Uhondo with Naseeb Abdul a.k.a Diamond Plutnumz

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 12. 2015

Komentáře • 91

  • @irenejoshua16
    @irenejoshua16 Před 8 lety +10

    kwakweli diamond wewe ni mstaarabu sanaaaaaa daaaa cjawai juta kukupenda..big up na kazi njema sana bro

  • @sjayfenty4112
    @sjayfenty4112 Před 8 lety +8

    nampenda Diamond anajibu vizuri sana kwenye interviews halafu naalivyo star wala mashauzi hana

  • @agnesollie753
    @agnesollie753 Před 2 lety +1

    Nimependa comment za diamond za miaka Tano nyuma huyu kijana ana wizdom sana ana heshima Kwa mama, mama watoto Wake serikali yake nchi yake Hana jeuri, majivuno aki mama dangote alimlea mtoto vizuri ata kama baba hakuwepo 🇰🇪🇰🇪💕

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline3983 Před 3 lety +1

    Huyu jamaa very genius kudos mwamba

  • @rauliean.revocatus.9692
    @rauliean.revocatus.9692 Před 8 lety +4

    Daaa jamaaa ni noma sna huyu mtu!! kila la kheri kaka katika kazi zako!! @diamondplatinum.

  • @zezenature
    @zezenature Před 3 lety +1

    Diamond alikuwa anaona aibu kwa huyu dada...yaani alikuwa anamShy cz of Respect

  • @ashah3905
    @ashah3905 Před 8 lety +2

    Hongereni sana wana-uhondo interview ilikuwa powa sana. Hongera kwa Naseeb ongea yake tu anachekesha sana. Pia inapendeza being msanii mkubwa East Africa but the way anavyoongea na kujibu maswali yuko vizuri haoneshi majigambo.

  • @mbesherejoh4219
    @mbesherejoh4219 Před 8 lety +1

    mungu akwongoze diamond platnumz ,unabusara sana....kaka na unakippaji kikubwa sana brow,,

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 Před 6 lety +1

    Ni baraka kumpenda Mama na Baba

  • @saumusalimuhassan772
    @saumusalimuhassan772 Před 8 lety

    Daah! Baba tiffah umenifurahisha sanaaaa, nimecheka balaa. ..hatar

  • @starlily07
    @starlily07 Před 8 lety +5

    Hiki kipindi chako cha Uhondo kinang'aa sana, ni zaidi ya kule ulipokuwa kwa kina naniluuuuu

  • @moshonotv4116
    @moshonotv4116 Před 8 lety +10

    wewe ni mtangazi niliyekuwa nakusikiliza toka zamani, kwa kweli wewe ni mbunifu sanaa na kipindi chako ni kizuri sanaaa na nimependa sana segment zake yani ukisikiliza haichoshi kabisa na inaburudisha, nakutakia mafanikio memaa

  • @fahadmaulid9182
    @fahadmaulid9182 Před 8 lety +1

    Dada muko juu ww kaka sebe napenda sana kipindi chenu

  • @patirickdenisi7596
    @patirickdenisi7596 Před 3 lety

    Maisha yanaenda mbio sana eti mond saizi anashinda na ichi chombo cha waswahili

  • @starlily07
    @starlily07 Před 8 lety +5

    dah, nimefurahi sana Dina Marios, wewe kiboko mama, nakukubali sana.

  • @lumwechanhaiwa849
    @lumwechanhaiwa849 Před 3 lety +1

    Nakukubal sana

  • @stormingfoh
    @stormingfoh Před 8 lety

    Dina...Swebe..you are magnificent!

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 Před 8 lety +13

    Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi

  • @mczundaoriginal2491
    @mczundaoriginal2491 Před 8 lety +3

    TUNAMUITA SIMBAAAAAAAAAA JINA HILO LINAMFAAAA SANA AKIUNGURUMA KWENYE STAGE EEEEEEEEEE

  • @rosemugobozi6064
    @rosemugobozi6064 Před 8 lety

    Hongera sana Dina kwa kutuletea wasanii wakali, nampenda sana diamond platnums a.k.a simbaaa

  • @ritaabduel4368
    @ritaabduel4368 Před 8 lety

    dmond yupo soooo cool....not boring at all..... fun guy to be with

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před rokem +2

    Simba apo anatasmini anaona mbona kuwa na radio rahisi a angalia juu anaona aaaa naweza 😀😀

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 Před 6 lety

    Smart. Zari na Mama wapendane ndio upate nguvu tena furaha moyoni

  • @zuhuraali9983
    @zuhuraali9983 Před 8 lety +3

    hahhhhahahaye tifaa anapenda camera mtoto wa dangote

  • @oportunekalangi1755
    @oportunekalangi1755 Před 8 lety

    me nakukubali sana simbaaa kila la k heri Kwa maisha yako

  • @saddickhemed8030
    @saddickhemed8030 Před 2 lety +2

    Mondy akihojia hana zarau

  • @shukrinassor2362
    @shukrinassor2362 Před 8 lety

    musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze

  • @victoriangonyan11
    @victoriangonyan11 Před 7 lety +1

    lov u very badly mond

  • @joelajclcc7244
    @joelajclcc7244 Před 7 lety +4

    yaayaa simbaaaaaaa

  • @vicentonesmo9944
    @vicentonesmo9944 Před 7 lety +2

    umetisha

  • @leticiambilinyi1708
    @leticiambilinyi1708 Před 8 lety

    Neno kuzima data nimelipenda sana

  • @saramwaipopo8516
    @saramwaipopo8516 Před 6 lety +1

    Pesa jamani konyo.. chibu kawa hb

  • @dicksontindwa7961
    @dicksontindwa7961 Před 7 lety +2

    good kamanda

  • @halaalsayari4433
    @halaalsayari4433 Před 8 lety

    mi nakukubali baba tiffa aka platnumz

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 Před 4 lety

    Uhodo muna maswari mazurikweri yaku uriza munafaa

  • @najmarajabu9421
    @najmarajabu9421 Před 6 lety +1

    mmm mtotoweeee

  • @najmarajabu9421
    @najmarajabu9421 Před 6 lety

    usijalia my ndo life

  • @umeedkassam6974
    @umeedkassam6974 Před 8 lety

    Those beats r replicas all of em

  • @estherwanjikumary7350
    @estherwanjikumary7350 Před 8 lety

    Mimi mwanadada toka Kenya Mimi ni fun Wa simba nampendea kitu moja nidhamu pongezi nausiachilie.

