Video není dostupné.
Omlouváme se.

SURA MPYA YA SUGUTA: Bonde la Suguta limeshuhudia mauaji na ukosefu wa usalama

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 10. 2021
  • Kwa zaidi ya miaka 60 maeneo ya Kaskazini mwa Bonde la ufa yameshuhudia makabiliano baina ya jamii za wafugaji ambao wamekuwa wakiendeleza mashambulizi ya Mara Kwa mara. Ujambazi maeneo hayo ukizua wasiwasi kwa miaka mingi. Hata hivyo, maeneo ya Kapedo, Lokori, Baragoi na Suguta yamekuwa yakitafuta suluhu ya amani. Mwanahabari wetu Ben Kirui amerejea kutoka ziara ya bonde la Suguta na kutuandalia taarifa ifuatayo

Komentáře • 4

  • @kamsco5711
    @kamsco5711 Před 2 lety +2

    Ben Kirui is one of the best if not the best reporters👌. Congratulations 👏👏

  • @francymanka8845
    @francymanka8845 Před 2 lety +1

    Tuombe mungu atusaidie mama

  • @monicanjoroge8842
    @monicanjoroge8842 Před 2 lety

    Mungu akumbuke watu kama hawa. Sijui ni nani atakuja kusuluhisha hili.

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb Před 2 lety

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎬🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎬🔥*