#dubutz #sungwi #snakeboy #clamvevo Sungwi Ni Movie Inayo Muelezea Kiongozi Ambaye Anawetesa Na Kuwa Nyanyasa Wananchi Wake Na Anatokea Kijana Mgeni Ambae Anakuja Kuwa Msaada Kwenye Kijiji Hicho
Yani mnakera kweli sasa ww mtu wasema wakwanza upewe like uzipeleke wap tulike video tushare tucomment ili dj dubu azidi kupata nguvu hebu acheni ushamba kila mtu ajilike mwenyewe inatosha sasa khaa
@@OfficialDubu_tzhajra mwanamke mzuri walai sana ane jiheshimu sana kitabia na mavazi natamani sana ningekuoa niko Tanzania ningemuoa ila niko Kenya mombasa likoni ila seriously kumuoa hajra seriously
Awapo ila akaacha sufuria la dagaa tamu hao nikupe 😀😀😀😀😀mliyopendezwa na hiyo weka like
Kazi nzuri sana dubu
Really appreciate you dubu much love from saudia Arabia ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 alafu ww udungu wangu dubu umeweza
❤️
Watu wa cram vevo tulio amia uku tujuane hii nayo nzuli sana🎉
Karibu❤️
@@OfficialDubu_tz tupe goma lingine
@@OfficialDubu_tz Brother unafeli wapi tupa mwendelezo tumesha subili sana
Tupo
Yani mnakera kweli sasa ww mtu wasema wakwanza upewe like uzipeleke wap tulike video tushare tucomment ili dj dubu azidi kupata nguvu hebu acheni ushamba kila mtu ajilike mwenyewe inatosha sasa khaa
😂😂
😂😂😂😂wanasinya sanaaa na likes sijui waenda kununua ndege nazo iwatembeshe
@@user-ec6ow2cx7c 😂😂😂😂😂😂😂🙌
mhhhh
saf sana waambie hao
Alafu Wew Unabahat Ilibaki Kidogo Tu Weka Like Kam Unamkubali Nyani NgweNgwe
Upinde
Alafu bosi nmeenda ndani nikawakosa nikapata dagaaa🤣🤣🤣🤣💸🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤🇸🇦waiting 4
Dubu hajawah kufel well done 👍👍👍👍👍👍
Mimi sasa kama simuoni nyaningwengwe sijafurahi🤣🤣🤣
Alafu wewe🤣🤣🤣🤣
Yani huyu mama dadaake chifu nadubu wananimaliza 😂😂😂😂😂❤❤
😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza mimi apa kutoka kenya kama unamkubali dubu gonga like hapaa😊
Mlinzi wa chifu anajua unakubaliana likeeeeeeeeee 12
Nyan Ngwengwe Saiv unayeyuka .! Umekuwa Mchawi sasa. Afu wwe Udugu wangu.
Sijapenda Dubu kurogwa nilitaka chief apigwe
Dubu umeweza ivo ivo usiniangushe 🎉 congrats 👏👏👏👏👏 wapi team strong kwa mpigo
❤️
Wakwanza kutoka burundi 🇧🇮🇧🇮 nipeni like
Ila huyo mnyama anaegeuka mtumishi moto jaman anatisha😮#team dubu mliweza sai ni mwendelezo tu kazi imenyooka mashallah
❤️
Another one from Dubu❤❤❤we love you from kenyaa
Leo naomba like ATA tano tu za mkisii kutoka KENYA
Zishafika tano sasa tulia😂😂😂
Am happy,,, thanks am in always
Dubu hakika unakitumia vyema kipaji chako mungu akutunze kakang hakika kukupenda tu ndo najuaga
❤️
Sema Kwa nyani ngwengwe Umepata mtu Kuwa nae makini Wasimchukue wakubwa
Tifuu😂😂😂twende zetu tifuuu😂😂😂twende zetu pongez san jmn❤❤❤
🤣🥰
Nampenda Sana dadake chief anamapozi balaa
Nampenda sana Nyani ngwengwe😂😂vijitabia vya utahila😂
Mganga Wa mapiano bado utasubri Sanakutawazwa kua chiff
Kazi nzuri dubu
🎉🎉🎉 congratulation Big 🎉🎉
🙏
mimi apa wa kwanza leo rdc naomba like zenu🎉🎉🎉🎉🎉
Minamuelewa sana dubu aiseeee hakoseagi
😂😂😂 Nyan ngwengwe upon vzur hautaki kua na njaa
Good morning n big Sunday ❤❤❤❤ Asante kakang Mungu akupe ufaham mwema uzid kutuburudsha wakt km huu
Amiin 🤲❤️
Oyo kabale unankosha sana. Alafu we😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri kwenu na kwa wanao omba likes komeni na hiyo tabia yenu wapeni wenzenu pongezi alaaa😂😂😂
Hii nayo ilipikwa kweli yaani Ina ladhaa tafouti❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏
Nimeipenda sanaa hii ni nzur mno❤❤hlf ww Dubu unajua kutufurahisha udugu wang😂😂
❤❤
Mtumishi moto nyani ngwengwe these two guys make me to laugh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alafu wewe dubu kumbe tuna dragoni na hausemi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤️
Nic nizuli sana nawapenda mimi natoka Bd 🇧🇮🇧🇮
Chifuuu twende zetuu😹😹big up Dubu and the squad🎉🎉🥳🥳🥳🔥🔥love from 🇰🇪🇰🇪
🙏
unaweza unaweza tena na tenaaaa🥰🥰🥰🥰
🥰
Komecheka sana😂😂😂
😂😂😂 nyani ngwengwe WE Noma 🤣 aisée ww muroho
Kazi nzuri brother mnakawia sana kuachia mazingira ila maua yenu🎉🎉🎉🎉
🙏
🤣🤣🤣🤣 hii noma aki leo dubu umenikosha much ❤❤❤from Saudi Arabia
Nyieee nyani ngwengwe lihandsome balaa
Alf wewe 😂😂😂😂😂 huyu jamaa noma xan
Such a Great and entertaining story..... kudos to all the actor's and actresses.
