Huruma yako inahitajika tunusuru maisha ya Mama na mtoto

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Mtoto fahadi na mama yake waishio majohe,gongolamboto wanaishi katika kazingira magumu ya kiafya Kwa Mtoto huyu pamoja na uchumi fahadi nimtoto alie na ulemavu wa kichwa kikubwa unao sababishia ashindwe kukaa na kusimama vyema, mama yake ndie anaefanya shughuli zakukaa nae ama kumbeba muda mwingi Haki inayofanya ashindwe kufanya ghuli yoyote yakuwahudumia huku mzazi mwenzake akiwa ametoweka kutokana na matatuzo ya Mtoto huyo ,mama Huyo ameomba watanzania wamsaidie aweze Kupata mahitaji yatakayomsaidia kumudu kiasi changamoto alizonazo fahadi anahitaji kiti mwendo (wheelchair), dhamani yake ikiwa ni shilingi 500,000 /=,bima ya afya yenye dhamani ya shilingi 50,400 /=Pia Ameomba Kama Ataweza Kusaidika Aweze Kupata mtaji Mdogo Wa biashara Akihitaji magunia japo mawili Yamkaa ili aweze kuyafanyia biashara magunia hayo kila moja likiuzwa shilingi elfu 80,000/=.
    Watanzania kwuungwana wenu tunaomba tumsaidie mama huyu pamoja na Mtoto wake .CHANGIA KILE ULICHOJAALIWA KWA AIRTEL MONEY 0789 517 009 JINA JICHOLAUSWAZI.

Komentáře •