Nimependa comment za diamond za miaka Tano nyuma huyu kijana ana wizdom sana ana heshima Kwa mama, mama watoto Wake serikali yake nchi yake Hana jeuri, majivuno aki mama dangote alimlea mtoto vizuri ata kama baba hakuwepo 🇰🇪🇰🇪💕
Hongereni sana wana-uhondo interview ilikuwa powa sana. Hongera kwa Naseeb ongea yake tu anachekesha sana. Pia inapendeza being msanii mkubwa East Africa but the way anavyoongea na kujibu maswali yuko vizuri haoneshi majigambo.
wewe ni mtangazi niliyekuwa nakusikiliza toka zamani, kwa kweli wewe ni mbunifu sanaa na kipindi chako ni kizuri sanaaa na nimependa sana segment zake yani ukisikiliza haichoshi kabisa na inaburudisha, nakutakia mafanikio memaa
Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi
musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze
musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze
Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi
kwakweli diamond wewe ni mstaarabu sanaaaaaa daaaa cjawai juta kukupenda..big up na kazi njema sana bro
nampenda Diamond anajibu vizuri sana kwenye interviews halafu naalivyo star wala mashauzi hana
Nimependa comment za diamond za miaka Tano nyuma huyu kijana ana wizdom sana ana heshima Kwa mama, mama watoto Wake serikali yake nchi yake Hana jeuri, majivuno aki mama dangote alimlea mtoto vizuri ata kama baba hakuwepo 🇰🇪🇰🇪💕
Huyu jamaa very genius kudos mwamba
Daaa jamaaa ni noma sna huyu mtu!! kila la kheri kaka katika kazi zako!! @diamondplatinum.
Diamond alikuwa anaona aibu kwa huyu dada...yaani alikuwa anamShy cz of Respect
Hongereni sana wana-uhondo interview ilikuwa powa sana. Hongera kwa Naseeb ongea yake tu anachekesha sana. Pia inapendeza being msanii mkubwa East Africa but the way anavyoongea na kujibu maswali yuko vizuri haoneshi majigambo.
mungu akwongoze diamond platnumz ,unabusara sana....kaka na unakippaji kikubwa sana brow,,
Ni baraka kumpenda Mama na Baba
Daah! Baba tiffah umenifurahisha sanaaaa, nimecheka balaa. ..hatar
Hiki kipindi chako cha Uhondo kinang'aa sana, ni zaidi ya kule ulipokuwa kwa kina naniluuuuu
wewe ni mtangazi niliyekuwa nakusikiliza toka zamani, kwa kweli wewe ni mbunifu sanaa na kipindi chako ni kizuri sanaaa na nimependa sana segment zake yani ukisikiliza haichoshi kabisa na inaburudisha, nakutakia mafanikio memaa
Dada muko juu ww kaka sebe napenda sana kipindi chenu
Maisha yanaenda mbio sana eti mond saizi anashinda na ichi chombo cha waswahili
dah, nimefurahi sana Dina Marios, wewe kiboko mama, nakukubali sana.
Nakukubal sana
Dina...Swebe..you are magnificent!
Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi
Ivo tuu yan boy mmoja special an
TUNAMUITA SIMBAAAAAAAAAA JINA HILO LINAMFAAAA SANA AKIUNGURUMA KWENYE STAGE EEEEEEEEEE
Hongera sana Dina kwa kutuletea wasanii wakali, nampenda sana diamond platnums a.k.a simbaaa
dmond yupo soooo cool....not boring at all..... fun guy to be with
Simba apo anatasmini anaona mbona kuwa na radio rahisi a angalia juu anaona aaaa naweza 😀😀
Hahaha hakika kaka
Smart. Zari na Mama wapendane ndio upate nguvu tena furaha moyoni
hahhhhahahaye tifaa anapenda camera mtoto wa dangote
me nakukubali sana simbaaa kila la k heri Kwa maisha yako
Mondy akihojia hana zarau
musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze
lov u very badly mond
yaayaa simbaaaaaaa
umetisha
Neno kuzima data nimelipenda sana
Pesa jamani konyo.. chibu kawa hb
good kamanda
mi nakukubali baba tiffa aka platnumz
Uhodo muna maswari mazurikweri yaku uriza munafaa
mmm mtotoweeee
usijalia my ndo life
Those beats r replicas all of em
Mimi mwanadada toka Kenya Mimi ni fun Wa simba nampendea kitu moja nidhamu pongezi nausiachilie.
simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Swebeee😂😂😂😂😂😂 wewe unavichombezooo
Iyo nyimb naipendag atary
simba noma mbn
ghalaaaaaaa........
supa
simbaàaa
Simbaaa
yereee
dina mbona ukitaja majina unataja lako na swebe watatu umtaji
yani huyu kaka hanaga majigambo kwanza akiwa kwa interview hutumia lugha yake hachanganyi na English
nice
UNAULIZA MASWALI YA MSINGI SANA.. KIPINDI KINAMFAA KILA RIKA
simba
swebe anachekesha diamond yupo vizuri sana from Oman ilike it
Kanga nimaisha yakila binadamu
Egusi zina melon seeds za kusaga sio mayai.
Pia kanga ni ndege
Tuliofika marekani tunacomment wap mabaharia!?
swebe unajiongeza kwa wale watoto vizad zawad nini?
simbaaaa
nakupenda sn daimond kk
nani huyo na Nokia ya zamani kwa studio
simbaa
ok
nc work
awesome one
penda ww diamond umetulia kwa maswali yko
Simba
kipindii nakikubarii dada dina marious
kaka penda pendaa
avovili
Weka video ya mpoki alivyozimia
Maria Mushi llo
p1
boring interview
boring interview
+Al Khalifa Khalifa well fuck you I think this interview is good
+Al Khalifa Khalifa jux
nmeipenda
musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze
+ shukri Nassor, sasa wewe kama huna dhambi si uende ukasikilize kaswida, umekuja hapa kufanya nini kwa mambo za dunia?
inna lillahi waina lillahi rajiun
mi nakukubali baba tiffa aka platnumz
Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi
simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Muowezari urishakuwa nahakirusana