Rais Ruto aagiza makundi mbalimbali kuteua wawakilishi kwenye mazungumzo ya kitaifa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024
  • Ofisi ya rais imeanzisha mpango wa kuhusisha vijana katika mazungumzo siku mbili baada ya Rais William Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2024 kuwa sheria. Barua kutoka kwa mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei imewataka washikadau kutoka sekta mbalimbali kuwasilisha majina ya wawakilishi katika kamati itakayobuniwa ya kutatua maswala yaliyoibuliwa na vijana wakati wa maandamano ya kupinga mswada huo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, Rais William Ruto aliendeleza mikutano yake na viongozi wa kidini katika ikulu ya Nairobi, leo akikutana na maaskofu kutoka kanisa la (AIPCA).

Komentáře • 963

  • @baloz8974
    @baloz8974 Před měsícem +291

    GenZ hawana waakilishi,unataka waakilishi ili uwahonge no way just speak na sisi tutakujibu kwa social media .tumesema hatukutaki sasa ,kazi yako kuharibu nchi kuhonga wabunge kupitisha hoja zako kwanini .

    • @rockyrocki-fo4sl
      @rockyrocki-fo4sl Před měsícem +20

      Kabisaaaa hakuna leader,they will be bought up asap

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie Před měsícem +3

      There must be leaders ngoja utaona ni nyinyi ni wachache hawakupata kakitu

    • @davisbett
      @davisbett Před měsícem +18

      True hao pia wataturuka atutaki viongozi ,kiongozi ni kila mtu

    • @chegepatrick2730
      @chegepatrick2730 Před měsícem +3

      Amewashika mateka

    • @shabankolia8204
      @shabankolia8204 Před měsícem +11

      Hatuna haja na kuongea na wewe sai is too late pls Mr zakayo ok

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks Před měsícem +109

    WE WILL STOP GOING TO CHURCH. WE CAN PRAY FOR OURSELVES

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg Před měsícem +118

    😊😊😊😊when he not flying he is lying

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před měsícem +3

      Haha 😄 🤣 😂 umeona now he's lying

    • @aligedi2869
      @aligedi2869 Před měsícem +3

      😂😂😂😂

  • @Onguti
    @Onguti Před měsícem +78

    We are tribeless
    We are partyless
    We are leaderless
    🇰🇪🇰🇪❤🇰🇪🇰🇪

  • @moscowjumah2089
    @moscowjumah2089 Před měsícem +173

    We don't trust pastors coz the hypocrisy in them its alarming

    • @whitneyngati4750
      @whitneyngati4750 Před měsícem +5

      After death fear pastors.

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie Před měsícem +1

      ​@@whitneyngati4750 pastors there work is to maintain peace to both parties wenye walichoma ni criminals I agree sisi tuliandamana peacefully

    • @SupremeKimani
      @SupremeKimani Před měsícem

      Pastor nganga ako na sisi kwani umesahau

    • @dreadlocks_sisterlocksbahrain
      @dreadlocks_sisterlocksbahrain Před měsícem +3

      😢sio baba wetu we don't trust church chat hypocrisy and betrayal 😮😮 narcissistic behaviour

    • @user-kg9gy9pw3l
      @user-kg9gy9pw3l Před měsícem +9

      Pastors wako side ya Ruto juu wanapewa vibahasha every sunday

  • @Mohalira
    @Mohalira Před měsícem +63

    Mnataka wawakilishi ndio muwateke nyara...na wenye mlichukua si mrudishe...shame on this government. Too bad wallah.

  • @nerryakanda3733
    @nerryakanda3733 Před měsícem +90

    Nonsense, too late . Let the compromised church meet him. He has no moral authority to continue leading having killed children. His voice nauseates.

