ZANZIBAR HAKUNA MSOMI KTK MASALAFI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 56

  • @azizaj776
    @azizaj776 Před měsícem

    Siyo Zanzibar hakuna msomi katika Masalafy isipokuwa DUNIANI KOTE HAKUNA WASOMI KATIKA MASALAFY ISIPOKUA GENGE LA KIHUNI HILO NA WOTE MASALAFIY FINARI JAHANAMA KHALIDINA FIIIHAAAA - AMEEN 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Před 8 měsíci +5

    ABOU MU3WIYA ALLAH akuhifadh

  • @user-ye2iz6zv1c
    @user-ye2iz6zv1c Před 8 měsíci +3

    Naam tuna wafatilia sana kutoka kenya sheikh abul fadhil qassim mafuta tunamkubali bila shaka

  • @universitylink
    @universitylink Před 8 měsíci +1

    Everything has a rule and for the every rule there is an exceptional cases

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Před 2 měsíci +1

    Njoo usome znz une kama hutapata elimu

  • @Alzinjibari
    @Alzinjibari Před 8 měsíci +1

    Ma sha Allah

  • @abdallahmashaka3443
    @abdallahmashaka3443 Před 8 měsíci

    Asalam alaykum warhamatuh wabarakatuh...... MaashaAllah nasaha nzur lakini nina ombi kwamba inapendeza nasaha ziandikwe namba kama vile ya 1 na 2 na 3 hata iwe wepesi kufuatilia baraka Allah fiikum ...tunamuomba Allah amuhefadhii shke wetu pamoja wasilamu wote.

  • @isihakamshare3396
    @isihakamshare3396 Před 7 měsíci +1

    Huyu hana la maana zaidi ya kuwasema masalafy wenzake. Na hashangai hao anaowasema wanaendelea na daawa wala hawana habari naye.

  • @simbaramadhan1882
    @simbaramadhan1882 Před 8 měsíci +2

    Nikweli shekh hasnuu na shekh ABUU umer wanamkataaa abul fadhwil Kama nia zao nikwaajil ya elimu basi itafika Kama ni fitna basi haitoacha kuendelea

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 Před 8 měsíci +1

    Umbea utaisha lini

  • @universitylink
    @universitylink Před 8 měsíci

    Mbona unasema جاء زيد unasema Jaa ni fi'lu madhi mabniyyu alaa sukuun

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Před 8 měsíci +1

    Wee ni mjinga kaa zako jikoni pika vitumbua

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 8 měsíci +1

    Na huko wanapotamba Masalafy utaona hakuna Wanazuoni na ndio mana wanaonekana wanaelimu kama maswahaba

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Před 8 měsíci +2

    Hali ni mbaya saan kwanza kwa kundi la akina qasimu mafuta nikundi la mahaasidi na wenye fitna nyingi mno

    • @MusaMkata
      @MusaMkata Před 8 měsíci

      Mmmhh allaah anakuona na anakusikia utakuja kuulizwa juu ya hilo

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Před 7 měsíci +1

      @@MusaMkata naww pia utakuja kuulizwa kwani ww usiulizwe umekua malaika kama qasimu mafuta asokosea maan yy yupo saw tu ila atakaekataa kumsikiza au usipoungana nao tu baasi ww umepotea mpotevu wambaali kabisaa ..na wanakuita mlinganizi wamotoni subhananllah mwafaa mumuogope ALLAH acheni ushabiki vijana

    • @MusaMkata
      @MusaMkata Před 7 měsíci

      @@abbaspaziaog2188 utakuja kuacha tu huo ujinga kikubwa ni kukuombea dua tu kwa allaah akutoe kweny giza huko

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Nimekufahamu we mzee kumbe bid.aa ni lile usilolitaka na unalolitaka mna majina yenu ya kihuni mnayapa

  • @miladaya4048
    @miladaya4048 Před 7 měsíci

    muendelezo

  • @sulebeka7202
    @sulebeka7202 Před 8 měsíci

    NAtaman kila anaejiona yuko sawa wakutanishwe ili tujue nan anaelim,
    Tena wakutanishe kidarasa,hapa me nadhan twaweza kutunga kitab kwa wana wa zuon wa zama hizi

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Před 2 měsíci

      Kassim mafuta kakataaa anamuogopa huyo sheikh rahimahullah sheikh muawiya

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Leo bid.a nyengine zimepewa jina jengine كل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار

  • @user-iu3me2sm2h
    @user-iu3me2sm2h Před 8 měsíci

    تركتنا وتركناك.

