MTUKUZE MUNGU TU.BY SIFAELI MWABUKA. SKIZA sms SKIZA 69311525 TO 811
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2019
- #254799200738 #sifaelimwabuka
Music by sifaeli mwabuka performance MTUKUZE MUNGU TU (©) MWABUKA MEDIA LTD 2024
Subscribe for more official content from Sifaeli:
/ sifaelimwabukaofficial
Listen to Sifaeli mwabuka
CZcams: / sifaelimwabukaofficial...
Audiomack: sifaeli mwabuka
Apple Music: sifaeli mwabuka
Spotify: open.spotify.com/artist/1o3pL...
For more information booking Sifaeli mwabuka
: WhatsApp+255769553055
call. +254799200738
Email: mwabukamedia@gmail.com
©2024 MWABUKA MEDIA LTD,all lights reserved - Hudba
Hi!! my fancy thanks for following my content to all platforms be blessed!!
youtube.com/@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL?si=8L-iW9FDTvqXzZET CZcams
onerpm.link/818041537428
Song= ULIYONITENDEA KUHESABU SIWEZI DIGITAL PLATFORMS
SKIZA DIAL *811*117# OK
onerpm.link/392578501032
SONG: NAOMBA MBINGU ZIFUNGUKE
DIGITAL PLATFORMS
SKIZA DIAL *811*457# OK
±254799200738
HIZI HAPA NYIMBO 50 ZA UPONYAJI -link below gusa hapa chini listen all.
czcams.com/video/6ZlC5yQ5AOg/video.htmlsi=aMw5gZvAJzIdF06u BEST CONTENT
😅
Wenye tunaskiza hii ngoma 2024 nipeni likes😊
Be blessed
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIALhabari yako Mchungaji
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIALfrom Mombasa, kenya, ua songs are a big blessing to me
Wenye wako uku 2024 nipeni likes tukisongo,,, 🇰🇪twende nalo
Pamoja ❤
Let's gather here again, the year is 2024. Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watu WA 2024 tupeane likes
❤ goma zuri sana
2023,,Munipe likes,,My son his form four candidate,,, Was dump with the father,, And promise to pay school fee when was joining form one,, At last he refused to pick my calls and block me 😭 😭😭😭😭 This song really encourage me,, To make my son dream come true....
Amen
😂nmeona sababu ulidumpiwa
❤❤❤amen
Ni gani hio😂😂@@Anto-ml4th
English was englishing😅😅😅
Simama tukuze Mungu tu.. wimbo wapendeza zaidi pia una mafunzo tele.
Kutoka 🇰🇪 tuko pamoja.
Nimefiwa na mwanangu but this Song imenifanya nimsifu Mungu tu kwa yote ..God I thank you for everything
Wengine wamekufa hatujui tutaonana nini😢😢wewe uko hai MTUKIZE MUNGU TU🙏🙏
mungu ni mwema kila wakat Kila sehem atukuzwe
All the way from tiktok 🎉🔥💥💥💃💃🕺
Nashukuru Mungu Kwa waimbaji kama nyinyi,nazidi kupata tumaini katika hii safari.
Napenda Sana kuskiza nyimbo zako huwa zanijenga kwa mambo mengi, mungu akupe uzima uzidi kuendeleza injili
Amen mungu Ana makusudi niweepo leo amen mtumishi wa mungu.
Hii wimbo mtoto wangu anaipenda Sana na ata ajafikisha mia mbili ukieka anajua simama simama mtukuze mungu mungu akubariki Sana na uzidi a
Kubariki wengine kwa nyimbo zuri
Mlungu akubariki sana kwa kutuinua kwa nyimbo safi.
