ISSA AZAM ASHINDWA KUJIZUIA ALIA MBELE YA CAMERA/ATOA MACHOZI KISA MANGE KIMAMBI SKENDO YA USHOGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Tumepiga story na Issa Azam

Komentáře • 1,2K

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 2 lety +21

    Pole sna Issa wangu najua unapitia wakat mgum mno wallah kwenye kutafuta ridhik changamoto lazima uzipate km auna Jina uwez Pata mitiani mzito baba Pambana na family yako ili waishi maisha mazuli

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 2 lety +2

      ndio ivo ivo hata harmonize anavojisikiaga na watu wengine anao wasemaga vibaya malipo ni hapa hapa dunian yeye kasemwa kidogo tu analia je wale anaowasema kila siku mbona hawalii? 🤔 atulie dawa imuingie

    • @fatumamussa268
      @fatumamussa268 Před 2 lety

      Sa analia nini tuwache bwana wewe si tukobize na 23%ya mishahara ya watumishi

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Před 2 lety

      Akuna Chapple atombwe mpk azae c anamdomo machafu uyo n ww usimuingize mungu kwenye ushoga. W mwana issa azama

    • @mohammedathumani5687
      @mohammedathumani5687 Před 2 lety

      Umetoka kusema Sasa ivi eti baba yake mangi kajiua kwakwakwasababu kkakaingiliwa 😂😂😂 kudokolewa kidogo tu unaliiiia boya wewe

    • @Amourharoub-rf1tc
      @Amourharoub-rf1tc Před 6 měsíci

      Pole sana broo

  • @williammpuya3035
    @williammpuya3035 Před 2 lety +80

    Wakati unawasema vibaya alikiba,harmonize kila siku kuwazungumzia vibaya,leo wewe kidogo tu michozi janaume zima,pumbavu kabisa jifunze ,malipo ni hapa hapa

    • @mayahassan1330
      @mayahassan1330 Před 2 lety +6

      😂 😂 😂 Aki leo kanalia hovyo haka ka mke ka mtu

    • @williammpuya3035
      @williammpuya3035 Před 2 lety +3

      @@mayahassan1330 ukweli unauma kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mungu fundi

    • @mayahassan1330
      @mayahassan1330 Před 2 lety +1

      @@williammpuya3035 😂😂😂😂 😂 ameguswa ndipo kulia n aki yake

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 Před 2 lety +4

      @@mayahassan1330 si mke wa mtu tayari 🤣🤣🤣🤣

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Před 2 lety +1

      @@williammpuya3035 umeonaeee anajisahau alivyomkwama hamoniz anaona hamoniz anamoyo wajiwe leo yy kidogo tu yamemuuma alikua hasemi kitu lazima amtukane jeshi nimefurahi sana sasa atie akili aache kutukana wenzie nawao huumia au vp

  • @maryrungwe1373
    @maryrungwe1373 Před 2 lety +7

    Huyu kaka amezidi kutukana wenzake maripo hapahapa duniani asante sana mange kimambi leo nayeye katowa machozi😀😀😀👌👌👌koleza moto mange

  • @karakairasa2161
    @karakairasa2161 Před 2 lety +2

    Pole sana kaka...
    Bila shaka yoyote Mange hana mwisho mzuri! Labda atubu! Tena haraka!

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Před 2 lety +7

    Pole Sana Mungu atakulipia ata miaka mi 5 haifiki Mungu atalipa , na kuhusu kutokupost wasafi bet mama yupo sahihi ni haram wataokusema achana nao hao wanaishi kimaslahi dini Yao wameipuuza 😭😭😭inauma nakuonea huruma Issa jikaze usije jizuru ukaidhulumu nafsi ingawa ni ngumu kusahau kakudhalilisha Ila muachie Mungu. Allah akupe subra

    • @FatimaFatima-wk1jk
      @FatimaFatima-wk1jk Před 2 lety +2

      Alikuja kumtukana konde na kumuita mgumba Hana kizazi akihitaji DNA ya zuu ivi aliwahi kufikiria konde aliumia kiasigani? Na hakuishia hapo kila Leo anamsema Sana kijana wawatu kitu usichopenda wewe usimfanyie mwenzio malipo ni hapahapa

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Před 2 lety

      czcams.com/video/8zkrr_lN6hw/video.html go oh yo

    • @aisharamadan3620
      @aisharamadan3620 Před 2 lety

      Mungu hawezi kumlipia siku zote muosha huoshwa komaa upunguze hilo domo

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Před 2 lety

      Usimtaje mungu apa naatombwe uyo vzr. C anamdomo yye mungu atak qaumu lutwi waume wafirwe

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Před 2 lety

      Xx yeye atombwe mpk azae c alisema hamo anakizaz xx yye ambebee mumbo uyo bwanaake xhenz kbixa ujanja wote huo kumbe watombwa khaaaa

  • @mammam4701
    @mammam4701 Před 2 lety +25

    Malipo ni hapa hapa dunian 😂😂🤣JESH MUNGU HANAKUPIGANIA

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před 2 lety

      Kabisa tena malipo dunian yeye kutwa kimsemakonde leo yeye analia kengeuyu

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před 2 lety +52

    Tatizo unamdomo sana punguza mdomo malipo hapahapa duniali Allah anasema alitakukuta baya ILa Linatoka a namachumo yetu Wenyewe polesana unavyoumia wewe ndoivyo wanavyu Umia wezako pindi unapowaongelea vibaya Allah kakupitisha unapo wapitishaga wezako iliuone maumivu yake kunafuzo hapo Allah anataka ujifunze ilawezako niwavumilivu awakujibugi