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 8 měsíci

    Nyinyi mnafahamika ni wezi tuuuuu

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Maswalihu al mursali kasema nani ni ALLAH au MTUME eka ushahidi wa aya au hadith usidanganye watu ni bid.aa wacha hawa.a

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Tukipata mashehe 10 waongo kama huyu nchi inaangamizwa

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Před 7 měsíci

      Mkweli ni qasimu mafuta malaika wenu sindio maan yy hakosei nanyie mambumbumbu mwamfuata tu hat aseme nataka vijana wanaonifuata mimi nakuniamini waolewe nyìe mulivyomshiba mutaitikia tu wapuuzi nyie

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Před 2 měsíci

      Wewee ndo muongo

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 8 měsíci +1

    Wazanzibari Wana asili ya dini na Asili ya Wanazuoni kwaio mnapoleta uzushi wenu muwe makini muje na dalili za kutosha japo wapi wajinga katka Wazanzibari wachache mnaweza kuwapata lakn wakirudi Kwa Wanazuoni mtawakosa pia

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Před 7 měsíci

      Muogope ALLAH ww mjinga unamjua mwanazuoni ww au unaropokwa,, tu

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Kumbe kuna bid.a sunna na maswalih mursal shehe muongo ongeza yako tu ALLAH vipi huyu

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor Před 8 měsíci

    Wewe ni talafi sio salafi shehe maswalih mursala

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Před 8 měsíci +1

    Naam na hamna wasomi kweli wanarukaruka tu

  • @HamadJuma-es8pw
    @HamadJuma-es8pw Před 8 měsíci +1

    Sheikh kassim ni salafi na tunamkubali wazanzibari. Usitake kuleta fitna kama fitna ya muhammad alhady. Hizo kassoro ni zao binafsi kama binadamu. Wacha kuwasema vibaya masalafi. Kufanyahivyo unasababisha wanafunzi kujenga chuki na walim wao na kuwahusisha wanafunzi kwa mambo yasio wahusu ambayo hayawaletei faida yoyote ispokua hasara.

    • @abdullatifsaggaf4259
      @abdullatifsaggaf4259 Před 8 měsíci +2

      Jiongelee mwenyewe kama unamkubali unamkubali wewe usiwaingize wazanzibari wote. Sema “sheikh kassim ni salafi na ninamkubali mzanzibari” au unauhakika wazanzibari wote wanamkubali?

    • @HamadJuma-es8pw
      @HamadJuma-es8pw Před 8 měsíci

      @@abdullatifsaggaf4259 basi rekebisheni icho kichwa cha habari kinachosema wazanzibar wanamktaa sheikh kassim. Kwasababu tupo tunao mkubali kama mnakataa nyinyi sio wazanzibari Wote.

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Před 8 měsíci

      We inaoneka si mtu wa dini

    • @HamadJuma-es8pw
      @HamadJuma-es8pw Před 8 měsíci

      @@pavillioncry5241 ما حملك أن تقول كأني لست من أهل الدين..... فهل أنت تعرفني.. Kitu gani kimekupelekea useme kama Mimi si mtu wa dini. Kwani wewe unanijua

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 Před 8 měsíci

      ​@@abdullatifsaggaf4259
      Acha chuki wewe kama humkubali ni wewe

  • @mariammbarouk9005
    @mariammbarouk9005 Před 2 měsíci

    Ndio

  • @aliyseif8114
    @aliyseif8114 Před 8 měsíci

    Sheikh samahani hapo naona umekosea
    السمين hutumika kwa wanyama
    Sio binadamu binadamu ni متين
    فراغ إلى أهله فجاء بعجل سمين

  • @ibrahimsaid5538
    @ibrahimsaid5538 Před 8 měsíci

    Uhizb na umbeya una kusumbua huna loloteeee

  • @simbaramadhan1882
    @simbaramadhan1882 Před 8 měsíci

    Nikweli shekh hasnuu na shekh ABUU umer wanamkataaa abul fadhwil Kama nia zao nikwaajil ya elimu basi itafika Kama ni fitna basi haitoacha kuendelea