hallelujah yesu wangu Simba wayuda you are only my father in heaven hallelujah amen ❤️❤️❤️❤️❤️
Be blessed
Nikiwa chini naweka nyimbo zako sinanitia moyo
Amen. MUNGU akubariki
Oooh kweli mungu ametutoa mbali nikisikia hii wimbo roho inakaa kalibu na mungu sababu amenipigania sana mutumishi..... mungu akubaliki sana nyimbo zako.....lo!ubalikiwe na mungu akupe afya njema maishani
Amina Asante
uko vizul mtumish wamungu mungu akubalik
Amina ubarikiwe sana
Kupitia hisi nyimbo kweli naona mungu anawesa
Thanks for your support. Be blessed. Don't forget to subscribe, comment and share
Kila cku nikiamka asubuhi lazima nicheze huu wimbo kabla mume wangu aende kazini ,, 🙏🙏🙏🙏🙏
Nlikuwa naisubr hii video jamanniiii barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Sema nami nakusikia mtumishi wa Mungu
Mtukuze mungu kwa kila njambo ndiye Ebenezer
Ubarikiwe Kwa nyimbo ñzuri 🙏🙏
Napenda nyimbo zako hunibariki sana,nashukuru ndugu zetu watazania, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakuombea meam mungu akuonekanie saidi .coz nyimbo sako snanfundisa moyo wangu
Hii ngoma inanikumbusha far God bless you .
Nasikia raha sana nikisikiliza nyimbo zako😂
It's 2024 and the song is still fresh in our minds gonga 👍👍👍👍 likes tukisonga
Vile ulivyo Ni mpango wa Mungu uwepo na si mpango wa mwanadamu hivyo mtukuze Mungu tu aliyekufanya uwepo Leo maana wengine hawapo hatujui tutaonana lini,wengine wanalia,wengine wamelazwa n.k lakini wewe uko mzima simama MTUKUZE MUNGU TU
Amen
Nitumie kwenye Watsap video hii mkuu
0766492798 Tedi
SIFAELI MWABUKA. Aminaa mtumishi uzid injilisha kupitia nyimbo
@@naomijohn6041 amen
Hakika nyimbo zako ndugu ni mahubiri kwangu barikiwa sana ili uendelee kutuletea ujumbe mzuri kila siku. Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Amen asante sana nakushukuru kwa kuwa pamoja nami kwenye huduma yangu ya uimbaji,please subscribe my channel and share to others and God bless you
Namtukuza Mungu kwa kila jambo kwa kua si mpango wangu bali ni mpango wako Yehova❤🎉
Ubarikiwe sana
This song makes feel very humbled...lots of love from kenya ❤
Yani navyokupenda sifael Mungu ndo anajua napenda nyimbo zako sana zinanibaliki
Mungu akupe zaid
Amina
Napenda saana Nyimbo zako..wapi likes za wana Qatar......mungu akubariki sana
Nasikliza hii wimbo nikiwa hapa Somalia 🇸🇴, na sitarudi nyuma 😮
Vile ulivyo ni mpango wa mungu
Safi sana mkuuu kazi yako ni njema
Jaman nyimbo nzur maneno mazur napenda Sanaa mungu aendelee kukuinua mtumichi❤️
Ubarikiwe Mtumishi hakika nitakutukuza MUNGU
Still listening 2024 so hot ❤❤ Asante Mungu kwa zawadi ya uhai 🙏
Amina. Barikiwa sana
Mungu ❤❤❤❤❤ hallelujah
Hongera kamanda hujawai kukosea wimbo mtamu unabariki.
Yaaaan duu kakaa u real bless me jamanii jusajighwaa fijooo daaaaa ULYIMBO LWAKO LILINUBHUMI FIJOO...DAAA KIU YANGU TUSIPOONANA TENA APA DUNIAN BASI TUONANE BANDALINI KULE
Thank you God for standing with us all the time I will always be great full to you the almighty 🙏 🙏🙏❤❤
Imagine hata mie niko hapa August 2024, wapi likes zangu?