    • @kupelakupelaa2580
      @kupelakupelaa2580 Před 2 lety +3

      upo sahihi vijana wengi wa kiislam tunaishi kwa matamanio ya dunia,tungefuata maisha ya kiislam haya yasingetukuta ila kuna jambo la kujifunza kwa haya yanayomkuta allah lazima akupe mtihani liwe fundisho

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Před 2 lety

      czcams.com/video/8zkrr_lN6hw/video.html hop o o

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 Před 2 lety +4

      We alivyokuwa wanawafedhehesha watu nae yamemkuta malipo ni hapa hapa

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 Před 2 lety +4

      Swadakta yaani umesema kweli hata ameseme nini hawezi jisafisha mdomo wake kwa wenzake

    • @rqiyaabdallah840
      @rqiyaabdallah840 Před 2 lety +2

      @@kupelakupelaa2580 swadakta

  • @fathiafathia6324
    @fathiafathia6324 Před 2 lety +1

    pole issa pole sana ina mangi mja mjaa laana

  • @supertallone1902
    @supertallone1902 Před 2 lety +9

    Nilitamani nikuchape MAKOFI siku moja kwa kumeongelea vibaya AliKiba, ila nashukuru Mange kakuchapa na kitu kizito umeona nafsi inavyokuhangaika ndivyo wengine hujisikia unapowatukana.
    Issa acha Ushoga na Uchawa utakufa mapema.

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Před 2 lety +1

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Asallam maalequ

  • @dottohami
    @dottohami Před 2 lety +11

    Malipo hapa hapa dunian unamsema sana harmonize vibaya sasa mungu anakunesha kuwa sio vizuri kumsema mwenzio vibaya

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před 2 lety +2

    Pole yanini mke wamtu uyo atotobwa xana

  • @shamcmayange1360
    @shamcmayange1360 Před 2 lety +35

    Isa azam kaka usilie wala isiumie yachukulie kawaida japo unamtukana Sana harmonize tena matusi mengitu mbona yeye yupo kimya mmakonde wawatu kilaukisimama huongelei maisha yako wewe na harmonize leo yamekugeukia mungunae huyu jamani ngojeni aitwe mungu majibu hapahapa duniani leo unatoa machozi dumezima mbona yeye harmonize hajawahi liamachozi kumbe unamjua mungu sana kwanini unamuataki konde jifunze kaka inaumajapo ili yaone hayo badirika Isa tafuta rizikizako alimambo yako yaende

    • @rqiyaabdallah840
      @rqiyaabdallah840 Před 2 lety +5

      Yeye kutukanwa kidogotu chozila bukujelo hhhh wezie kulasiku uwatukana anaona r eee kavuna alichokipana

    • @khadijaali3688
      @khadijaali3688 Před 2 lety +1

      Na alikiba pia sasa yy yuwalipwa kwasababu ya mdomo wake

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 Před 2 lety

      Tena hilo ndiyo naunga mkono kilio chake cha unafiki harmo kawavumilia sana mala siyo mtoto wake huyo bwabwa bado kwa diamond hatujui kama hajampitia

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 Před 2 lety

      @@rqiyaabdallah840 oyoooooo

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 Před 2 lety

      @@khadijaali3688 asante sana

  • @mwinyihajjsalim4405
    @mwinyihajjsalim4405 Před 2 lety +2

    Dah imeniuma sana walai historia ya issa azam adi nimetoa machozi nimejikaza kma mume ila nimeshindwa nimelia😭MUNGU amlaani mange.MWINYIHAJJ from kenya

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Před 2 lety +5

    Hawa vijana wa sikuizi ni mtihani sana ni Mungu pekee ndo anajua lakini kuna mambo ya hovyo sana sikuizi yanaendelea kwa vijana Mungu atuponye na hiki kizazi cha sasa na turudi kwenye njia iliyonyooka

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 Před 2 lety

    Pole Sana lssa mwenyezi mungu Ata kulipa umelia mpaka Nami umeniliza Sana Pole binadamu awezi kukufungia riziki lshaallah naamini kwa ilo

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +4

    Unavyomtukana harmonize unafikiri nini hujui na yeye anaumia ngoja sindano ikiingie vzr shogari wew bwabwa wew

  • @charlessomeke8992
    @charlessomeke8992 Před 2 lety

    Hongera mage kimambi watu kama hao muwe mnawambia ujinga wao yeye kusema watu anaona raha akiguswa tu anaanza kelele

  • @seleerenest3650
    @seleerenest3650 Před 2 lety +12

    Mange hasemagi uwongo, nimtafiti, ni taasisi, sema amegusa kwenye ukweli.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 2 lety +1

    Kwendraaaa huko ht km usinge zaliwa kbs kwani nn mange maisha marefu huko majuu dada🤣🤣👏👏kweli malipo ni hphp duniani ww pambana na mange achanq na kuwadai madeni ss hv toooka kwenye nyumba ya mumewe mkapange nyoo

  • @sureiamboo
    @sureiamboo Před 2 lety +54

    TRUTH HURTS. MANGE has evidence. All is true.