    • @isaiahmuyekho6703
      @isaiahmuyekho6703 Před měsícem

      Can you lead

    • @ugenyapasi
      @ugenyapasi Před měsícem

      @@isaiahmuyekho6703keep quiet nonsense!!you sound stupid and dumb in one sentence

    • @samkaybeauty2862
      @samkaybeauty2862 Před měsícem

      ​@@isaiahmuyekho6703 you can you lead 🚮

  • @michaelkauku9714
    @michaelkauku9714 Před měsícem +52

    Who will believe or trust Ruto surely? This man can very compromise even 1000 people. A true sweet talker

    • @elizabethmbula9388
      @elizabethmbula9388 Před měsícem +4

      Vasco danganya ni mwongo kuliko shetani

    • @Berly841
      @Berly841 Před měsícem +1

      Atawadanganya na 1k pekee akuna mazungumzo

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 Před měsícem

      Why let kenya burn bcs of all these? Let him serve his term and leave...Kenyans will regret burning their country

    • @michaelkauku9714
      @michaelkauku9714 Před měsícem +1

      @@susannangurai3348 kenya was burnt economically long time ago by the so called leaders

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 Před měsícem

      @@michaelkauku9714 well said my brother....it was burnt economically but sio vijana kukufa....pls aki let's just all calm down and wait for 2027 pls

  • @jumangala4925
    @jumangala4925 Před měsícem +70

    Hatukubaliani na ww ata nukta moja💯💯cha msingi uende home ukalime juu hiezi kuendesha KENYA.

    • @philipchirchir7035
      @philipchirchir7035 Před měsícem

      Do what you want, president have offered himself for dialogue and if you don't want get your ass to street and see if you can get it.😂😂

    • @user-ul8xh7dk5p
      @user-ul8xh7dk5p Před měsícem

      ​@@philipchirchir7035Acha umama

    • @user-zz9qw5iw8z
      @user-zz9qw5iw8z Před měsícem

      @@philipchirchir7035you’re a reckless idiot who doesn’t understand anything

    • @petronasken7504
      @petronasken7504 Před měsícem

      Now, repeat that without exposing your teeth and spitting murski everywhere. Take your nyani with you please!​@@philipchirchir7035

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc Před měsícem

      You are very stupid,arm yourself with voter's card and vote him out in 2027, other wise naona mama zenu wakiwazika sana

  • @agathawanjiku6919
    @agathawanjiku6919 Před měsícem +42

    Ruto has to go , no negotiations

    • @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
      @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti Před měsícem +1

      Sis.. itabaki umezoea Ruto is our President.
      Ukienda Uganda utapata Museveni. Take your pick.

    • @lyfondiamond7273
      @lyfondiamond7273 Před měsícem

      ​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8tithen Wacha abaki na uinga wake state house na hao mapastor ,,let 2027 come

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 Před měsícem

      Why let kenya burn bcs of nonsense

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 Před měsícem +2

      Ilikuwa ni Finance bill...sasa amekubali kusikiza.....sasa ni Ruto must go? Hawa ni watu wanataka inchi ichomeke na hawa ni wakora na idlers...They need to be dealt with

    • @walteralulu8483
      @walteralulu8483 Před měsícem

      Na mbona aliua vijana githurai​@@susannangurai3348

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Před měsícem +26

    Hawa ma bishop ndio wametuharibia kenya yetu wanapokea hongo

  • @Geowematv
    @Geowematv Před měsícem +39

    Vijana hawana kiongozi, labda tukutane mtandaoni.God help Kenya, peace, love & harmony, Kenya Moja si Kenya kwisha.

  • @PeterAmollo-pk2lo
    @PeterAmollo-pk2lo Před měsícem +17

    Genz hatuna kiongozi🇰🇪🇰🇪 kama anataka tuongee atuite sisi wote kenya nzima kwa kiwanja na akae kati kati kila mtu ajiongelele😂😂😂

  • @PaulineMugure
    @PaulineMugure Před měsícem +12

    He has not taken responsibility for the killings. He has not mentioned the Githurai massacre by police. This man CANNOT BE TRUSTED!

  • @Freedomfighter-fizz
    @Freedomfighter-fizz Před měsícem +15

    He brings all those children he killed back to life kwanza ndio tuongee

  • @beatricekarani7675
    @beatricekarani7675 Před měsícem +42

    Ruto must go Ruto must go

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před měsícem +1

      Haina mjadala hilo limepita

  • @harrisonkimani9921
    @harrisonkimani9921 Před měsícem +76

    Church inakuja sai after gen z wamekufa...nkt

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc Před měsícem +2

      Kwani Gen z waliendewa makwao?walijitakia kifo,na bado

    • @alphonceokoth6381
      @alphonceokoth6381 Před měsícem +3

      Wakwende huko hao wafarisayo na wasadusayo, shikilieni hapo hapo mpaka zakayo aende Hague Kwa kuua watoto wetu

    • @sheilamwai7546
      @sheilamwai7546 Před měsícem +1

      ​@@DavidNyamongo-un1scwewe ungenyamaza tu. Just sharrap!

