DULLA MAKABILA kamchukua mwanamke wangu, ningeweza kumtia makofi, yule mtoto kwangu; MINGO CLASS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 06. 2023
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 92

  • @DubaiRolla-rx9nz
    @DubaiRolla-rx9nz Před 4 měsíci +4

    Tuliorudia hii interview ya huyu jamaaa baada Dullah kuachwa na na yy gonga like hapa chini 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 11 měsíci +5

    Haikua riziki yako insha'allah mungu akupe mwenye kheri na wew

  • @beatricemkassa9340
    @beatricemkassa9340 Před 11 měsíci +15

    Sauti na mbwembwe zake ktk kuongea km Jux

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 11 měsíci +5

    Utazoea tuu mdogo wangu. Hizo mambo zipogo tuu.💔. Tibu jeraha maisha yasonge

  • @zahrahmakota9488
    @zahrahmakota9488 Před 11 měsíci +5

    tatizo ulikuwa umefanya mazoeyaa,,kama siku zote ulikuwa nae ulishindwa vip kumtia kitanzi kwa maana kumuowa,,,

  • @penielkilongola869
    @penielkilongola869 Před 11 měsíci +2

    Mwanamke akiamua kumthibitishia mtu kwa njia yoyote ile hashindi bonge la neno☑️☑️

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 11 měsíci +3

    Uyu Bro anaongea kama JUX, ila mshukuru Mungu sio rizk yako,ipo rizk yako inshallah 🙏

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 11 měsíci

      Mmm! Huyu si alikuwa mpiga picha ya jux Sasa amemuiga Hadi kuongea na kujilamba juu haaaa!

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Před 11 měsíci +3

    Angekuwa sio levo yako angekuchukulia mwanamke 😂😂😂😂

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Před 11 měsíci +2

    Huyu naona kakaa na jux kamwiga kuongea mpaka kujisifia ujinga ndo maan mnaacuwa solemba vee money alimkimbia jux leo mpiga picha wake kakimbiwa tafuta ela broo acha kulamba mdomo

  • @saniaidrisa3920
    @saniaidrisa3920 Před 11 měsíci +27

    Kuachwa kubaya jamani unaweza ongea chochote kumbe unajidhalilisha😳

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Před 11 měsíci +5

      😂😂😂Dada wee kuachwa kubaya sana hahaha tena mwanaume akiachwa anaumia mara mia

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 Před 11 měsíci +1

      @@rukiaiddyyahaya9506 hatariiiiiii maskini anahisi anaongea kawaida kumbe maongezi yake yote yanaonyesha maumivu aliyonayo

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 Před 11 měsíci

      @@rukiaiddyyahaya9506 Et nilihisi yameisha kwa hiyo washakariri mwanamke ni dhaifu atasamehe tu😂

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Před 11 měsíci +1

      @@saniaidrisa3920 🤣🤣🤣alijua huyu kwangu hafurukuti sasa kakomeshwa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 11 měsíci

      ​@@saniaidrisa3920Ndo kilicho m cost !😂 Ndo maana ana haha😂! Namuonea huruma tho😅

  • @shabanizena2612
    @shabanizena2612 Před 11 měsíci +3

    Ulijuwa utanikomowa lakini wapiii

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 Před 11 měsíci +4

    Nyie wanaume mkipendwa mnazalau sana ndio ujifunze bwege ww

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Před 11 měsíci +4

    Huwezi kukubali kubali wewe nikweli huwezi kumduu yule dem

  • @nurriathhasheem2947
    @nurriathhasheem2947 Před 11 měsíci

    💥🔥🔥🔥🔥

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 Před 11 měsíci +1

    We mwanaume si Basi Tena kila siku kusimuliaaa tu km binti, unajichoresha tu, mtu Kesha olewa Wewe bado tu na masimulizi Jamani 🤔🤔🤔

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 4 měsíci

    Kumbe dulla anayopitia ni sawa na ile kauli malipo ni hapahapa dunian😂😂😂😂😂😂na yeye leo kalipwa na Albino

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Před 11 měsíci

    ❤❤❤

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial Před 11 měsíci +2

    Kenya 🇰🇪 ❤❤❤

  • @mwajumayunus419
    @mwajumayunus419 Před 11 měsíci +3

    Kaka umeongea fact mpk nmekupenda bure

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Před 11 měsíci +5

    Mwanamke akichoka harudi nyuma ,inawezekana hayo magomvi Wewe ulikuwa unachulkulia poa ,kumbe mwenzako anaumia

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 11 měsíci

      Nikweli usemacho mwanamke nimvumilivu sana lakini akishasema basi kutoka moyoni utachukuwa karne kumrudisha

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Před 11 měsíci +1

    Sio levo yako duh watch your mouth young men.wangapi tumewaona wenye levo zaidi ya kwako .sasa hivi wako wapi.