    • @victoriajoachim7271
      @victoriajoachim7271 Před 2 lety

      Facts

    • @allyiasachogogwe3753
      @allyiasachogogwe3753 Před 2 lety +2

      Unajua tatz la nyie wanawake wengi, jealous za mapenz,mnahamishia kwa watu,ilimrad tu yen yaende,watu mna uwezo wa kupambana na aliyewaumba,tunawezaj kupambana na nyinyi?

    • @alimohamed5757
      @alimohamed5757 Před 2 lety +2

      lkn America ndio yaongoza Kwa ushoga mbna mangi mbna asemi

    • @omarkalita5340
      @omarkalita5340 Před 2 lety

      Sure 100%

    • @fazeelshomary2704
      @fazeelshomary2704 Před 2 lety

      Hakuna ushahidi aliokuwa nao, acheni kufurahia mtu kuchafuliwa, leo kwake kesho babako au mme wako

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před 2 lety +3

    Pole Issa,pole sana,Dunia inamambo mengi sana,inatupasa tustahamili machafuko tunayopitia

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před 2 lety

      Si wa kuhurumiwa huyu kwa jinsi anavyomchafuaga Harmonize.

    • @violetkephas7038
      @violetkephas7038 Před 2 lety

      Mashabiki wa harmo ndy wanaofurahia huu ujinga

  • @alibanks5411
    @alibanks5411 Před 2 lety +27

    Mtoto wa kiume wewe kweli.........unalizwa na mwanamke.
    Wakati ukichafua kina Alikiba na wengine uwaga unajua ndugu zao wanafurai.!!
    Jinga sana wewe.

    • @ally_star
      @ally_star Před 2 lety

      😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏

    • @joleal7941
      @joleal7941 Před 2 lety

      😂😂😂mze wa kigugumiz

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 Před rokem

    Usipost hiy haraaam MashaAllah hakika una mama mwema mwenye kujuwa thamn ya uislam pol kwa yaliokukut Allah kareem

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 Před 2 lety +32

    Vile mnamsema harmonize ndo anajisikia hivo hivo🤣🤣🤣sasa unalia nini, ulimnyea harmonize yaani kumnyea kwa kwel, mange ameongea tu kidogo sasa unalia 🤣🤣🤣🤣tulia dawa ikuingie vizuuuuri

    • @m___ck799
      @m___ck799 Před 2 lety

      This guy is a joker!!🤣🤣

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 Před 2 lety

      Sasa lini alimuta hormonise shoga?

    • @m___ck799
      @m___ck799 Před 2 lety +1

      @@wennceslausmushi2356 alisemaga Harmonize ni tasa mtoto Aliyenaye siyo wake… amejuwaje yeye ni Mungu..Mjinga nini wewer shabiki maandazi

    • @grande9657
      @grande9657 Před 2 lety

      bado baba levo

    • @pichunakichuna2111
      @pichunakichuna2111 Před 2 lety

      Soo true 🤣🤣

  • @lucymathew4044
    @lucymathew4044 Před 2 lety

    Pole sana kaka angu Mwenyez Mungu yu pamoja na ww

  • @ummulkulsum6124
    @ummulkulsum6124 Před 2 lety +9

    Ukweli unauma wajua siku zote ukiwasema wenzako nalako litasemwa tu ukome kusema watu ona yamekufika aibu kubwa kwa ndugu

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před 2 lety +1

    Braza ulimchafua Sana king kiba

  • @ramadhanausy7687
    @ramadhanausy7687 Před 2 lety +8

    Niko studio nakuandalia wimbo wako ♂️ achana na kondeboy family

  • @RajatSharma-uq7pz
    @RajatSharma-uq7pz Před 2 lety +9

    Pole mdogo wangu Issa, Mwenye Ezi Mungu atakulipa, ila Mange atuandikia mambo yalo mfanya bbke kujiua na kazi anayoifanya uko ulaya mja walaana yy

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Před 2 lety

      czcams.com/video/8zkrr_lN6hw/video.html Bo oh o

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Před 2 lety +2

      Kwaiyo unasherekea oxhga xio ww usimtaje Mungo apa naoshoga anaoufanya uyu

    • @najmaawadh1359
      @najmaawadh1359 Před 2 lety

      @@mohamedswaleh6778 kbsa usimuunge huyu isaa na ushenzi wake Kwanza maneno yake Yale yakujivunia cjui kofia yy ndio anayo ulimwengu mzima hahaha shoga huyu panya buku

    • @idarousyussuf8195
      @idarousyussuf8195 Před 2 lety

      Kama baba ako wew alvyofanyiwa

    • @nurukwilabya2790
      @nurukwilabya2790 Před 2 lety

      ISsa anamsemaga Sana vibaya Harmo na Alikiba, mkuki kwa Ngurue mbona ye anao wasemaga hawaliagi??? Ni shoga kweli mwanaume mkamilifu halii

  • @omaribazanga7967
    @omaribazanga7967 Před 2 lety +12

    Sasa kama uliwi Kipira unalia nini! We umetukana watu sana mungu sio wa kwako peke yako! Usingelia sana kama huliwi , ulikuwa waliwa kimyakimya

    • @hahmadhabibu2076
      @hahmadhabibu2076 Před 2 lety

      Analiwa kivipi 😆

    • @Jxcjs
      @Jxcjs Před 2 lety

      😂😂😂

    • @fridasky1019
      @fridasky1019 Před 2 lety

      Labda huwa wanashirikiana😀😀

    • @shabanmanamba773
      @shabanmanamba773 Před 2 lety

      Wangekujuza wewe waliwa iko kipira ungejiskiaje? Ama uyo mange ndo nan hapa duniani mbona nikijimtu tyu cha kawaida au umbeya ndo wampatia jina woote wanomuunga mkono ilo sheitwani LA kuzimu na wigi lake .