    • @David200dee
      @David200dee Před měsícem

      Kwani hukuona nn kilifanyika Githurai 45,waliuliwa kwao usiku ​@@DavidNyamongo-un1sc

  • @johnabuyanyakundinyakundi
    @johnabuyanyakundinyakundi Před měsícem +17

    Viongozi ni wale walidedi

    • @erickjuma7643
      @erickjuma7643 Před měsícem +1

      Good point. Aende awaamshe aongee nao

  • @Smith_Kenya
    @Smith_Kenya Před měsícem +3

    Leo nimeskia mtu akisema ati Ruto akiwa news heri stima ipotee😂

  • @victorotieno65
    @victorotieno65 Před měsícem +11

    We shall give Zakayo the names of the heroes who were fallen on Tuesday abonge nao

  • @CalistoLucha
    @CalistoLucha Před měsícem +39

    Tuzungumze nn

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks Před měsícem +19

    AONGE NA 56 MILLION KENYANS DIRECTLY. KILA MTU NI LEADER. AKITAKA KUTUHONGA SOTE SAWA. HE CAN START BY SELLING ALL HIS PROPERTIES ALIPE DENI YA KENYA. NEXT, ADISSOLVE PARLIAMENT NA ARESIGN. PERFECT BRIBE FOR ME

  • @rosendunge4217
    @rosendunge4217 Před měsícem +55

    Ruto enda sugoi hatuna rais.
    Just go

  • @bernardowino8091
    @bernardowino8091 Před měsícem +24

    Hata izo kanisa tutagoma kuenda,hakuna hata mmoja wa hao ma Bishop wameenda kutembelea waathiriwa

    • @erickjuma7643
      @erickjuma7643 Před měsícem +2

      True kabisa. They are quick to visit statehouse but can go to KNH

    • @bernardowino8091
      @bernardowino8091 Před měsícem

      @@erickjuma7643 tuwaweke kwa group moja na Mps halafu tutaenda kwa salimia one by one ,any body anaji associate na zakayo yenye ni adui

    • @samkaybeauty2862
      @samkaybeauty2862 Před měsícem

      For real 😮😮😢

    • @user-me5sv6ye8m
      @user-me5sv6ye8m Před měsícem

      Akih😢 so sad

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX Před měsícem +18

    Leaders ndio he bribe them

  • @clarekenyani4263
    @clarekenyani4263 Před měsícem +50

    Hatuna kiongozi sisi

  • @vikahmotors
    @vikahmotors Před měsícem +32

    GEN-Z Hatuna kiongozi,hawa ma askofu waache ujinga

  • @isaacbulemi1382
    @isaacbulemi1382 Před měsícem +16

    Criminals tena!!! Kwani si wakenya? You must go.

  • @obbiemikeke8763
    @obbiemikeke8763 Před měsícem +16

    Appoint yeyote tumumalize hatutaki ujinga

  • @24.179
    @24.179 Před měsícem +17

    He's even outlining agenda he wants to be discussed. This guy does not get it and wont get it. He is still overlooking the issues Gen Z has outlined including his resignation😂😂

  • @danlabsofficial3722
    @danlabsofficial3722 Před měsícem +2

    To keep things transparent, I think the discussions should be aired live on the internet...
    Some of the youths who rejected the finance bill might not be economists or well versed with politics so it might be easy for the govt to tune them to their song

  • @user-wl1gn9gq3s
    @user-wl1gn9gq3s Před měsícem +3

    We dont want this meeting at state house .lets do zoom meeting

  • @w.s.rchiefhustlernews5727
    @w.s.rchiefhustlernews5727 Před měsícem +29

    Ruto must go, we

    • @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
      @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti Před měsícem +2

      You want him to go where. To your home?

