Unakula Nini? (Maisha Ughaibuni)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • “Kamera man wa MAISHA UGHAIBUNI amesafiri umbali wa kilometer 5000 kuangalia maisha ya nyumbani yanakuaje ukiwa Ugenini. Je ugali unapatikana ugenini?
    Sieh Mchawala Presents Ugali na Joe
    Subscribe: goo.gl/cR0mA
    Facebook: / swahiliwood

Komentáře • 84

  • @kassimdinno
    @kassimdinno Před 8 lety +12

    Maisha ya ughaibuni kama alivyosema Joe yako simple. Hakuna ukiritimba, hivyo basi ukisha zoea Maisha ya huku hasa hasa kama umeishi miaka mingi, ukirudi nyumbani inakuwa ngumu, kila kitu shagarabara,rushwa, kona nyingi etc.

  • @marleysumaty2942
    @marleysumaty2942 Před 8 lety +2

    mm napenda sana siku nika experience maisha ya nje ya Africa naamin hayana migongano kama yetu huku

    • @fikiriniiddi541
      @fikiriniiddi541 Před 5 lety

      Ndugu asikuambie mtu. Kila chenye faida kinahasara na kila chenye hasara hakikosi faida pia.

  • @maremamman668
    @maremamman668 Před 8 lety +3

    tuekeeni movie plz mumetulia kweli aisee

  • @swabraty5436
    @swabraty5436 Před 8 lety +2

    hongera

  • @happythomas5026
    @happythomas5026 Před 7 lety +2

    hongera kakanimependa

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 Před 6 lety +2

    haya maisha ndio mnatuonesha tunakuwa na hamu ya kuja uko tukifika tunanyanyasika

  • @malikamaingu6765
    @malikamaingu6765 Před 8 lety +3

    kaka kasema kweli wengi wakiwa ughaibun kurud hom hawataki.HOME SWT HOM JAMAA.Msiadaike chumo aliishi mkaacha familia zenuuu.ugali 10 k kali kuliko pilipili iyooo😢😢

  • @ocenathrkalwans6545
    @ocenathrkalwans6545 Před 7 lety +3

    Nikweli ukisha zoea maisha frani ya nje ningum kuzoea ulipo toka ila inatubidi turudi tu coz ni kwetu tanzani home ni home tu

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 Před 5 lety +1

    Hongera kaka angu tupo oman tunatafuta maisha lkn tusisahau asili yetu ugali kwakwendambele

  • @amanrashid9993
    @amanrashid9993 Před 7 lety +2

    Da kweli we in mzalendo was tanzania

  • @ashianaser9275
    @ashianaser9275 Před 3 lety

    Mashallah nimekukubali kwa ucheshi na majibu mazuri

  • @caroline2elias685
    @caroline2elias685 Před 8 lety +4

    uko poa sana kaka

  • @fafi9092
    @fafi9092 Před 8 lety +4

    Aki nmemis samak na muhoga siku yakurud tanzania nitafurah sana kupata vyakula vilivyonikuza

  • @pp1153
    @pp1153 Před 5 lety

    MASHA ALLA BROTHER

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 Před 5 lety +1

    Vizuri sana bro pia mm niko saudi kutafuta maisha kama ww bt kumiss vyakula vya hme tu huku wali tuuuuuu kila kukicha

  • @rayaraya7187
    @rayaraya7187 Před 8 lety +2

    atamm uku nilipo viza inakaribia kuisha lkn nafikilia nikirud sitaingiza pesa kama uku kwaivo nitaongeza viza lkn vakula yatakamoyo

  • @karehmsuper9515
    @karehmsuper9515 Před 5 lety

    Guys I am watching your video hiyo sima tu maisha nikupambana

  • @pilfilhabibkarim6731
    @pilfilhabibkarim6731 Před 7 lety +1

    hapo sawa ndugu

  • @noorndanie6058
    @noorndanie6058 Před 8 lety +7

    nko saudia niukweli mtupu mi huona ugali nikirudi kenya,,,,, huku ni wali kila siku

    • @mesaidiabdallah2851
      @mesaidiabdallah2851 Před 6 lety

      wali ukibadilisha ni macron

    • @fikiriniiddi541
      @fikiriniiddi541 Před 5 lety +2

      Acha uvivu wa kupika. Unga wa mahinfi cone flower inapatikana madukani.