  • @gorretagatha6267
    @gorretagatha6267 Před 2 lety +21

    Huyu Issa huwa Ana mdomo Sana especially kumchafua harmonize, acha kuongelea wenzako vibaya. Wat goes around comes back around

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Před 2 lety +8

    Pole sana issa ndo Mapito ya dunia mitihani tumeumbiwa sisi wanadamu japo ngumu ,m/ mungu atakufanyia wepesi ishallah

  • @faridadondo2103
    @faridadondo2103 Před 2 lety +25

    Yaan namchukia huyo mpuuz anaroho mbay saan km mkaanga sumu kutwa kusema wenzake Kwa roho yak mbaya Leo unajifanya kulia unafik malipo nihapa hapa nilish sema hata siku 3 hazija pita mm sipendi mijitu inayo jifanya myema kumbe minafik km nn ww nimchonganish saan ila mungu atakuumbua hapa dunian kujifany unajua Aya zamungu nakuzitumia ktk kuchafua watu wasio kukosea chochote mzoga ww

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Před 2 lety

      czcams.com/video/8zkrr_lN6hw/video.html go i hi

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před 2 lety +1

      Wewe ndio Mimi anamuongelea Sana vibaya hamonize Hadi Mimi hua nachukiaga maskini hamonize wawatu kamkosea nini sijui mwenyewe Yuko bize na maisha yake anamtukana hamonize amezuna alichokipanda malipo hapa hapa duniani na utalia zaidi ya hapo unaongea maneno mazuli ya mwenyezi mungu lakini unamkosea Sana hamonize ila malipo unaanza kuyapata

    • @alumonkisinda4574
      @alumonkisinda4574 Před 2 lety

      Mkuki kwa nguruwe

  • @asmhatanzania8697
    @asmhatanzania8697 Před 2 lety +26

    Mkuki kwa ngurue kwa binaadam uchungu
    Ww umechafuliwa kidogo tu unalia, hukumbuki ww unavowachafua wenzako na wako kimya, " tulia dozi ikuingie" mange ongeza tena dozi nyingine😀

  • @hadidjahadidj1356
    @hadidjahadidj1356 Před 2 lety

    Pole sana kaka yang Issa 😭😭😭😭🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮umeniliza kweli

  • @kaseemhassan3672
    @kaseemhassan3672 Před 2 lety +27

    mambo mawili ya kuzingatia
    Usipende kuchafua brand za watu kw kuwaongelea vby kisa uchawa
    Pia kama unaliwa kwl ach kbs ww ni mtt wa kiume

  • @masoudissa9272
    @masoudissa9272 Před 2 lety

    hongera sana kimambi umemuweza sana huyu bwege tupa mshale mwingine mange akafie mbali

  • @zamibrahim3014
    @zamibrahim3014 Před 2 lety +73

    Sasa wewe ulisahau vile ulikua unamtukana harmonize. Sasa ulisahau harmo hana familia na mtoto. Malipo hapo duniani.. tulia dosi ukuingia Polepole. Acha kulialia Fala wewe...

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 Před 2 lety +6

      ndio hapo ss ukiumiza wezako na ww utalia tu

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Před 2 lety

      czcams.com/video/8zkrr_lN6hw/video.html hop p

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 2 lety +10

      Muosha huoshwa, huyu kamtukana sana harmonize. Na kuna interview moja alimsema vibaya sana Ali Kiba ambae ni ndugu yake kabisa yaani mama zao ni ndugu wa tumbo moja. Akasema NANUKUU "Ali kiba hata kama ni ndugu yangu sina habari nae sababu hana faida yoyote kwenye maisha yangu, na nina mashaka Ali sio mwanaume kamili maana mwanaume gani ana watoto lakini hafanani nao kabisa? Ndugu mwandishi hebu mchunguzeni huyu mtu kwani haeleweki kabisa yupo laini laini hivi" MWISHO WA KUNUKUU
      Kwa kweli mie nashangaa anajiliza nini sasa, ama ndo MKUKI MTAMU KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU🤔😏

    • @hairathchigalika7240
      @hairathchigalika7240 Před 2 lety +4

      haswaaa akome

    • @joleal7941
      @joleal7941 Před 2 lety +3

      Acha akome

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 2 lety +4

    Inasikitisha Sana Brother, Pole Sana Issa yatapita tu ndugu yangu !

    • @Foodgrower112
      @Foodgrower112 Před 2 lety +1

      Kusikitisha uko vp nae uyo nibingwa wa kuwasema wenziwe vibaya kumbe yeye mwenyewe ..............cha

    • @honmeshackmuseveni6364
      @honmeshackmuseveni6364 Před 2 lety +1

      Wewe unamtetea eeeh!!