Haya kaka Mungu akubariki Sana kazi mzur, saut nzur Hakika Uko na baraka kubwa Sana
Mungu akubariki kaka mwabuka wimbo ni mzuri sana yani
Mungu akuzidishie na akuogezee miaka mingi uku duniani,,,nyimbo zako nazipenda sana,,,huwa na masomo mengi,,,na pia ufunuo mwigi
Asante sana barikiwa zaidi
Mungu akulinde usindi kutupa menono ya mwenyezi mungu
Amen asante sana nakushukuru kwa kuwa pamoja nami kwenye huduma yangu ya uimbaji,please subscribe my channel and share to others and God bless you
Vile ulivyo Simama simama mtukuze mungu tu,mungu akubariki
Amina nimebarikiwa sana mtumishi wa mungu
Safi sana jembe unatupa raha
The kind of songs that, when you listen, make you feel the presence of God-Kenyans believe in God, not your pastors and prophets. We are in tough times, but if we have direct communication with God, it will heal our hearts from the situation we are passing through as human beings. God is always ready to hear you whenever you talk to Him.
A dedication to all working in gulf countries mungu kwa yote😍😍😍😍😍😍mob love guys
Amen thanks be blessed thanks for your support please subscribe my channel and share to others asante sana kwa kutazama nyimbo zangu
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL cjt
kama sio mungu maadui zangu wangenimaliza
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL mungu akusaidie upate neema itokayo Kwa mungu
Ujawahi kukosea mtumishi wa Mungu..... I salute you... umenifanya ninunue redio niiweke kazini kwangu kisa tu nisikilize nyimbo zako zenye jumbe safi za kumtukuza Mungu
I juju ujbgr
@@raissaalimasi1704 pow nunua
❤iii😂o0o❤o❤000ddcc
27 Augst 2019
Tusimame tumtukuze mungu jamani tutabarkiwa....mungu anatujua tulvyo
Before Mom passed yesterday
Tumeskia this sweet song till the end
Eiiiii Rest In Peace 🕊️ Mom
HOLY SPIRIT today. My spirit in alive. Thank you GOD for everything. Yes, everything. Thank you for the challenges.
Amen. Be blessed
Jinsi nilivyo, Nakushkuru Yawe. Barikiwa mtumishi, wimbo nzuri wa kujipa moyo.
Asante huu wimbo na Mimi ni nani. Havitoki masikioni mwangu kwani ndio rafiki wa karibu ninae ongea nao saivi. wapo marafiki lkn nakuwa mpweke sana lkn hizi nyimbo ndio naongea nao.
Asante Mtumishi. Mungu akuinue zaidi na zaidi
Glory be to God🎉❤️🤍🙏🙌💃🇰🇪💯📌.Thanks Jesus🤍❤️.
Thank you so much for your encouraging songs..God bless you Ndungu.
Hakika simama mtukuze Mungu tu. Nitamtukuza Mungu wangu
Haleluyaa yatupasa tumtukuze MUNGU kabisa !AMEEEN
Nyimbo zako nizakubariki mtu, much love to God 🙏 from kenya
amen be blessed more thanks for watching and subscribe my channe
❤❤Mungu azidi kukuinua sifael
Mungu atuongoze kwani safali tulio nayo Ni ndefu mungu atusaidie like zenu watumishi wenzangu balikiwa
Wimbo uliojawa na utajiri mkubwa wa Kiungu
We umetumwa na mungu utuhuburie kupitia hizi nyimbo wacha mungu akusaidie
Natazama hii wimbo nikiwa macha na sirudi nyuma kamwe🎉🎉
Amina. Be blessed
Nitasimama kumtukuza Mungu siku zote za maisha yang..barikiwa mtumishi kwa nyimbo yeny ujumbe umenibariki
3. Shule la uchungaji ni mahali tu ambapo watu hujifunza mbinu za kuchezea saikolojia ya watu. Mnaona ? Wanajifunza hali na mwenendo za watu. Hii yote huitwa uchawi. Na hiyo ndiyo wanaficha watu [Kc.2v1-3] [Kc.57v8]
1. Kama manabii wa Biblia, aprili 1993, mimi Kacou Philippe, mtu ambaye alikuwa hajawahi kuingia kanisa lolote, nikapokea katika ono kutembelewa na Malaika na huyo akanituma na Ujumbe kwa dunia nzima kwa utimilifu ya Matayo 25 :6 na Ufunuo 12 :14. Haya ndiyo maelezo ya uongofu wangu na maono matatu makubwa ya wito na tume jinsi niliyapokea.
