouna9609
    @ramadhaniharouna9609 Před 3 lety +1

    tunategemea sana mji wetu siku za mbele utakuwa poa sana

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 Před 2 lety

    Daah nyumban kabisa buyenzi nimepa miss san naongea nikiwa France

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 3 lety

    Kwani mwenye kutaka kula anasema

  • @gerardndikumana8160
    @gerardndikumana8160 Před 3 lety +1

    Congratulation guys Umoja wetu ndie nguvu Brovo Sakata TV✊✊✊

    • @topsakatatv6441
      @topsakatatv6441  Před 3 lety

      TUNASHUKURU NDIO KAZI ZETU ZA KILA SIKU Kwenye Sera Zetu

  • @adamondayishimiye9066
    @adamondayishimiye9066 Před 3 lety +2

    Pole pole tutafika in sha Allah. Tuhamasishane sote na tupende tulipo toka.umoja ni nguvu.

  • @gerardndikumana8160
    @gerardndikumana8160 Před 3 lety

    Still long way to go but don't give up antil to reach our dreamz, Yes we can 🤝🤝🤝✊✊✊

    • @topsakatatv6441
      @topsakatatv6441  Před 3 lety

      tuko pamoja na Anayo thubutu kwa Ajili ya maendeleyo kari
      buni tulijenge jiji letu SakataTv tukö kwa ajili ya Maendeleo

  • @uwimanauwimana7692
    @uwimanauwimana7692 Před 3 lety

    mgekua. na akili mapema mjii ungetakata ,unafiki muachie nani 😒

    • @topsakatatv6441
      @topsakatatv6441  Před 3 lety

      tafadhali nduguyetu aca matusi juu hakuna tunapo kutaniya sisi sakata tena iyo misemo niyakidini sisi ni TV
      Kwahiyo tujifunze ku tuwa maoni yakujenga jameni
      kwakweli Uwimana katukoseya izo ni kashfaaa

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Před 3 lety

      Achaa matusi Uwimana Kwani wewe hapo awali ulikuwa wapi hapa twaitaji hekima na busara

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 Před 3 lety

      @@zulfahussein6784 hekima ni ndogo unafiki ni mkubwa , sijawatus ukwel hua unauma

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 Před 3 lety

      @@topsakatatv6441 sija watus tatizo ukwel nindogo nandomana mandeleo kupata sio rahis ila jitahidin mfikie malengo mnayo hitaji kufanya

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Před 3 lety

      @@uwimanauwimana7692 naona waitaji kurudi shule