    • @alexkalonga5323
      @alexkalonga5323 Před 2 lety

      @@honmeshackmuseveni6364 Issa hana makuu kabisa Mange kamuonea tu!

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 Před 2 lety +19

    So sad 😂
    Huyu mwanamume ameumia roho Sana.
    Mtoto wa pekee nyumbani kwao

    • @najmaawadh1359
      @najmaawadh1359 Před 2 lety +1

      😂😂msengee huyu domo Kaya kwani kuna wangpi wako peao na haliliii

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 2 lety

      sa so sad afu unacheka tena jaman 😂😂😂

    • @emmanuelsiwale7100
      @emmanuelsiwale7100 Před 2 lety +1

      Mpumbavu mbona ye kila siku anachafua na kutukana wenzio anajua wako wangapi kwao ndio malipo yake hayo

    • @carolynewamuyu1155
      @carolynewamuyu1155 Před 2 lety

      Mkuki kwa nguruwe mtamu, kwa mwanadamu je? 😂😂😂😂😂😂😂

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 Před 2 lety

      Mwana kuli find mwana kuli get mm naona hajaumia na akizidi atabandikwa jengine na mange

  • @ommynyumba2487
    @ommynyumba2487 Před 2 lety

    Daa kumbe Issa mjiti noma sana

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před 2 lety +56

    Unalia nini na vile unamchafuaanga harmonize kumbe huna roho ya kuvumilia ukiitwa shoga 😂😂😂🤣🤣🤣 what goes around comes around 🤣🤣 hivi ndio harmonize usikia lakini harmonize aliangi

    • @mariamkadio8402
      @mariamkadio8402 Před 2 lety +1

      Akwende bwabwa huyu Leo yamemkuta

    • @user-eo7ug2tg9r
      @user-eo7ug2tg9r Před 2 lety

      😂😂😂Eti anajiliza ili atafute huruma😂😂..Unaliaje kama sio kweli😂😂😂

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌

    • @angelangaiza376
      @angelangaiza376 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před 2 lety

      Huyu si alisemaga Baba yake Harmonize mchawi? Au anadhani tumesahau? Mange kamuweza, na hii kashfa haifi ng'o.

  • @hafidhimuadham9976
    @hafidhimuadham9976 Před 2 lety

    Hongera mangé uyo nimsenge wakawaida2

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 Před 2 lety +4

    Mi sikuneyi hata uruma malipo ni apa apa .huwaga unanikera kumuweka kiba wetu mdomoni alafu hana hata time na Wewe da mange mungu akulipe kwa ilo tiongeze zingine

    • @nancyjohnson6620
      @nancyjohnson6620 Před 2 lety

      Yaan mange atume hzo video kabisa mpuuzi huyu apunguze mdomo

  • @tinapoul4814
    @tinapoul4814 Před 2 lety

    Aki pole jmn mpk.nimelia aki kaka pole jmn Acha haya maisha tunapita t naomba sali kwa imani haya yote yatapita ukiona mwanaume analia ujue kaumia pole najua huwezi ona hii comment but stay strong 💪 💙 ipo siku mungu atalipa nimelia sana maaan napenda mtu anasema ukweli

  • @Foodgrower112
    @Foodgrower112 Před 2 lety +6

    Hakuna kulaaniwa mtu الكيسسي حق usipo funzwa na wazaziwo ulimwengu utakufunza usiombe huruma hili nifunzo kwako

    • @rqiyaabdallah840
      @rqiyaabdallah840 Před 2 lety

      Sana tenausiombe ukutane naulimwengu wamange kimambi😀😀😀😀Utajua ujui

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 2 lety +1

    Hata mimi nimeumizwa kwa kashfa kubwa uliopewa allah atakusaidia na atamlipa hapa hapa duniani

    • @wavuvitv2025
      @wavuvitv2025 Před 2 lety

      Alivosema konde ni mgumba huyo zuu sio wakwake?? Imemrudia

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 2 lety +10

    Hahahahaha nimecheka kabisa apo Hamonize kaingia vipi tena?😆😆😆😆😆ukweli unauma jamani 😂😂😂😂😂😂

  • @mariamke8437
    @mariamke8437 Před 2 lety +1

    Mkuki kwa guruwe hapo patamu Asante sana #mange kimambi umetunyotoshea mtu

  • @miriam5735
    @miriam5735 Před 2 lety +24

    Mange Asante sana kwa kutunyamazishia hili senge ana kejeli na maneno machafu sana huyu apambane na hali yake Mjinga huyu popote ulipo harmonize njoo huku umelipiwa huku Mungu mwema jamani

    • @edgartz3367
      @edgartz3367 Před 2 lety

      Hacha usenge wewe kuna vitu vya kumfanyia mtu so ujinga uwo alio mfanyia alafu unasoport acha usenge

    • @miriam5735
      @miriam5735 Před 2 lety

      @@edgartz3367 We mwenyewe choko nn mbona unaumia utakuwa unafilwa pamoja na hilo jamaa lako

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 2 lety

      🤝🤝🤝👏👏👏🤣🤣🤣

    • @sanyolee1396
      @sanyolee1396 Před 2 lety +1

      @@miriam5735 ukiambiwa uthibitishe, unaweza kuthibitisha? ila kumsema hermonize ni ushabiki kama Mwijaku anavyomsema Diamond lakini si kumchafua mtu kama vile, kisa apate bukubuku.