    • @Victor62.
      @Victor62. Před měsícem +1

      He ain't going anywhere, ata 2027

    • @jeremiahotuto6250
      @jeremiahotuto6250 Před měsícem

      He is going nowhere. People with low reasoning capacity like you matter economics are the one shoutig ruto must go day in day out .

  • @SAUTI_YA_DHAHABU
    @SAUTI_YA_DHAHABU Před měsícem +10

    Sisi hatuna kiongozi 😊kila mtu ni kiongozi

  • @timothykiogora3372
    @timothykiogora3372 Před měsícem +15

    Hao wenye watachaguliwa si atawaua wote 😢😮

  • @abigelmombasa2323
    @abigelmombasa2323 Před měsícem +7

    Ruto Must Go Na Wote Walio Vote Yes Watoke Wote .They Must Go Home Na Hawa Mapostor Tuwanyoroshe Pia

  • @MULLAMUSICWORLDWIDE
    @MULLAMUSICWORLDWIDE Před měsícem +4

    Do this religious leaders really know who Ruto is ?Do They ?

  • @SAUTI_YA_DHAHABU
    @SAUTI_YA_DHAHABU Před měsícem +14

    Ruto must go

  • @Haron-lk7bn
    @Haron-lk7bn Před měsícem +6

    We will never forget

  • @coinblock-rv1pm
    @coinblock-rv1pm Před měsícem +12

    This president ataacha kama tumefirisika.. adding loan interest every month through central bank....worst president ever,Ruto must go##

  • @Littlecrafties_
    @Littlecrafties_ Před měsícem +5

    We dont have leaders as gen z sawa????

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX Před měsícem +8

    We will have leaders but now we don't want to talk to a liar ....
    Heartbreaking of all using church

  • @user-yq3hl1cp6b
    @user-yq3hl1cp6b Před měsícem +6

    Then the Bishops call him their Bishop. People are sick

  • @clintonpools3595
    @clintonpools3595 Před měsícem +14

    Divede and rule strategy

  • @simonjuma6849
    @simonjuma6849 Před měsícem +19

    Kumbe Ruto hana adabu.
    He is supposed to be telling us how to compensate for the death caused by him

  • @chidebrutechs
    @chidebrutechs Před měsícem +8

    Ameagiza nani kama nani??? Hatuna viongozi kama vijana. Ruto must go home now.

  • @ArafatJuliusNyerere
    @ArafatJuliusNyerere Před měsícem +7

    Ujiuzuru mara Moja burukenge hiiii

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 Před měsícem +49

    Kiongozi wa gen Z ni MUNGU,

  • @EverlyneLiavuli
    @EverlyneLiavuli Před měsícem +8

    Ruto must goo

  • @wafulak2
    @wafulak2 Před měsícem +5

    Before atafute watu na kuuwa please Gen z mtoe aende home please

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 Před měsícem +4

    Kweli hawa GenZ wako na a leader kweli? 🤔? Again if anyone goes there I think they will be compromised

  • @vicentepascal6758
    @vicentepascal6758 Před měsícem +7

    Huyu anajifanya ni kama haelewi chochote. Eti gen z wajipange wafanye mkutano na yeye. ? Hii ujuaji na kiburi ya ichungwa unatumia itamramba tena.

  • @eunicejefwa1935
    @eunicejefwa1935 Před měsícem +7

    Ubaya akili yako na Gen z ni tofauti. Gen z wamekushinda ujanja kuwapata ni ngumu

  • @kiganmoschinoo
    @kiganmoschinoo Před měsícem +11

    Ruto must goooooooooo😢

  • @profAKILI
    @profAKILI Před měsícem +1

    10days to go before the financial bill becomes law...tiktok tiktok, time is ticking Mr Speaker Sir😂

  • @john-m2z
    @john-m2z Před měsícem +15

    No hope,on this one

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 Před měsícem +1

      Jiongelele....some of us have Hope in him

    • @prosperjuma4993
      @prosperjuma4993 Před měsícem

      Kuma la mamaako changudoa mkubwa ww ​@@susannangurai3348

  • @Rhodakananu-zo3bm
    @Rhodakananu-zo3bm Před měsícem +8

    Anataka kujua waakilishi wa Gen Z ndiyo aweze kuwaua shetani tunakujua, just resign and leave Kenyans with peace