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 5 lety

      @@fikiriniiddi541 ni kweli anasema huku hakuna ugali kila siku ni wali tu yani mpaka mtu unachoka saasa mm mwenyewe nipo huku nina miaka minee na miezi miwili sijawahi kula ugali

    • @sophianyarotso5098
      @sophianyarotso5098 Před 4 lety

      Nakwabia nime choka na mchele

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein5073 Před 5 lety

    Nina miaka 3 marekani lakini nimemiss saaana Africa TZ nimemiss vitu viingi huku sivuoni hivyo naisi kama maisha yangu ijapokuwa napata pesa lakini sioni raha yakuwa napesa wakati wiki nzima ninaimalizia ndani tu akuna mchiriku, hakuna kukutana nawatu hovyo hovyo unashindwa hata kumjuwa jirani yako wa nyumba yapili akuna story za vijiweni duuuhh nivingi siwezi kuvimalizia. Ila ninampango mwishoni mwa huu mwaka narudi TZ kununuwa nyumba yangu nikirudi USA nikuja kujiandaa na pesa zaviashara sipendi kuendelea kuajiriwa napenda niwe navyangu namimi nipumzike

  • @miraabdullah57
    @miraabdullah57 Před 7 lety +1

    Ndugu zangu humu ndani Mimi nipo DUBAI mwaka wa nne sasa mwisho wa mwaka Mungu akijaalia narudi nyumbani, lkn naombeni mnisaidie kupata agent anaepeleka wafanyazi wa kiume nchi yeyote kufanya kazi,nimejaribu kumwambia agent wangu wa zamani lkn sikuhiz hasafirishi,nimepata agent mwingine nikawasiliana nae akasema kazi za kiume zinagarama sana inafikia mpaka DOLA 600mpaka mia7,na dola moja ni shilingi 2233 za Tz kama sijakosea, sasa mfano dola 600×2233=1339,800nmilioni hizo,nikasema VIP agent mbona uwezo hakuna anasema et KAZI ZINAUZWA, kuna watu wanatafuta kazi za kiume ndo mawahangaikia lkn sijapata kwenye unafuu mpaka leo kila agent anasema KAZI ZINAUZWA na malipo yake sio chini ya milioni 😢😢tuambiane agent anaechaji pesa kidogo Jamani tuwasaidie wenzetu Tz hali ngum🙆🙆🙆🙆

  • @ramadhansalim5004
    @ramadhansalim5004 Před 5 lety

    Pow bro una ilimiya watu waliyo kusa akili 👍👍💪💪..

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Před 4 lety +1

    Shukran Kaka lakin mbona mm Niko Qatar na mihogo ipo mizuri na unga ungali au sima inaitwa samolona Ni ungali POA tu

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 Před 5 lety

    Safi sana

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 Před 5 lety

    Wow brother mie niko Austria hadi raha ishallah

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Před 5 lety +1

    Nimemic home mweeee

  • @BillysFamily
    @BillysFamily Před 8 lety +3

    yani Unga huku ni bei ghali hatareeee. ni kweli kurudi home sometime inakuwa shida but ukiwa na wazazi wanaosumbua kama wangu utarudi tu .

  • @fredinandonde3292
    @fredinandonde3292 Před 5 lety +1

    Mimi nataka kuja huko jamani nimemisi kuishi ulaya bongo michosho

  • @aishamashaka7935
    @aishamashaka7935 Před 8 lety +4

    khaaa 25yrs uko huko duuh mi siwezii yaan hapa nina 8yrs tu huku nlikoo na siwez teeeenaa mpaka nasali kabisa nimechoka kukaa nje ya Tz naondoka mwaka huu.....haya broo Mungu akulinde bado waongea kiswahil safii lakin usisaahau nyumbanii usisaah family yako

    • @hongeramgaya714
      @hongeramgaya714 Před 6 lety +1

      Anajitambua ndo maana anaongea kiswahili safi.sio wenzangu na mie mtu anasafiri mwezi mmoja akirudi anachanganya lugha.nimependa sana anavoongea.

  • @wardambelekwa4649
    @wardambelekwa4649 Před 8 lety +1

    ongera san kaka maisha popote

  • @somoabdullah3781
    @somoabdullah3781 Před 8 lety +1

    yaani mimi hapa nna miaka 2 tu nipo hoi kwa kuwa na hamu ya nyumbani yaani wewe miaka 25 hujaenda nyumbani we mkali mimi mpk 2018 mwezi 3 ndo narudi sijachoka kazi isipokua nna hamu ya nyumbani vyakula vya huku ni shida nimemisi ugari na mlenda

    • @daimavlog
      @daimavlog Před 8 lety

      Mie nadhani wewe utakuwa hujamuelewa au ni Mimi, hajamaanisha kurudi nyumbani kutembea, anamaanisha kurudi nyumbani kimoja, alidhani anakuja kuzisaka then anarudi Home. Haku kwa Tz ya sasa kurudi mie nope, kutembea hapo sawa.

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 6 měsíci

    huko tra wapo pia? wanasumbua wafanya biashara? 😢

  • @King_186
    @King_186 Před 5 lety

    safi bro

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 Před 5 lety

    Binafsi nakupa hongera kwa kukaa huko miaka 25. Lakini kwa upande wangu nawaza watoto wangu na familia kwa ujumla,hivyo familia kwangu ndio kitu inanitia mawazo siwezi miaka yote hiyo kama una mke si washakuolea wenzio...

