HAJI MANARA ATOA SALAM ZA MAULID MSIKITI WA MTORO/ AKUMBUSHIA KWA KWA KUSOMA QASWIDA YA MAULID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm Před 11 měsíci +1

    Mm sijawahi ona hawa watu wa dufu kupigia ndani ya msikiti!!

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Před 11 měsíci

    shehe manara shukran

  • @user-yn7ix9vi5n
    @user-yn7ix9vi5n Před 11 měsíci

    Hakuna maulid

  • @user-ct2nw8br1o
    @user-ct2nw8br1o Před 8 měsíci

    Huyu ni mtu wa hovyo alafu anasimama mbele ya waislamu kuzungumza…nyinyi mashekhe. Mnajielewa kweli

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 11 měsíci

    Kweli huuu ninuzushi wanamtanguliza misemaji ya mipira na watu wa klabu😢

  • @user-ct2nw8br1o
    @user-ct2nw8br1o Před 8 měsíci

    Huyu ni mtu niwa mambo ya hovyo kabosaaa.nyie mashekhe. Mkoje

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 11 měsíci +1

    Ibada za uzushi bwana kuna wakati wanaogopa kufanyia hata ndani ya msikitini😂😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 11 měsíci

      Mzeee we unawasiwasi gani na peponi utaingia peke yako waache na uzushi wao we ushajua we sio mzushi sa wazushi wanakushughulisha vipi

    • @mubarakaahmada5155
      @mubarakaahmada5155 Před 11 měsíci

      Ndugu yangu kama kweli wewe ni mkweli tumia ukweli wako kuwapiga vita wale wanaopiga vita uislam sio waislam wenzio

    • @mubarakaahmada5155
      @mubarakaahmada5155 Před 11 měsíci +1

      Acha unafiki wako kuna watu wanacheza mpira uchi tena wanawake je ushasema hayo au kuongozwa na wanawake si uislam je umesema hayo ila wanaomswalia mtume ndio maaduwi zako acha unafiki hizo ndio hazitakiwi

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k Před 11 měsíci

      Jamani Hawa mawahabi ni maadui wa Mtume Hawa.Sasa kama tyr mshajiona mmeipata Pepo bas ya nini kufuatilia fuatilia mambo yasiyowahusu?

    • @chemstry409
      @chemstry409 Před 11 měsíci

      Wewe inakuhusu nini??? FUATA YAKO NA WAISLAM WAACHE WAFANYE IBADA YAO...