    • @lydiah-3953
      @lydiah-3953 Před měsícem

      Hatuna viongozi Mungu ndie kiongozi wetu❤

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k Před měsícem +6

    Zakayo enda sugoi hatuna rais just goooo period

  • @johnonyango6069
    @johnonyango6069 Před měsícem +1

    Pia hao kujeni muingizwe box kama vile mamaboga na boda boada wali ingizewa😅😅😅😅😅

  • @ControllerAfrica
    @ControllerAfrica Před měsícem +7

    First to view. Citizen mnipee kazi

  • @salomemuimi5156
    @salomemuimi5156 Před měsícem +8

    Akitaka kuzungumza na Gen Z awaite wote state house, vijana over 2 million wakuje

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 Před měsícem

      plus wale aliua tubebe miili yao..

    • @kopiyokratos6759
      @kopiyokratos6759 Před měsícem

      Vijana ni over 20million, hatuezi tosha anywhere maybe tuende huku kwa shetani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem +7

    Shida Ruto ni wewe kujiunga na marekani wazee wa ushoga ndio mana vijana wa kenya hawakuelewi.

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před měsícem +5

    Kwani kenya iko na wakristo pekee.....tutakuja sote hatuna kiongozi pika mahamri kwa wingi na rooms za wageni

    • @GladMbori-pf3cx
      @GladMbori-pf3cx Před měsícem

      😂😂😅Aki kuwa stressed Kenya ni kupenda kwako .

  • @SSk5k
    @SSk5k Před měsícem +2

    The only latter we want see is Ruto's and gachagua"s resignation latters

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před měsícem +7

    Huyu aende tu una ukabila Sana kwani ikulu ni ya wakristo tu🤔

  • @briankwala7923
    @briankwala7923 Před měsícem +4

    Huyu. zakoyo huwa hasikii maneno, tuondolee uwongo hapa

  • @chanceobondo3843
    @chanceobondo3843 Před měsícem +1

    Hapana, kama watu hawangetokea na kukufa then you wouldn't have done this. This is unexceptable. We have no leaders

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo Před měsícem +4

    Hatuna kiongozi. Gen z si chama cha kisiasa. Hatuna ukabila lugha yetu ni mbili tu. Kiswahili na Kiingereza

  • @ElizabethNafunamakhanu
    @ElizabethNafunamakhanu Před měsícem +12

    Hapo hapana

  • @kenixomwoyo6356
    @kenixomwoyo6356 Před měsícem +2

    We don't have such plans to meet up with the president we are leadless we are united

  • @WorldStagee
    @WorldStagee Před měsícem +2

    Can someone help me stop seeing ruto as a criminal. 😢😢. When I see him, I just see the blood of hundreds who left us in demos and in the past.😢😢. This man!!😭

  • @franciskimani9950
    @franciskimani9950 Před měsícem +4

    Tutaketi chini kwa maobolezi ya waliouawa...tupatane uko pls

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před měsícem +19

    Watu wanalipwa mshahara tangu enzi za wakoloni sio wewe wakwanza 😂😂😂😂 kulipa watu mshahara tupatane Tuesday na sio tafadhali utatiiii tu

    • @judithnawire9050
      @judithnawire9050 Před měsícem +2

      Ukweli anajaribu mbinu zote kuaingiza watu box,anajaribu vile watamwonea huruma

  • @junexfritz1151
    @junexfritz1151 Před měsícem +2

    Once a ruler becomes religious, it becomes impossible for you to debate him.
    Once someone rules in the name of religion, your life becomes hell.
    Before that start with:
    -Dropping SHIF and reinstate NHIF
    -Drop land amendment Act
    -Stop parenting kenyans by talks from church elders, be a leader.
    -Give us the audit of the kenyan debt.

  • @franciskienji2691
    @franciskienji2691 Před měsícem +2

    Point of collection Gen Z hawana kiongozi president akuje kila County atuongereshe lakini huwez sema ati Uite huyu na huyu hiyo zii

  • @directorme6669
    @directorme6669 Před měsícem +6

    Hivi ndivyo wataingizwa box.