  • @zamzamndid3145
    @zamzamndid3145 Před 4 lety

    Unaishije bila mkee mtt wakiume au unafanya nyeto?

  • @zajrasharbaid5592
    @zajrasharbaid5592 Před 4 lety

    Hiyo stew imenikumbusha hme na pilipili na ugali

  • @saadarahman7172
    @saadarahman7172 Před 4 lety

    Kweli tumekuja kutafuta pesa huku hakuna urembo wala saloon niko SAUDI ARABIAN

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid1858 Před 5 lety

    Sawa sawia na Home kweli😁😁😁😁

  • @petrophilip2279
    @petrophilip2279 Před 4 lety

    Joe hujabadilika kabisa. Sura yako kama ulivyokuwa sekondari Tambaza. Uko mtaratibu vile vile.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 3 lety

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Usipokuwa Makin utakula usivuokula

  • @ocenathrkalwans6545
    @ocenathrkalwans6545 Před 7 lety +2

    Mie nipo dubai ila naona maisha ya huku yapo pouwa sna vyakula kama kwetu tanzania nina miaka 8 sijarudi kwetu ila ntarudi tu

    • @khamiskhamis5323
      @khamiskhamis5323 Před 6 lety +1

      ocenathr kalwans kweli nifanyie mpango bas na mm..nilisha wahi kusafiri mara mbili nchi tofauti ila nataman sn kuja dubai au abuudhabi..please helpme if you can

    • @lipymuscat4779
      @lipymuscat4779 Před 6 lety +1

      ocenathr kalwans hahahaa..mimi nipo oman habibty

    • @khamiskhamis5323
      @khamiskhamis5323 Před 6 lety

      Lipy Muscat unancheka sio.hahahaaaaa.atamie nipo Muscat saiv ila huwa skai sana narud Riyadh..nipo kikaz..ila baada ya miezi 6.ntarud tn Riyadh Inshaalla..mana nipo ki kaz

    • @mesaidiabdallah2851
      @mesaidiabdallah2851 Před 6 lety

      mi niko Saudi wenda .lini tzd nijekutembea

    • @khamiskhamis5323
      @khamiskhamis5323 Před 6 lety

      ocenathr kalwans..uko ulipo unapatikana ugali au rice tuu

  • @rayajuma8880
    @rayajuma8880 Před 5 lety +1

    Mie Niko UK lakini Tanzania nakupenda naivi nikenda nakaaa miezin6. Ukweli Tanzania kuzuri vyakula fresh kma Nazi zamakopo izo.wanatukataza madoct.zinacanser

  • @marymamakevj3227
    @marymamakevj3227 Před 4 lety

    Una mke naomba nikusaidie kuosha vyombo

  • @egidiondabagoye6367
    @egidiondabagoye6367 Před 4 lety

    Chuma tupu hio Nguna mko wawili tu?

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Před 5 lety

    mwambie kasimu namuona

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 Před 6 lety

    SASA NIKWANINI KUZIMA TAA, UCHOYO TU

  • @salmajafar9412
    @salmajafar9412 Před 5 lety +3

    NIPO OMAN NAOMBENI MSAADA WATANZANIA WENZANGU,NIKO NAKAZ NGUMU LAKINI CJALI NAOMBENI MTU ANITAFTIE KAZI COZ,NAMALIZA MWAKA 2018NARUDI KWETU TZ HALI NGUMU KAZI YEYOTE MM CCHAGUI MRADI NIWE SEHEMU SALAMA KWA AFYA,NA NK MM NI MTOTO WA MWISHO KUZALIWA,NA WAZAZI WANGU WANITEGEMEA NATOA NA NO MAANA SIWEZ JUELEZA NKAMALIZA 79435829

    • @abdullahkhamis3196
      @abdullahkhamis3196 Před 5 lety

      Tanzania kazi zipo lkn uwe mvumilivu

    • @salmajafar9412
      @salmajafar9412 Před 5 lety

      @@abdullahkhamis3196 hebu niambie jamani mm mvumilivu sana

    • @salmajafar9412
      @salmajafar9412 Před 5 lety

      @@abdullahkhamis3196 nipe no zako,nikutafute kama kweli waweza nisaidia nipo tiar kufanya kazi na nimvumili plzz ninashida nisaidie

    • @abdullahkhamis3196
      @abdullahkhamis3196 Před 5 lety +1

      @@salmajafar9412 ww ulikuwa unataka kazi y kuajiriwa au kujiajiri

    • @salmajafar9412
      @salmajafar9412 Před 5 lety

      @@abdullahkhamis3196 mm nataka kazi yakuajiriwa.

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Před 4 lety

    Shukran Kaka lakin mbona mm Niko Qatar na mihogo ipo mizuri na unga ungali au sima inaitwa samolona Ni ungali POA tu