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 2 lety +1

    Unahamaki bure ukiwa maarufu yatakukuta, diamond keshatukanwa kuliko hivyo, Lazima uwe strong

  • @HonestEarning23
    @HonestEarning23 Před 2 lety +55

    Karma is bad thing😂 daily unamchafua harmonize, Unamfedhesha harmonize daily. Let the medicine ikuingieee.

    • @birusidesmond3245
      @birusidesmond3245 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 Před 2 lety +3

      Umeonaeee kudadadeki Malipo ni hapa hapa Duniani Linajifanya lina mdomo sana hili leo limekutana na Chizi mwenzie

    • @berthamahangila4462
      @berthamahangila4462 Před 2 lety +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před 2 lety +2

      Pumbavu huyu leo nimecheka Sana kuona analia kama mtoto mdogo mshenzi huyu uachege kumkandia hamonize bwege huyu 😄😄😄😄😄

    • @joleal7941
      @joleal7941 Před 2 lety +1

      Nimefurahi kuon gisi analia😂😂

  • @baptistaseverinonchamocose2359

    MANGI aluta continua ☑️☑️🔨🔨💯

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Před 2 lety +12

    Kwanza Pole tena umeniliza sana blood Lakini hizo chuki urizonazo dhidi ya harmonize hapo ndo unaponifanya nikuone hamnazo kwani harmonize amewafanya nini hammwachi mtoto wa watu akaenderea na maisha yake daaa hapo ndo isa unaponiachaga hoi

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 Před 2 lety

      Kabisa kumtaja tu kila siku kijana wawatu

    • @yusuphuchuma2434
      @yusuphuchuma2434 Před 2 lety

      @@teedullah5708 mungu kajibu maombi nae analia Lia kama mjane

  • @mariyammariyam7209
    @mariyammariyam7209 Před 2 lety

    Pole kaka usiliye mungu atakulipia subira

  • @Funnymemesandcartoons
    @Funnymemesandcartoons Před 2 lety +10

    Atutolee machozi ya crocodile 🐊 sianapenda ku treend?? 🙄🙄🙄

  • @zenahbayeh7371
    @zenahbayeh7371 Před 2 lety

    Pole issa mushitakie Kwa mungu atakulipia uchungu Sana kuchafuliwa Mambo ya uongo

  • @samueldzombo3826
    @samueldzombo3826 Před 2 lety +7

    I love You Mange Kimambi🤣🤣huyu amezoea kuongea watu vibaya,leo ywalia lini

  • @hamidaally9607
    @hamidaally9607 Před 2 lety +1

    Mmmmmh acha kumsingizia Mungu brother

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 2 lety +19

    Utakoma uchawa! Kama unapenda familia yako achana na uchawa usio na faida kwako.. Umepatikana leo.🤫

    • @allyiasachogogwe3753
      @allyiasachogogwe3753 Před 2 lety

      Mna jealous Sana nyie vinyago,muache mwenzen atafte hela

    • @millymilly7244
      @millymilly7244 Před 2 lety

      😂😂😂

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 2 lety

      @@allyiasachogogwe3753 mtenda akitendewa ujihisi kaonewa, sasa atafute hela lakini sio kwa kuwananga wenzie kila siku maana na wenyewe wana mioyo kama yeye

  • @ngassajason3990
    @ngassajason3990 Před 2 lety

    sasa sawaaaa unaliwa kitu cha mvringo ndy usiambiwe ukwel kmambi never lie

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 Před 2 lety +25

    What goes around comes around...

    • @happymarwa4517
      @happymarwa4517 Před 2 lety

      What goes around comes around,

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 Před 2 lety

      Wenye macho wataona c aliona kumchafua mzee aliyedhulumiwa aliona raha ssa hayo ndiyo malipo yake

  • @edithlameck8170
    @edithlameck8170 Před 2 lety +1

    Hayo ni mapito tu kaka yangu. Uwe na moyo wa subra. Mungu atakulipia tu. Mungu we leo ni wa kulipa chap chap, Kuhusu watoto, ongea nao taratibu kwa kuwaelewesha hilo jambo, nina imani wataelewa. Watu wengine wasiokuhusu achana nao.

    • @lynhwilbardruckachale4205
      @lynhwilbardruckachale4205 Před 2 lety

      Ata kama kaonewa, Ila inabidi Atubu kwanza kwa MUNGU Wake na aache kabisa maneno Machafu ya kuwasema Binadamu wenzie.

  • @loganpoul
    @loganpoul Před 2 lety +17

    Kudadeki Leo ntachinja mbuzi mbwa ww,Leo mange amekuliza kudadeki nimeskia Raha Sana mbwa,mana ukishambulia wanaume wenzio waskia Raha Sana,mwanamke Tu anakunyoosha mbwa ww mpaka unalia,kama sio kweli si ungetulia,ulitombea kweli

  • @hanisherabdulrahmanihanish2904

    Nakuambia mm leo jiamn Kaka we ni Bora Sana na mcheshii pia . Hii comments yangu itakufunza usjali nanii kakwambia nn bnadamu kusema ni jadi yao. Aijalishi Unamjua umjui we focus na kazi zako usje ukalia Tena kwenye enterview plss kingne usipende kumuongelea mtu atakama umpendi jifunze issa pambana unavojua usipende kujisifia coz sifa znaish kuliko usiri kwaheri 🖐️🙏

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 Před 2 lety +6

    Huyu shoga kweli anajigamba eti kapewa gari nyumba huyu atakuwa shoga haiwezekani kuwa mpumbavu hivo

    • @marymariki586
      @marymariki586 Před 2 lety

      Even though hata kama shoga ndio amuanike kila mtu Ana madhaifu yake bwana

    • @wavuvitv2025
      @wavuvitv2025 Před 2 lety

      @@marymariki586 alivosema konde ni mgumba zuu sio wakwake???

