🚨Mazito yaliyojitokeza kesi ya Simba na coastal Union kuhusu Lameck lawi, Ukweli.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Komentáře • 22

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +2

    SIMBA HATUJAWAI KUSHINDWA

  • @castorkunibert6160
    @castorkunibert6160 Před měsícem +1

    Kila upande umekosea kwenye nafasi yake, kwann Simba SC hakuomba au kutoa taarifa ya delay ya payment...

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z Před měsícem

    Simba nguvu mojaaaaa waoo karb lawi simbazi

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Před měsícem

    nasema mpaka Sasa lawi nichezaji wasimba naviongozi wakosti nisawa wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka wenyewe Simba nguvu moja

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Unaweza kuona ndowa imeshafungwa lakini mzazi anaweza akarenguwa iyondowa vilevile

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před měsícem

    SIMBA MUSIMUACHE

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem +1

    Hii kesi hata Simba wakishindwa waipeleke CAF ni lazima watashinda

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Před měsícem

    viongozi wakosti wameleta huuni yatamaa tuu Yani mpaka Sasa Simba himekwenda sahii

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 Před měsícem +1

    Mchezaji huyo ni wa Simba ila , coastal itashinda kutokana na viongozi wa TFF wengi wana vina saba na Coastal union …. Msisahau ata kadi nyekundu dhidi ya Yanga tena kwa huyo mchezaji ilifutwa …..!!!

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem

    mchezaji tarehe 6/5/24 pamoja na viongozi WA coastal na lawyer WA simba

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem

    coastal wamegongwa lawi ni wetu simba

  • @emanuelkamaghe2647
    @emanuelkamaghe2647 Před měsícem

    Mm nimewasoma kostol lengo lao kufanya mitandao iwazungumzie hii kiki yao

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem

    huyu kiongozi WA coastal ni ignorance of law; huyu mchezaji ni WA simba

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z Před měsícem

    Ubaya ubwela hatuna ndogo Hilo ni Jambo la mda

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem

    kurudisha pesa haina justification ya kuvunja mkataba

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před měsícem

    Nyie nao kasomeni, suala la Dube na Azam nitofauti na suala la Coastal na Simba kama kiongozi kwenye meza ya maamuzi ana vinasaba na mmoja wao hapo kuna ngongano wa kimaslahi ni sahihi mwenyekiti kutolewa

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před měsícem

    Viongozi wa coastal union msilinganishe mambo yenu ya ndoa za Tanga na masuala ya mikataba ya soka tunarudisha pesa biharusi bado anasoma

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Před měsícem

      Hahaha! Wajinga sana hawa jamaa, uswahili mwingi saba mpka wanakuwaga mashamba

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem

    hadi iPhone 15😂 kijana anajisnap tuu , cost tamaa mbaya

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 Před měsícem

    Yaani hamjui kuwa mtu mwenye maslahi ya upande mmoja. Haikibaliki kuwa sehemu ya maamuzi