Serikali inapaswa ifanye haraka sana kuwanyonga hao watu wte waliohusika na tendo hili la uovu. Kwani hawastaili hata kidogo kuendelea kuishi kwenye dunia yoyote ile.
Mm naona hiyo yombo dovyo imetumika kama kuzunga tu ila tukio limefanyika sehem nyingine mungu atupe mwisho mwema maana mambo ni mengi sana dunia inaenda kasi
Hili tukio lingefanywa na mlalahoi na ukumu ingeshatoka na washafungwa ndo mana tunasema sheria za tanzania ni kwa ajiri ya watu masikini tu
@@NassoroMbawala nakuunga mkono asilimia 💯
Huyo dada hamumjui, je wabakaji nao hamuwajui?
pole dada tukio linafumbiwa macho tu
Serikali inapaswa ifanye haraka sana kuwanyonga hao watu wte waliohusika na tendo hili la uovu. Kwani hawastaili hata kidogo kuendelea kuishi kwenye dunia yoyote ile.
Aliyehusika asema yeye alimpataje huyo mschana acheni kutufanya mazuzu
😢😢😢 inaumiza sana
Wamekamatwa wapi ndo wasemaje huyo Binti Yuko wapi kama wao wako dar na huyo Binti Yuko wapi
awa wanatuchezea akili tunaomba tuwajue tu awo watu wanakoishi maana picha si zipo jaamni
Tunataka tuwaone kama kweri wamekamatwa
Mm naona hiyo yombo dovyo imetumika kama kuzunga tu ila tukio limefanyika sehem nyingine mungu atupe mwisho mwema maana mambo ni mengi sana dunia inaenda kasi
Wapo wapi kama wame kamatwa wame ona jambo ra kawaida kwa sababu wazazi wake Maskin au vp
Tusiangalie cheo cha mtu haki kwa kila mtu
Tunataka wahukumiwe kunyongwa uchunguzi mpaka lini
Tutaona wakifikishwa Mahakama kwa sababu hatuamini kauli za Waziri huyo
Sasa wanachunguza nini wakat video wameziona au wao pofu😢
Aje live on screen ndo tutaamini
Kuna babu alimlawiti kuku hadi kufa akawekwa hadharani na sote tulimuona hila ili la binadamu linapindapinda tu dah yaani inauma sana kwa kweli😡😡😡