    • @violetkephas7038
      @violetkephas7038 Před 2 lety

      Wala sio shoga watu wameongwa kumchafua kwasababu ya ushabiki tuu

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 Před 2 lety

      @@violetkephas7038 we nae wamehobgwa na nani huyo inamaana na yye alikuwa akihongwa kumtukana alikiba na harmonise usiwe mjinga

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 Před 2 lety

      @@violetkephas7038 lishoga hilo linaropoka ujinga na hakujibiwa hata cku moja akiwatukana wenziwe

  • @pendezamalanga2356
    @pendezamalanga2356 Před 2 lety

    Pole sana kweli kaka yangu mungu atakupanguza machozi kaka yangu

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před 2 lety +7

    Wewe tulia dawa ikuingie sawasawa unadhani harmonize alikua anasikia aje ukimtukana sasa umeabiwa unakuliwa tigo unalia lia 🤣🤣🤣

  • @yunusramadhan9965
    @yunusramadhan9965 Před 2 lety +1

    dah kweli brooo kwanini tusimuunge mkono issa azam jamani ,, hili sio suala la kumkalia kimya mange kimambiii

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 lety

      Mmh, hii ndio sms ya kwanza kuiona et tu muunge mkono ISSA.

  • @faridakidoti6734
    @faridakidoti6734 Před 2 lety +16

    Kwahy kwa kazi unayoifanya na mke wa mtu uliemwachisha kwa mumewe anashuhudia hilo unategemea utaiyona pepo

  • @wardamunguakuzidishew9399

    Laha sana acha kuzungumzia wa2 vpya usilolipenda ww na mwenzio usimfanyie komaaaa

  • @foodcreatortv3433
    @foodcreatortv3433 Před 2 lety +45

    Machozi ya Paka mbwa Wewe, asante Mange, unapomtukana harmonize unafikiri wazazi wake wanasikiaje, so stupid

    • @impactoelectrical5814
      @impactoelectrical5814 Před 2 lety +1

      Kweli huyu jamaa mjinga sana

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 Před 2 lety

      yy amelipwa kama anavyowasema wezake wanaumia kama yy alivyolia

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Před 2 lety

      Labda alijua wote wanapenda na kumfuchia aibu zake kausha machozi ZAMU YAKO MOTO NDO KWANZA MANGE KAUWASHA

  • @aminataamina9438
    @aminataamina9438 Před 2 lety

    Pole kaka....binadam ndivyo walivyo

  • @elochoyakobo7809
    @elochoyakobo7809 Před 2 lety +7

    Hili jamaa kitambo tu niliwahi kusema linaliwa , kwa jinsi lilivyokuwa linalegeza macho kama kondoo mlevi, na kuramba ramba midomo kama komba kwenye kila interview leo hii linajiliza nini sasa..shoga mkubwa wew.!!

    • @fridasky1019
      @fridasky1019 Před 2 lety

      Huwa mnaliwa ote?

    • @shabanmanamba773
      @shabanmanamba773 Před 2 lety

      Kama mnakaa nae sawa wote mtakua mashoga halafu kama macho yake anaregeza ndo kamuumba mungu kama waona donge regeza na wewe tukuone

    • @elochoyakobo7809
      @elochoyakobo7809 Před 2 lety

      @@shabanmanamba773 naona machoko mmeamua kujitokeza sasa kupambania kombe😆😆

    • @elochoyakobo7809
      @elochoyakobo7809 Před 2 lety

      @@fridasky1019 hua namla baba yako🤗🤗

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 Před 2 lety

    Pole my dear Allah atalipa kwahilo

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 Před 2 lety +4

    😂😂😂 Vannyboy kafikiwa haraka sana, hata wiki haijaisha! Shikamoo Tanzania!! 😂😂😂

  • @essambader4075
    @essambader4075 Před 2 lety

    Pole sana kaka mungu ata kulipia inshallaah machozi yako yatalipa tu ipo siki uta kuja aminia

  • @syliviamwembe8745
    @syliviamwembe8745 Před 2 lety +21

    Ulizidi mdomo na wewe unamdomo mchafu sana kwa wenzio hasa harmo, kumbe wenzako wanajua yako unalia nini sasa pambana na hali yako jifunze kuishi na watu vizuri

    • @KhadijaKhadija-di6ch
      @KhadijaKhadija-di6ch Před 2 lety

      Yaani kwakuropokwa huyu domo lake kama Karo sasaivi anatia huruma jamani mwanakulitafuta mwana kulipata

    • @nancyjohnson6620
      @nancyjohnson6620 Před 2 lety +1

      Amjibu sasa mke mwenzie😂😂😂😂😂

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před 2 lety

      @@nancyjohnson6620 😄😄😄😄😄😄😄

  • @stephan2518
    @stephan2518 Před 2 lety +2

    Njo kweli ya maisha iyo sasa, kuu uta ya ona, mukuki kwa nguruwe, una liliya nini wakati weye una watukana wengine, kumbe unge juwa usi kuwe n'a fanyiya wengine vinaya.

