Unakula Nini? (Maisha Ughaibuni)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- “Kamera man wa MAISHA UGHAIBUNI amesafiri umbali wa kilometer 5000 kuangalia maisha ya nyumbani yanakuaje ukiwa Ugenini. Je ugali unapatikana ugenini?
Sieh Mchawala Presents Ugali na Joe
Subscribe: goo.gl/cR0mA
Facebook: / swahiliwood
Maisha ya ughaibuni kama alivyosema Joe yako simple. Hakuna ukiritimba, hivyo basi ukisha zoea Maisha ya huku hasa hasa kama umeishi miaka mingi, ukirudi nyumbani inakuwa ngumu, kila kitu shagarabara,rushwa, kona nyingi etc.
mm napenda sana siku nika experience maisha ya nje ya Africa naamin hayana migongano kama yetu huku
Ndugu asikuambie mtu. Kila chenye faida kinahasara na kila chenye hasara hakikosi faida pia.
tuekeeni movie plz mumetulia kweli aisee
hongera
hongera kakanimependa
haya maisha ndio mnatuonesha tunakuwa na hamu ya kuja uko tukifika tunanyanyasika
kaka kasema kweli wengi wakiwa ughaibun kurud hom hawataki.HOME SWT HOM JAMAA.Msiadaike chumo aliishi mkaacha familia zenuuu.ugali 10 k kali kuliko pilipili iyooo😢😢
Nikweli ukisha zoea maisha frani ya nje ningum kuzoea ulipo toka ila inatubidi turudi tu coz ni kwetu tanzani home ni home tu
Hongera kaka angu tupo oman tunatafuta maisha lkn tusisahau asili yetu ugali kwakwendambele
Na mi nipo Oman ni nzuri sanaa
Da kweli we in mzalendo was tanzania
Mashallah nimekukubali kwa ucheshi na majibu mazuri
uko poa sana kaka
Aki nmemis samak na muhoga siku yakurud tanzania nitafurah sana kupata vyakula vilivyonikuza
Nakuonaaaa
MASHA ALLA BROTHER
Vizuri sana bro pia mm niko saudi kutafuta maisha kama ww bt kumiss vyakula vya hme tu huku wali tuuuuuu kila kukicha
Nichek tuyajenge
atamm uku nilipo viza inakaribia kuisha lkn nafikilia nikirud sitaingiza pesa kama uku kwaivo nitaongeza viza lkn vakula yatakamoyo
Guys I am watching your video hiyo sima tu maisha nikupambana
hapo sawa ndugu
nko saudia niukweli mtupu mi huona ugali nikirudi kenya,,,,, huku ni wali kila siku
wali ukibadilisha ni macron
Acha uvivu wa kupika. Unga wa mahinfi cone flower inapatikana madukani.
@@fikiriniiddi541 ni kweli anasema huku hakuna ugali kila siku ni wali tu yani mpaka mtu unachoka saasa mm mwenyewe nipo huku nina miaka minee na miezi miwili sijawahi kula ugali
Nakwabia nime choka na mchele
Nina miaka 3 marekani lakini nimemiss saaana Africa TZ nimemiss vitu viingi huku sivuoni hivyo naisi kama maisha yangu ijapokuwa napata pesa lakini sioni raha yakuwa napesa wakati wiki nzima ninaimalizia ndani tu akuna mchiriku, hakuna kukutana nawatu hovyo hovyo unashindwa hata kumjuwa jirani yako wa nyumba yapili akuna story za vijiweni duuuhh nivingi siwezi kuvimalizia. Ila ninampango mwishoni mwa huu mwaka narudi TZ kununuwa nyumba yangu nikirudi USA nikuja kujiandaa na pesa zaviashara sipendi kuendelea kuajiriwa napenda niwe navyangu namimi nipumzike
Ndugu zangu humu ndani Mimi nipo DUBAI mwaka wa nne sasa mwisho wa mwaka Mungu akijaalia narudi nyumbani, lkn naombeni mnisaidie kupata agent anaepeleka wafanyazi wa kiume nchi yeyote kufanya kazi,nimejaribu kumwambia agent wangu wa zamani lkn sikuhiz hasafirishi,nimepata agent mwingine nikawasiliana nae akasema kazi za kiume zinagarama sana inafikia mpaka DOLA 600mpaka mia7,na dola moja ni shilingi 2233 za Tz kama sijakosea, sasa mfano dola 600×2233=1339,800nmilioni hizo,nikasema VIP agent mbona uwezo hakuna anasema et KAZI ZINAUZWA, kuna watu wanatafuta kazi za kiume ndo mawahangaikia lkn sijapata kwenye unafuu mpaka leo kila agent anasema KAZI ZINAUZWA na malipo yake sio chini ya milioni 😢😢tuambiane agent anaechaji pesa kidogo Jamani tuwasaidie wenzetu Tz hali ngum🙆🙆🙆🙆
bro vip?
acha zako mnafirwa na warabu huko mnataka muwapeleke wa Tz
Pow bro una ilimiya watu waliyo kusa akili 👍👍💪💪..