  • @Kareem-qy5cj
    @Kareem-qy5cj Před 8 lety +2

    simbaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @loveiscure2344
    @loveiscure2344 Před 8 lety +3

    Swebeee😂😂😂😂😂😂 wewe unavichombezooo

  • @manenodjumamanenodjumaafri2221

    Iyo nyimb naipendag atary

  • @dicksontindwa7961
    @dicksontindwa7961 Před 7 lety +1

    simba noma mbn

  • @sanurashaban2570
    @sanurashaban2570 Před 8 lety +3

    ghalaaaaaaa........

  • @harunmohamed7581
    @harunmohamed7581 Před 8 lety +1

    supa

  • @agnecbenson1256
    @agnecbenson1256 Před 8 lety +1

    simbaàaa

  • @joyceleonce8986
    @joyceleonce8986 Před 4 lety

    Simbaaa

  • @elliakarim1647
    @elliakarim1647 Před 8 lety +1

    yereee

  • @tausinyanganira2094
    @tausinyanganira2094 Před 7 lety +1

    dina mbona ukitaja majina unataja lako na swebe watatu umtaji

  • @veronicakawawa7057
    @veronicakawawa7057 Před 6 lety +2

    yani huyu kaka hanaga majigambo kwanza akiwa kwa interview hutumia lugha yake hachanganyi na English

  • @aishammwaisango9679
    @aishammwaisango9679 Před 8 lety

    nice

  • @yasinimwinyi371
    @yasinimwinyi371 Před 8 lety +4

    UNAULIZA MASWALI YA MSINGI SANA.. KIPINDI KINAMFAA KILA RIKA

  • @jessicargeofreybuninange3267

    Kanga nimaisha yakila binadamu

  • @Chai2574
    @Chai2574 Před 6 lety

    Egusi zina melon seeds za kusaga sio mayai.

  • @jessicargeofreybuninange3267

    Pia kanga ni ndege

  • @magelecharles962
    @magelecharles962 Před 4 lety

    Tuliofika marekani tunacomment wap mabaharia!?

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 Před 8 lety

    swebe unajiongeza kwa wale watoto vizad zawad nini?

  • @carolynebuyas8845
    @carolynebuyas8845 Před 7 lety

    simbaaaa

  • @toombby471
    @toombby471 Před 8 lety

    nakupenda sn daimond kk

  • @alkhalifakhalifa3315
    @alkhalifakhalifa3315 Před 8 lety

    nani huyo na Nokia ya zamani kwa studio

  • @brianswai5004
    @brianswai5004 Před 8 lety

    simbaa

  • @felixeliud6885
    @felixeliud6885 Před 8 lety

    ok

  • @leratokhathatse57
    @leratokhathatse57 Před 8 lety

    awesome one

  • @merithoosaloo5942
    @merithoosaloo5942 Před 8 lety

    penda ww diamond umetulia kwa maswali yko

  • @eliyachombe7095
    @eliyachombe7095 Před 8 lety

    Simba

  • @nasraeidrayul4383
    @nasraeidrayul4383 Před 8 lety

    kipindii nakikubarii dada dina marious

  • @isaha7664
    @isaha7664 Před 7 lety

    kaka penda pendaa

  • @asheembaadae4042
    @asheembaadae4042 Před 8 lety

    avovili

  • @mariamushi9467
    @mariamushi9467 Před 8 lety

    Weka video ya mpoki alivyozimia

  • @dullaalvesdasilvajr1184

    p1

  • @samirfarid8959
    @samirfarid8959 Před 8 lety

    boring interview

  • @shukrinassor2362
    @shukrinassor2362 Před 8 lety +1

    musishangirie zinaa jamani uowe japo ndowa ya kwenye serikali MMUNGU ndomjuzi manake zari mzuri lkn mtakie kheri mamaako kama kweli unampenda usimshirikishe kwenye uchafu wako atajibu nini kesho kwa Allah maisha ni mafupi hatujui la kesho halafu zari ni mkristo pia sijui utalitatua vipi Subhanallah wala hulizungumzii hilo MMUNGU atuongoze

    • @zg6700
      @zg6700 Před 8 lety +3

      + shukri Nassor, sasa wewe kama huna dhambi si uende ukasikilize kaswida, umekuja hapa kufanya nini kwa mambo za dunia?

    • @rukiahassan7242
      @rukiahassan7242 Před 8 lety

      inna lillahi waina lillahi rajiun

  • @halaalsayari4433
    @halaalsayari4433 Před 8 lety

    mi nakukubali baba tiffa aka platnumz

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 Před 8 lety

    Kitu cha kwanza kinachonifanya kumpenda na kumkabali @diamondplatnumz ni mtu fulani ambaye hana mashauzi akiwa katika interview halafu hupenda kuweka mambo wazi

  • @Eng2460
    @Eng2460 Před 8 lety

    simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 Před 4 lety

    Muowezari urishakuwa nahakirusana