Wallah niliwahi muonaga mara moja tu nilimkubali sana miaka 20 imepita sasa nilimuona kwenye zihara tandale uzur ziara ya Al-madrasat mukarama Alhamndullah leo namuona tena you tobe
masha'allah jazaka ALLAHU khaira ya habib nakupenda kwaajili ya ALLAH namuomba ALLAH atukutanishe nawe kabla ya kunifisha nakma là basi atukutanishe janaah na mtume Muhammad
Ustaaath bismilaaah maashaallaah unatowa mawaidha mazuri ilaaa unacho kosea ni kunyooshea watuu fimbo yakooo ungeliiwekaa chinii wakati huna matatizo ya kusimama hivyoo ukiinyoosheaa fimbo yakooo inaleta maana nyenginee piaa lapiliii mawaidha hayatolewi kwa ukaliii namna hiyoo taaratibuu ilii wanao kukusikilizaaa yawaingieee vizuuri sio kwa vitishooo hivyoo ni kuogopesha na kuwakimbiza for next time kuja kukusikiliza tenaa kwa maoni yangu
Hakika katika umri wa miaka yangu yote sijawahi kumuona shekh mzuri kama ustadhi anwari jongo nampenda sana kwa ajiri ya allah.
Wallah niliwahi muonaga mara moja tu nilimkubali sana miaka 20 imepita sasa nilimuona kwenye zihara tandale uzur ziara ya Al-madrasat mukarama Alhamndullah leo namuona tena you tobe
Mashaalah....Mara ya kwanza kumsikiliza iliku miaka ya 90...kwenye radio cassette
Mashallah Allah akuzidishiie alhabibiii
ALLAH akujaalie uhai mrefu na mwisho mwema shekh Anuary jongo
Allahuakibar shekh Anuary ni kipenzi cha wengi mi nilijua peke yangu
Ili jamaa ni shiida nalipenda kwa ajili ya alaah
masha'allah jazaka ALLAHU khaira ya habib nakupenda kwaajili ya ALLAH namuomba ALLAH atukutanishe nawe kabla ya kunifisha nakma là basi atukutanishe janaah na mtume Muhammad
MANSHALLAH UNASAWUTI NZURI SANA SHEIKH MUNGU AKUJALIYE UFUNDISHE WATO WENGI
Atari sana jongo
Allah akuhifadhi
Nakupendaga kupitiliza Allah akupe maisha malefu
mashaallah sheikh sauti uliojaaliwa na Allah umeitumia ipasavyo napahali palipo takiwa
Allah Akupe.mwisho mwema inshaallah
Allah akujalie sheikh sauti unayo na mm nakufatilia sana nakuelewa sana
Ww ndio shekhe pekee ambae unasaut ya mzuri zaidi ya kusoma quarn mungu akupe mwisho mwema
UST anuary jongo mashaalah kwa dawa
allahu akbar allah amekupa shekh sauti yapeponi wallah
Mashaaallah
Baba unatishaaaa gogo lbahah ,mwambaaaa
Allah akupe mwish mwem
Mashaallah
mashaallah mashaallah
Mwenyezi MUNGU azidi kukujalia mema kwa daawa zako inshaallah
Tuwe wasikivu kwa maneno ya aallah
Mashaalla
maashaallah
yaallaah
unamengi hujatusimulia nakwasauti hiyo ya dhahabu
sheikh yusuph diwani
Mashallah
MashaAllah
mashaallah
Thanks and good
ماشااللہ
Ustaaath bismilaaah maashaallaah unatowa mawaidha mazuri ilaaa unacho kosea ni kunyooshea watuu fimbo yakooo ungeliiwekaa chinii wakati huna matatizo ya kusimama hivyoo ukiinyoosheaa fimbo yakooo inaleta maana nyenginee piaa lapiliii mawaidha hayatolewi kwa ukaliii namna hiyoo taaratibuu ilii wanao kukusikilizaaa yawaingieee vizuuri sio kwa vitishooo hivyoo ni kuogopesha na kuwakimbiza for next time kuja kukusikiliza tenaa kwa maoni yangu
Raya Ali Mungu anasema hakuna kubembelezana kwenye Dini wewe nani unataka ubembelezwe usipo kuja kwenye Utajo wa Allah basi jua kuna Moto unakungoja
Ww unamatatzo
Jaman huyu shkh CD zake zinapatkan wp?
Msikiti wa mtoro dsm
Sheikh Anuary Abdullah Jongo ALLAH akakupe neema dunia na akhera
maashaallah
mashaallah mashaallah
shekhe wangu anuar jongo allah akuzidishie.ila adimu humu allah akufanyie wepesi isha allah
Nakupenda sana shkh
@@ramadhanihabibu303 j