Wau imeniguza bro mungu abariki
sisi tunaomtukuza mungu tu like hapa tujuane
#mtukuzemungutu#KIKI
sifael mungu akutie nguvu katika huduma ya uimbaji napenda sana nyimbo zako mungu akubariki
@@marthaemmanuel7870 nini pendant
looking good kaka Leo sjalala nasikiza nyimbo zako kaka
@@kenjamatindi1405 is a
.
thank you God for healing me amen ❤❤❤ hallelujah 🙏🙏🙏
Baba. Ubalikiwe Sana Mungu akuinuwe zaid baba twakuombea
Hii nyimbo imenitia moyo sana...nakushukuru uliekaa ukatunga nyimbo hii....dunia hii inamajaribu sana bora tushnde makanisani tukisali#tumtukuze mungu tu
Kabisa
Inanipende za
Wewe simama simama mtukutuze Mungu tu😍. Ujumbe konkii ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nyimbo zako huwa zinanibariki sana
2024 may likes here ❤ praise the Lord success to each and every candidate
Barikiwa bro
Amina Ubarikiwe sana
Amen!Hitakutukuza mungu wangu ata nikiwa uku saudia
#Joyce Jumaa,tuko pamoja bbless
I like this song sana
Barikiwa mtumishi wa Mungu
asende kwa msenge yako sana na usaidiwe kubarikiwa uimbe ngoma mengi itabariki watu wengi
Amina Ubarikiwe sana
Asnt San kaka angu wimbo mzur Sana naupenda
Sifael,wewe ni mbarikiwa.Jina la mungu liimidiwe.
Huu wimbo unawatia nguvu watu wengi sana being one of them,,,,,,,may u be raised amongst the nations and beyond ,,,,,💕🙏 ,,,,,be blessed
Napenda sana nyimbo zako mtumishi wa mungu,,popote naishi kuloose hope naingia CZcams natafuta nyimbo zako nafeel roho yangu kupona again. Yaani yale magumu yote ninayoyapitia nyimbo zako sinanitia moyo sana may God bless you always.
AMEN AMEN, ALL GLORY AND HONOUR BE TO GOD FOREVER AND EVER AMEN
Thanks for following up with my work. Please like, subscribe and share with others. Be blessed.
Wimbo huu umenibariki sanaa Amina
I real like your songs they are blessing
Ntamtukuza Mungu tu hakika Asante mtumishi wa Mungu wa ukweli isiye na mbwembwe
2024✨ Anyone? Will come back to these masterpiece when you leave a reaction.
Thanks for your support. I appreciate it... Mungu akubariki sana nakushukuru mno usiache kufuatilia kazi zangu. Subscribe and share with others
God I will always praise you even in my state of joblessness
Amen nakuombea Mungu akukumbuke katika hitaji lako,Thanks for following up with my work.In all platforms use Sifaeli Mwabuka.Please like, subscribe and share with others. Be blessed more
Wa kwanza kuangalia na kukoment! Naomba like zangu please🙏🙏🙏🙏
AMen 🙏 ❤ be blessed all singers
sehemu kutoka Kacou 6: Ufunuo kuhusu unabii wa Matayo 25:6
14 Katika mwanzo Mungu alitumika na watu ambao waliteseka sana duniani, Katika mwisho, Mungu anatumika na aina ya watu ambao waliteswa sana duniani... Na ni mwanaafrika ndiye Mungu atainua ili kutimiza unabii huu. Ndiyo maana nafikiri kwamba mtu hawezi kuwa mtetezi wa nchi isiyo yake.
