Video není dostupné.
Omlouváme se.
SURA MPYA YA SUGUTA: Bonde la Suguta limeshuhudia mauaji na ukosefu wa usalama
Vložit
- čas přidán 9. 10. 2021
- Kwa zaidi ya miaka 60 maeneo ya Kaskazini mwa Bonde la ufa yameshuhudia makabiliano baina ya jamii za wafugaji ambao wamekuwa wakiendeleza mashambulizi ya Mara Kwa mara. Ujambazi maeneo hayo ukizua wasiwasi kwa miaka mingi. Hata hivyo, maeneo ya Kapedo, Lokori, Baragoi na Suguta yamekuwa yakitafuta suluhu ya amani. Mwanahabari wetu Ben Kirui amerejea kutoka ziara ya bonde la Suguta na kutuandalia taarifa ifuatayo
Ben Kirui is one of the best if not the best reporters👌. Congratulations 👏👏
Tuombe mungu atusaidie mama
Mungu akumbuke watu kama hawa. Sijui ni nani atakuja kusuluhisha hili.
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎬🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎬🔥*