MAPYA YAIBUJA! TUKIO LINA UTATA, KUHUSU WATUHÙMÌWÀ KUKAMATWA IKO HIVI!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @NassoroMbawala
    @NassoroMbawala Před měsícem +4

    Hili tukio lingefanywa na mlalahoi na ukumu ingeshatoka na washafungwa ndo mana tunasema sheria za tanzania ni kwa ajiri ya watu masikini tu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +2

    Huyo dada hamumjui, je wabakaji nao hamuwajui?

    • @HidayaSabi
      @HidayaSabi Před měsícem

      pole dada tukio linafumbiwa macho tu

  • @EzekielMatimbwi
    @EzekielMatimbwi Před měsícem

    Serikali inapaswa ifanye haraka sana kuwanyonga hao watu wte waliohusika na tendo hili la uovu. Kwani hawastaili hata kidogo kuendelea kuishi kwenye dunia yoyote ile.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem +2

    Aliyehusika asema yeye alimpataje huyo mschana acheni kutufanya mazuzu

  • @ZwainhOman
    @ZwainhOman Před měsícem +1

    😢😢😢 inaumiza sana

  • @ac...262
    @ac...262 Před měsícem

    Wamekamatwa wapi ndo wasemaje huyo Binti Yuko wapi kama wao wako dar na huyo Binti Yuko wapi

  • @jumanneally3303
    @jumanneally3303 Před měsícem

    awa wanatuchezea akili tunaomba tuwajue tu awo watu wanakoishi maana picha si zipo jaamni

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 Před měsícem

    Tunataka tuwaone kama kweri wamekamatwa

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu Před měsícem

    Mm naona hiyo yombo dovyo imetumika kama kuzunga tu ila tukio limefanyika sehem nyingine mungu atupe mwisho mwema maana mambo ni mengi sana dunia inaenda kasi

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv Před měsícem +2

    Wapo wapi kama wame kamatwa wame ona jambo ra kawaida kwa sababu wazazi wake Maskin au vp

  • @FadhiliOmar-k3w
    @FadhiliOmar-k3w Před měsícem

    Tusiangalie cheo cha mtu haki kwa kila mtu

  • @FadhiliOmar-k3w
    @FadhiliOmar-k3w Před měsícem

    Tunataka wahukumiwe kunyongwa uchunguzi mpaka lini

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem

    Tutaona wakifikishwa Mahakama kwa sababu hatuamini kauli za Waziri huyo

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 Před měsícem

    Sasa wanachunguza nini wakat video wameziona au wao pofu😢

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před měsícem

    Aje live on screen ndo tutaamini

  • @stewartkiboga7352
    @stewartkiboga7352 Před měsícem

    Kuna babu alimlawiti kuku hadi kufa akawekwa hadharani na sote tulimuona hila ili la binadamu linapindapinda tu dah yaani inauma sana kwa kweli😡😡😡