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 11 měsíci +2

    Utampata mwenqine pale kwa dullah kachemsha

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Před 11 měsíci +5

    Tafuta Hela

  • @kulatendaudi7671
    @kulatendaudi7671 Před 11 měsíci +2

    Wanangu Uyuu mwamba anapitia magumu sanaa aise kama yashawai kukukuta lazma umuonee huruma mwana ilaa dulaa asijione mjanjaa ata yeye wataachana tu

    • @majomamajoma8776
      @majomamajoma8776 Před 11 měsíci

      Kosa lake ni.moja tu alizoea ugomvi akachulia ni sehemu ya maisha Yao

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 11 měsíci +1

    😂😂😂wanaume siku zote huwa hawakubali kuaachwa kabisa hasa kwa wanaume km huyu ambae anaamini hawezi kuishi bili yy pumbavu kbs

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 11 měsíci

    Simuelewi

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Před 11 měsíci +5

    Huyo Dem alikua analiwa na Dulla kitambo, alf mambo ya kutiana vbao yashaapitwa na wakati mjini akili nguvu vijijini kulimia una misuli umejaza mimbavu watu wanakuchana na viwembe

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r Před 4 měsíci

    Jmn mm sio mtu wa mitandao kumbe alichofanyiwa Dullah na manala ni ile kaul ya malipo dunian akhera mahesabu tu 😂😂😂bado zamu ya mzungu zailisa una ndere ya Tanga utaua watoto wa watu na huyo mzungu ushaambiw ana ugonjwa wa kuzimia

  • @rahmahrr4471
    @rahmahrr4471 Před 4 měsíci

    Kilcho kukuta nae dulla pia kimemkuta aisee mapenzi shikamoo 😅😅😅

  • @nassormwachala2218
    @nassormwachala2218 Před 11 měsíci +2

    Dogo mshamba sana kubali yaishe
    Tafuta dem mwangine wachewaoane😂😂😂😂

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 Před 5 měsíci

      Yametbtsha macho lakin moyo unakataa 😂😂😂😂😂😂hajui hio nyimbo

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Před 11 měsíci +1

    Ukichengwa tulia biggerup dulla mkali wasingeli

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys Před 11 měsíci +1

    Duniani wawili wawili, kufanana hutokea.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 11 měsíci +1

    Yan hapo uyo msichana inavyoonyesha alitaka kumuumiza uyu mjamaa,,ila walivyozinguana tu ikabidi afanye maamuzi yakuolewa inaonekana Hawa walikuwa wanapendana,,

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 11 měsíci

      Na Dullah analiona hilo mzee hata mm nna dem wameachana na boyfriend wake yupo namimi ila nnaona upendo wake kwangu ni wa 55% ila kwa ex wake ni 100% wanawake wakipenda wamependa jamaa akiamua kumtombea Dullah anamgongea fresh tu maana jamaa anamjua fresh huyo dem na udhaifu wa huyo manzi anaujua vzr t

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 11 měsíci

    Miziki sahv bila kik za wanawake hauendi ehh

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 11 měsíci

    Hahahh hii ndo dawa ya mwanaume akikuacha ni kusonga mbele kama injili pumbavu hakuna kulia lia ona anavo hangaika alidhani ataanza kumlilia hehehh ndo kwanza mwenzie kaenda kuolewa safi sana 😂😂😂🙌🏻

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 11 měsíci

      Na bado anampenda mshkaj Pa1 kaolewa na Dullah ila moyo upo kwa huyu mwamba

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 11 měsíci +1

    Huyu jamaa anaongea kama jux

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 11 měsíci +2

    Sheeeenzyyyy sana,
    Mnaigana sauti mpka mapozi hahahahhqha

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 11 měsíci

      PAKA shume WEWE sio Kila MTU ana copy

    • @mkuluwaukae2221
      @mkuluwaukae2221 Před 11 měsíci

      @@Mina.15 sawa paka jike nimekuelewa

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 11 měsíci

      @@mkuluwaukae2221 😂😂😂

  • @mpik0boy659
    @mpik0boy659 Před 11 měsíci +3

    Tafuta mwngne bhna izo mambo czo

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Před 11 měsíci

    MWAMBA YUKO NA MAUMIVU YAKUACHWA,,,,,, Anaropokwa tuu UJINGA ☹️☹️☹️

  • @MossiFaridy-oq8jp
    @MossiFaridy-oq8jp Před 11 měsíci

    Mingo kaka

  • @zainabibrahim9734
    @zainabibrahim9734 Před 11 měsíci

    Kwani ilikuwa ni ndoa au ni kugombana tuu

  • @chany9950
    @chany9950 Před 11 měsíci

    Toka kule

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 11 měsíci +2

    Kuachana kwa namna hiyo ni MCHOKO WA HALI YA KIFEDHA. hivyo mzee mwenzangu tutafute pesa