  • @georgesagwe6703
    @georgesagwe6703 Před měsícem +3

    These men of the church must stop going to state house and calling the president their Bishop..Let them pray for the government and stick yo their mandate

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels Před měsícem +1

    Hatutaki mazungumuzo MSHEZI ww RUTO MUST GO

  • @RobinOyie
    @RobinOyie Před měsícem +8

    Kazi ya mjengo ndio unasema

  • @napleieunice
    @napleieunice Před měsícem +8

    NHIF plzz pesa yake itaenda wapi??

  • @johncylasmwadime6372
    @johncylasmwadime6372 Před měsícem +17

    Viongozi wa vijana ndio wale uliuwa

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci Před měsícem +2

    Genz should write down their proposals and stick to them hata akihonga hao bado mkue na proposals that cannot be bended at what ever cost

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 Před měsícem

      my friend we all know what needs to be done, sio lazima tuandike proposals....what is right is known but they choose to ignore our welfare....

    • @FaithImani-qj1ci
      @FaithImani-qj1ci Před měsícem

      @@crescentomenda7626 let them ignore at their own peril.....if they do

  • @gordonobala4999
    @gordonobala4999 Před měsícem +1

    Yani Rais anabehave nikama alichaguliwa bila plan yoyote, hii mazungumuzo mingi niyanini na alikua na manifesto ya Chama,

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks Před měsícem +4

    Hao viongozi wa dini are the same people that keep receiving briefcases of money. Kenyans, why do we still pay these people sadaka?? Boycott them and pray for yourself. Mungu anasikia believe me.

  • @FelixOkanga
    @FelixOkanga Před měsícem +4

    Hatutaki mazungumzo na ruto no way!

  • @uniquevicky2284
    @uniquevicky2284 Před měsícem +1

    We can't listen to a father who called us criminals

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov Před měsícem +1

    Upuzi Hatuna leader

  • @user-yo8st5ms1r
    @user-yo8st5ms1r Před měsícem +14

    Baada ya kuuwa watu mia tano?
    Damu imekutosha?
    Gen Z haina viongozi. Simply do what is right and Kenya will be safe.
    Bado unajitetea hapa?
    Mdomo mdomo.
    Maaskofu mkicheza tutawasalimia.
    Nyinyi ndio mlikula pesa za ruto za campaign.

  • @IvonneQueen
    @IvonneQueen Před měsícem +3

    Roto must go 😢😢😢 hatutaki mamba yako tena

  • @richardmugoh6801
    @richardmugoh6801 Před měsícem +1

    Ukifanya vile ulituahindi tunakulegeza Tena na hakuna Pahari utatupereka 😂😂 tumekunyuria

  • @HISEXCELLENCEFAMILY
    @HISEXCELLENCEFAMILY Před měsícem +2

    Speak to Kenyans we don't have leaders

  • @godblessyoumheshikieru6503
    @godblessyoumheshikieru6503 Před měsícem +3

    Gen z haina wakubwa...hawaite uhuru Park ama nyayo stadium

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton Před měsícem +3

    Gen Z don't have a leader

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před měsícem +2

    Gen Z's you step in state house NO different to Mpigs 2 million zakayo bribes. Gen Z's remember sons and daughters of mau mau Mungiki there mission was about lands but mzee moi invited them to state house and after cheating them used them and you all know what happened to mungiki . Same to Gen Z's you go to state house ends of Gen Z's used.and DUMPED.

  • @nelsonombongi5587
    @nelsonombongi5587 Před měsícem +1

    Mps should go back to 300k salary… no cdf

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Před měsícem +8

    😅😅😅😅😅utatia akili tu

  • @beatriceaber4844
    @beatriceaber4844 Před měsícem +3

    Na kwanini uliwuua watoto?

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 Před měsícem +2

    Ruto must go, period

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 Před měsícem +4

    wee wacha...no kuongozi..hapa waende wapewe peza waepe .hii n kenya mzima..

  • @sheemainah2989
    @sheemainah2989 Před měsícem +5

    Baada ya kuua sasa unakimbia kanisani. Shetani!!!! EVIL

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 Před měsícem

      we all know even the devil goes in the presence of the Most High