19 Na hakuna mtu anayeweza kumtumikia Mungu juu ya uso wa dunia nzima isipokuwa tu anakumbusha kile Mungu iko anafanya hapa. Ndiyo maana nachukia wakiinjili, wabaptisti, wafoursquare, na kadhalika... Nami nawaonya jihadharini nao! Hatuna sehemu pamoja nao! Msiwe wanafiki na msiunde mapambano mengine dhidi yetu! Wao ni kunguru. Na tai zinapopiga kelele, makunguru nayabaki kimya. [Ndr: Kusanyiko linasema: « Amina! »]. Unapo mhubiri muislamu au mukatolika kwa kumtuma katika kanisa la wabaptisti au la wapentekosti, basi umefanya nini? Ulibadili tu mfungwa seli gerezani. Ni lile lile zizi moja la Shetani. Na wewe ni sauti ya vurugu dhidi ya kile Mungu anachofanya hapa! [Kc.108v21]
#PKPCHANNELTV
51. Mimi Kacou Philippe, sikufa msalabani kwa ajili yako lakini mimi ni balozi na mpatanishi kati ya Mungu nanyi leo hii, mimi ni msemaji wa Mungu leo hii, ninashika funguo za Mbingu na wakati mimi ni hai duniani, hakuna mtu anayeweza kuokolewa isipokuwa tu kupitia mimi. Balozi sio roho fulani wala maiti bali mtu aliye hai. Maneno yangu peke ndiyo maneno ya Mungu yenye uzima kwa wokovu wako leo hii.Manabii ni miungu katika mwili wa mwanadamu, ndiyo maana maneno yao ni neno la Mungu. Na unapaswa kumpata nabii aliye hai wa wakati wako kabla ya kufa kwako na yeye ndiye atakujulisha Mungu. [Kc.95v1] [Kc.136v37]
1. Je! Mmeona mpango wa jengo maarufu la kidini la Abidjan, Kanisa Mtakatifu Paulo? Ni wavu iliyozinduliwa na Shetani. Na hii ni picha ya majengo yote ya Kikristo nje ya Ujumbe huu. Yote ni nyavu za Shetani. Mbali na ujumbe wa kinabii kutoka kwa Mungu, hizi ni nyavu za Shetani. [Kc.1v9]
#PKPCHANNELTV
1. Kama manabii wa Biblia, aprili 1993, mimi Kacou Philippe, mtu ambaye alikuwa hajawahi kuingia kanisa lolote, nikapokea katika ono kutembelewa na Malaika na huyo akanituma na Ujumbe kwa dunia nzima kwa utimilifu ya Matayo 25 :6 na Ufunuo 12 :14. Haya ndiyo maelezo ya uongofu wangu na maono matatu makubwa ya wito na tume jinsi niliyapokea.
MTUKUZE MUNGU TU hakika
Marafizangu tukuze Mungu hako na mpango na sisi 😊😊
Nimebarikiwa nilivyo ni mpango wa mungu tuu
Mungu akubariki karibu kwenye channel CZcams yangu Mungu akubariki na usikose ku subscribe asante
1w1
Mungu aendelee kukwinua mtumishi
This song brings hope in thé life.
Nakukaribisha kwenye channel CZcams na Mungu akubariki katika maisha yako usikose ku subscribe asante
Love from Kenya🇰🇪
Kazi nzuri mwabuka
Wimbo uko poa sana melodi za kutosha na vocal kama lote congeraturation my bro and god blees you (wewe simama mtukuze mungu tu)
Bado nakupenda sauti tu ulibarikiwa.mm uskiza nyimbo zako zinaniguza
amen asante kwa support yako please sabuscribe my chanel and share to others
Nina imani Mungu atabadilisha historia ya maisha yangu. Nitakusifu milele Mungu wangu. God bless you mtumishi
Nilikua nausubiri huu wimbo
Have you been up since we have a look and let me to do with it. It is so much for all the best way togo. I will have to be the