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 11 měsíci

      Hapana uyu jama ni wale wakiwa Kwa mausiano anaona mwanamke awezi kweda Kwa mwanaume mwengine na kumpiga matokeo ya wanawake wengine halafu nifaa ni mkimia yalipo fika ukigoni alitoka ukimia alichukulia ukimia wake na kumyeyekea kama uthaifu akahaza kumchagaya na wake wengine alikua Tu nitamuomba msamaha tutarufiana Dio uyu mwanaume alivio ata maogezi yake SASA alimepata alicho kipata

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před 11 měsíci

      @@magynzioka1122 kabisa alizani naira ataanza kumbembeleza kama kawaida

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před 11 měsíci

      @@magynzioka1122 nifaa tena au Naira

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 11 měsíci

    Na hajamchukua kilazima kwasbabu yule zia sio mtoto kwamba anaamul8wa maamuzi na ktk watu walikuwa wakimtaka si dulla tu sema yy kamchaagua dulla ni maamuzi yake pia

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před 11 měsíci +1

    Oa mwingine huyo si riziki yako

  • @parfaitkalemela8733
    @parfaitkalemela8733 Před 11 měsíci

    Just move on bro 😂

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 11 měsíci

    Huyu mbuz c alimpiga Naira akome

  • @MoanaMzigua01-ks6oz
    @MoanaMzigua01-ks6oz Před 11 měsíci

    😜😜hata mm nakuacha makofi teena 😤😤😤😤

  • @amicatourssafaris-ci1ci
    @amicatourssafaris-ci1ci Před 11 měsíci

    Sasa si ungetangaza ndoa siku zote sasa kaolewa

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Před 11 měsíci

    Kaka yangu tafuta pesa Ukiwa na pesa hakuna kinacho kosekana pesa ndiyo kila kitu haswa kwa Dada zetu wa Karine hii

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 Před 11 měsíci

      IV wenye pesa hawateswi na mapenz ? Wenye pesa ndyo wanateseka haswa kwa sababu wengi wanapenda ulicho nacho hawakupendi wew ivyo mpenz mzuri anapatikana kwenye shida

  • @edinanoel6151
    @edinanoel6151 Před 11 měsíci

    Tatzo ukiwa nae unaona wann huyu ...akiondoka ndo unachanganyikiwa

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před 11 měsíci

    He sounds like just his mouth too

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 11 měsíci

    Kajimbo kamoja tu anajiona conboi

  • @chany9950
    @chany9950 Před 11 měsíci

    Jmn uyu kaka ana sauti kama ya jux eeee ao kakayake
    Ana mudomo tu blablabla toka

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 11 měsíci +3

    Kwanza huyu si anafaa kuwa jela au???au siye aliyemfanyia unyama?

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před 11 měsíci

      Siyee baada ya kupigwa kule ndio akawa na huyu kamponya ndio akakimbia kaenda kwa dulaa😅😅

    • @mwajumayunus419
      @mwajumayunus419 Před 11 měsíci +1

      Unajua wkt mwngne mwanamke unaweza kusababisha upigwe mwnyw angalia vzr na usikilize vzr maelezo utagundua nani anaporojo na kutafuta mazingira ya kujitetea

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před 11 měsíci

      @@mwajumayunus419 sawa ila mkichokana bora kuachana tu kuliko kufanyiana ukatili

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly Před 11 měsíci

      @@zayumar2955 Asante kunifahamisha🤣🤣🤣🤣basi mi naishi chini ya jiwe🤣🤣nae bi.dada ana moyo,hali ile bado alikimbilia mwanaume mara tu🤣🤣mmmmh kweli mapenzi shkamoo

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 Před 11 měsíci

    Weak Men

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Před 11 měsíci +1

    Huo niushamba wewe Wacha kujisifu

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Před 11 měsíci +1

    Madhara ya kuchukulia pouw maugomv yaan huyu bwege anachukulia pouw maugomv 😂😂😂😂Hay 2lzwa komwe ushaachwa mwl nyumba kchwa cha nyoka. Endeleen kuchukulia pouw m2 unampenda alafu unachukulia 2lia dawa ikuingie kjana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Yaan Co kuoa uende kumchukua muish 🤦‍♀️

  • @mpik0boy659
    @mpik0boy659 Před 11 měsíci +2

    Tafuta mwngne bhna izo mambo czo

  • @ellyphysique4068
    @ellyphysique4068 Před 11 měsíci

    Uyu jamaa yupo sahihi 80%