🙏🙏
Jamani huyo dada wa chifu duh nimepende hizo pigo zake
Dubu na timu yako nzima mme tisha vibaya sana mungu azidi kuwaunganisha milele msalimie khajra mwambie nampenda sana
❤️
Nyani ngwengwe kinafulahisha kazi nzuri sana dubu ❤❤❤
🥰
Jambo
Kazi mzuri
Nice kazi dubu ww unajuwa sana pigs kazi kija
🙏🤝
Nakubali Dubu tuko pamoja mwanzo mwisho
😂😂😂😂😂😂nyani ngwengwe nakupenda bure umetuma msema afu ww hahahaha naogopa natetemeka hahaha dubu kaza buti
🥰
Filamu iko sawa brother 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
🙏🙏
Jeusi kama tope la tungu chefuu
Awapo ila wameacha sufuria yh dagaaa alafu wew 😅nyani Ngwengwe ana jambo lake huyo❤❤
❤️
Chuchu conzi,we huogopi unaililia yako😂😂😂😂😂😂😂😂😂,yni yuanifurahisha huyu pic kali mmi,dubu kee it up.nakupnd bure frm.knya
😂😂😂😂😂 we huogopi,,unaililia yako
Dadda ake chief wa motooo😂😂😂😂
Wameacha sufuria la dagaaaa,hahaha wapi nyani ngwengwe
Kazi nzuri dubu🎉🎉much love from kenya❤❤❤❤
❤️
Nyani gwegwe nakumiss sana 😢 lakin karibuni waowa nakutakia kila la heri kwa ndoa yko na allah awajalie maskizano inshaallah 🙏
😢
@@OfficialDubu_tz inshaallah ❤ Allah awajalie maskizano
Dubu hakika we ni fundi asee xtor kali sana hii
Keep'n up bro
🙏🙏
Sa mbona ni snake 🐍 boy tofauti kidogo sanaa any way ngoja tuone nani zaidi
Watching from Saudi🇸🇦 weiting part 4
Wakwanza toka kampala, ni heritier kambale
🙏
Daa kibongee dada ake chief ananikoshaaa jamaniii
❤️
Kalii sanaa hii😂😂🎉
Good job brother keep it up, from kenya we love you ❤🎉
Love from Bakame comedian burundi 🇧🇮
Safi sana DUBU kanzi nzuri sana 🎉🎉🎉
Kazi nzuri hajra na dubu
🙏
Wow nimekuwa wa kwanza leo kazi nzr sana hii kk❤🎉
Dubu unatakika uwe na nguvu zaidi bro ila seems movie ni kali sana 🎉🎉
💪
Jaman bonge sio kwa mapozi hayo😂😂
Mbona ikaisha patam ❤❤❤❤❤
Watu wa 🇧🇮 tunakubali sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤️
Kazi nzuri kabisa
Hao wanadada wanaovaa njano wananikonga moyo mno😊
❤️
Dubu Jitahidi usiwe Unachelewa jamani Jamani 😢😢😢
❤
Dubu muoe uyu mwanamke walai mwandana walai pale takua upata mwanamke walai mwenye heshima@@OfficialDubu_tz
@@OfficialDubu_tzhajra mwanamke mzuri walai sana ane jiheshimu sana kitabia na mavazi natamani sana ningekuoa niko Tanzania ningemuoa ila niko Kenya mombasa likoni ila seriously kumuoa hajra seriously
hongereni kazi nzuri sana
Mwenzangu dubu nakupongeza Kwa kazi nzuri ngwengwe ukajibadirisha kua dubu ili uweze kukubaliwa na binty mrembo😅😅😅😂😂😂
❤️
Ukijisikia nipo kakaako Nita kusaidia😂😂😂
Wale wa kuchelewa kuangalia huku tukisoma comment tujuane Kwa like ❤❤❤😊😅
Kazi nzuri sana nimeipenda❤
❤️
Dudu uko vzr sana hongera kwa kazi zko Mungu akuzidishie kipaji🤲
Amiin ❤️
Kazi kazi hongera broo
🥰
Much love from Kenya
Kazi safi sana
Hii team kiboko👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hamuwezagi kuwa serious 😂😂😂😂
Nimecelewa leo sina lakusema mie😢dubu kazi nzuri pokea mauwa yako🎉🎉🎉🎉
❤️
Mimi Dubu nakukubali saana,tupeleke hivi hivi tuwe nafuraha bandika bandua.
Safiiiiiii sana ❤❤
Uwahishe basi mwanangu kazi nzuri ningependa sana km na mimi ningekua kwenye kazi zako ila ishaalah Mungu atajalia
🤝
Kazi nzur xn
🎉❤❤❤❤🎉 sijui ata niseme nini ila all in all nakubali San Kaz zako
❤️
Nakukubali dubu .me wakwanza kutoka singida gonga like ata 10
Ila kambare😂😂😂😂...Ninani huyo anayetaka kunirahisishia kazi yangu kwa sauti ya mganga Amapiano😂😂😂nawapendaa❤❤❤
❤️
Hahahahahaha jmn dada wachifu noma
❤❤🎉🎉 kazi nzuri sana ila kambare yuwaniacha hoi 😂😂😂
❤️
Mbn hakuna sauti
Labda kwako tu
Angalia tena
Kazi nzuri❤
❤
Kali sana