Shukran Kaka lakin mbona mm Niko Qatar na mihogo ipo mizuri na unga ungali au sima inaitwa samolona Ni ungali POA tu
Yeah ni tamu sana hiyo samolina
Safi sana
Wow brother mie niko Austria hadi raha ishallah
Nimemic home mweeee
yani Unga huku ni bei ghali hatareeee. ni kweli kurudi home sometime inakuwa shida but ukiwa na wazazi wanaosumbua kama wangu utarudi tu .
Mimi nataka kuja huko jamani nimemisi kuishi ulaya bongo michosho
Mungu atakupa wepesi kikubwa dua
khaaa 25yrs uko huko duuh mi siwezii yaan hapa nina 8yrs tu huku nlikoo na siwez teeeenaa mpaka nasali kabisa nimechoka kukaa nje ya Tz naondoka mwaka huu.....haya broo Mungu akulinde bado waongea kiswahil safii lakin usisaahau nyumbanii usisaah family yako
Anajitambua ndo maana anaongea kiswahili safi.sio wenzangu na mie mtu anasafiri mwezi mmoja akirudi anachanganya lugha.nimependa sana anavoongea.
ongera san kaka maisha popote
yaani mimi hapa nna miaka 2 tu nipo hoi kwa kuwa na hamu ya nyumbani yaani wewe miaka 25 hujaenda nyumbani we mkali mimi mpk 2018 mwezi 3 ndo narudi sijachoka kazi isipokua nna hamu ya nyumbani vyakula vya huku ni shida nimemisi ugari na mlenda
Mie nadhani wewe utakuwa hujamuelewa au ni Mimi, hajamaanisha kurudi nyumbani kutembea, anamaanisha kurudi nyumbani kimoja, alidhani anakuja kuzisaka then anarudi Home. Haku kwa Tz ya sasa kurudi mie nope, kutembea hapo sawa.
huko tra wapo pia? wanasumbua wafanya biashara? 😢
safi bro
Binafsi nakupa hongera kwa kukaa huko miaka 25. Lakini kwa upande wangu nawaza watoto wangu na familia kwa ujumla,hivyo familia kwangu ndio kitu inanitia mawazo siwezi miaka yote hiyo kama una mke si washakuolea wenzio...
Unaishije bila mkee mtt wakiume au unafanya nyeto?
Hiyo stew imenikumbusha hme na pilipili na ugali
Kweli tumekuja kutafuta pesa huku hakuna urembo wala saloon niko SAUDI ARABIAN
Sawa sawia na Home kweli😁😁😁😁
Joe hujabadilika kabisa. Sura yako kama ulivyokuwa sekondari Tambaza. Uko mtaratibu vile vile.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Usipokuwa Makin utakula usivuokula
Mie nipo dubai ila naona maisha ya huku yapo pouwa sna vyakula kama kwetu tanzania nina miaka 8 sijarudi kwetu ila ntarudi tu
ocenathr kalwans kweli nifanyie mpango bas na mm..nilisha wahi kusafiri mara mbili nchi tofauti ila nataman sn kuja dubai au abuudhabi..please helpme if you can
ocenathr kalwans hahahaa..mimi nipo oman habibty
Lipy Muscat unancheka sio.hahahaaaaa.atamie nipo Muscat saiv ila huwa skai sana narud Riyadh..nipo kikaz..ila baada ya miezi 6.ntarud tn Riyadh Inshaalla..mana nipo ki kaz
mi niko Saudi wenda .lini tzd nijekutembea
ocenathr kalwans..uko ulipo unapatikana ugali au rice tuu
Mie Niko UK lakini Tanzania nakupenda naivi nikenda nakaaa miezin6. Ukweli Tanzania kuzuri vyakula fresh kma Nazi zamakopo izo.wanatukataza madoct.zinacanser
Kweli kemikali tupu vakula vya huku
Namie nichukue nije kukupikia nvyakizanzibari
Una mke naomba nikusaidie kuosha vyombo
Chuma tupu hio Nguna mko wawili tu?
mwambie kasimu namuona
SASA NIKWANINI KUZIMA TAA, UCHOYO TU
NIPO OMAN NAOMBENI MSAADA WATANZANIA WENZANGU,NIKO NAKAZ NGUMU LAKINI CJALI NAOMBENI MTU ANITAFTIE KAZI COZ,NAMALIZA MWAKA 2018NARUDI KWETU TZ HALI NGUMU KAZI YEYOTE MM CCHAGUI MRADI NIWE SEHEMU SALAMA KWA AFYA,NA NK MM NI MTOTO WA MWISHO KUZALIWA,NA WAZAZI WANGU WANITEGEMEA NATOA NA NO MAANA SIWEZ JUELEZA NKAMALIZA 79435829
Tanzania kazi zipo lkn uwe mvumilivu
@@abdullahkhamis3196 hebu niambie jamani mm mvumilivu sana
@@abdullahkhamis3196 nipe no zako,nikutafute kama kweli waweza nisaidia nipo tiar kufanya kazi na nimvumili plzz ninashida nisaidie
@@salmajafar9412 ww ulikuwa unataka kazi y kuajiriwa au kujiajiri
@@abdullahkhamis3196 mm nataka kazi yakuajiriwa.
Shukran Kaka lakin mbona mm Niko Qatar na mihogo ipo mizuri na unga ungali au sima inaitwa samolona Ni ungali POA tu
Sister Fa2ma Mambo