Ep 31 part 2 Lovers, Thieves Na Uchawi The Weekend Update
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2023
- Join this channel to get access to perks:
/ @ikonini
Support...M-PESA TILL No: 5928023
MPESA 0722524151 Makarios Ouma
Subscribe To DJ ZaQ's Channel
/ @djzaq
Subscribe To Mwafreeka's Channel
/ @mwafreeka
BUY MERCH: www.ikoninipodcast.com/ - Zábava
"Mzee Hamisi kutoka maporomoko ya mlima Kilimanjaro" 😂😂 yenyewe this guy rapcha has lived
The free lunch is provided by the Hindu Council Nakuru chapter . they feed like 700 guys per day,pia kuna a drop point by Gilanis Supermarket but hao they feed mostly street kids and don't discriminate
RAPCHAAA 😭😭😭Aki he has lived every single situation 😂😂😂 hare krishna nime dediii Oml 😂😂😂
My day made😂😂..nimecheka ka fala nikiiskizia juu ya waks.. yenyewe, poverty a gwan
This duo is the best in the airwaves in kenya
"Kujikuna haga ni sababu ya huto tunywele You guy" 🤣🤣🤣.
Either Ian apewe mic ya mwaf ama IAN apende kuongea kwa sauti
IAN ana-whisper pole pole
mwaf : me siezi katia dem kwa mazishi Rapcha : mmh lakini ni kituuu🤣🤣🤣🤣
Rapcha amekuwa mhindi na mganga 😂😂
*Walisanya kondoo lakini hawakusanya mechanism😂😅🤣.*
Nimewahi kula hiyo chakula ya temple hapo parklands 😁🤣. Lakini sisi tulikuwa job hapo tukapata chakula inaletwa ya sare.
Don't get under my skin... I am not hustling for you dawg.😂
Luvin your show!! Madd luv from Danmark
'I'm not hustling for a dog' sijai Isha ivo😂😂😂
Rapcha umenikumbusha 'Tong Po'... growing up pale Webuye wabukusu kwa video show walikua wanaita at 'Tombo'... so I grew up knowing huyo msee anaitwa 'Tombo'...😂😂😂😂😂🤣😅
😂
The place where you get free food and accommodation ni Makindu Mosque on your way to Mombasa
Its being run by Kalasingas
Ooh, I thought that place is reserved for Hindus peke yao
@Evie Kagoi nope. Its open to everyone
9:25 me hujua they hang it outside to keep it fresh coz in the car it may arrive kama isha anza ku rot coz of car heat
Logic 💯
Hata mombasa road ukifika place inaitwa makindu kuna hio stuff ya wahindi, unaeza kula free hapo
been waiting for long
Sayantifically mi ni Raiyaa! Iko nini !!
Bana skuizi si mkue mnafikisha weekend update to 1hr + just like the old days
Wallai dude of Nare huchoma kuchoma, Hare Krishnana😂😂
Iko Nini weekend update it's a must watch
Rapcha Hamisi kutoka maporomoko ya Kilimanjaro 😂😂😂😂😂😂😂you guy 😂😂😂
Rapture ni chizi 😂😂😂
😂😂😂😂daktari Hamisi kutoka maporomoko ya mlima Kilimanjaro
here for the love. show some love
LOL we talk about experience lol
Rapcha hakuna kitu hajado, ata kuabudu Ngombe lol 😂 😅😅, hard krischna 😅😅😅
First viewer iko nini
Poverty a gwan 😂😂😅
😂😂 wasap hawaamini uchawi
Rapcha joh you guy joh!!!😆😆
Ikoo nini 🔥🔥🫡🫡💯💯
That Hare Krsna story I can relate, been there done that back in UoN days, poverty is the enemy.. 😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂one of the best
Huyo raia wa Rapture kwa matanga was just offering his deepest condolences to the widow.
Did he have to throw dignity through the window?😮
@@kingdomnuggets ilikuwa zile humour za Ian. Deepest condolences si unaelewa ni ngona buda?
Ikonini.
Highridge mkuje muone deep sea hapo ghetto kuna mrai pia enaservive.!!!!!.........Msake rai enaitwa Kade
Waaatu mnajua niaje?😂😂
Rapcha tupelekee na rada ya KRISHNA
40:21 unaonwa war but umeshiba 🤣🤣🤣🤣
Guys si mkue mnatupea time table cause mnatupea part one ya interview then mnatupea part 2 ya weekend report the next day then mnatupea part 1 ya interview ingine then mnatupea part 1 ya zaq and mwaf everything is all over the place...si atleast mtushw where we can get the stuff in chronological order at least 😂😂 Sasa ata sijui nianze wapi
The Weekend Update part 1 was yesterday
Part 2 Leo so what you talking about
Anzia Qajitombe😂
@@anonymoustim maybe ni TV yangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂rapcha
life ya raptcha inakuanga movie, hio stori yake na dogi 🤣🤣🤣🤣
mwaff ntakununulia jersey ya gabriel jesus😂😂
Naingoja
mkibeba epl
Ati lafudhi😂😂😂
😅😅kondoo: kumbe sikuibiwa pekee yake,hata rape cases ziko😂
Rapture ameabudu gods wote 😂😂😂
Sauti iko down kiasi
🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇰🇪
😂😂😂
Gwantire kwomaya inaandikwa aje?
Pia sisi hatujui. We just say it
@@IkoNini hehehhe...nilikuwa nataka kusumbua watu huko twitter
😂😂😂😅😅
Ata nimerudi nione kick boxer Tong Po
Rapcha huniweza na hiyo accent yake ya kijaka🤣
He should do it in every episode. Unakumbuka ile ya Ochola?
He is hilarious