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +12

    Kuna wewe issa na pimbi nyinyi mungu atawaonyesha mnamkosea Sana hamonize oo kaoa Bibi Mara hivi Mara hivi maskini hamonize wa watu Wala hajibu anakaa kimya tu ila Sasa mnajibiwa na mashabiki wake wakina mange 😄😄😄😄 mziki wa mange sio mchezo

    • @rukiaosman18
      @rukiaosman18 Před 2 lety

      Mashaallah Mashaallah kaka nimefurahi leo kwajli yamsikiliza mamako Allah akuzidishiye akili yako mama nipepo yako kamari niharam muate diamond

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před 2 lety

    Uyu sio Issa Tena. Ni mwana issa uyo bwanaake akazsne kumfirs mpk amzakishe c alisema hamo nimgumba anakizaz mbwa kbx

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před 2 lety +4

    Unaona mungu anavolipa naona utapunguza hata angalau kidogo kusemasema wenzio harmo mara nani dada mange huyo

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety

      Mwanaume wa dar anatokwa na machozi boya kweli,kwa mambo yalivyo sasa kwa nini mkikopeshana msiamdikishane na mashahidi wawepo tutolee upuuzi jinga kabisaa,Mwanaume unatokwaje machozi mbele ya camera aisee huyu fala sana.Ukute hata Siku moja chozi halijamtoka kwa Mungu wake ujinga mtupu unalia kwa vitu vya kijinga.

  • @hamimhamis9616
    @hamimhamis9616 Před 2 lety

    ALLAH akujaalie kheli issa.

  • @honmeshackmuseveni6364
    @honmeshackmuseveni6364 Před 2 lety +23

    Dawa ya Moto ni Moto yeye hakumbuki anavyomchafuaga Konde?
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Wacha alie na anyambe huko
    Kigugumizi wewe

  • @feynation3739
    @feynation3739 Před 2 lety +2

    Mungu wa hamornize halali nyieee yanawakuta yeye leo analia kumuongelea vbaya kila siku ndio malipo yake 🥺😂🥳

  • @winnieminyalla9430
    @winnieminyalla9430 Před 2 lety +4

    Hakuna mtu anayenichekesha hapa duniani kama anayenisingizia maana naona ni mjinga hajui kitu ukiambiwa ukweli ndio inastua lkn kama ni uongo ni wakupuuzwa tu pole bro ila wadharau kama sio kweli itapita tu.

  • @shabanmanamba773
    @shabanmanamba773 Před 2 lety

    Wamuonea donge anajicho zuri Maashaallah

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban9740 Před 2 lety +32

    Brother, remember what goes around comes around. Lisemwalo liko. Mnamtukana Harmonize sana bila sababu zozote za kimsingi. Kwanini ulie na jambo hufanyi, ukweli unauma. Bado mengi yanakuja....

  • @lilpaff93
    @lilpaff93 Před 2 lety +1

    Nenda kinya wew
    Unajuwa kuongelea Harmonize 2

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Před 2 lety +8

    Mbona mange ametulia pembeni yako aongeyi kitu? Inama hapo akuskiyi unavio ongea? 😂🤣🤣 mange kiboko ya WCB🤣🤣😂😂🐘🐘🐘

  • @rajabujuma3030
    @rajabujuma3030 Před 2 lety +1

    Poresana kijana mwenzangu

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats Před 2 lety +4

    KARMA. Na kwako imekua aibu sana. Sio mwanaume mwenzetu kumbe ukiona mwanaume anasifia wanaume kuna tatizo kumbe.

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Před 2 lety

    Lazima uchafuliwe ww mbona wenzio unawachafuwa mtandaoni sasa yamekutokea unatatalika kama bisi ipo kwenye moto sasa mambo moto safi sana ww unawachafuwa mtandaoni amonaizi alikiba wenzio wamekaa kimya wanamshukulu mungu Alhamdulillah kubwa malipo yake umeyaona

  • @rosegayokasembe4393
    @rosegayokasembe4393 Před 2 lety +13

    Mshenge sana sawa sawa mange kimambi mkuki kwa nguruwe leo kwako mshenzi mkubwa sikupendi sana kazi kuchafua wenzio Mshenge wewe

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 2 lety

    This is too much jamani mange muogope mungu ndugu yangu kuna kifo ujue

  • @wazirijunior3343
    @wazirijunior3343 Před 2 lety +4

    🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸unavowasemaga wenzako unaona raha Leo wewe unalia

  • @othumanikamilagwa1129
    @othumanikamilagwa1129 Před 2 lety

    👌👌👌👌kamchezo kabaya hakoo....

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Před 2 lety +3

    Kama inauma chomoa

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 Před 2 lety +1

    Pola sana!
    Jamani ehh Mwenye Enzi Mungu ingilia kati umsikilize kilio cha huyu kijana!
    Ehh Muumbaji msaidie huyu kijana jamani uwiii 😓😓😓😓😓